Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye
Hakuna mlima waeza stahimili sauti yako.l'm really blessed by this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!
I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!
God gave me this song when i needed it
"Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
Yesu ndiye jemedari wa vita..
Muzidi kubarikiwa watumishi wa Mungu
Neema ya Mungu iwe nyanyi watumishi Kwa kazi nzuri katika ufalume wa mbingu
Naomba Jina la Mpiga triumph
Nabarikiwa sana na wimbo huu
the guy hapo keys 1 kazi safi
Nyimbo zako zanibariki kila siku❤️❤️ Barikiwa mtumishi wa Mungu wetu 🙌
Ubarikiwe sana 🙏🏾
God bless you mtumishi wa Mungu 🙏
Milima yayeyuka kwa sauti Yako.... powerful.
Milima yayeyuka🙌🏼
Kweli Jemedari hakuna kama yeye.
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Trully speaking I was waiting for these....nlitamani saana collaboo yako na Gwamaka...and God has done it.....barikiwa Boaz
powerful song
Jemedar wa vita hakuna kama wewe na Jehovah ndilo jina lako🔥
Ainuliwe yesu zaidi ndani ya nchi yetu
Bariiwa Sana mtumishi wa mungu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana Minister Boaz Danken
Yes . Ni Jemedali wa vita nauona Mkono wa Bwana
Kuna uhai wa Mungu kwa huu wimbo,, May God lift you to another level, you're highly anointed great servants of God
Wimbo una Nguvu sana. Mungu awazidishie Neema yake. Twa waenzi sana hapa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.To God be the glory!
Wow🔥🔥🔥Milima kwa Kwelii Mtumishi Ya Yeyuka katika Jina la Yesu.
Magonjwa si Sehemu yetu (Isaiah 33:24),Madeni yotee Yameyeyuka.
Wow,what a song😢😢,,,Mungu akutunze sana mtumishi
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
Mungu awabariki watumishi wa Mungu.
Powerful combination 💪.....love of God kutoka hapa Kenya 🇰🇪 hallelujah 🙌
As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying
humble and blessed.
Congratulation ! thats a testimony of Humble Heart ! Praise the living GOD !📯 YESU ! 📯
Amina...milima ta yeyuka
I still view
Might man of war I worship you🙌🙌🙌🙌
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu na Mungu azidi kuwatunza na kuwaonekania na kuwainua na kuwatumia
Nimebalikiwa Sana,
Jemedari wa vitaaaaa
God is real 🙏🙌🙌Jemedari wa vita,amenipigania mahali kwingi ,siku zote nashukuru from Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbarikiwe sana,fully ibada
May God bless you servants of God
The sound of heaven is in every lyric and melody ❤
Boaz boaz ,🙏🙌 nzambe apambola yo!!
Hata nikaskia sauti ya kinanda ,yanipasha upenyo wa mungu
Ngai akurathime muno ,saana
,Ntuku cionthe
Much 💘 love from ameru republic ❤❤
Vidonda vya tumbo vinavyonisumbua vinayeyuka mbele zako BWANA,madeni yote yayeyuka mbele zako BWANA.UTUKUKUZWE MILELE 🙏,AMEN
MUNGU akubariki
Jemedari wa Vita HAKUNA Kama wewe
My brother Boaz, Mungu na azidishe neema aliyoweka kwako.. you are a blessing of our generation 🙏🏾🙏🏾
Mungu aendelee kukutunza boazi
Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana
E mungu wa mbingun wainue watumishi na uwape maono katika huduma yao
Yes.
Yesu ni jemedali wa vita.
Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana
Mungu akubariki sana🎉
Jemedari wa vita!
Jemedari wa vita hakuna kama wewe milima ya yeyuka kwa sauti😭😭😭
Jemedari hakika wewe ni mkuu kwa yote
Mungu akubariki saana mtumishi
Mungu akubariki kwa kazi ya baraka
Mungu mkuu Yehoshua
Hakuna kama wewe jemedari wa vita
Warfare🙌🏾🙌🏾
Daah a trumpet
This is such a powerful song🙏🔥
He is indeed a powerful God
He is melting down all situations
Am Blessed from Kenya 🇰🇪
This son elevates my spirit to another level @ Boaz God has used you to lift the spirit of worship in me may Good lord increase you bro🇰🇪🇰🇪
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu mkuu
Glory Glory
Huyu Yesu hatokuja tokea mwingine kama yeye I'm speechless of him
I LOVE YOU JESUS ❣️
@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️
How I'm i coming across this song a year later,aaah Jeeesus😭😭🙏❤️
Anointing over anointing, God is wonderful, he is who he say he is. Be blessed man of God
Jehovah Thankyou for raising true worshippers in these last days😭😭😭.
My heart spirit body is edified.
The Lord uplift you more servant of the Lord as you continue yielding 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
what a combination of my two lovely brothers ! Such a powerful worship song, Mungu azidi kuwainua watumishi
Milima yayeyuka kwa sauti yako Yesu🙌🙌🙇♀️🙇♀️🇰🇪
Imo nguvu ya Mungu ndani ya huu wimbo🔥🔥🔥
We bless You God for your anointing and for the power of the holy Spirit within these men of God, BOAZ DANKEN & GWAMAKA MWAKALINGA.
Milima ya maisha inayeyuka hallelujah 🙌...it's indeed the song of the season. Uwepo wa bwana hata ofisini jameni.
Naenda kupata hii kazi kwa jina la Yesu
Jemedari wa vita zangu zote.
Nitarudi kushuhudia kwa jina la Yesu
I got it kwa hakika.
Mungu amenishindia Mengi. Leo 31.12.2022 ninamshukuru haikuwa rahisi@2022
Jemedari wa Vita🎉
Hallelujah 🙌
He will also give me A Job
And I will come to testify like you have
Hallelujah.
Milima yayeyuka kwa sauti yako tu, jemedari wa vita🙌🙌
Jemedari wa vita.......pigania dada yangu na mama yangu,: acha wakuone ewe Jehovah Rapha kwa maisha yao. Amen
Amen, hallelujah
Amen,Asante kwa kutubariki
Amen 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌ninani kama yesu🤔🤔🤔🤔🤔 fight all my battles oh lord
Glory to God....be blessed men of God
Wow receive love from 👌 🇰🇪
You never disappoint man of God
Yesu azidi kukuinuia zaidi kwa viwango vya juu 🔥🔥
Much welcome man of God can't wait to see you soon at our church we really love your song indeed it has really change many hearts
Welcome to Kenya 🇰🇪
Wimbo huu unazidi kua mpya kila siku maishani mwangu kama bd tunausikiliza 2024 tuzidi kutiana moyo
Harmashiaaaaa....holy holy holy
Along awaited worship #jemedari wa vita@
With this great Giants of the most high God more blessings to you
Glory to the most High God.
The trumpet guy was in spirit
Hallelujah,
Jemedari wa vita hakuna kama Wewe
Milima yayeyuka kwa sauti Yako tu....
Barikiweni MoG .Im deeply soaked in this song.
Halleluuuuuuujah 🙌🙌🙌
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu, kazi kubwa yenye Baraka sana ndani ya mioyo yetu
Asante sana kaka Utukufu na heshima kwa Yesu
@@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen
Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Umeniibariki sana... Naskia kunyenyekea ninaposkia wimbo huu ubarikiwe sana
@@lukapastory lijue neno uwe huru☺️