huyu ndio msanii pekee au chawa pekee hato kuwa mbari na diamond kwakuwa hana mkataba na anaamini maisha yake ni diamond tofaut na hao wasanii waliopo kweny mikataba
Eti twenty twenty thirty 😮😮??? Ila waandishi polen kwa kazi kwa kweli maana mnapuyanga kutafuta habari na hata maji hampewi kawaachia manyoya na vumbi tuuuu
Iyi sio kiki, iyi ni akili ya biashara Iyi ni campaign ya president Samia, Big anajuwa sana Nini chakufanya, kiki ni izo za Mumakond na Furaha wake 😂😂😂
You should concentrate upon improving your English and your social skills before you expose your jingoistic idiocy to the world. How do you defend your claim to exposure to the finer things in life in a country where you are being gunned down for stealing food in Parliament?
Watu Kama Hawa hawatakiwi kwenye nchi kwanini unaaminisha watu ujinga kabisa Kwa faida zako mwenyewe unafikili hilodeni litaisha kwahio ujinga wako babalevo pumbavu zako mutajuta huko mbere we ngoja mda utaongea
Mwenyez mungu huwa habariki visasi hvyo basi kabla ya kudhan fulani atajuta na huo muda unaodhani atajuta na uone anazidi kufanikiwa wewe mwnyewe ndo utakae pata shida ya kinyingo, Ogopa Sana kumuombea binadam mwenzio mabaya hta kama hakufurahishi kwenye baadhi ya mambo kwa sabb binadamu huwa wanashangaza watu na wabaya kubaki midomo wazi
huyu ndio msanii pekee au chawa pekee hato kuwa mbari na diamond kwakuwa hana mkataba na anaamini maisha yake ni diamond tofaut na hao wasanii waliopo kweny mikataba
Acha zako. Hata roho itakuwa mbali na mwili baba levo na Diamond? Alafu unakufuru unasema maisha yake ni mond umemsahau mungu wewe?
@@Mumewangu Mungu/MUNGU sio mungu
Mwijaku na doto wakodishe kunguru😂😂
From egm-tz hata hivyo jamani ni BRAND AMBASSADOR Mzuri sana❤❤😂 Enjoy Muziki muzuri kutoka EGM
Ebhane ee naona makamera baada ya kuondoka baba levo wameganda sana 😂😂
Wametoka mbali na diamond anafaidika na uwepo WA Baba Levo
Hongera sana kwa kujua hilo
100%
SNS TV ❤❤❤
🙌🙌🙌
its money.
2025-202030 Likes 😂😂
Twenty twenty thirty (202030)😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mamama kipuwa jmn🤣🤣
🔥🔥🔥👏👏👏
Ushamba kweli
How many hours
😂
Sawa fly
unaongea km Lisu
Ila wa ndishi Kwahiyo walienda tu kumuona fundi manyumba anavyo panda 😂😂😂😂😂
Doto na kichwa mviringo watakoma😂😂😂😂
Ba levo kweli tunakupenda lakini ndio utusemeee😂😂😂, unauhakika unachopenda tunapenda? 😂
Baba levo amepanda helicopter tutamkoma maneno yake akishuka.
Eti twenty twenty thirty 😮😮???
Ila waandishi polen kwa kazi kwa kweli maana mnapuyanga kutafuta habari na hata maji hampewi kawaachia manyoya na vumbi tuuuu
Mkipewa vichenji tu mnasifia Kila lolote kumbukeni na wengine wenye njaa Kuna maisha baada ya hayo kaka mwiliwe na mahoro
Kulak yangu Nampa tundu lisu
Anataka kutowa allba diamond lazima afanye kiki
Iyi sio kiki, iyi ni akili ya biashara
Iyi ni campaign ya president Samia, Big anajuwa sana Nini chakufanya, kiki ni izo za Mumakond na Furaha wake 😂😂😂
Bongo waandishi wa habari na hv vimedia uchwara mkiacha kundekeza njaa mtatuweke contet za MAANA COZZ HUU NI UMAKU
🎉
2025,202030😂😂😂😂😂
Sijaelewa deni la namna gani la taifa au vikoba
Baba levo tafuta pesa yako siyo mpka ukodiwe na mwanaume mwenzio
Hiyo ndo kazi yake sasa,mpe ajira basi😂
Xaxa kama Hana deni si awaachie,ambao watafany mamb mengn😂
Mara ya mwisho alienda Lupa tingatinga na dingi😂
Mpaka Dodoma mbona gharama sana
Si unajua tajiri ni nani
TUKIENDA KWENUE URAIS KAMA HANA DENI SI AACHE KUGOMBEA WAINGIE WANAUME WA SHOKA
2025-202030
You mean Tanzania journalist have never seen a helicopter..they can come here in kenya 🇰🇪🇰🇪 most of us here ride in chopper in kenya
You should concentrate upon improving your English and your social skills before you expose your jingoistic idiocy to the world. How do you defend your claim to exposure to the finer things in life in a country where you are being gunned down for stealing food in Parliament?
Rubani atafika amechoka 😂😂
Hhhhhhhhh
Money Laundering
Acha ujinga unamkuibali ww na family yako
Watu Kama Hawa hawatakiwi kwenye nchi kwanini unaaminisha watu ujinga kabisa Kwa faida zako mwenyewe unafikili hilodeni litaisha kwahio ujinga wako babalevo pumbavu zako mutajuta huko mbere we ngoja mda utaongea
Mwenyez mungu huwa habariki visasi hvyo basi kabla ya kudhan fulani atajuta na huo muda unaodhani atajuta na uone anazidi kufanikiwa wewe mwnyewe ndo utakae pata shida ya kinyingo, Ogopa Sana kumuombea binadam mwenzio mabaya hta kama hakufurahishi kwenye baadhi ya mambo kwa sabb binadamu huwa wanashangaza watu na wabaya kubaki midomo wazi
@@agapemunyi2095 👏👏👏 Exactly kila binadam ana mapungufu yake so Tumuachie Mungu mana Sasa ivi binadam kwa binadam tunahukumiana 😢😢 ☹️😏
Deni gani dugu yangu hata merekani ina deni kkk
Acha roho mbaya unenepe loooooo
Hakuna mapungufu kwa binadamu binadamu ni kiumbe kamili acheni Imani zenu za kishenzi huu ndo ujinga unaoimaliza africa
Neenda kasome kwanza acha kuendelea kujidhalilisha😂😂😂 nimecheka mpaka nimejamba
Acha ugasho, ww njaa itakuwa, 202030, wewe bwabwa kweli
Mbwambwa mamayako
@@SaimoAbusei amekosea kwa nini matusi .wewe ulikuwa umjibu yote ni furaha tu ndio akakosea kusema