Kabisa mkuu wa wilaya asidanganye mm tangia nimemjua mh Gambo sijawahi kuona akiyumba Wala awez kudhoofisha maendeleo katika Jimbo lake nimpambanaji sana mim nipo bukoba lakin navutiwa na uyu jamaa kwa kaz zake
Mkuu wa Wilaya analalamika kwamba watu wanazungushwa maofisini, badala ya kutuambia amewafanya nini hao wazungushaji. Yaani anashtakia kana kwamba yeye sehemu ya serikali.
Kiukwel mim binafs nakubar sana kaz za mh Gambo Sabaya na Makonda Hawa jamaa ni majembe sana hawaga mambo ya siasa wanapo kuwa kwenye utekelezaj wa majukumu
@@shabanponera2895 Ndg mm sikatai mawazo Yako mm sio masai Wala msukuma Wala sio jamii yake na mh Gambo lakin Hawa jamaa wakiwa kazin hawaekit wapo sawa ata uniwekee panga shingon sitapinga uwezo wao🔥🔥
Kwanza ni aibu viongozi kulumbana mbele ya wananchi. Ni aibu DC kulalamika ameonesha uvulana. Kama kuna tatizo kuna problem solving techniques au hamkupita shule? Kulumbana ni ushamba wa uongozi. Nawaonya mjirekebishe unless other ways vibarua vitaota nyasi
Gambo kabla ya kuwa Mbunge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Iweje alishindwa kuondoa Matatizo hadi aje Makonda? Huo ndio UNAFIKI wa baadhi ya Viongozi ndani ya CCM.
Hapo ndo unapojua kuw mkuu wa wilaya sio mkubwa kweny wilaya. Anaona madudu yanayo sababishwa na wana siasa lakin hawez kuyatatua kabisa. Wanasiasa ni wabaya sana
Huyo mkuu wa wilaya huyo simuelewi. Sawa umeona madhaifu ya wilaya yako. Je umechukua hatua gani kuondoa madhaifu hayo? Sasa wewe tena unalalamika kwa mkuu wa mkoa. Sema2 makonda hana mamlaka ya kukutumbua ila angeshakutumbua
Huyu mkuu WA wilaya ataondoka Arusha wiki ijayo hatunae.aoini ata aibu kusema mirad hajamalizika wakati yeye ndie msimamizi.ninavyo mjua Baba Kigan Zuhura ameanza KAZI ya kupangapangua
Swali ndogo tu, kuhusu hawa watendaji WA idara za serikali zetu, Nani anawateuwa, ana tumia vigezo gani na Nani katika ngazi za wilaya anaye wasimamia ni nani?????????. Mizigo sio kidogo. Nchi ina Baki kuwa Shamba la bibi kila Kona.
Hao Viongozi wawili wanaonyosheana vidole hawajaiva kabisa, kiuongozi,,,,,,,hawakutakiwa kufanya hivo mbele ya wananchi,,,,,,ila bora ata wamejionesha si tunasemaga "acha mvua inyeshe tuone panapovuja"😂
Kumbe hata ninyi wana ccm manajiuliza kwan hp kabla hapakuwa na mkuu wa mkoa lkn leo huy aliekuwepo ndio kapewa cheo kikubwa kuongoza chama km alishindwa kutatua matatizo ya wana Arusha leo ataweza kwl kuongoza chama kinachoongoza dola hp ndio wanatawala wanapofeli kukumbatiana ht kama si vingoz wazur
@@derrickmbaku4768 moto wa kuwabana wakosoaji wa JPM? Yeye anamsifia makonda Tena ansisitiza kuwa amechelewa kuja Arusha! Inamaana gambo alipokua RC kwenye maendeleo hakuna alichofanya.
Gambo aliyafanya the same kama mkuu wa wilaya alivyo kuwa mkuu wa mkoa kwa mbunge Lema Shem on CCM, pia kuna kitu kwa gambo ni kawaida yake kugombana na wenzie yeye aonekane bora
Kwa kweli mkuu wa wilaya ni bora akapangiwa kazi NYINGINE KABISA. Haiwezekani mkuu wa wilaya analalamika kuhusu watendaji wa serikali wakati yeye ndiye anamuwakirisha Rais.
Hakuna mgogoro Arusha usiomhusu huyo Gambo, Tokea Enzi za Magufuli, Maendeleo ya Arusha yamechelewa sana kwa sababu ya huyu Jamaa, uliza Stend kuu Arusha iko wapi? Kumbukeni Gambo alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha
Hakuna kitu wote wawili hewa tupa kule. Hii nafasi gmb alikua nayo MBONA alikua anafumbia macho hakuweza kuyatatua .IWEJE Leo ASEME Arusha ni shamba la bibi na YEYE alikua mkulima MMOJA wapo. Akitoka YEYE NDIO LINAKUA shamba la bibi.alipokuepo lilikua shamba la nani.. wote HAWO wawili tupa nje .ni cheche
Huyo DC naona amjui Gambo. MWANANGU MAKONDA HOYOOOO❤❤❤❤👍👍👍
Huyu DC kitendo chake cha kumnyoosgea mbunge kidole ni utovu mkubwa sana wa nidhamu.. Hayo siyo maadili ya kiuongozi hata kidogo
Kabisa mkuu wa wilaya asidanganye mm tangia nimemjua mh Gambo sijawahi kuona akiyumba Wala awez kudhoofisha maendeleo katika Jimbo lake nimpambanaji sana mim nipo bukoba lakin navutiwa na uyu jamaa kwa kaz zake
Ila Mbunge kumwambia mkuu wa wilaya aache chokochoko ni sahihi siyo? Acha ushabiki mandazi.
Ww chizi nn gambo si huyu huyu Kila siku alikua akimkwamisha mbunge lema Leo hii nae analalamika kuhujumiwa
Huyu Gambo sio mgeni walishagombana sana Rema kwaiyo anapenda sana kujikweza mbele za watu
Yeye leo hii akikoromewa kidogo tu na DC anawaka ...hii ndio ile what goes around,comes around
DC ajitambui zair anaonekana kupuyanga
Mkuu wa Wilaya analalamika kwamba watu wanazungushwa maofisini, badala ya kutuambia amewafanya nini hao wazungushaji.
Yaani anashtakia kana kwamba yeye sehemu ya serikali.
Wewe mkuu wa Wilaya unafanya Nini hao watu wasilipwe, mpaka ujeumwambie mkuu wa Mkoa, Makonda baba lao baba lao.
Naiyona njozi ya 2026 makonda kuwa mtu mkubwa kwenye nchi ya Tanzania mungu akubariki kwenye safari yamafanikio
Na iwe hivyo tungeomba xana asije badrika
Kiukwel mim binafs nakubar sana kaz za mh Gambo Sabaya na Makonda Hawa jamaa ni majembe sana hawaga mambo ya siasa wanapo kuwa kwenye utekelezaj wa majukumu
Sabaya!! Nakataaa,
@@shabanponera2895 Ndg mm sikatai mawazo Yako mm sio masai Wala msukuma Wala sio jamii yake na mh Gambo lakin Hawa jamaa wakiwa kazin hawaekit wapo sawa ata uniwekee panga shingon sitapinga uwezo wao🔥🔥
DC anashida kubwa anaonekana zair
Mueshimiwawaa🏄🏄 ❤❤❤❤
Kwaelimu yang ndogo hi mkuu wawilaya sy tupa kule😅
Huyu Dc hana kazi tena,Mama lazma atumbue
Mkuu wa wilaya hana uwezo kwenye eneo lake
makonda ❤❤❤❤❤❤
Wenyewe kwa wenyewe
Watu hamumjui huyu Mkuu wa Wilaya. Kiufupi anatisha sema kwa mafasi yake Mkurugenzi na Mbunge wanameza. Jamaa yuko vizuri tu.
Anatishaje
Weee! Usiniambie kwamba ni jini uyu mkuu wa Wilaya yani kama NSYUKA
Kwanza ni aibu viongozi kulumbana mbele ya wananchi. Ni aibu DC kulalamika ameonesha uvulana. Kama kuna tatizo kuna problem solving techniques au hamkupita shule?
Kulumbana ni ushamba wa uongozi. Nawaonya mjirekebishe unless other ways vibarua vitaota nyasi
Gambo kabla ya kuwa Mbunge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Iweje alishindwa kuondoa Matatizo hadi aje Makonda? Huo ndio UNAFIKI wa baadhi ya Viongozi ndani ya CCM.
Kipindi gambo akiwa mkuu wamkoa Rais alikua magufuli kulikua hakunaga mambo ya kipumbavu.
Kabisaa @@evansmoshi1923
Na changamoto nyingi ni kipindi hiki cha samia watu wamejisahau
Tena wakukome na wakuache
Hapo ndo unapojua kuw mkuu wa wilaya sio mkubwa kweny wilaya.
Anaona madudu yanayo sababishwa na wana siasa lakin hawez kuyatatua kabisa. Wanasiasa ni wabaya sana
Nakupebda baba
Mheshimiwa Makonda tunakuombea Yeremia 1:18-19
Kuanzia akiwa dc makonda alikuwa ananyesha kabisa kuwa ni kiongozi shupavu
Hivi mike kwa jina lingine inaitwa fursa
Why two different scenes
Sasa ww umeshindwa kuchukua hatua unamshitakia mkuu Wa mkoa wakati unamamlaka ya ukuu wa wilaya
Ameshacalculate aibu katika asilimia!!!!!!
Mbona ume kata video
Hakuna kumjua hpo makonda haelewanag na wenzake
Mmm
Makonda ndio kiongozi hapo arusha huyo mbunge nae hamna kitu mkuu wa wilaya nae halmashauli imemshinda.
Sasa ondokeni madarakani,hamuwezi sasa
Mkuu wa wilaya muhuni kiti akimtoshi
Gambo kila kiongoz anagombana naye
Uyu jamaa mbona simuelewi, sialikua mkuu wa mkoa? Jamanii😅😅
Huyo mkuu wa wilaya huyo simuelewi. Sawa umeona madhaifu ya wilaya yako. Je umechukua hatua gani kuondoa madhaifu hayo? Sasa wewe tena unalalamika kwa mkuu wa mkoa. Sema2 makonda hana mamlaka ya kukutumbua ila angeshakutumbua
Huyu mkuu WA wilaya ataondoka Arusha wiki ijayo hatunae.aoini ata aibu kusema mirad hajamalizika wakati yeye ndie msimamizi.ninavyo mjua Baba Kigan Zuhura ameanza KAZI ya kupangapangua
Yani Mkeka ujao mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wake kumekuchaa😂
Makonda wewe jembee
DC anamsingizia Gambo aibu hii
Wapelekee Moto Hadi waombe feni hao viongoz
Nimesikia mbunge akisema Mh Makonda angekuwa Arusha toka mwanzo, na kabla ya makonda nani alikuwa mkuu wa mkoa?
Naibu katibu Mkuu CCM Bara (Mongela) boss wao sahiz😅😅Gambo wanakata jina 2025
@@geey7893😅😅😅😅😅
HUYU MKUU WA WILAYA HAUJIELEWI ATA UKIMSKILIZA TU HATOSHI KUWA ARUSHA
Mkuu wa wilaya atolewe ndo jipu hapo Arusha
Swali ndogo tu, kuhusu hawa watendaji WA idara za serikali zetu, Nani anawateuwa, ana tumia vigezo gani na Nani katika ngazi za wilaya anaye wasimamia ni nani?????????. Mizigo sio kidogo. Nchi ina Baki kuwa Shamba la bibi kila Kona.
Gambo na makonda nawapenda bure ....you're great Heros...am a Kenyan bt truth remain as it is.
isee huyu mbunge ameongea point sana👏👏👏
Tanzania 🇹🇿 nchi yangu nakupenda kwa moyo wote🎉
Hao Viongozi wawili wanaonyosheana vidole hawajaiva kabisa, kiuongozi,,,,,,,hawakutakiwa kufanya hivo mbele ya wananchi,,,,,,ila bora ata wamejionesha si tunasemaga "acha mvua inyeshe tuone panapovuja"😂
Mkuu wa wilaya ni hamna kitu mambo yake mengi ni siasa rais muondoe huyu hafai
Kumbe hata ninyi wana ccm manajiuliza kwan hp kabla hapakuwa na mkuu wa mkoa lkn leo huy aliekuwepo ndio kapewa cheo kikubwa kuongoza chama km alishindwa kutatua matatizo ya wana Arusha leo ataweza kwl kuongoza chama kinachoongoza dola hp ndio wanatawala wanapofeli kukumbatiana ht kama si vingoz wazur
Tunamuona makonda anapambana na dhulma na rusha wakuu wa mikoa mingine wapo kama wameoza hawafanyi hivi au wamefariki😂😂😂waki kimyaaaa
Gambo na Makonda Mungu awajalie fanyeni kaz jmn
Rc Makonda tumia hekima ya kuwakutanisha Dc na Mbunge ili mambo yakae sswa. Usiwaache waendeleze malumbano au Dc ahamishwe
Mkuu wa wikaya kilaza kweli..analeta excuse wakati yye ndio mfanyamaamuzi..daahh..mkuu wa wilaya anaongea politics..
Gambo si alikua Mkuu wa mkoa huyu!!!? Hii nchi Ina wanafiki
Huyu ni muasisi wa matatizo yaliyopo,kawa Mkuu wa Wilaya,kawa Mkuu wa mkoa
Nahisi hamkufuatilia Gambo kipindi hicho
Gambo alikuwa moto sana enzi za JPM
@@derrickmbaku4768 moto wa kuwabana wakosoaji wa JPM? Yeye anamsifia makonda Tena ansisitiza kuwa amechelewa kuja Arusha! Inamaana gambo alipokua RC kwenye maendeleo hakuna alichofanya.
Kwani GAMBO MWENYEWE SI ALIKUA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KWANI ANATAKA KUTUDANGANYA NNI
Hahahhaha
Mkuu wa wilaya jitadhimini,punguza muhemko ww ni kiongozi.
Hv wewe gambo si ulikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha acha unafiki kenge wewe
Unafiki weewe gambo alikuwa kipndi cha Magufuli huu uchafu haukuwepo !watu mnajisahau
@@rosetreffert4179nini cha maana alichokifanyaga zaidi ya kugombabaga na Lema tuu.. acheni unafki bwana
nikipata nafasi ya kuonana na wewe natamani kusema Mungu wangu akulinde in Jesus name
Kama haya matatizo haya hapo ni arusha tu hii nchi imeoza
Akuna k2 apo
Makonda anakazi kubwa
Safiiii sana mh Gambo, yuko fresh.
Kwa nn nyie viongozi hamuheshimiane apo mna nn
Mimi naona mku wawiraya wa arusha awe mwanajeshi
Siasa na Mungu Sina Imani tusimuhusishe
@abelmkayala1573 tena wasimuhusishe Mungu kabisa
Gambo aliyafanya the same kama mkuu wa wilaya alivyo kuwa mkuu wa mkoa kwa mbunge Lema
Shem on CCM, pia kuna kitu kwa gambo ni kawaida yake kugombana na wenzie yeye aonekane bora
Kwa kweli mkuu wa wilaya ni bora akapangiwa kazi NYINGINE KABISA. Haiwezekani mkuu wa wilaya analalamika kuhusu watendaji wa serikali wakati yeye ndiye anamuwakirisha Rais.
Wewe mkuu wa Wilaya ulivyokuwa Katibu tarafa ulitusababishia mgogoro mkubwasana mtaanikwetu, mpaka kwenye familia yetu.
Ccm.kweli.mmefika.mwisho.
Pumzika
Alafu kuna wajinga wanadhani sjui nchi ipo mikononi mwa chama kingine na sio CCM. Imeoza itoke tu
Mwanangu ili kumaliza mambo hayo DC ahamishwe.
Wewe hupatani na watu na wewe lini wewe umeyita wananchi
Namuelewa saana makonda, itikadi zake ni kama hayati magu,, mungu azidi kumrinda,, IPO siku atakalia kiti Cha uraisi wa inchi
Siyo changamoto, shule ndogo
Nakubali xana ila mama samia tunamuomba huyu makonda mkoa kagera maana uonevu na unyanyasaji umezidi kpimo
Gambo ulikuwa wapi muda wote
Hukua wamskia akigombana na viongozi wa serikali huko Arusha?au umenunua smartphone leo mkuu
Hongerasana mbunge tena safisana munguakubariki na awabariki
Walikuwa wamezoea kunyooshea vidole wapinzani kasahau kua huyo ni ccm mwenzake msameheni bure
Huyo mkuu wa wilaya aamishwe tu ana kitu.mama samia wanaopendekeza majina ya wakuu wa wilaya wanakukwamisha. Ondoa, hamisha
Lakini wewe gambo ilikuwa mkuu wa mkoa hapo arusha kwanini hukuweza kutatua hiyo migogolo
Sasa mnapigana wenyewe baada ya kumalizana na wale jamaa siyo?
Najiuliza kama arusha mjini viongoz mnakir mirad haikamiliki kwa wakat je huko katavi duu huku mnanyoosheeana vidole daa
Gambo anamatatizo nikweli haelewan nawenzake kuna mungu ndo anajua kwenye roho yako kua unampenda makonda au la
😂😂 chokochoko
Makonda unanikumbusha makufuri
Hakuna mgogoro Arusha usiomhusu huyo Gambo,
Tokea Enzi za Magufuli,
Maendeleo ya Arusha yamechelewa sana kwa sababu ya huyu Jamaa, uliza Stend kuu Arusha iko wapi?
Kumbukeni Gambo alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha
Huko Moshi mji ndio umeoza masoko mpaka barabarani hamna pa kupita watembea kwa miguu
Gambo anashida anagombana na kila mkuu wa wilaya
Mkuu wilaya Toa hoja achana na story
Ikosawa
makondaaa hatariii
No no Makonda uko sawa uyu gambo sijui
Tanzania 🇹🇿
Ongea hayo Bungeni
Tutawapiga chini 2025
Ameeeeni
Gambo wewe unazingua,Ulikua mkuu wa mkoa hujatatua lolote,umeacha matatizo tu
Wacha wapambe wenyewe kwa wenyewe
Gambo yuko poa,DC fake!
Hakuna kitu wote wawili hewa tupa kule. Hii nafasi gmb alikua nayo MBONA alikua anafumbia macho hakuweza kuyatatua .IWEJE Leo ASEME Arusha ni shamba la bibi na YEYE alikua mkulima MMOJA wapo. Akitoka YEYE NDIO LINAKUA shamba la bibi.alipokuepo lilikua shamba la nani.. wote HAWO wawili tupa nje .ni cheche
Mkuu wa wilaya we ni bwege kweli hufai kuwepo kwenye hiyo nafasi
Gambo ni andazi kabisaa..
Ma RC na DC wengi wao ni kero kwa wananchi japo hata baadhi ya wabunge lkn wabunge ni saizi yetu mitano tunamtoa lkn hili kundi lingine ni shida sana!