Hawawezi kukuelewa ni kuwaombea tu kwa mungu. Unajua niliposikia Sumalee kaacha mziki, karudi kwny dini nikajua dini kweli kumbe bado yuko kwny uzushi. Allah amkamilishie safari yake maana bado Inshaallah
Hizi qaswida za siqa ni nzuri sana zinanikumbusha ALMADRASAT IPTADAIYA KAWE .Mashaallah..Hapo nasikia dufu zote ..kuanzia KIBAKU..TAHTI...CHANYANYO...DOUBLE BASE...na BASE YENYEWE...hakika hii ilikua vitaaaaaa
Enzi zangu za Laghwi hizo 😮
Enzi zangu za Laghwi hizo 😮
ALLAHUMA SWALII ALEYH
Allahumaswali wasalimaaleeeeee naam koba
nakumbuk mbali cn nikiwa Ali madras Rauf iliop tandal uzuri
Vchwa vlikutana yahya, sumalee
Mashaallah
koba da wallah sijui niseme nn khatari
maa shaa Allah
Hivi kweli kamahawa Ukiwambi maulid bidaa watakuelewa kweli? Maana uzushi umewakaa kwenyedam
Hata ww ni uzushi
Hahahahahaha ukiwa mjinga Unapata tabu sana kasome kaka #saidi mrisho maana una uhaba wa elimu sana
Hawawezi kukuelewa ni kuwaombea tu kwa mungu. Unajua niliposikia Sumalee kaacha mziki, karudi kwny dini nikajua dini kweli kumbe bado yuko kwny uzushi. Allah amkamilishie safari yake maana bado Inshaallah
Hata mamako pia mzushi
Maashaallah, namuona marehem Omar mung amunondolee Adhab za kabri
Omar ndo yupi hapo?
ni viiiiiiiiiiiiiiiiita
ukiona mtu anaongelea enzi ujue amekwisha
koba da yan kama mtiti
Nice qasda
Hizi qaswida za siqa ni nzuri sana zinanikumbusha ALMADRASAT IPTADAIYA KAWE .Mashaallah..Hapo nasikia dufu zote ..kuanzia KIBAKU..TAHTI...CHANYANYO...DOUBLE BASE...na BASE YENYEWE...hakika hii ilikua vitaaaaaa
Wa2 wa vtta hawa wallah
mashallah
enzi zangu hizo
hatari
maalim koba fundi
duuuh hawa watu khatari sana Wallaahi vittaaa