
- 123
- 270 849
Sheikh Salim Barahiyan
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 11 ก.ค. 2015
Darsa, Mihadhara na Kalima mbali mbali za Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Swala Ya Eid na Sherehe zake | 1997 | Sheikh Salim Barahiyan
Darasa la Hukmu za Swala Ya Eid na Sherehe zake Mwaka 1997 katika msikiti wa Ansaar Barabara ya 19
Mdarasishaji ni Sheikh Salim Barahiyan
Mdarasishaji ni Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง: 394
วีดีโอ
Darsa | 1997 | Kitabu Buluughul Marami | Mlango wa Haki za Majirani | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 239ปีที่แล้ว
Darsa | 1997 | Kitabu Buluughul Marami | Mlango wa Haki za Majirani | Sheikh Salim Barahiyan
Kuhadharisha Makundi Mapotovu | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 383ปีที่แล้ว
Kuhadharisha Makundi Mapotovu | Sheikh Salim Barahiyan
Darsa | Kitabut Tawhid cha Sheikh Muhammad Abdul wahhab | Mlango kuhusu masuala ya Picha || 1997
มุมมอง 722ปีที่แล้ว
Darasa la Kitabut Tawhid cha Sheikh Muhammad Abdul wahhab (Allah Amrehemu) | Mlango kuhusu masuala ya PICHA | Mwaka 1997 katika msikiti wa Ansaar Barabara ya 19 Kitabu kimedarasishwa na Sheikh Salim Barahiyan
Darsa | Kitabut Tawhid cha Sheikh Muhammad Abdul wahhab | Mlango wa Qadar | 1997 - By Sh. Barahiyan
มุมมอง 1.1Kปีที่แล้ว
Darasa la Kitabut Tawhid cha Sheikh Muhammad Abdul wahhab (Allah Amrehemu) | Mlango wa Qadar | Mwaka 1997 katika msikiti wa Ansaar Barabara ya 19 Kitabu kimedarasishwa na Sheikh Salim Barahiyan
Athari za kushiriki katika mambo ya Uzushi | 2003 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 412ปีที่แล้ว
Athari za kushiriki katika mambo ya Uzushi | 2003 | Sheikh Salim Barahiyan
Uhusiano wa BAKWATA na KANISA | Sheikh Salim Barahiyan | Mwaka 1998 | Part 2
มุมมอง 1.9Kปีที่แล้ว
Uhusiano wa BAKWATA na KANISA | Sheikh Salim Barahiyan | Mwaka 1998 | Part 2
Uhusiano wa BAKWATA na KANISA | Sheikh Salim Barahiyan | Mwaka 1998 | Part 1
มุมมอง 3.4Kปีที่แล้ว
Uhusiano wa BAKWATA na KANISA | Sheikh Salim Barahiyan | Mwaka 1998 | Part 1
Radd na Nasaha kwa Aliyekuwa Rafiki yetu Sheikh Hilal Kipozeo kwa Kuzua Visa vya UONGO
มุมมอง 75K2 ปีที่แล้ว
Radd na Nasaha kwa aliyekuwa Rafiki yetu Sheikh Hilal Kipozeo Allah Amuongoze kwa kuzua visa vya UONGO ili kuwachekesha wanaomsikiliza Mzungumzaji: Sheikh Salim Barahiyan
Darsa | Kujibu hoja za watetezi wa Maulid | Day 2 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 2.1K2 ปีที่แล้ว
Darsa | Kujibu hoja za watetezi wa Maulid | Day 2 | Sheikh Salim Barahiyan
JE! Ni kweli Nimefukuza Waasisi wa Taasisi ya Ansaar? | Radd No. 3 | Sheikh Barahiyan
มุมมอง 2.4K2 ปีที่แล้ว
JE! Ni kweli Nimefukuza Waasisi wa Taasisi ya Ansaar? | Radd No. 3 | Sheikh Barahiyan
JE! Ni kweli nimewapeleka Darul Hadith Mahakamani? | Radd No. 2 | Sheikh Barahiyan
มุมมอง 2K2 ปีที่แล้ว
JE! Ni kweli nimewapeleka Darul Hadith Mahakamani? | Radd No. 2 | Sheikh Barahiyan
Hiki kitabu Hakijibiki | Radd No 1 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 2.1K2 ปีที่แล้ว
Migongano baina ya Majadida wenyewe kwa wenyewe kuhusu kujibiwa kwa kitabu hiki. Jadida Mafuta anadai kuwa ameshakijibu lakini Jadida Mbwana Abdi anahisi badio hakijajibiwa ipasavyo na kwamba kinahitaji mwezi mzima kujibiwa
Hukmu ya KUJILIPUA katika Uislamu | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 9702 ปีที่แล้ว
Hukmu ya KUJILIPUA katika Uislamu | Sheikh Salim Barahiyan
Darsa | Kujibu hoja za watetezi wa Maulid | Day 1 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 7862 ปีที่แล้ว
Darsa | Kujibu hoja za watetezi wa Maulid | Day 1 | Sheikh Salim Barahiyan
Kuwa mbali na Uzushi | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 8452 ปีที่แล้ว
Kuwa mbali na Uzushi | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
Je! Inamlazimu Muislamu kufuata Dhehebu Au Shekhe? | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 5892 ปีที่แล้ว
Je! Inamlazimu Muislamu kufuata Dhehebu Au Shekhe? | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
Fadhla za Siku ya 'Ashuraa | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 3382 ปีที่แล้ว
Fadhla za Siku ya 'Ashuraa | 1998 | Sheikh Salim Barahiyan
SWALI LA UONGO Lililoundwa na Kassim Mafuta kumpelekea Sheikh Yahya Al Hajury
มุมมอง 1.9K2 ปีที่แล้ว
SWALI LA UONGO Lililoundwa na Kassim Mafuta kumpelekea Sheikh Yahya Al Hajury
Kuwatanabahisha Wanasunnah juu ya Hizbu Salaf (Usalafiyah Jadiydah) | Part 2 | Sheikh Barahiyan
มุมมอง 9152 ปีที่แล้ว
Kuwatanabahisha Wanasunnah juu ya Hizbu Salaf (Usalafiyah Jadiydah) | Part 2 | Sheikh Barahiyan
Kuwatanabahisha Wanasunnah juu ya Hizbu Salaf (Usalafiyah Jadiydah) | Part 1 | Sheikh Barahiyan
มุมมอง 4.1K2 ปีที่แล้ว
Kuwatanabahisha Wanasunnah juu ya Hizbu Salaf (Usalafiyah Jadiydah) | Part 1 | Sheikh Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 6 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 3132 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 6 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 5 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 2652 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 5 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 4 B | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 4072 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 4 B | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 4 A | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 3292 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 4 A | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 3 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 4662 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 3 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 2 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 5432 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 2 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 1 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 4332 ปีที่แล้ว
DARSA | Hukmu za Siasa na Uchaguzi | Vol 1 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | kitabu Buluugh Al Maraam | Uharamu wa Isbali Vol 2 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 4122 ปีที่แล้ว
DARSA | kitabu Buluugh Al Maraam | Uharamu wa Isbali Vol 2 | Sheikh Salim Barahiyan
DARSA | kitabu Buluugh Al Maraam | Uharamu wa Isbali Vol 1 | Sheikh Salim Barahiyan
มุมมอง 3492 ปีที่แล้ว
DARSA | kitabu Buluugh Al Maraam | Uharamu wa Isbali Vol 1 | Sheikh Salim Barahiyan
hilo kwa mawahabi kusema hayo siajabu kwasababu ndio man haji yao
Mnatabu watu wa kituoni kama almarhum alivyo sema shekh abibakar al burhani hoja zenu kashazimaliza yeye katika wakati wake nyamaeni tu
Salimu Barahiyan Sio Sheikh Ni Muhuni Tu Huyu Mzee Na Taasisi Yake Wanatumia Dini Kam Kiegezo Cha Kuficha Mambo Machafu Wanayo Yafanya Na Taasisi Yake Kudhulumu Watu
Wewe Sio Sheikh Ni Muhuni Tu Kam Kweli Ni Sheikh Mbona Humuogpi Mungu Unadhulumu Watu Na Taasisi Yako Kam Kweli Wewe Ni Sheikh Na Taasisi Yako Rudisheni Kiwanja Cha Mzee Singo Ambae Amewashinda Kesi Zote Mahakamani Mahakama Kuu Mpka Mahakama Za Rufaa Pia Amewashinda Lakini Hamtaki Kumrudishia Kiwanja Chake Waislamu Gani Nyinyi Msiokuwa Na Hofu Ya Mungu Alfu Unasema Sheikh Wewe Ni Shekhena Dhulumati Mkubwa
Salimu Barahiani Na Katibu Wako Eza Saidi Mbaraka Rudisheni Kiwanja Cha Mzee Singo Eneo La Duga Acheni Dhuluma Nyinyi Ni Waislamu Gani Msiomuogopa Mungu Mtu Amewashinda Kesi Zote Mahakama kuu Mpka Mahakama Za Rufaani Bdo Tu Hamtaki Kurudisha Haki Ya Mtu Nyinyi Ni Mabedui Na Mungu Atawafezehesha Na Dhuluma Mnazo Wafanyia Watu Na Taasisi Yako Ya Matapeli
shekhe kipozeo salafi tumekumis sana
😢
Wewe kika kitu unajua mana kazi yako kuwadhalilisha masheikh humu kwanini usimfate uso kw uso
Ww.baluani.unavuta.shisha
Ww.namadevu.kama.mbuzi..na.mjinga.mwezio.mtoto.wa.bachw.hajasomahata
Ww.pepo.huna.mwehu.mkubwa.ww
Uyu.shehena.nae.hanaelimu.hatakidogo.
,twakushtakia kwa Allah kuwadhulum yatima WA said janjira insha'Allah, insha'Allah
,hasb
,taasisi ya vijana mbona yaongozwa na wazee Allah karim taasisi ya kudhulumu yatima
Hehehe kumbe ala ndiohivyo hehe
,sema inafa kudhulumu Kula haki za mayatima na wajane na haki za waislam
@@aminaosman3315 LAANA ya Allah iwashukie WAONGO waliokula Mali za Waislam kwa Madai kwamba wao ni Wajane na Wana Mayatima .
Allah ibarik fiyk
,mbona huzungumzi madam ya dhulma hats siku moja
,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah
,Hina elimu elimu unayofundisha lambda uwafundishe elimu yako ya zulma ndio fani yako wewe Kula haki za yatima na wajane
,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah
Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana
Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana
shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
Shukran sana sheikh wetu
Kumbe usenge uliuanza kitambo
kassim kabla ya kuanzisha taasisi yake ya kusaka tonge,alikuwa atafuta fatawa kutoka kwa SHEIKH YAHYA BIN ALLY ALHAJUURY,lakini baada ya kuazisha taasisi yake alaanza kumtukana sheikh YAHYA na KUMZULIA kila aina ya UWONGO!!
Wakuombe samahani kabla hujafa vinginevyo jambo la kukuzululia uwongo kwa chuki zao allah atoridhia toba ya mtu mwenye kumdhulumu mwenzie pasi na kumuomba samahani kwani mwenyewe lakini vvinginevyo wakaletaa kkibri hkiwasaidia na nivazi la allah, na allah ataulipa shekhe wetu, umefanya jihadi ya kueneza sunna tz miongoni mwa walokuwa mwa walokupinga mafuta mwenyew hapo tamta,ukimuongoza akaja kwenye sunna kupitia ww leo anakulushia mawe kwwa maslah zake binafsi, mstahimili allah ndo mitihani ya dawa hata mtume yalimkuta hayo akizuliwa uwongo lengo kumchafua ww muombe duwa allah muachie yey kazi anaona juhudi zako ulizofanya kueneza sunna misuko suko mingi umepata allah atakulipa na akuingize katika pepo ya firdaus na mtume ndugu zetu hawa majadida shetwani amewaghuli sana wakatupa mipaka so ww tuu, mashekhe wengi na wakubwa katika sunna hawjasalimika na hawa watu.
Allah atakulipa shekhe wetu, umepambana xana tz kueneza sunna na hawa madhalimu mafuta na wenziwe allah anawaona na wasipo tubia allah ndo shahidi na dhulma na kejeli wanazokufanyia allah atawajibu, wanacheza na allah hawa kila nukta mtu ataulizwa na wakuombe razi kabla hujafa arafu warudi kwa allah lakini kwakuwa wana kibri allah atawanyosha, mafuta alikuwa mpiga maulid tamta hajui sunna shekhe leo umemtoa tongo anakupiga mawe kwa maslahi za kidunia tuu, mstahimili allah yalimkuta hata mtume aya
Jadida ndo shida zao hapo waongo xana nahuyo mafuta alipinga taasis na yey leo kaanzisha taasis
Twahiby shekhe vipi kuskiliza mawaiza ya hao majadida shkhe inafaa mana mimi naona mambo mengi tunaingiliana nao vip jadida akiwa anamtandika sufi ahlu bidaa inafaa nisikilize raddi zake kwa makhurafi?? Naomba nijibu
Nikweli wallahi sheikh kipozeo kabadilika alkua anamawaidha mazuri sana lkn kwasasa mmmhh sijui kapatwa na nn Allah atuongoze sote yaarab
Maulidi yeshakufa na bidaa yake, imebaki watu wachaache sana Insha Allah yafe kabisa
,utawalipa akhera zulma uliyowanyia marhum said na ukaapa na kushika mwezi Ramadhan I kuwa hawana hiyo husamehewi mpaka siku giyama insha'Allah familia mbona huwalipi na ukaapa na kushika msaha
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
,mche mola wako wape haki yao familia marhum said janjira ni mayatima na mjane na bibi yao akhera mna kazi kubwa wewe wote ulishirikiana nao allah atawahukumu hapa duniani na kesho akhera nshaallah
Utamlazimisha ALLAH atoe hukumu kwake tu kwako asitoe?
,je hukumpeleka mjane WA said janjira mahakamani ukamshtaki zulma kabisa na Allah NI Shahid ukashika msahafu kuapa mwezi WA Ramadhan ukawadhulumu yatima na mama yao Bibi yao insha'Allah haki itasimama
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
,
Answer huyo hakuna kitu
Mzee huyu anawapoteza watu kwanza aya anaziharibu nahw hajui kabisa
Nimeifatilia majadala huu na kisha nikaangalia video yote ya SHEIK Hillal ya Tarehe 15 oct 2022 Hedaru Kilimanjaro,sijaona hizo shituma ulizozitoa kwa Sheikh Shaweji,kama watu kucheka wanxheka wenyewe kwa mahaba ya kumpenda Sheik wao maana watu walicheka hata waliposikia jina lako tuu bimaana wanakufaham ndio maana wakacheka kama kweli wewe ulikuwa unamdharau SHEIKH AYUBU ni shida zako,pili je wewe na wati wako mnaomba dua ya pamoja?na je mnanyayua mikono kuombadua ya pamoja,kama mnavisa vyenu ni nyinyi na mtafutane mumalize tofauti zenu kwa ajili ya Allah sio hivi,ila mimi nilitaka kusikia kwako kuhusu shutuma zako za wizi wa kuchinjwa kichinjo kimoja na ukabadili nguo mara tatu ni kweli?hayo mengine hayana umuhimu Elimu zenu mlizopewa na Allah wafundisheni Umma sio kugombanisha Umman,acha hayo mambo maana unafujo sana ww kila Sheikh anakasoro je ww Sheikh umekamilika hadi Muft Zuber unapingana naye sasa hiyo elimu uliipata kwa mtume au kwa masheikh,tuweni na adabu kwa Masheikh jamani
Mashekhe wacheni kudhalilishana mtandaoni hii sio mafundusho ya bwana mtume Muhammad!
Khaswah kwanini sheikh asimfate sheikh mwenzake na wazungumze lakini wao wameona njia sahihi ni kudhalilishana humu social media
Masalafi na mawahabi wakitumia njia ya kistaarabu wanaona kama wataonekana hawajui
Haijuzu kuswali tarawej ktk jamaa
Hiyo swala ilizushwa na omar
Kauli za Mashia hazizingatiwi .
Sisi shia hatuswali taraweh
Napata huzuni sana nikiona masheikh tunaowaamini kutumia media kujibu vitu ambavyo si kuendesha dini yetu mbele.
acha kutukana mche allah wew