- 70
- 1 157 598
🥕Nyau Kitchen🥕
เข้าร่วมเมื่อ 10 มี.ค. 2021
Jinsi ya kupika chapati za mayai kwa breakfast, lunch & dinner ( roti recipe)
#mayai# unga wa ngano#hoho#carrot#
มุมมอง: 658
วีดีโอ
Jinsi ya kupika tambi iriki na maini (spaghetti & liver recipe)
มุมมอง 7Kปีที่แล้ว
#Tambi#Maini#soy souce#peanutbutter#Bilinganya#Hoho#carrot#Iriki#Ndimu#pilipili#
Jinsi ya kutengeneza juice ya parachichi kwa kutumia maziwa fresh
มุมมอง 1.6Kปีที่แล้ว
Jinsi ya kutengeneza juice ya parachichi kwa kutumia maziwa fresh
Jinsi ya kuandaa na kuunga samaki aina ya sato(Fish roast recipe)
มุมมอง 816ปีที่แล้ว
# Royco#Jinger# lemon#masala ya mchuzi
Jinsi ya kupika njegere,Nyama na viazi(peas,meat,potato, recipe)
มุมมอง 2.2Kปีที่แล้ว
#Njegere#Nyama#Viazi#soy souce#mama sita#kiungo cha pilau#nazi#karanga#
Jinsi ya kupika mayai na kuku(eggs & chicken recipe)
มุมมอง 527ปีที่แล้ว
#Kuku#mayai#soy souce#mama sita#hoho#carrot#nyanya#kitunguu
Jinsi ya kupika Kuku wa kienyeji na chips (fries chicken recipe)
มุมมอง 619ปีที่แล้ว
Jinsi ya kupika Kuku wa kienyeji na chips (fries chicken recipe)
Jinsi ya kupika makange ya chips kuku (fries chicken recipe)
มุมมอง 1.3Kปีที่แล้ว
#kuku#chips#maziwa#nazi#soy souce#Royco mix
Jinsi ya kupika makande ya mahindi mabichi na njugu mawe (maize&nuts stone recipe)
มุมมอง 4.5Kปีที่แล้ว
#maindi#njugu mawe#Hoho#carrot#tangawiz na kitunguu swaumu
Jinsi ya kupika dagaa wa Mwanza wenye biringanya(omena recipe)
มุมมอง 1.6Kปีที่แล้ว
Jinsi ya kupika dagaa wa Mwanza wenye biringanya(omena recipe)
Jinsi ya kupika kuku wa kienyeji kwa viungo mbali mbali na kazi zake kiafya(local chicken)
มุมมอง 5Kปีที่แล้ว
#kuku#soy souce#Ginger powder#Galic powder#Tumeric powder#Lemon#capsicum
Jinsi ya kupika supu ya ngo’mbe (Beef soup )
มุมมอง 584K2 ปีที่แล้ว
#Meat#potato#Ginger#Galic#carrot#capsicum#Black pepper
Jinsi ya kuandaa Samaki wa nazi aina ya Magege part 02 (Tilapia fish recipe)
มุมมอง 1312 ปีที่แล้ว
#Samaki#Nazi#Viazi#Tangawizi#Kitunguu swaumu#Ndimu
Jinsi ya kukaanga na kuunga samaki aina ya Magege part 01 (Tilapia Fish)
มุมมอง 1482 ปีที่แล้ว
#Samaki#Nazi#Viazi#Tangawizi#Kitunguu swaumu#Ndimu
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 02 (Bans recipe)
มุมมอง 1432 ปีที่แล้ว
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 02 (Bans recipe)
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 01 (Bans recipe)
มุมมอง 2172 ปีที่แล้ว
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 01 (Bans recipe)
Breakfast na lunch kwa sikukuu ya Furaha choir by Nyaukitchen
มุมมอง 702 ปีที่แล้ว
Breakfast na lunch kwa sikukuu ya Furaha choir by Nyaukitchen
Maandazi matamu laini na yaliyo chambuka
มุมมอง 1772 ปีที่แล้ว
Maandazi matamu laini na yaliyo chambuka
Cabbage, wali, maharage yenye rojo nzito na adha tamu
มุมมอง 1942 ปีที่แล้ว
Cabbage, wali, maharage yenye rojo nzito na adha tamu
Wali, Cabbage na Maharage kwa events Furaha choir Uhuru Moravian
มุมมอง 3352 ปีที่แล้ว
Wali, Cabbage na Maharage kwa events Furaha choir Uhuru Moravian
Coconut Beans recipe part 02(Maharage ya nazi)
มุมมอง 972 ปีที่แล้ว
Coconut Beans recipe part 02(Maharage ya nazi)
Maharage makavu yenye nazi kutumia gasi (Beans recipe )
มุมมอง 1632 ปีที่แล้ว
Maharage makavu yenye nazi kutumia gasi (Beans recipe )
Eggs with tomato recipe part 02 (mayai ya nyanya kwaajili ya lunch)
มุมมอง 1K2 ปีที่แล้ว
Eggs with tomato recipe part 02 (mayai ya nyanya kwaajili ya lunch)
Mayai ya nyanya kwa lunch part 01 (Egg with Tomato recipe)
มุมมอง 6K2 ปีที่แล้ว
Mayai ya nyanya kwa lunch part 01 (Egg with Tomato recipe)
Mchicha ,mnafu, na Spinachi (Vegetable recipe)
มุมมอง 1K2 ปีที่แล้ว
Mchicha ,mnafu, na Spinachi (Vegetable recipe)
Jinsi ya kupika makande ya nazi(Maize and beans recipe)
มุมมอง 4.8K2 ปีที่แล้ว
Jinsi ya kupika makande ya nazi(Maize and beans recipe)
Jinsi ya kupika nyama ya ng’ombe(meat stew recipe)
มุมมอง 1.4K2 ปีที่แล้ว
Jinsi ya kupika nyama ya ng’ombe(meat stew recipe)
Tambi nyama (Sphaghetti with Meat) S01.E04
มุมมอง 4412 ปีที่แล้ว
Tambi nyama (Sphaghetti with Meat) S01.E04
Jinsi ya kupika tambi nyama (Sphagetti with meat)S01.E03
มุมมอง 8K2 ปีที่แล้ว
Jinsi ya kupika tambi nyama (Sphagetti with meat)S01.E03
Kwani ukiweka nyama kwenye friji uoshi?
Supu yng pendwa siyo mimaji umesahau kabinzari chembamba🎉❤
Supu inaandaliwa kwa nyama freshi isiyogandishwa, na kama imeganda hakikisha unailoweka inayuka mabarafu ioshe visuri kisha ipike, usipike na mabarafu.
Huu ni mchuzi kabisa tusiopenda nyanya tutakula na ugali.
Haiongei n nn unaweka
Supu inafaa chuvi pekee yake
Leo nmepata mpya pilipil na ndimu kwenye pilau duh😂😂
Jmn mbn iko vzr tu
That is good
Nimependa umepika vizuri
wow😂😂
Unafanyavizurjaman
Ni nzuri sana lakini naomba punguza tangawizi make utapika chai siku nyingine
ina ka tamu, asante sana for this rescipie
very foods😅😅😅😅
Nzuri
Nyau naerewa sana mapish Yako miaka ming nyau
Kwa kuonja tuu upo juuu😂
Hapo bado ngogwe 4 na bamia 4 ni mchemsho tosha....hongera lakini umeweza
Unge funika nywele ingekuw pow zaid
Asante🎉
Hila nimeupenda mchemsho wako
Umetupiga ya kichwa
Sili nyama ya mnyama aliye kufa au kuuliwa
Wow litakuwa Tamu hilo pilau ❤
Nimependa sana
Awee hapo pika tu na pilau tulie maana kula na chapati imegoma😅 sio supu hiyo ni mboga
🙏
Mama hongera kwa mafunzo, ila nunua mifuniko ya sufuria bhanaa😂, unapofundisha mapishi jitahidi kutumia vyombo vzr ili kuleta unadhifu na kuonyesha kuwa cio kwamba unajua kupika tu ila pia unalithamini jiko lako, chakula chako na uanamke wako pia..... Maana moja ya sifa ya mwanamke ni nyumba pamoja na kila kilichomo ndani ya nyumba yake.... Otherwise uko byee mama 😊
Swali Hiyo Sukali Inapimwaje? Pia Mimi Sina Hiyo Machine Ya Kusagia
Iyo ni mboga ya kulia ugali kabisa kwenye supu imepitiliza😋
Waooooooooooooo
Sasa hyo ni supu, mchemsho au ni mboga mana hapo imekosekana nyanya tu kutimia mboga kamili....
Hongera dada nimekupenda mapishi mazuri
Hovyo kabisa wewe
Hajui huyu😅😅😅
Like
Good
pamojyari
Nimeelewa mapishi
mafuta madogo
Kila nikipika makande lazima niangalie mapish yako chakula ni kitamu san
Asante madam nimejifunza ❤❤❤❤
❤❤
Sio vitunguu swahumu😅
Hakuna mwendo hapa huo ni mchuzi tu kama michuzi mingine😂😂😂
Mfuniko mchafu😅
Nice ila huo ni mchemsho sio supu
😅
Masha allah
Yaani supu umetia hadi iliki kweli 😢😢😢😢😢😢😢😢weeeee kiboko kupika hujui shoga sasa hiyo supu au mboga????? Supu haitaki mbwembwe dada umezididha ujuaji hapo