Thisisiringa
Thisisiringa
  • 11
  • 47 585

วีดีโอ

This is Iringa season 2
มุมมอง 4284 ปีที่แล้ว
This is Iringa season 2
ISIMILA TOUR
มุมมอง 1695 ปีที่แล้ว
#isimila #tour #iringa
Iringa City
มุมมอง 38K5 ปีที่แล้ว
Iringa City
Hivi ndivyo Matambiko yalivyofanyika enzi hizo
มุมมอง 1945 ปีที่แล้ว
Hivi ndivyo Matambiko yalivyofanyika enzi hizo
Hii ndio sababu kubwa ya watu wa zamani kuchora michoro kwenye jiwe Igeleke
มุมมอง 1015 ปีที่แล้ว
Hii ndio sababu kubwa ya watu wa zamani kuchora michoro kwenye jiwe Igeleke
Je, Unajua kuwa kuna wanyama walikuwepo na sasa hawapo tena?
มุมมอง 245 ปีที่แล้ว
Je, Unajua kuwa kuna wanyama walikuwepo na sasa hawapo tena?
Huu ndo mti wa Mkunungu,mboga asili ya wahehe
มุมมอง 2.7K5 ปีที่แล้ว
Huu ndo mti wa Mkunungu,mboga asili ya wahehe
Maajabu Ya mlima Igeleke kwa watu wenye Nia Ovu
มุมมอง 1015 ปีที่แล้ว
Maajabu Ya mlima Igeleke kwa watu wenye Nia Ovu
Ni kama isimila lakini sio Isimila
มุมมอง 785 ปีที่แล้ว
Ni kama isimila lakini sio Isimila

ความคิดเห็น

  • @yahayamagezi7588
    @yahayamagezi7588 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Iringa mkoa wa matajiri wengi tz

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r หลายเดือนก่อน

    Mji ni msafi sana kidogo hapana ila ni kamji kadogo sana huwezi fananisha na jiji la mbeya,maana kwa kutembea mwendo wa kawaida iringa waweza kuimaliza ndani ya nusu saa au saa moja.mbeya unaweza kuimaliza kwa kutembea mwendo wa kawaida siku mbili au ,zaidi ya siku mbili.

  • @DottoAngelo-un5fx
    @DottoAngelo-un5fx 6 หลายเดือนก่อน

    Nice city

  • @saadajohnson3361
    @saadajohnson3361 6 หลายเดือนก่อน

    my favorite mrenda ni mkunungu...yummmm!

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 ปีที่แล้ว

    💌

  • @jemimap.ndejembi8981
    @jemimap.ndejembi8981 ปีที่แล้ว

    Beautiful city Lovely mountainous city GOD’s creation 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @simulizizamwanaupwa2644
    @simulizizamwanaupwa2644 2 ปีที่แล้ว

    Ni ipo sehemu gani katika Iringa?

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 2 ปีที่แล้ว

    Nilitaka kuyaona hayo majani ya mkunungu vizuri

  • @zingibarofficinale8351
    @zingibarofficinale8351 2 ปีที่แล้ว

    ..

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda6490 3 ปีที่แล้ว

    Nawapenda sana mno

  • @augustinoeliud8714
    @augustinoeliud8714 3 ปีที่แล้ว

    Sweet home 🥰🥰😍forever

  • @isaackiswaga6717
    @isaackiswaga6717 3 ปีที่แล้ว

    Kamwene

  • @nelsonuvambe7526
    @nelsonuvambe7526 3 ปีที่แล้ว

    Good

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว

    Sio mbaya

  • @mariea6753
    @mariea6753 3 ปีที่แล้ว

    Home sweet home

  • @nellyamiri925
    @nellyamiri925 3 ปีที่แล้ว

    Home paleee

  • @afrasionnasari4083
    @afrasionnasari4083 3 ปีที่แล้ว

    From arusha Iringa my favorite place

  • @atigeedee7766
    @atigeedee7766 3 ปีที่แล้ว

    co smart

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 ปีที่แล้ว

    Mwimbo mzuri sana Iringa juu Sana wasafi sana na wananchi wake Ni wastaarabu Hadi vijijini Wana vyoo Safi na Bora na wakarimu sana

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo mboga ninzuri Sana kwa ugali

    • @isayamwasile3103
      @isayamwasile3103 3 ปีที่แล้ว

      Je inaweza kutumia kwenye chai?? maana majani yake yananua mchaichai

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 ปีที่แล้ว

    Mandhari mzuri Sana sana

  • @samuelmore2926
    @samuelmore2926 3 ปีที่แล้ว

    Since when did Iringa became a city ? Who approved the upgrade?

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 ปีที่แล้ว

      One day Yes ni kubwa nzuri na safi, wanaichelewesha tu

  • @hagaisanga7286
    @hagaisanga7286 3 ปีที่แล้ว

    Iringa kimajengo iko vizuri kuliko hata mbeya

  • @williamsville3493
    @williamsville3493 3 ปีที่แล้ว

    Iringa iko Vizuri sana Wahehe hawapendi Majigambo from Mwanza Tz

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @chizobaamara4526
    @chizobaamara4526 4 ปีที่แล้ว

    Sasa nafikiri tuna amka sasa yaaan Iringa hatuna Star mkubwa hii Tz tukichafueee sasa 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍 Gonga like kama ni mtoto wa Mkwawa

  • @natureworld295
    @natureworld295 4 ปีที่แล้ว

    Town , not city

    • @kingnicky2568
      @kingnicky2568 3 ปีที่แล้ว

      covis club kenya ltd asante mwanang bora umesema

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 ปีที่แล้ว

      @@kingnicky2568 inatakiwa kuwa Jiji maana Kuna majiji yamepitwa

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว

    Ni pazuri sana, kubwa kuliko Arusha.

    • @abdulseifmtuluma4484
      @abdulseifmtuluma4484 3 ปีที่แล้ว

      Arusha ni Kubwa Kuliko Iringa

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว

      We arusha ni kuzuri mno.

    • @barakawilson2664
      @barakawilson2664 3 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga wewe unafananisha iringa na jiji la arusha

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว

      @@barakawilson2664 hahahaaaa jmn hata mimi MICA ni mjinga hahahaaa

    • @hamisitza5698
      @hamisitza5698 2 ปีที่แล้ว

      Acha bang kaka

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 4 ปีที่แล้ว

    Aisee Ahsante sana umetupa video ya Kutambia 😂😂😁😁😁

  • @manubei3574
    @manubei3574 4 ปีที่แล้ว

    Mbeya ikasome

  • @franksaloon4231
    @franksaloon4231 4 ปีที่แล้ว

    Mji mdogo sana uwo

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 ปีที่แล้ว

      Una wivu mji mkubwa sana , we we kwenu wapi? Nimezunguka Tanzania nzima nimeona, Iringa kubwa sana

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 ปีที่แล้ว

      Iringa mjini huwezi kukuta nyumba za udongo au kusongamana na kukosa njia ya kufika jengoni, pole kwa wivu, tena mkubwa sana, wivu utakutesa sana

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว

      Huyu ana wivu bana, Iringa ni kubwa karibu kushinda Arusha.

    • @frenkfrenk4580
      @frenkfrenk4580 4 ปีที่แล้ว

      Napajua vizur sana tofauti mnavyo ijua nyie mimi kwetu uko nimezaliwa uko nimekulia uko kwetu kiesa ila kwasasa naish Moro nafanya kaz chuoni suA

    • @frenkfrenk4580
      @frenkfrenk4580 4 ปีที่แล้ว

      dadangu liliani ilinga ajapanuka pia ujatembea mikoa mingi kushnda mimi ilinga imejengeka seem moja tu mjini peke yake uku China amna kitu polini

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 5 ปีที่แล้ว

    Mji umepangwa poa sana, sema wenye kwao hawajui kutamba nao

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 5 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana

  • @kenethmichael1926
    @kenethmichael1926 5 ปีที่แล้ว

    Pazuri kuliko mbeya

    • @thaubannaftal7265
      @thaubannaftal7265 3 ปีที่แล้ว

      Kweli aisee hata mm naona hivyo.

    • @bahatimwangoka5346
      @bahatimwangoka5346 3 ปีที่แล้ว

      Huwezi linganisha Mbeya na mji mdogo kama Iringa

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 3 ปีที่แล้ว

      @@bahatimwangoka5346siyo kweli Iringa Ni kubwa kuliko mbeya isipokuwa mbeya pop kubwa kuliko Iringa, poleni mnakasumba

    • @davidchambulila3028
      @davidchambulila3028 3 ปีที่แล้ว

      @@bahatimwangoka5346 kinacholinganishwa ni uzuri sio ukubwa na udogo ,haya mbona mwanza ni kubwa kuliko mbeya lakini mwanza ni nzuri kuliko mbeya ,mbeya ndio jiji la hovyo na wanambeya hawaelewi maana ya jiji ,juzi tu nilikuwa hapo bustani ya jiji imewashinda kuitunza ,nenda bustani ya manispaa ya Iringa inavyotunzwa na watu wanavyolilakisi

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 2 ปีที่แล้ว

      Mbeya nyumba za uswahilini nyingisana. Mbeya mji uko barabaran

  • @shabanmbaruk8591
    @shabanmbaruk8591 5 ปีที่แล้ว

    Uchukuaji wa picha uhusishwe na kamera ya ukweli.

  • @ayubupeche3681
    @ayubupeche3681 5 ปีที่แล้ว

    mbona umechukua juu

  • @chambimagele6726
    @chambimagele6726 5 ปีที่แล้ว

    Tatiza hawa jamaa zangu wanajinyonga Sana..... hahahahaaaa

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 ปีที่แล้ว

      Siyo kweli ni utani tu kwakuwa Mkwawa alijishuti ili wajerumani wasimuue

  • @madjidhamza1587
    @madjidhamza1587 5 ปีที่แล้ว

    Paradise city ma stone flani iv, thanks

  • @kelvinmhg1212
    @kelvinmhg1212 5 ปีที่แล้ว

    nawapenda kwa kuisapoti stone au iringa town

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 5 ปีที่แล้ว

    Mara y kwanza kuona iringa mungu bariki kuzuri sana

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 ปีที่แล้ว

      Karibu Sana mpendwa wetu, Marehemu wetu Mafhufuri hakukosea aliposema ni kitovu cha utalii mikoa ya Kusini, kunavutia Sana

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 ปีที่แล้ว

    Umepangwa vizuri, natamani ingekuwa jiji