- 11
- 47 585
Thisisiringa
เข้าร่วมเมื่อ 31 ส.ค. 2018
วีดีโอ
Hivi ndivyo Matambiko yalivyofanyika enzi hizo
มุมมอง 1945 ปีที่แล้ว
Hivi ndivyo Matambiko yalivyofanyika enzi hizo
Hii ndio sababu kubwa ya watu wa zamani kuchora michoro kwenye jiwe Igeleke
มุมมอง 1015 ปีที่แล้ว
Hii ndio sababu kubwa ya watu wa zamani kuchora michoro kwenye jiwe Igeleke
Je, Unajua kuwa kuna wanyama walikuwepo na sasa hawapo tena?
มุมมอง 245 ปีที่แล้ว
Je, Unajua kuwa kuna wanyama walikuwepo na sasa hawapo tena?
Huu ndo mti wa Mkunungu,mboga asili ya wahehe
มุมมอง 2.7K5 ปีที่แล้ว
Huu ndo mti wa Mkunungu,mboga asili ya wahehe
Maajabu Ya mlima Igeleke kwa watu wenye Nia Ovu
มุมมอง 1015 ปีที่แล้ว
Maajabu Ya mlima Igeleke kwa watu wenye Nia Ovu
Iringa mkoa wa matajiri wengi tz
Mji ni msafi sana kidogo hapana ila ni kamji kadogo sana huwezi fananisha na jiji la mbeya,maana kwa kutembea mwendo wa kawaida iringa waweza kuimaliza ndani ya nusu saa au saa moja.mbeya unaweza kuimaliza kwa kutembea mwendo wa kawaida siku mbili au ,zaidi ya siku mbili.
Nice city
my favorite mrenda ni mkunungu...yummmm!
💌
Beautiful city Lovely mountainous city GOD’s creation 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ni ipo sehemu gani katika Iringa?
Nilitaka kuyaona hayo majani ya mkunungu vizuri
..
Nawapenda sana mno
Sweet home 🥰🥰😍forever
Kamwene
Good
Sio mbaya
Home sweet home
Home paleee
From arusha Iringa my favorite place
co smart
Mwimbo mzuri sana Iringa juu Sana wasafi sana na wananchi wake Ni wastaarabu Hadi vijijini Wana vyoo Safi na Bora na wakarimu sana
Hiyo mboga ninzuri Sana kwa ugali
Je inaweza kutumia kwenye chai?? maana majani yake yananua mchaichai
Mandhari mzuri Sana sana
Since when did Iringa became a city ? Who approved the upgrade?
One day Yes ni kubwa nzuri na safi, wanaichelewesha tu
Iringa kimajengo iko vizuri kuliko hata mbeya
Kabisa ndugu yangu
Iringa iko Vizuri sana Wahehe hawapendi Majigambo from Mwanza Tz
Kweli dear wangu
Safi sana
Sasa nafikiri tuna amka sasa yaaan Iringa hatuna Star mkubwa hii Tz tukichafueee sasa 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍 Gonga like kama ni mtoto wa Mkwawa
Town , not city
covis club kenya ltd asante mwanang bora umesema
@@kingnicky2568 inatakiwa kuwa Jiji maana Kuna majiji yamepitwa
Ni pazuri sana, kubwa kuliko Arusha.
Arusha ni Kubwa Kuliko Iringa
We arusha ni kuzuri mno.
Acha ujinga wewe unafananisha iringa na jiji la arusha
@@barakawilson2664 hahahaaaa jmn hata mimi MICA ni mjinga hahahaaa
Acha bang kaka
Aisee Ahsante sana umetupa video ya Kutambia 😂😂😁😁😁
Mbeya ikasome
Mji mdogo sana uwo
Una wivu mji mkubwa sana , we we kwenu wapi? Nimezunguka Tanzania nzima nimeona, Iringa kubwa sana
Iringa mjini huwezi kukuta nyumba za udongo au kusongamana na kukosa njia ya kufika jengoni, pole kwa wivu, tena mkubwa sana, wivu utakutesa sana
Huyu ana wivu bana, Iringa ni kubwa karibu kushinda Arusha.
Napajua vizur sana tofauti mnavyo ijua nyie mimi kwetu uko nimezaliwa uko nimekulia uko kwetu kiesa ila kwasasa naish Moro nafanya kaz chuoni suA
dadangu liliani ilinga ajapanuka pia ujatembea mikoa mingi kushnda mimi ilinga imejengeka seem moja tu mjini peke yake uku China amna kitu polini
Mji umepangwa poa sana, sema wenye kwao hawajui kutamba nao
Umenena sahihi
Vizuri sana
Pazuri kuliko mbeya
Kweli aisee hata mm naona hivyo.
Huwezi linganisha Mbeya na mji mdogo kama Iringa
@@bahatimwangoka5346siyo kweli Iringa Ni kubwa kuliko mbeya isipokuwa mbeya pop kubwa kuliko Iringa, poleni mnakasumba
@@bahatimwangoka5346 kinacholinganishwa ni uzuri sio ukubwa na udogo ,haya mbona mwanza ni kubwa kuliko mbeya lakini mwanza ni nzuri kuliko mbeya ,mbeya ndio jiji la hovyo na wanambeya hawaelewi maana ya jiji ,juzi tu nilikuwa hapo bustani ya jiji imewashinda kuitunza ,nenda bustani ya manispaa ya Iringa inavyotunzwa na watu wanavyolilakisi
Mbeya nyumba za uswahilini nyingisana. Mbeya mji uko barabaran
Uchukuaji wa picha uhusishwe na kamera ya ukweli.
mbona umechukua juu
Tatiza hawa jamaa zangu wanajinyonga Sana..... hahahahaaaa
Siyo kweli ni utani tu kwakuwa Mkwawa alijishuti ili wajerumani wasimuue
Paradise city ma stone flani iv, thanks
nawapenda kwa kuisapoti stone au iringa town
Mara y kwanza kuona iringa mungu bariki kuzuri sana
Karibu Sana mpendwa wetu, Marehemu wetu Mafhufuri hakukosea aliposema ni kitovu cha utalii mikoa ya Kusini, kunavutia Sana
Umepangwa vizuri, natamani ingekuwa jiji