- 5
- 477 327
Heriethy Nzee
เข้าร่วมเมื่อ 15 เม.ย. 2013
JIFUNZE KUTENGENEZA FONDANT
VIPIMO
1. gelatine, GM 20
2. Icen sugar GM 1000, (kg 1)
3.Grucouse, GM 125.
4. Mafuta au kimbo, GM 20 au vijiko 2 vya chakula.
5. Maji GM 125.
6. Radha au frva unakadilia.
1. gelatine, GM 20
2. Icen sugar GM 1000, (kg 1)
3.Grucouse, GM 125.
4. Mafuta au kimbo, GM 20 au vijiko 2 vya chakula.
5. Maji GM 125.
6. Radha au frva unakadilia.
มุมมอง: 84 014
วีดีโอ
My Slideshow
มุมมอง 6357 ปีที่แล้ว
I created this video with the TH-cam Slideshow Creator (th-cam.com/users/upload)
Blueband kiasi gani n skari kiasii ganii dadaaa
Uweki cmc
Imependeza sana
Upo uwezekano wa kuhifadhi kwenye freeg ukatumia sikunyingine au lazima kwasiku hiyohiyo
Asante kwa somo zuri nitalifanyia kazi
Mbn amuek mahtaj
Samahani kuuliza siujinga bruband ndosiagi au tafadhali mnijuze
Ndyo mpendwa
asante kwa somo
Hongera cake imeiva vizuri
Nzuri,hivi naweza weka vinegar au maji ya limao kwenye keki?
Kucha za mpishi Sasa uwiii
Glocosi ya maji inauzwa Kama ile nyingine au
Sorry Na maanisha sija elewa vizuri.
Asante kwa vidéo Ila kuhusu maligafi soja ilewa vizuri.
hatuja fahamu kitu dada tuna sikia sauti ila hatuoni unacho kifanya
dada mbona watuchanganya unficha hatuoni ukweli
ndio wabongo walivyo mxyuuuu
Nakusoma
Huweki glycerine?
Mzuri sana asante
Thank uuu
Hongera Da Helliet
somo zuri lkn picha hatuoni vizuri
Naomba kujifunza
Hiyo kiasi unaweza kupambia cake kubwaje
Kg 1-2
mhh uwalimu kipaji
Naomba Namba yako hili nije unifundishe nijuwe
Je,kama huna machine ya kukorogea blue band. Utatumia nini
Mwiko
Nai
Hata nami nimafurahia asante
Mbona kama glucose haijammnka
Àmazing
Somo zuriii
Pia badili ya maji ungeweza kuweka maji ya ndimu ili upate fresh lime taste....mie huwa nafanya hivyo kwa lemon,orange na flavour nyingine
Glucose inapatikana wapi hapo Tz
Upo mkoa gani?
@@heriethynzee3562 kigoma dear
Huweki corn flower?
Siweki dear
Huwezi corn flower?
Siweki dear
huweki.cmc
Hi.. Could you please add English subtitles... As we all don't understand Swahili.. Thank u
Nataka nijuwe na mm
Fantastic I love it ❤ 💕 💖 💖 💝
Amna recipe
Naomba vipimo mpnz
Asante
Sasa uyo aliyetega mguu si ndo angekushikia camera
Nimeuliz glucose ya maji sijapat nitumie njia gani
Malighafi zote kwa ujumla ni bei gan
Mbna glucose ujaieka yote?
Nilitaka nami kuuliza maana hajaweka Kipimo alichotueleza
Huw hajibu koment
Baking powder uliweka vijiko 3 lakini hujasema kama nivikubwa au vidogo
kama unga nusu mayai ni mangp
Kek hawawekihamila
Haiwekwi hamira cake