Was also surprised too...3whole minutes asking nani aliigusa yesu... they need to change this style...too much repetition,too monotonous,making the whole song lose value ... Otherwise good 😊 dancing n guitarist 😊😂😂😂
Mko vizuri sana waimbaji na meseji iko vizuri mno.Bali style za wanaume mwalimu Kazania zimechezwa na wana AIC wengi. Badilisheni Style wanaume hao. Lakini mko vizuri sana
Mko vizur sanaa ila huyo solo alijitahidi sana japo inaonesha sio yeye ambaye alirekodi sauti hiyo anaonekana tu mana kwenye kuekti angekuwa niyeye kuna kitu angeongeza hapo hivyo kuna kitu kwenye kuekti video kachemka kidogo japo anajitahid kiasi chake
Kazi njema mungu awabariki
Hakika mpo vizuri mungu awabariki Festo Mnyamili wa Iyumbu Dodoma
Iza iza
Barikiwe watumish wa mungu ❤️❤️💯
Barikiwe watumish jasinta na mommy ❤️❤️🙏🙏 nawapenda Sana kwa huduma ya uimbaji💥💥💯
.
Nyimbo za waimbaji hawa zina mahubiri mazuri sana ambayo pia ni hai. Wacheni Yesu akapata kuhimidiwa milele.Amina.
Congrats this is a very good song , mcheza solo guitar congrats
Hongeren wanakwaya
Mubarikiwe Sana watumishi 🙏🙏 Subscribe to me
Mbarikiwe
Amen
Ongera kwa kazi nzr mungu awabaliki sanaaaaaaa
Road
Yaan wimbo unafika dakika ya tatu bado wanazungukia maneno mawili tu, nina aliyenigusa, yesu aliuza mmhhh
Was also surprised too...3whole minutes asking nani aliigusa yesu... they need to change this style...too much repetition,too monotonous,making the whole song lose value ... Otherwise good 😊 dancing n guitarist 😊😂😂😂
Asante kwa ushauri tutarekebisha makosa
Mko vizuri sana waimbaji na meseji iko vizuri mno.Bali style za wanaume mwalimu Kazania zimechezwa na wana AIC wengi. Badilisheni Style wanaume hao. Lakini mko vizuri sana
Mko vizur sanaa ila huyo solo alijitahidi sana japo inaonesha sio yeye ambaye alirekodi sauti hiyo anaonekana tu mana kwenye kuekti angekuwa niyeye kuna kitu angeongeza hapo hivyo kuna kitu kwenye kuekti video kachemka kidogo japo anajitahid kiasi chake
Hongereni kwaya Mungu awatunzeni
Kazi nzuri Bwana azidi kuwatia nguvu.
Mbarikiwe sana nyimbo nzr wekeni zingne
Amina Sana parapanda.
Bwana ni mwema
KWA MAOMBI YENU TUTASONGA
TUNAZIDI KUPAAA MAOMBI KWENU.