MAZISHI YA SHEIKH BASALEH KUTOKA MSIKITI WA MTORO MPAKA KISUTU, AZIKWA NA MAELFU YA UMMATI - 2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
- Mazishi ya Sheikh Ali Said Basaleh kutoka Masjid Mtoro kuelekea Makaburi ya Kisutu , Julai 31,2023. Sawa na Kiarabu Mwezi 13 Mfungo Nne Muharam Mwaka 1445 Hijriyya. Na amefariki 30-07-2023 katika Hospitali ya Agakhan Jijini Dar Es salaam Jumapili na kuzikwa Kisutu leo Jumatatu
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
TH-cam: / @babdeomiladu
Mashaallah viongozi wamejitokeza kumsindikiza safari yake ya mwisho shekhe wetu tutakulilia kila siku iendayo kwa m,mungu
Allah amraham sheikh wetu!
Allah akujaalie pepo ya juu shekhe wetu alii baaswale tutakukumbuka daima😢
Allah atupe mwisho mwema na awajaalie wote walotangulia mbele ya haki makaburi yao rawdha min riyadhil Jannah aameen
اللهم اغفرله و ارحمه و اسكنه في الجنة
Innalilah wainnairaih rajiun 😭😭😭😭 mungu ampe Kaur dhabiti sote njia moja
Mmoja KATIKA Masheik wakubwa kwa Tanzania na Africa Mashariki
Innalilah wainailaih rajuun
Innalilah wainnailaih rajiun mwenyezi mungu hailaze rohi yake mahali pema peponi
Inna lillah waina illahi rajoun Alla ampe kaul thabit amsameh madhambi yake kaburi lake rodha Mina rodha Jana Ameen
Innah Lillah Waina Illah Rajiuun, Allah aipe subra na uvumilivu familia yake
ALLAHUMA GHAFIRAHU WARHAMHU WAAFIHI WAAFUAHU.
Moja ya viongozi waliopigania hijab mashuleni, ALLAH amswamehe makosa na madhambi yake
Allah amsamehe makosa yake, ampe pepo ya juu pamoja na sheikh abdallah daud
Innalilahi wainnailaihi rajiun
ألله يغفرله ويرحمه ويسكنه فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون
Innalilah wanna ilah lajighuni 😢
Katun
Masheikh wanaonyamazia bidaa siku na nyie mtakuja kufa na mazishi yenu yatakuja kuwa hivi, hayo makofi na dhikri hizo wamezitoa wapi hembu someni dini na muone jinsi mtume s.a.w alivyofundisha adabu za maziko, Allaah amrehemu sheikh Ally basaleh
Sasa hizo takbira zanini? Munaleta bidaa wapi imethiti?
Kwahiyo waimbe bongo fleva kumamako kweli
@@faiditv5535bora ungemjibu vizri umetukania mama yake amekukosea nin, muombe radh ndug bila ivo unawez kuikos pepo kwa vitu vidogo umetukania mama yake aisee😢😢 fanay yote ila usimguse mama wa mwenzio ni hayo tu, Allah atuongoze
Usitukane ulipaswa utoe jibu. Katika mazishi au kuchukua jeneza yafaa kuinua sauti kwa takbira na tahlil?
sio lazima wote tufanane ww ukiona bidaa acha ambae anaona ni sawa muache sheikh
Ulitaka waende wakidiscuss Simba na yanga? Wahhabi mkubwa wewe
Hapo hakuna takbira