Maisha yetu Tanzania na afrika kwa ujumla ni mazuri sana uko marekani na nchi za watu weupe maisha sio mazuri wanakula vyakula vya viwandani sana yani sio halisi
nilikula chicken drumsticks mwaka mzima na mayai, na rice 🤣 weee college life nikomeshe. Nilikua nikifanya convention from dollars to tzshilling nasikia kichaaa 🤣🤣 11 years later tumesha adjust 😂 tume accept ndo maisha yetu ndo hali yetu
Duh kweli huko maisha yako Juu Sana yani tikiti maji ni zaidi ya Tsh elf 14 wakati huku ni buku 3 tu sometimes unapata mpk elf 2 sio poa. Bongo sio nyoso man ukienda huko lazima upambane
Maembe ni bei rahisi dollar sita na nusu saa hv dollar 1 ni 2332.00 ..kwa leo trh 19 Aug 2022. kwahyo hapo ni zaid ya elf 12 . Wakat ni buku 2 au 3 hicho kimfuko kina jaa. Noma.
In other words, if you can have the correct mindset and the correct skillsets, you are better in Africa. Otherwise, starve yourself, pay less in all aspects of your life and invest in Africa.
❤❤❤
Nimejifunza
NICE VIDEO KAKA
Wapenda Kitimoto US wajikute 😂😂😂
Bro mwaka huu lazima nije, nitakula sana kitimorotoo
Asante kwa kuujuza, endelea Ili tuwajue
I love packaging
Ni kula vyuku tu kwa kwenda mbele
Kuku wa kisasa siyo wakuzoea sana mtu ananenepeana magonjwa nje nje
Yani nikifwatilia vidio zako najionaga kama na mimi nipo USA kumbe nipo zangu Lebanon uku napambana one day yes nami nitakuja inshallah
Hahaah, kwa mm ntakula snaa nguruwe maana natumiaga,
Maisha ya huko ni ya juu
Mbon nguruwe ndio nyingi hapo uwiii
Hahaha, ety kuku wanatoa ngozi wakati kwetu tz watu wanapiga hadi utumbo wa kuku, hahahaa
Mkuu tunasubil matokeo ya green card
Katika mazingira hayo hapo
Samaki hujaweka bei
Yule jamaa wako wa trucking anaendelea vipi?.... Heri mtu akule kuku sasa
Hata mm yule jamaa nina mpango nae aisee yule wa 🚛 🚛 wa iringa na wish nifanye process zote nihamie huko animegee pande na mm maana huku bongo ni nyoso
Kitimoto hata kwa huku china ni bei rahis nguruwe na nyama ya kuku ni bei rahis
Marekani sehemu gani sasa maana maeneo yote maisha hayawezi kufanana
Kitimoto kitaniua usa
Sasa naelewa kwanini wakulima wa huko ni matajiri
Nafasi ya wakulima na wafugaji ujatuonesha
Kwani hakuna sehem wanayouza vitu bei rahis.huko I mean kama tandale ivi huku kwetu...inaonyesha hapo ulipoingia ni pa gharama sana
very expensive???🙂🙂🙂🙂🙂
Uko mgumu wakutowa pesa
Wadau wa Mazoezi mpo! Pita hapa subscribe channel yetu
Jamani France maisha kwa vyakula ni bei poa sana
Kaka una roho ya kipekee huna uchoyo
hacha nifie bongo tu
Kwani hamna masoko ya changanyikeni aisee mpk supermarket?kuishi ulaya NI stress full.
@@highzacknnko9685 mihogo ipo ila kwenye maduka ya wa Asia ndounapata vitu kama vya kinyumbani Tanzania kila kitu wanacho tena mihogo yao mizuri sana
Nikweli maembe yao sio matamu kama yetu uku africa
NI mwendo wa kitimoto tu
Izo nyanya dollar 4 ni tenga mojaa auu??
Tenga moja ungesema labda dollar 20 hv hapo sawa sasa dollar 4 si ni km elf 8 tu Tenga unapata wapi kwa elf 8
Yaan nanunua naendakuondoa mwenyewe,mbwembwe nchi za watu zinafilisi...nirud Tz na kingereza tuu...no,no,no!
Balaaaa Bei ya nyama ni sawa na mshahara wangu wa mwezi.😂😂😂😂😂😂
Unafanya kazi gani? Maana nyama ya bei ya juu ni Dora 31,dora 1 haizidi 2500Tzs, hivyo 2500x 31=77,500,kama unalipwa 80,000 natamani kujua hiyo kazi.
Endelea kujifunza forex kama lilivyo jina lako, utaijua na kupata hela
Kuishi huko ni masifa ambayo ni stress tu
Hapana maisha marekani ni gharama ya chini sana kazi kwa lisaa unalipwa $25-$30 Massachusetts
HII NI NJIA NYINGINE YA KUFIKA UGHAIBUNI
th-cam.com/video/DuKunlznmfA/w-d-xo.html
NJIA NYINGINE YA KUFIKA UGHAIBUNI 👇👇 👇 th-cam.com/video/DuKunlznmfA/w-d-xo.html
NJIA NYINGINE YA KUFIKA UGHAIBUNI 👇👇👇👇 th-cam.com/video/DuKunlznmfA/w-d-xo.html
Du mdudu yupo halafu bei poa hivo
Imagine unamsomesha mtoto marekani alaf matumiz unamtumia matumiz kutoka tanzania. Kilo moja ya nyama ni zaid ya elf60, Noma