Watatu (Full Movie)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Watatu, is the story of three men who lives become intertwined as one of them, Yusuf, a young unemployed Muslim, becomes radicalised by an extremist group. Yusuf’s family and friends feel powerless to help him. His uncle and only father figure Salim cannot find the words to counter the extremist ideology and Salim’s old friend Jack, a local policeman, struggles to gain Yusuf’s trust. As tensions rise in the port city, Yusuf is eventually driven to a desperate and tragic act.
This film was created by S.A.F.E. Kenya, a Kenyan NGO, using arts to create social change. The film has been screening extensively throughout Mombasa, Kilifi and Lamu.
Watatu won the top prize, the Golden Dhow for Best Film, at the Zanzibar International Film Festival in 2016.
Find out more at: safekenya.org/w...
Credits
Directed by Nick Reding
Produced by Ali Mlatso & Nick Reding
Cast
Ali Mlatso
Benson Obiva
Said Muhsin
Angie Magio
Aisha Mwajumlah
Regina Lewa
Carolyn Rita Mutua
Partner: Breakthrough Media
Watching this movie from Qatar.... nimeipenda inaelimisha,na inatowa sumu katika roho za baadhi ya watu ambao wamekosa kuelewa umuhimu wa Maisha ya MTU...na ubaya wa ukabila na mengi....0%kwa uchafu..
0%kwa maneno machafu..
100%kwa kuelimisha jamii
Pongezi Sana Kwa ma acter wote Kwa kazi nzuri na kufundisha watu na kutowa sumu katika nyoyo za watu.... you people your so talented 👍🏾
Happy to see my city mombasa 😍😍proudly kenyan
Great work of Peace Building our community. Indeed, peace is expensive. Excellent piece of work!
Very wonderful story thank you brother 🙌 and sister from Australia 2021 respect
The world should understand that art is everything can change our life
Kazi safi sana, Host wetu wa skype ni mrembo ajabu....Ma Shaa Allah
😇😇😇such a great movie…please keep doing such movies
Lovely work of art.Educative,tackling social and family issues wonderfully...Kudos to the cast and crew.
This it just like The dream of elibido , the movie how they incorporate the audience in the film. I like it good job.🇯🇲🇸🇳
Ningependa kujiunga nanyi najua kuigiza lakini sijapata support mnaeza nisaidia mi nmkaazi wa kilifi
Great it's very educative.🇺🇬
Wow!!! how did I miss this?? 🔥
Namimi nakupenda sana
Brilliantly made, excellent acting and the themes are still relevant today, even a few years on from that "hot moment". Keep up the great work SAFE Pwani, you have been performing miracles all these years... much love❤
Napenda sana kazi yake Aisha Mwajumlah, hongera kwa kazi hiyo, Mungu akubariki
Awesomeness right there. Kudos
Great work of art
Great job you are doing S.A.F.E
So so awesome. The actors, the story and the initiative is so fantastic. Brilliant work of art
Hongera kwa kazi nzuri...
Such lovely work... Pround of you guys.
Aaah! Hongereni saana kwa mchezo huu. Nimeipenda sana
Great movie.. thanks🇬🇧
Elimu Tosha!
Hongera kwa kazi nzuri.
Nice one
Wow big up fans am watching form saudi Arabia love for my kenyan artists muko hot fire 🔥 😍 👌
Educative
Hello guys we are meta Entertainment from Mariakani
I need a Kenyan friend.. who's up? I'm a Ghanaian
Sylvester Anokye hey im Kenyan Hmu on snap @tbubblegumw
Yooooh
Kazi Poa sana 100%
Kazi nzur👏👏
Mm kiukweli naridhika ninapo angalia movies alo cheza nimimi
Ila nimetaka kuuliza hiii historia ilipitikana lini Mombasa
Woow... interesting....😱😱I need a friend
What’s the name of the first song…I loved it
Nime penda sana tena sana kwani hii Ni elimu tosha hongereni sana mume fanya kazi Mimi Nina ishi Zanzibar jina langu feisal foum Saleh
Hii movie iko juu 2021
Pure talent!👌👌
Ama kweli hii sinema ni funzo kuu mno, nawaombeeni nyote mlo sadikisha hii kazi, maulana awajilie furaha na ujasiri ili mzidishe kuelimisha na wengi.
Is this the full movie
big good shit
nice film my future wife city
👏👏👏✔✔
mumetisha
😂😂😂hapo kwa karate nimekwisha mimi😂😂😂
Ikopao sn
Some familiar faces ,anyone with Ali phone number .The guy with Chelsea jersey.Would appreciate if I can get his contacts.
Nawaona Rama na Modi hapo, jengine na furahia kwa bidiii yenu ya kuleta elimu kwa jamii yetu ya pwani na Kenya. Pogenzi nyoteni.
Aki imeni sisimua
28:25 hahahaaaaa
Ni Mimi...umkali dada kipenzi.