- 91
- 171 603
IBN BATUTA TV
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 12 เม.ย. 2023
Ibn Batuta tours limited , Inayo tambulika na Shirika la Anga duniani (IATA)
Tunajishughulisha na Kupeleka Mahujaji Hijja pamoja na Umrah Tufuatiliae ujue ratiba zetu kwa Mwaka
KWA MAWASILIANO ZAIDI
+255655422522 /+255 756 776 645 / +255 746 776 679
Email: ibn-batutatours.ltd@outlook.com
Tunajishughulisha na Kupeleka Mahujaji Hijja pamoja na Umrah Tufuatiliae ujue ratiba zetu kwa Mwaka
KWA MAWASILIANO ZAIDI
+255655422522 /+255 756 776 645 / +255 746 776 679
Email: ibn-batutatours.ltd@outlook.com
IBN BATUTA Yatoa neno kuhusiana Mfanikio ya Hijja ya Mwaka Huu 1445/2024
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 Ibn batuta tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: +255 692 660 760 au +255 655 422 522
Follow Us On:
INSTAGRAM : ibnbatuta.tz
TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv
FACEBOOK: ibnbatuta.tz
TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: +255 692 660 760 au +255 655 422 522
Follow Us On:
INSTAGRAM : ibnbatuta.tz
TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv
FACEBOOK: ibnbatuta.tz
TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
มุมมอง: 270
วีดีโอ
Safari yenye Maajabu na Furaha kutoka Muzdalifah kwenye usingizi wa ajabu kwenda Jamarat kutupa mawe
มุมมอง 11521 วันที่ผ่านมา
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Muache Tabia ya kutukana Maswahaba, ni Dhambi kubwa
มุมมอง 167หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Haya ni Makaburi ya maswahaba huruhusiwi kuchukua chochote
มุมมอง 994หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Hizi ndizo Tende zinazo ondoa Sihr (Uchawi), Hasad na Sumu mwilini
มุมมอง 437หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Mabadiliko ya Qibla yalitokea na kufanyika hapa Masjid al Qiblatayn
มุมมอง 138หลายเดือนก่อน
Masjid al Qiblatayn safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Huu ndio Msikiti wa Mtume Muhammad (S.A.W) wenye Ubora wa aina yake na vivutio vingi
มุมมอง 393หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Msimu wa ibada ya Hijja 2024/1445 umeisha IBN BATUTA yatoa shukran kwa Mahujaji
มุมมอง 2532 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Taif ni Mji kati ya Miji yenye Maajabu Sheikh Kapama anaeleza
มุมมอง 3222 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Huu ndio Masjid Qubaa Madinah Saudi Arabia
มุมมอง 4012 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Hapa ndipo Pete ya Mtume Muhammad (S.A.W) ilipotea kimaajabu
มุมมอง 9002 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Hapa ndipo Mtume Muhammad (S.a.w) alipewa Utume
มุมมอง 3.2K2 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
Hiki ndio kisa cha Bi Zainabu bint Jashi mke wa Mtume Muhammad (S.a.w)
มุมมอง 9K2 หลายเดือนก่อน
kwa safari za Ibada Hijja na Umrah kila Mwaka karibu Ofisi zetu zipo City Mall floor 2, ofisi NO: S-13 au Tupigie: 255 692 660 760 au 255 655 422 522 Follow Us On: INSTAGRAM : ibnbatuta.tz TIKTOK: www.tiktok.com/@ibnbatutatv FACEBOOK: ibnbatuta.tz TH-cam :th-cam.com/channels/dpZWWLjaXiLjLADyoPiKfQ.html
MLANGO WA UMRAH WAFUNGULIWA BAADA YA HIJJA 1445/2024
มุมมอง 5922 หลายเดือนก่อน
MLANGO WA UMRAH WAFUNGULIWA BAADA YA HIJJA 1445/2024 IBN BATUTA TOURS LIMITED inakutangazia safari ya Umrah ya kila Mwezi kuanzia Mwezi wa 7,karibu ujiandikishe mapema na kuandaliwa Mapema kwa mahitaji yako yote muhimu katika safari yako Karibu tukupe huduma nzuri itakayokupa utulivu katika ibada zako wakati wote ukiwa na Viongozi Wazoefu wa kukuongoza katika Ibada na vilevile katika Ziara kati...
Mahujaji kutoka Tanzania Wamewasiri Madinah mji Mtakatifu
มุมมอง 7752 หลายเดือนก่อน
Mahujaji kutoka Tanzania Wamewasiri Madinah mji Mtakatifu
safari ya Madina Mahujaji wa Tanzania
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
safari ya Madina Mahujaji wa Tanzania
Jabar Thawr huu ndio Mlima Mtume Mohammad ( s.a.w ) alijificha kwenye Pango
มุมมอง 6K2 หลายเดือนก่อน
Jabar Thawr huu ndio Mlima Mtume Mohammad ( s.a.w ) alijificha kwenye Pango
Tembea nasi uangalie Mji wa Makkah ulivyo na watu wema
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
Tembea nasi uangalie Mji wa Makkah ulivyo na watu wema
Huyu ndio Sheikh Jafar Abdulrahman (Mti Mkuu) akitema Cheche
มุมมอง 9232 หลายเดือนก่อน
Huyu ndio Sheikh Jafar Abdulrahman (Mti Mkuu) akitema Cheche
Waliofariki katika ibada ya Hijja wafika 1000 hakuna Mtanzania
มุมมอง 16K2 หลายเดือนก่อน
Waliofariki katika ibada ya Hijja wafika 1000 hakuna Mtanzania
Hawa ndio Njiwa wa Makkah na Maajabu yake
มุมมอง 27K2 หลายเดือนก่อน
Hawa ndio Njiwa wa Makkah na Maajabu yake
Sheikh Twaha Bane na Sheikh Haruna Kapama wakipeleka Mhujaji kufanya tawaf ifadah
มุมมอง 1.8K2 หลายเดือนก่อน
Sheikh Twaha Bane na Sheikh Haruna Kapama wakipeleka Mhujaji kufanya tawaf ifadah
Hii ndio heshima aliyopewa Baba la Ujinga
มุมมอง 3262 หลายเดือนก่อน
Hii ndio heshima aliyopewa Baba la Ujinga
Tazama Mahujaji Tanzania wakifanya tawaf ifadah
มุมมอง 2.3K2 หลายเดือนก่อน
Tazama Mahujaji Tanzania wakifanya tawaf ifadah
Mahujaji wa Tanzania wakifanya Sai katika Mlima Safa na Mlima Marwa
มุมมอง 2.4K2 หลายเดือนก่อน
Mahujaji wa Tanzania wakifanya Sai katika Mlima Safa na Mlima Marwa
Mahujaji wa Tanzani wakiwa Jamarat kutupa Mawe
มุมมอง 18K2 หลายเดือนก่อน
Mahujaji wa Tanzani wakiwa Jamarat kutupa Mawe
Unajua faida za kufanya ibada viwanja vya Arafa
มุมมอง 6612 หลายเดือนก่อน
Unajua faida za kufanya ibada viwanja vya Arafa
MashaAllah
Maa Shaa Allah kwa kazi kubwa wanayoifanya Batuta Allah awabaarik sana
Maa shaa Allah
اللهم بارك
NAFASI YA WAGONJWA WENYE KISUKARI INAKUWAJE KATIKA SUALA LA CHAKULA ?PIA 2025 MNAANZA KUANDIKISHA LINI?
@@johariabby4120 karibu ofisini kwetu Iliyopo CITY MALL , Barabara Bibiti / Morogoro Road. Floor 2 ofisi namba S13 , na uandikishaji wa mahujaji wa mwaka 2025/1446 umeshaanza.
@@IBNBATUTATV IN SHAA ALLAH PACKAGE ITAKUWA DOLLA NGAPI?
@@johariabby4120 package 6800 USD.
Kazi iendelee let's the work continue nasema
MashaALLAH Tv favourite yangu IBNI BATUTA
Inshaallwa
Maasha Allah ust umefahamisha vizuri na kutupa tanbihi na tumejifunza kwa kweli awaajile hajj maqboul wa Dhabi maghfour na sisi atujaalie tuwe miongoni wataokwenda sisi na vizazi vyetu amiin
Alhamdulillah namshkuru M.mungu kwakuniwezesha namimi kufika na kuswali mskiti wa Mtume Muhammad ASW. Na masjid l haram.
🫡
Mashallah
Kumbe Shekh Kapama mtu wa Tabora 🙂🙂
Allahu akbar hakika bwana wetu mtume alikuwa ni mfano wa kuigwa
Allahu akbar allah awalipe na awape ujasiri zaidi ya kufanya ibada
Hamis Tembo InshaALLAH najiandaa kwa hija mwakani nikijaliwa na RAHMAANI kupitia IBNI BATUTA nifanyieni offer
Ibni Batuta tv INSHAALLAH Hope nikijaaliwa mwakani nije kujiandikisha mapema InshaALLAH
NABII WA RAHMA S.A.W
Allah Akbar
Yarahman ya rahmu wajalie mashekhe hawa wazidi kufundisha hadithi
Kila la kheri ishaallah maan weng tunataman ila ni uwezo tu nyiny mulio fik uko ishaallah allah awajazie kher na aman
Khamis Tembo 🐘 MashaALLAH Jazaka LAAH khaira hatua kwa hatua nafuatilia vyema hongera Ibni Batuta Tv
Jazaka LAAH khaira Ibni Batuta tv nimefuatilia vyema kwa kweli amiin
😮
Mtume alikuwa na watumwa😮😮😮😮😮
Ndio ila alikua hawatesi
@@user-ft2vq5on6l hatari sana🤔🤔🤔
اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَىٰ مُحَمَّدٍ وَعَلَىٰ آلِ مُحَمَّدٍ ❁ كَمَا صَلَّيْتَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَعَلَىٰ آلِ إِبْرَاهِيمَ ❁ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ ❁ اللَّهُمَّ بَارِكْ عَلَىٰ مُحَمَّدٍ وَعَلَىٰ آلِ مُحَمَّدٍ ❁ كَمَا بَارَكْتَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَعَلَىٰ آلِ إِبْرَاهِيمَ ❁ إِنَّكَ حَمِيدٌ مَجِيدٌ
Aah alhamdulillaaah ndugu zettu mlio fika latka jumba tukuf la allaah aazza wajallaaa nass allaah atukaalie rizq za kher ishaallah atujaalie kufka maeneo hayoo
ok
Shukran kwa somo nzuri
Mashaallah
Maneno mazuri unayosema lakini ukirudi unashindwa kuchunga ulimi wako
Alhadulilh all nijalie namm nfike apo mahal takatfu sllhu akbr
MAA SHAA ALLAH ALLAH Awabariki
Masha Allah
NDUGU MTANGAZAJI IMEPENDEZA SANA. SAANA NAKUSHAURI EBU HATA HAO MAHUJAJI WAKIRUDI .TAASISI YA IDIM MBATUTA PIA PLS .WAANDALIE MAPOKEZI KAMA HAYO NDANI YA TANZANIA. AMINI TAASSI YAKO UTAWAKIMBIA KWA WINGI MAHUJAJI❤❤❤
❤❤❤❤we love you in the name of Allah
Allah awafanyie wepesi
Mashaa Allah ❤
Ma shaa Allaah
Maashallah mtoto wangu , Allah atakabali hija yako.
Allah atujaalie nasi tuweze kufika mji huu..
Amiin
hata kwenye jiji la Roma njiwa wa aina hiyo wapo kwa hiyo siyo ajabu sana
Kwani umeambiwa huko roma hawapo?
@@tahirissa6579 sasa huyu mtangazaji alitaka watu waamini kuwa hao njiwa wapo huko Maka tu sehemu nyingine kama hawapo, yaani ni njiwa wa kimaajabu
Tena Jiji la Roma ltalia, wapo njiwa wengi mno mimi nipo Roma hata nyumba ninayoishi njiwa huwa wanakuja wengi tu, ni hali ya kawaida tu
@@user-rt8df5ce4s Afadhali na wewe umwambie kwani wanataka ionekane ni kati ya maajabu saba ya dunia kwa njia hao huko Maka. Mimi pia nilikaa kidogo Roma ingawaje nilikuwa natokea Viterbo nilikuwa nakuja Roma kwenye ule mtaa wa Porta Portese wakati wa gulio nimesahau ilikuwa lini, kati ya Jumamosi au Jumapili. Viterbo nilikuwa nakaa kwenye nyumba moja jirani na Piazza Dela Rocka
@@user-rt8df5ce4s Tatizo ni kuelewa . Wewe uko kwenye kushindana, huyo anaeongea kaishi Uingereza njiwa wako Tele Trafalgar Square akiwaona usiku na mchana hakusema hayo ya kumaanisha kwingine hakuna. Short Minded Poleeee.
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
AllahuAkbar
BAADHI YA WATU WANASEMA WASAUD WANA ROHO MBAYA NA HUYO ANAESEMA HIVYO HATA SAUDIA HAJAFIKA ANASIKIA NA WATU UMEFANYA JAMBO LA MAANA KUONYESHA WEMA WAO
Aaamin yaarabb
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
MashAllah Allah atakabalie Hijja maqbool nasi Allah atuwezeshe kuwa miongon mwao kwa siku zijazo
Asante sana kwa kutuhabarisha mambo ya huko❤❤🎉🎉🎉
Kazi moja ya njiwa hao ni kupunguza joto