🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila mjomba wake ngwengwe waaa sijui umesomea wapi kuchambana ❤❤ ngwengwe nae ana lake jambo et maumivu ya mapenzi hayapoi kwa nyimbo za mariyoo🤣🤣🤣
Yaan huyu chado ni master kweli ameshinda ata kelvin,,kelvin nlikua namfatilia lkn anachelewesha sana hadi unasahau ulipoachia ila chado chukua maua yako baba🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Big up wote mnao zidi kutupatia support yenu...🎉🎉 Tunawapenda sana ALL TEAM CHADO tunawapenda sanaaa mashabiki zetu❤❤ LAHAULAAA ila Mzee wa MISUMARII 😢😢😢
Jamani wa kwanza leo kama mnamkubali Chado master like hapa kwa wingi❤❤❤❤
Chado master unajua sana watakao like comment yangu mungu atujalie tumalize mwaka salama
Inshaalah
Wangapi tunaelewa sai chado masta na ngwengwe masta walipiga deal ya pesa😂😂😂
😂😂hyo inaitwa sintofahamu 😅
Uhakik😂😂😂😂😂
Yani ngwengwe mungu akupe umri mrefu utimize doto zako mana unajua sana mwanangu hongera❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wangapi wamemmiss ngadaya
Mi hadi nahisi kuumwa😢
Kumbe tuko wengi kipengere chake namke wake kilikuwa namafunzo makubwa kwawenye ndoa
@@MryamHusan sana yaani
Tuko wengi😂
Mtoto ngwengwe hongera kwa kazi zuri Mola akizidishie kipaji chako wamin sharri hasidin idha hasad❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉chukua maua yako
Ngwengwe na Mama Ngwengwe wazee wa bingo la haulaa bongeeeee😂😂
Nipe jina la music
Hongera sana chado kwa kazi nzuri upewe maua yako
Binafsi napenda jojo awe demu wa Dady❤ mzee wa misumali😂😂😂
Mi sipendi awe demu wa dady nataka awe pamoja na chado
wewe vp 2:36 @@JumanneKizegelo
@@JumanneKizegelo aty awe pamoja na CHADO weee koma why between penzi la JAU video queen aingilie kati hiyo napinga mm😂😂😂😂
Haipo yani iyo ndy apigea afe
@@MELVINBBYtena muulize kwa sauti whyyyy passing around between penzi la kichwa njicho😂😂😂
Ngwengwe ongera sana dogo ❤❤❤❤❤ kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Piga like kama ulianza na hichi kipindi mbaka hapa sehemu tumefikia mungu hatulinde tuvuke mwaka vizuri jamani❤❤na kingine ngwengwe umetisha😂😂
Sisi kama wakenya tumpenda Sana chado master 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ugomvi wa mondi na paulo sisi hatupo wakenya mpo wapi ndunguu zangu
@@Shepherd-gc5py pamoja gomvi wao uko hautuhusu sisi
Kabsa
@@Fatuma-e8zgud san
Ila bonge katutukana aomberadhi
@MwanengoMbogo au sio Kaka mkuu❤️❤️♥️
Tuko pamoja mpaka dady na jojo wawe wapenzi 🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
Kabisaaaaaaaaa❤❤❤❤❤🎉❤🎉🎉
Na wew mpenz wako nan!!!
Mjomba ngwengwe atariiii😂😂😂😂😂😂😂😂 mm hoy na movie like nyingi kwa timu chado masta😂😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
Ngwengwe atunzwe jamani maana sio kwa kimo chake na mambo yake😂😂🎉😂🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Asalaamu walekum tumsifu bwana aliye juu utakayesoma hii umalize mwaka salama mungu akulinde namaradhi ameen🤲💫🤲💫💥💫🤲💥🤲🤝💥🤝🙏💫🤲🙏✍💥🤲💢💯💫💯💢🤝💫💫🤲💥
Waalikum Salam waramatullalih WABARAKATUH
Aamiiyn 🤲
Waalikum salam waramatullaih WABARAKATUH amin
Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Jmn huyu Ngwengwe anakuja kuwa super star mkubwa Bongo na inje ya Bongo mtunzen vizr kisanaa❤❤❤❤
Nawapenda sana team chado yaani unaangalia move hauchoki.. Nawapendaaaa❤❤❤❤
Mungu awabariki sana wote mnaoangalia move hii🎉❤
🤝
Mzeeee wetu wa misumali tujuane hapa ⚓🙏🙏🙏🙏💕💓
Mwenyez Mungu awabarik sana wote mliyoiyona cku ya leo hatuna budi kumshukuru Mwenyez Mungu
Lahaulaaaah ngwengwe 😂😅😂
😂😂😂katisha sana
Ngwengwe masta ❤
New couple jojo and mzee wa misumali haha😂😂
Umeona eeh
Bana eeh afdhali izidi kua tamu😅
Chado Na timu yako Kwa ujumla nawakubali Sana mungu azidi kuwalinda tuvuke mwaka salama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila mjomba wake ngwengwe waaa sijui umesomea wapi kuchambana ❤❤ ngwengwe nae ana lake jambo et maumivu ya mapenzi hayapoi kwa nyimbo za mariyoo🤣🤣🤣
Sema huy ngwengwe ana kitu atafika mbali
Apa ngwengwe kaupga mwing xalutkwako ngwengwe🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
bwana yesu asifiwe,,,,,, wapendwa wa mungu,,,
@@kinglongoiofficial8553 amen 💖🙏
😂😂😂😂😂😂😂 bonge bola ulivyokuwa mbali mwili ulipowa kidgo cheusi sio mwana hyo😂😂😂😂😂😂😂😂
😂 kabisa 😂😂
Jamani kaka yake najma nimekupenda gafla siwezi kuishi bila wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Utaniuwaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaan huyu chado ni master kweli ameshinda ata kelvin,,kelvin nlikua namfatilia lkn anachelewesha sana hadi unasahau ulipoachia ila chado chukua maua yako baba🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaaah mapema , Chado tuna shukuru kabisa
Ma fans leo niko wa kwanza, kwa iyo naitaji like zangu❤❤❤❤❤
Tukubaliane mwanaume WA kweli umu Ni mzee WA misumali ❤
Mii naona jojo atakuwa mpenzi wa mzee misumani😮
Eeee ndio itavo kuwa😂😂
Kweli
🎉🎉🎉congole maprosoo Jr,tajir ngwengwe,wapi chadog,,bg upkitengo,wap imaaa❤,mama chado kanywe soda baridi utuluze presha 😂
Waoooooo 💃🏿🎉🎊,mie mnanikosha sana aisee 🎊🎉🎉,,,nawapa maua yenu kwa kuwahisha 🌹🌹🌹🌹🌹
Atakaye soma maoni yangu basi namtakiya kumaliza mwaka mpya kbs
Salute Kwa ngwengwee jmni wakwanza leo ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nice job team chado mzee wami sumari usi mwachilie jojo kabsa tena mna edana🎉🎉🎉❤❤❤
Chado eee hiyo safi,we kweli kiboko sana chado ,mungu akubariki sana kakangu we na mdogo wangu ngwengwe hongereni sana wpendwa ❤❤❤❤❤
Kazi nzur sana jitu kazi unayo uende kwa chado ukapigwe uko mwenyewe kiti chenga na mjumbe wake leo ampo mulipe nguo za imah
Ngwengwe hapo umetiza Sana dogo hongera mungu akulinde utimize ndoto zako🎉🎉❤
Chado naomba unijibu hii comment yangu please me wa kwanza leo mda wote nilikua youtube. Naisikilizia mission imposible itoke please 🙏🙏🙏💦
Thank you my fans 🙏🙏 Team chado Tunakupenda Sana 🙏🙏
Cheusi tiiiiiiiiii@@Cheusi_media
@@Cheusi_media ambia bonge asijiharibie mashabiki aache kutusi wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yes mbona maturity kwa wakenya
@@Africanculture-e8qkweli kabisa
Nilijuaaaa kunampango baina ya chado na ngwengweee😅😅 nimeipndaa
Team chado tuko wapi????
Mimi na chado ni dam dam like nipeni zangu kwakuwa nimewahi leo tena ❤💯
Big up CHADO Kazi nzuri sana pia tunaendelea kujifunza kitu kutoka kwenu
Lahaula ngwengwe umetisha sana n chado master ❤❤🎉🎉
Nawaombea wot mvuke mwaka salama ❤ amina
Jmn ngwengwe we mtoto unajuwa mpka unaboa pokea maua Yako ngwengwe master❤❤❤❤❤
mbona sas ujampa maua yake au bas ngoja nkusaidie🤣🤣🤣🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌷
Waaaah hii kali kaka nakukubali sana chado❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Imma katisha leo😅😅😂😂😂😂
,😂😂😂😂😂😂😂 saana immah katisha
Bonge na cheusiii dah Hawa jamaa wambea sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nachokupendea haucheleweshi move mungu azidi kukutumia❤❤❤❤
Msamba wa mjomba umeniacha hoiii😂😂😂
Kubabakeeee mjomba noma majudo kama yote😅😅😅😅😅
Bana eeh na ngumi awezi😂😂😂
Leo imma kanifurahisha balaa kapiga mpk msamba😂😂😂😂
Manyonga kweli gaidi😅😅.pesa na huruma ni vitu viwili tofauti😅😅
Jaman mjomba ngwengwe nakukubarii kama mzalamoo unavyoo ongea🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Unajitaid uwe wa kwanza wanakupiku😂😂😂😂
Chonde chonde ii move msiimalize saiv maana dar kama ndoinaanza aiboi walanni Hongera sana chado 💐💐💐💐💐
Duu gwegwe upo vzr San ukiendelea hivy utauwa mast
Emma mbona ka anaeka uwingi sasa😂😂😂😂
Lahaula ngwengwe Mwenyenz Mungu akufikishe mbal sana ❤❤
Akiingia mtu apige na kengele gwendoo😂😂😂😂
Mungu akupe maixha marefu ww na uzao wako❤❤❤
Jaman naitaman hiii caple hiwepo ya Dady misumalii na jojo video queen kam unaitamAn na ww hiwepo weka like nyingi hapa🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mjomba ngwengwe historia itajiludia 😂😂😂😂😂
Nakubali team chado kazi iendelee❤🎉
Nimecheka nyumba ya kina ngwengwe inakarabatiwa😂😂😂😂
Watu waburundi tunawapenda ngwengwe nimeyipenda iyooo🤝🤝🤝
Jmnii cheusi utaacha lini umbeyaa
Chado master Salut 👐 Mimi kama shabiki napenda Sana kazi zako ubalikiwe Sana Kaka 🤝 zinafundisha kitu ✍️🙏🙏🙏🙏
Bonge aache kutusi wakenya sisi ni mashabiki wako wakubwa lakini vile bonge alifanya hatukupenda 😢😢
Kawatus jaman mum samehe
Kazi nzuri sana chado chado master wanaomukubali chado master gonga like kama kumi tu jamani wapendwa 🎉🎉🎉
Ngwengwe masta maproso Jr mwamba kweli kweli let's go buddies
😂😂😂😂😂we cheusi ni nyoko nimecheka jmn Eti ma ngwengwe kauza Figo anatembea upandeupande😅😅😅😅
😂😂😂😂
Kazi nzuri Sana team chado tunawapenda san anaye ona mzee wamisumari ata date na video Queen gonga like
Bongeeeee 😂😂😂😂😂 et mibangi mibangi
Natabili penzi jipya in towm video queen 👑 na mzee wa misumari
Mjomba wa ngwengwe hata nikiwa nimenuna mineno yako ni kicheko tuuu😂
Nampenda
Kwachada aah
Wewe mim
Mjombake Ngwengwe Sasa😂😂,, Hivi Daddy Ampige Chado kweli😂😂😂😂
Chado kiukweli wewe n genius you know how to write the script Mola akupe miaka mingi
Leo mmetisha ...mwendo wa action tu ...nilitamani isihishe big up sana ngwengwe ❤❤
Jmn jojo n mzee wa mixumali wanaendana
Mi nirikua narijua hiro kiricho mpereka kwababa yake nukuiva pesa nimeipenda hio😅😅😅😂
Bongeee chausiku nawapenda lakini acheni umbeaa mtasutwaa❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😅😅😅
Kweli
Ngwengwe masta😂😂Chador Masta🤝💪🥰🥰🥰
Wanaoamini Video Queen na misumari watakua mapenzi like hapa 😂😂😂❤
❤❤❤❤❤Tunawapenda Hivyo Hivyo Japokua Amtoi Ushilikiano Na Mashabiki Zenu
Muni like zenu mimi ndiyo mutu wa kwanza
Gwegwe nakkubali dogo upo vizuri oyaaa weeee Chado mpe bega xnaa huyu dogo
Big up wote mnao zidi kutupatia support yenu...🎉🎉 Tunawapenda sana ALL TEAM CHADO tunawapenda sanaaa mashabiki zetu❤❤ LAHAULAAA
ila Mzee wa MISUMARII 😢😢😢
Cheusi Cheusi Cheusi unatuchosha sana kwa umbea 😅 uchinjwe Christmas 😂😂
Nakukubali sana cheusi media wew
Lahaulaaa jojo ila cheusi unani furahisha😂😂😂
Cheusi acha umbea
Oya turudi tabora Kaka tukaongeze umbea
Nice Ngwengwe 😂😂😂❤❤🎉🎉Mr. Manyonga kimekuramba😂😂😂
Yani nacheka tu jamani kama mjinga vile😂😂😂 Hii movie kali sana big up ❤❤🎉
Mwanz mwish Leo nmechek jmn😂😂😂
ila mjomba ake ngwengwe anaitendea hakiiii sana hiii movie ❤nampenda sana imma
Wakwanza mm 🎉🎉🎉wakenya tujuane🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngwengwe mwangu mungu akupe umri mrefu akuepushie na husda za waja na wanyama we ni 🔥🔥🎉🎉❤️
Leo nimewahi nimekuwa wa kwanza naomba like vipenzi
Weweeeee ngwengwe masta ña najma kashapata wif naona vidio qeen😊
Boss Ngengweee 😂😂😂
Mjombaaa jamaniiii unajuwa kunivunjaa mbavu mwezako daa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ ngwengweee umekuwaa baba😂😂😂😂😂
Dondosha maua ya ngwengwe apa❤❤🎉 mungu mwema
🎉🎉🎉❤❤❤🥀🌷🥀🥀🥀🥀🎄🎄🎄🎄🎄🎄🎄⛄🎄⛄⛄
❤❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤🎉❤🎉❤🎉❤😊
Wakwanza leo mm nimelala apa jmn nikigonja hii 😂😂😂 nipeni hizo like sasa ❤❤🎉😂😂