- 5
- 117 993
Demetus Kamguna
เข้าร่วมเมื่อ 21 ก.พ. 2014
วีดีโอ
Kwa Wandamba, Wapogoro na Wambunga; mambo yetu haya 💪🏿
มุมมอง 148ปีที่แล้ว
Kwa Wandamba, Wapogoro na Wambunga; mambo yetu haya 💪🏿
Sangula dance 💃
มุมมอง 63K5 ปีที่แล้ว
Sangura ni ngoma ya kienyeji yenye asili ya kabila la wapogoro; pia kabila la wandamba na wabunga kutoka mkoani Morogoro hususani katika wilaya za Ulanga, Malinyi na Kilombero.Ngoma hii huchezwa wakati wa furaha- sherehe mbalimbali hususani baada ya shughuli za mavuno. Na huchezwa na rika zote ingawa pia ziko aina ya sangura tunaweza kuziita za kizazi kipya ambazo mara nyingi huchezwa na vijana...
Ngoma: Lindenda Kabila: Wandamba (Wilaya Ya Malinyi) Wimbo: Nyumba Ibomoka (Nyumba imebomoka) Maudhui: Huimbwa wakati wa kuomboleza kifo hasa cha mkuu wa kaya/ familia. “Nyumba imebomoka” kuashiria uwezekano wa kuyumba kwa familia/ kaya hiyo kufuatia kifo hicho. Heko sana Wazee wangu wa Igawa - Malinyi wakiongozwa na mkongwe Lishela kwenye ngoma kubwa👍🏾🙏
Kukayeee nyawono
Mwenga wapogoro kwe guleki tu
Ukaya bam
Yaani naunusa hadi huku.. kabla mchopeke haujatengenezwa.. tehee!
Hawa wanajua sangula.. imetulia.. kama baba zao mbongo mwelu ya kule mahenge kitambo!
Ukayooo
Asu asu asu
Wandamba hoyeeee❤❤👌👌👌
Wapogoro amazing 👏 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Ukayooooooo
Amazing
Oyeeeeeeeeeeeeeee🫶🤝👏👏
Ndipi wanapatikana hapo
😅😅😅😅😅mambo ya mlamu kaliandili
Wa Mtimbira naomba tufahamiane
Nyumbani kumenoga
W/done Kamguna
Hii ngoma kiboko
Hongera ndugu aga manemu
Hilikuwa wap hii
Nzuri hii
watani zangu aooo
Safi sana
Daaaaaaaaa nmekumbushwa nyumban igawa kwang na kuwaon baadui ya ndug zang tusionan kwa mda mref thanks
NIMEKUMBUKA Nyumbani Sasa
Kali sanaaa hiyoo
Nimekumbuka mbali sana
Hayii walonguu ndo sangula yenii OG, kutoka Mtimbira Usangule
MTIMBIRA ONE
Atomic mtimbira hood
Liheta Ebuyu oyeeeee
Malinyi ..mtimbila ..ifakakala oyeeeee
💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Daa sisi wapogoro ni noma Sana apo ata disko likasome
Ashu ashoooo msambu gunoga
Dah Raha Sana najivunia kuwa mpogoroooooh.dah najiona Kama Niko mbinguni vileeeeh....
Nice traditional
hao nwanajiita ATOMIC JAZ wana wa pakaya from Usangule, Mtimbira, Malinyi
Nyinaa mwatuu aka AKULU GWEKA, DaaaH, nawaona akina TUMBUSI, MATANJI, OSKA, NGOROKI, CHAPA, BI MATANJI WA Mbinji nahis ndo MWe shughuli sio kwa Miluzi hii. Had Twangatwanga, Nguku na Malobaloba toka Munga walienda ng'ambo
Wapogolo oyeeeee
Oyeeeeeeeeeee
Hoyeeeee
Ooooyeeeeeeeeeee
Safi sana
waganafu mkashinaaaa?
Namuona bibi yangu sangura ya mtimbira
Km wa Mtimbira naomba tufahamiane
Yina mtwa tudinge ngoma za ukaya
Rahaaa sana ukisikia hizo filimbi zina radha flani hivi sweat .
Apana chezea wapogo tupo juu
Kitambo hio we njoo na muzik wako watu hawana hbr piga sangula tuuuuuuuuuuuuu pogoro oyeeer
Nimekumbuka nyumbani mwaya home sweet home najivunia kuwa mpogoro
Nyanyi sana
Nikuyiza kuvina neni vinu mayangu
Zulfa Saeed mayaa .ga shi shi mwatu
Saf
@@subzzero5585 haya mwatu 😂😂
Saafi sana