mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
Asante sana kwa mafundisho mengi sana yaliomo katika igizo hilo.waschana wapate funzo la kuwa mpenda tuwili kamoja kamemponyoka na njia mbili zilimshinda fisi Pia wasikimbilie mali wanapohitaji kuchumbiana
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke. (1) Huyu akienda kubali matokeo (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
ujuzi (1) ni taarifa sahihi au ukweli uliokusanywa(9) ni kuleta kuwepo kiakili kupitia Uislamu na kimwili kupitia kwa mwanamke mweusi kutoka kwenye ujuzi (1) hadi kuzaliwa (9) ni kukamilisha misimbo (0) au fundisha kwa kuongeza maarifa (1) kwa msimbo(0) na kurudi kwenye msingi wako ambao ni maarifa (1) kwa sababu 1+9=10 na 1+0=1...
Movie nzr sana. Naomba like jaman zifike 30 tu. Nawapenda watanzania wenzangu. Na jiran zangu wa kenya
Tunakupenda pia sisi🇰🇪
tunakupea piasanaa❤
Na Burundi pia
Like
Nzuri sana
mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
❤❤❤❤
Kwan Iko na translation 😅😅😅
waah ni wakwanz naomb comnt jamani hii movie ni very nice 🥰🥰🥰🥰🥰
Nimefurahi uliipenda
Wallah acha na mm niione
Really great movie. Before you find love, find money first. Thanks for sharing.
Asante sana kwa mafundisho mengi sana yaliomo katika igizo hilo.waschana wapate funzo la kuwa mpenda tuwili kamoja kamemponyoka na njia mbili zilimshinda fisi Pia wasikimbilie mali wanapohitaji kuchumbiana
Wajaribu kupenda anayewapenda kwami mali zinaweza kuisha lakini upendo wa kweli huishi
Hivi vipo kweny maisha unae mpenda hakupendi Kam kweli manen ya mjomba gonga like
Walahi hili maneno ya mjomba Ni mambo muhimu sana ambalo naipitia maishani mwangu
Part 2 jamani nzuri hadi raha nataka kuona abdhuli alifanya nn na Shadia alimwambia nn rafiki yake Sharifa much love nkiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Saudi Arabia
Hahaha Asanteni Kwa saport by Abdul actor from Tanzania
Hawa naomba namba yako
Nice movie, muendelezo natamani kuona Abdul kamuoa Sharifa..... Kwahyo Shadia akute rafiki yake ndio mke wa Abdul
Shadia msichana mwenye uragayi mukubwawe!!
Teachable movie waiting for part 2 walirudiana na Abdul au vipi
Penda sana move yako mumy by mkaza ochu like toooo mumy
Masha Allah nice movie
❤❤❤❤love story
Pls naomba part 2tafdali nampenda hii movie sana
Nzuli mashallah ❤️
Xafi san mungu awabarik san movie nzuri 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Waaaah 🤔yani majuto mjukuu hapa,katika mausiano mpk uambiwe uongo ndio utaona ndio ukweli,tamaa mbaya jmn
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke.
(1) Huyu akienda kubali matokeo
(2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Mam wa Ashmat Umetisha sanaaa...Mungu akufanyie wepes, Mpo juu san
Magret shaban usimuamini mtukwamaneno barimshuudie kwamatendoyake naombaprt2
Kweli, san kaka
Hongereni Sana filamu nzuri Sana ina mafunzo
Jamani muendelezo wake upo kwel movie nzuri sana hii
I need this kind of love😅😅
😂
Nice movie congrats 👏🎉 part 2
Shukurani kwafilim nzuri tu kiukweli nimejifunza mengi
Mansh Allah inamafuzo mazur
Funzo nzuri sana mpaka ya nivutia❤
Subhananllah nimejifunza pole amduli ama kweli tamaa mbaya poleni wote
Movie iko sawa kabisa congratulations 👏👏
Hii movie ni ya kwanza kabisaaaaaaa❤❤❤❤
Very nice movie
Daa move mzuli sana tunaomba part 2
Shadia ungekubali Abdul kwa sasa unalia pole sana
Jamn nzuri episode two jamn
Tuko pamoja majirani zetu...Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
On love
Pore sana shadia.tama.mbaya
Hamja imalizia vizuri filamu
Nzur sana leten muendelezo tuwacfie vzr
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
Sisi wanawake tuna tamaa ya pesa sana wanaume maskini wana teswa sana kweny mahusiano kisa tu hawana pesa 😢
Mathna sio mbaya aoe tuu
Nashukur pia kuna kitu nimejifunza mko vizur
Jameni ni nzuri sana 🎉
Movie iko chonjo sana.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani ndani ndani
Abdul banaa!!!mambo gani haya!(Wajizalilisha saaana bwana!!
Nimeipienda sana
Nimeipenda sana
LOVE VOICE NICE MOVIE
Washamba hamjuwi movie y kisenge mwalia lia 2 mwambieni hemed chande awafundishe kuikti movie
Habari naitwa philimoni naomba nafasi ya kuigiza
Upo wapi
Hapo iko sawa..
Hii movie iko smart.
Part two jaman da shadia I really miss to meet u in love am witching from dubai
Very nice
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
Na chidi alimuuliza shadia kuhusu huyu Abdul je wameachana akamsibitishia hamtaki ndio maana mwezake akamuoa chidi kosa hana
ujuzi (1) ni taarifa sahihi au ukweli uliokusanywa(9) ni kuleta kuwepo kiakili kupitia Uislamu na kimwili kupitia kwa mwanamke mweusi kutoka kwenye ujuzi (1) hadi kuzaliwa (9) ni kukamilisha misimbo (0) au fundisha kwa kuongeza maarifa (1) kwa msimbo(0) na kurudi kwenye msingi wako ambao ni maarifa (1) kwa sababu 1+9=10 na 1+0=1...
Mbona haish part 2 mbona siiwoni?
Mwendelezo 🙏🙏🙏🙏
Masha Allah
Estou ansioso em ver a segunda parte,weka part 2 tunataka sana kuona,cabo delgado Moçambique
Nice movie but part 2
Nzury sana Asante sana
Tuko pamoja nasisi wa kongomani kutoka Bukavu
tutafute ela tusigombonie mapenz😅😅😅😅
Very nice...
Mapenzi ya kweli yako moyoni na c pesa mfukoni wadada tujielewe jamani
Kweli kabisa unaweza ukapata pesa ukakosa furaha ya maisha
Kwer
Mapenzi ya kweli yapo moyoni na sio mdomoni
Mashaallah
Can we have English subtitles pleaaaaaaaseeeeeeee
Mapenz c pesa anzeni pamoja life bnaaa,mtaishimiana
Naomba pat 2
Habari gani
Shadia acha tamaaa
Mashaa Allah 😂 honger
Nzuri
Pole xana abdul
Mashallah ❤❤❤❤
Malipo ni hapa hapa duniani
Nzuri sana kazi nzuri be gup
Oya hii mzuri sana
Hongera
Imenisikitisha saaaana jamani.nime mkumbuka mpenzi wangu Chadia,aliniacha naakafuatana na mwingine,mwisho aka mupa mimba,badaa akamukimbiza daah...Iyi filamu inanitosha machozi.🇹🇿🇧🇮
Polesan
Kazi nzur sana nawapenda bure
Wap maryam msambaa nakukumbuk xan pind tupo pngani mpnz mungu akupe mafanikio kila hatua unayopga
Mapenzi dah😢
😥 part 2 please 🙏
Kazi nzur vipenzi
Nice move
Part 2 ikowaapi jamani
❤❤❤❤❤
Hainaa part 2 Kwan mbon ahahahahaaha
MUENDELEZO ❤️❤️💯
Nzuli mashallah ❤️
Muendeleze bas
Big up sana
Atr san wanawakee
Pore sana Abudul tama njo ina tuponza jamani tusamehe 😢
Hahaha nisha wasamehe
Safi sana naomba part 2
Nice
kosa pesa ukunye sumu... Eee mapenzi ya sasa
Tamaa zina ponza Jamani 😢
Ndio maana sipendi kuolewa na mwanaume mwenye pesa maana mmmh 🙄 sio poa
Imeisha kindez sanaa mwishon km mlikuwa mnawah ndege mkaamua kui Punguza
Nifundisho upendo nikitebdawili
movie nzuri
part two hiko ?