- 39
- 305 270
Mwanahistoria MohamedSaid
เข้าร่วมเมื่อ 28 ธ.ค. 2013
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
Kipindi cha kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume, Kilichofanyika Radio Kheri - 104.1 FM mwaka 2016.
Na: Mwanahistoria Mohamed Said.
Na: Mwanahistoria Mohamed Said.
มุมมอง: 33 782
วีดีโอ
Mohamed Said - Azam TV na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
มุมมอง 15K8 ปีที่แล้ว
Mohamed Said - Azam TV na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Miaka 60 tangu rais Nyerere kwenda New York kudai Uhuru wa Tanganyika na mchango wa waislam
มุมมอง 5K9 ปีที่แล้ว
Miaka 60 tangu rais Nyerere kwenda New York kudai Uhuru wa Tanganyika na mchango wa waislam
Miaka 53 ya Mapinduzi ya ZNZ na Mohamed Said Radio Kheri
มุมมอง 7K9 ปีที่แล้ว
Miaka 53 ya Mapinduzi ya ZNZ na Mohamed Said Radio Kheri
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 4
มุมมอง 7K10 ปีที่แล้ว
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 4
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 3/4
มุมมอง 8K10 ปีที่แล้ว
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 3/4
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 2/4
มุมมอง 9K10 ปีที่แล้ว
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 2/4
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 1/4
มุมมอง 62210 ปีที่แล้ว
Machungu ya Waislam na Mfumo Kristo na Kumbukumbu ya Miaka 50 9 12 11 part 1/4
Sheikh Aly Basaleh - Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
มุมมอง 25K10 ปีที่แล้ว
Sheikh Aly Basaleh - Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Waislam na Miaka 50 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Part II
มุมมอง 4.4K10 ปีที่แล้ว
Waislam na Miaka 50 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Part II
Waislam na Miaka 50 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Part I
มุมมอง 9K10 ปีที่แล้ว
Waislam na Miaka 50 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Part I
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part three
มุมมอง 16K10 ปีที่แล้ว
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part three
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part Two
มุมมอง 5K10 ปีที่แล้ว
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part Two
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part One
มุมมอง 1.7K10 ปีที่แล้ว
Historia ya Uhuru wa Tanganyika Mtambani Part One
Umesema TANU ilikuwa ya Waislamu Je Dini zingine hazikuepo kabisa wkt huo? Na kusema 76% ya wabunge ni Wakristo wa katoliki je wanapataje huo ubunge wanachaguliwa na wakatoliki?
HK Nijuwavyo Mimi Bakwata Ni Tawi la CCM 155 22 Ni Adam Toka Ubelgiji
HK 155 Nijuwavyo Mimi Bakwata Ni Tawi la CCM Kwamaana Hivyo Serekali Ina Dini
Kh 155
Hii ni Africa mambo ya din waachie waarabu hapa kaz tu!!! Kwajiyo mlikua mnapigania uhuru ili muifanye nchi kua ya kidin? Na kama Nyerere angelua mdin c angewaacha waingereza maana n wakristo? Kifupi Nyerere aliwajua malengo yenu ya kuleta udin ktk nch ndo maana akawafuta ktk history na wengine kuwakamata maana angewachekea tusingekua na serikali yenye nguvu kama kama hii tulonayo na ninyi mnapaswa kudhibitiwa ipasavyo sio wakuchekewa hata kidogo !!!
Kwa Mimi binafsi siamini kwamba tatizo Ni udini,Ila Naona tu tatizo niwazee wenyewe,Kwa sababu kama Kuna upendo nasisi wote niwamoja hapawezi kuwa nakutoelewana!!,Dini kila mtu anaweza kuamini anavyotaka,Ila Mzee Abdul Sykes nimtu mkubwa Sana,mwenye mchango mkubwa katika taifa la Tanzania,hawezi kuwekwa pembeni hata siku moja,Kumtaja mtu mmoja Tu katika history hiyo haikubaliki kabisa,Lakini ukweli utajulikana Tu.
Kwa Mimi binafsi siamini kwamba tatizo Ni udini,Ila Naona tu tatizo niwazee wenyewe,Kwa sababu kama Kuna upendo nasisi wote niwamoja hapawezi kuwa nakutoelewana!!,Dini kila mtu anaweza kuamini anavyotaka,Ila Mzee Abdul Sykes nimtu mkubwa Sana,mwenye mchango mkubwa katika taifa la Tanzania,hawezi kuwekwa pembeni hata siku moja,Kumtaja mtu mmoja Tu katika history hiyo haikubaliki kabisa,Lakini ukweli utajulikana Tu.
Safi sana
Nilikua bado sijazaliwa. Baada ya kuzaliwa nilipenda sana kujua historia ya ardhi ya nchi yangu kupitia marehemu baba yangu. Alijitahidi kunieleza. Namshukuru kwa hilo. Leo baba yangu mdogo Mohamed said ananifunulia kilichopita hata leo Tuna jmh ya muungano wa Tz
Mapenzi ya maswahaba kwa mtume S.A.W
Napenda sana mawaidha ya harakati za uislamu
MASHAALLAH
Mohammed mzee smart sana anajua history
Nyerere baada ya kupewa chans akawageuka wazee waliompa nafasi
Bakwata sijawahi waona kwenye shida za waislamu bali kwenye makongamano ya ccm
Sheikh upo vizur sana kwa historia ya uhuru
History nzur sana,wazee wamepigania nchi wanakuja kula nchi wengine kabisa
Ukweli haujifichi tumechoka namifumo kirsto inayotumika nabakwata
Kamabakwata nidini alioileta Allah ifuateni ilasikupunzi inakata ndipo hakiitajulikana ikowapi japo ukwelihaupingiki
Minadhani tuamue Sasa kumbe sio wazanzibari t wa nasema na kudai ukweli kuleta Haki usawa hata watanganyika
Yeye aliwazima wote wote kabissa ili waislam wasiojuilikane wasisikike na yeye pia alitumika ukatoliki uwe mbele
Aa babu yangu wee waislam si wapo bakwataaa
Uyoo alikuja kuwazimaa wote akijifanya peke yake ndio master
Kilio Tena kilio tumeumiaa
👊✌️👍.
👍✌️👊。
Mashaa ALLAH
k h bakwata inalindwa kuhakikisha waislam wasifulukute to 12255
Huyo lanatullwal aliyekua akijafanya hatokufa yuko wapi mungu mkubwa zulma aliotufanyia molla atakulipa na kichapo akipata huko
Waislam na Bakwata yetu tunashindwa kuwatumia wafadhili matajiri Wa mafuta waislam wenzetu kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu mashule bora yanayopasisha na vitega uchumi kama vile hatuna wasomi
Huyo tajir akitoa hizo pesa atafilisiwa kwa kodi
Kwani hakuna viongozi wa juu serikalini😮😮😮😮,mnahujumiana wenyewe😅😅😅😅
Hatutatoka ktk Maisha haya ya Dhiki bila ya KUIANDIKA/KUISOMESHA Historia Yetu ya UKWELI.!.
Ewe mola wetu wahifadhi wazee wetu kwa kutufumbua akili
Mpaka leo mfumo ni wakikristo.
Haikumalizika. Wallahi Sheikh Said hakika ni mwanahistoria. Kama iko kipande cha clip iliyobaki kitumwe.
Sasa faida gani ya hiyo mapinduzi unaondoa serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe naunaleta utawala wengine ya tanganika sasa umerudi katika ukoloni mara nyigine sasa umefanya nini kama ujinga ni nini kutawaliwa maskini wazanzibari waliuliwa kinyama ilfu kumi NA tano tano waliouwawa NA kuwazika katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma
Zanzibari imekwesha au imemezwa hawezi kurudi kitu muhimu vijana wameshaelewa hiyo thulma NA uonevu wa zanzibari NA kuiteka nchi halali NA serekali ilichaguliwailichaguliwa NA vyama zote nchi zanzibari serekali iliotambuliwa NAa wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua
Hakika Sheikh Mohamed ni mwanahistoria. Hadithi hii ya baadhi ya watu kuitwa na Nyerere baada ya kula wali wakageuka ili kuvunja East African Muslim Association nimeisilkia katika mahojiano na mzee waikela mwenyewe na inafanana kabisa na maelezo Sheikh Mohamed Said mwanahistoria ambaye hasa inaonekana anafanya utafiti wa kutosha.
Chief Makwaia kukataa kuchukua Urais wa Tanu kwa kigezo cha kuogopa wazungu na kwa maslahi yake mwenyewe kwa lugha nyepesi tunaweza kusema alikuwa Kibaraka mnaona ni SAWA. Lakini kwa Nyerere kukubali kuacha kazi yake ali risk na kukubali kupewa Urais usio na ofisini wala nguvu yeyote na kuendelea kukijenga chama cha TANU kisiwe na msingi wowote wa kidini mnaona ni TATIZO aisee mna matatizo makubwa sana.
aliacha kazi lakin nani alikuwa anamfadhil kama siyo Ali sykes, na ndiyo alileta udini kwenye chama
TUNAWAPONGEZA WAISLAM KWA KULETA UHRU TANZANIA
Katila soasa za tanzania
MWALIMU ALIONA MBALI
Kazi ya Nyerere, baba qa taifa, lakini leo waislam wamo
Mzee yuko partial.... anajibu kutokana na anavyoona yeye sio kwa facts...... VICTIMISATION imemtawala sana!!
Wacheni usenge!!! Huyo karume alikuwa msenge Hana akili wala busara! Kazi yake kutumia madaraka na nyege zake za kuzini na kutomba wanawake woote aliowatanani Kwa kisasi cha utumwa wake na weusi wake!!! Alikuwa na KUWADI AKIITWA FUMU!!! AKIMLETEA WAKR ZA WATU AKIWATOMBA NA KUWAFIRA LAANATULLAH!!! MAALIM SAID NILIKUHESHIMU ILA WEWE MURTADI KHANITHI WEWE!!! NYAU WEWE!!! MNYAMWEZI WEWEEEE!!!
Kwa ufupi waengerza ndiyo wametufikisha hapa tulipofika hawa ni mayahudi wamepandikiza mbegu ya ukafiri na uchawi ndani ya uislamu sasa waislaamu tunajuta duuuu
Uhuru wa Watanganyika umepiganiwa na makabila pamoja na dini zote.Hakuna njema dhidi ya Waislamu.
WASHENZI TU HAWA CCM AU MCC MADIKTETA WAPUMBAVU BADO AKILIZAO ZILE ZILE ZA UNYANI ULE ULE CHOCHI YA NCHI YA ZANZNZIBARI HAIWATOSHI BADALA YA TULIZANIA ITAWAJENGA AKILI NA KUMBE WAMEKUWA WAPUMBAVU NA MARADHI YA APEDONIYA KAMA LUKUFI KIKWETE NAWENZAO 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿🇺🇸😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇹🇿😇
Maashaala Mohamed said tuliabiwa na sheikh wetu Mohammed Ahmed mcomoro maneno haya nilikuwa mdogo lakini nakumbuka Allah akufariji sheikh
Jazaka LAAH khaira, Mohamed Said. Ni kweli tupu nimefuatilia sana video na maelezo yako MashaALLAH, ALLAH atupe mwisho mwema Amiin. Waliyo na wanao endelea kuwadhulumu Waislamu ni Waislamu Wanafiki wanaotumia sura ya Kislamu ambao ndio inazungumzia Suratil Munafiqiin bado wako mpaka sasa. Kama vile Waislamu wa Tanganyika wakati huo walipomdhulumu ndugu yao Sheikh Taqadiir ALLAH amrehemu amwekee pema peponi Amiin.
Mpaka juso lake la kijambazi Mungu amlani!!