Nzuri kwa muonekano ila supu inatakiwa iwe simple and clear and not too much viungo inaonekama kama mchuzi wa nyama au mchemsho wa nyama lazima utofatishe mpenzi.
Ma shaa Allah ungerahisisha mwanzo usafi wa nyama na kukatwa ndio uhifadhi kwenye friza ukitaka kupika unabadika na kutia viungo inayayuka ikiwa kwenye moto..supu nzuri sana.
Weweweee hata Kama nyama imelala kwenye friza hakikisha umeitoa mapema imeyeyuka Kishan OSHA nyama moja baada ya nyingine eeeeee Yani unatoa Kisha waipika na dam, mibarafu duuuuu ,,,,, ni mtazamo wangu bibie wala usijali mpenzi❤❤❤
Umepika vizuri sizani kama ni ukale kama kwenye comment watu wanavyosema ,,, that is creativeness big up watu wamekalili supu isiyo na hoho wala viungo lkn sasa hivi ni digital life ,,, big up u are creative
Kwa kuwasaidia supu ya mboga mboga inawekwa ----------- Vitunguu saumu Vitunguu maji Tangawizi Karoti Hhoho Iliki Giligilani Na kingine unachopenda, kwa hiyo utasema sio supu? Watu waache kukariri wajifunze Kama hawwajui
Safi sana kazi nzuri nimeipenda
Nzuri kwa muonekano ila supu inatakiwa iwe simple and clear and not too much viungo inaonekama kama mchuzi wa nyama au mchemsho wa nyama lazima utofatishe mpenzi.
Wew nae ushazoea michuzi hujui hiyo ndo supu nzito 😅🔥🔥🔥
Waooo! Nimeyapenda mapishi yako dear hongera sana
Oh my yummy yummy 😋😋😋😋😋 keep inspiring us 💯...Good work.already subscribed.
Lazima nijaribu look delicious
Yakaa tamu sana... Will try it out
Waoooo nimeipenda sana iyo jaman
Looks appetising. Well done
Wow Asante maana nilikuwa sijui kupika supu jamni but Leo nimejifunza
I like it hongera dada
Yummy Yummy ❤❤❤❤❤
Supu nzuri dada I like them
Hapa Nairobi tunaiita "tumbukiza"... But yako ni advanced yani imeenda shule. Good stuff😋😋😋
Maashallah
Looks yummy loving it❤️❤️❤️👌
❤❤
Ahsante sana kwa maelezo mazuri
Upo vizuri mpendwa
Nice one 😊
Masha allah
Safi sana maana wengine wanachemsha maji na chumvi alafu wanaita supu Asante Kwa nyongeza
hongera sana my
Hongera dada kwa kazi nzuri wanawake wengi kizazi hiki hawajui kupika mpo wachache xana
Like my friend
Hongera kwa supu tamu dada
Iko good nimependa
Nice nyau
Iyo ni mboga ya kulia ugali kabisa kwenye supu imepitiliza😋
I miss Supu men...
Dar hatari sana nimependa saaana mapishi hayo yummyum
Hongera
Hongera dada nimekupenda mapishi mazuri
Woooo nyam nyam
Ma shaa Allah ungerahisisha mwanzo usafi wa nyama na kukatwa ndio uhifadhi kwenye friza ukitaka kupika unabadika na kutia viungo inayayuka ikiwa kwenye moto..supu nzuri sana.
Napenda sana mapishi
Jamani wabongo mmegoma 🙌😂😂😂😂 jmn embu jaribuni kujifunza vitu vipyaaaa
Yummy
Mchemsho safi sana 😋
Mpishi umenona 😋
Ahsante sana mumy
Weweweee hata Kama nyama imelala kwenye friza hakikisha umeitoa mapema imeyeyuka Kishan OSHA nyama moja baada ya nyingine eeeeee Yani unatoa Kisha waipika na dam, mibarafu duuuuu ,,,,, ni mtazamo wangu bibie wala usijali mpenzi❤❤❤
Uenda kabla hajaiweka kwenye frizer aliishaisafisha vizuri
Muonekano iko nzuri San 🔥
Umepika vizuri sizani kama ni ukale kama kwenye comment watu wanavyosema ,,, that is creativeness big up watu wamekalili supu isiyo na hoho wala viungo lkn sasa hivi ni digital life ,,, big up u are creative
Kabisa ,wamekariri supu ,maji mengi kama kioo ujione humo
Washamba kabisa ndugu, hebu waulize supu ya mboga mboga inawekwa nini na nini,
Kwa kuwasaidia supu ya mboga mboga inawekwa -----------
Vitunguu saumu
Vitunguu maji
Tangawizi
Karoti
Hhoho
Iliki
Giligilani
Na kingine unachopenda, kwa hiyo utasema sio supu? Watu waache kukariri wajifunze Kama hawwajui
umenenaaa mwaaaa
Upo vizuri
Nimeipenda xna
Nice
nice
Itakuwa nzito sana viungo vimezid
Asante mama
Hongera mamy wanawake wa leo jiko lao tiktok
Nicee
Nimeenda mpendwa asante kwamaelekezo
Kila nchi na mapishi yake hongera dada🥰
Mmmmh hapana uo ni mchemsho Kwa mchemsho ni mzuri sna ila supu hapana
Congratulations 🙏
Thanksss
Tamu sana
Wow❤❤❤❤❤
❤️
Wawooo nimeipenda hy
Your welcomeee
😋😋😋😋😋
Waooooooooooooo
Aisee nmeielewa
Supu nzuri sana dada
you got it right babe congrats , spot on!
Hadi iliki jaman🤔
Asanti sana kijana
Asante.. Hiyo sio hoho..Bali ni pili pili mboga!
😋
Thanks
Good
Itakuwa tamu sana
Asante sana dada,bali comments,wueh!watu waache kucriticize upishi wa wengine.kila mtu na mapishi yake.
😂😂😂😂😂mchemsho wa mzazi huo sio supu jamani unakula bandozi zetu tuu
Ongera Dada nimependa mapishi yako supu nzuri sana
❤❤
Supu nzuri
Hapo na chapati ua moto ndio mwenziye
Hongera dad 🥰🥰
Wee we unapig supu ya vizuri sana
Safi nimeipenda hiyo supu
Karibuu
Mapishi. Mazuri
Nimekuelewa
😍😋
Nimeielewa hii supu nzuri sanas
Mchuzi apo bado ubwabwa 😘
Ndomaana
Safi sana...mapishi ni ubunifu ttz watu wanakariri
Wana wivu hawana lolote
Kabisaa
Ungeweka ndizi ufanye mchemsho au ungefanya kuwa trupper 😊😊
❤❤❤
Katia viazi vitunguu nyanya sasa supu gani yani mitandio inamambo kamahujui acha kutupia mitandioni
Supu zuri mnoo
Mbona tangawizi nyingi sana
Asant san dada yangu Leo nitajaribu iyo nakupend san
Dr Nyau nimekumic sana
Duh hy so supu jaman viungo vyote hvy au nimim sijui supu kuwa ni chumv tu
is good
thanksss
Aiii so kwasup hili 😂😂 hadi karoti zilizo sagwa 😂
Good work but please don't touch the tap when ur hands have blood it will contaminate everything
Hakuna mwendo hapa huo ni mchuzi tu kama michuzi mingine😂😂😂
Safi lakini,viyonjo vimekuwa vingi sana imekuwa mboga sasa.
Pow san
Butamu ❤
Naskia njaa tayari.