Dah nakuonea huruma mno kila wakati unapokutana na wenyewe nchi yao uchoki kuwaomba mashabiki wa simba msamaha vile vile kundelea kuwapa moyo bro wewe ni shujaaa kinoma tena jasiri kweli kweli
Simba mmekuwa bora kwa kulinganisha kiwango chenu kibovu ila usilinganishe na Yanga. Mnawapigia makofi marefa wamewasevu. Endelea kuwazuga hao mabwege wasiojitambua.
Tulikua tunampigia makofi refa .sio wachezaji mm simba ila refa tumshukuru pia wachezajiwetu walikata moto dkk ya 30 tu nilihisi sisi ndio wazee aaahh inaniuma sana debora alichoka hakabi haendi aaadaaa
Namba tff mech yetu iwe ya kwanza tucheze na madunduka tuwapge tena mana hawaamini kama team young ilikua iko vizur na team ya yanga ndio kipimo sahihi cha preseason sio mnacheza na timu ubweche afu mujifanye mna timu
Ahmed Alyy Wape habari hii (1) Manila hatumtaki tena Ombi wachezaji Wawe makini hasa ktk ukabaji wasiwe wanajiachia Timu iko vizuri Simba kwa sasa ni timu yenye heshima timu ni ya kujivunia
Ahmed waambie ukweli mashabiki wako... Mwaka jana unasema mlikuwa na timu "mbovu" na mkachukua ngao 🙄🙄 Mwaka huu unasema una timu nzuri saaaana, Sasa hiyo timu nzuri inakuwaje inakosa ngao, au hata naibu bingwa wa ngao, mnaangukia Mwakatatu kama mlivyo maliza kwenye ligi 😭😭 Simba mmeshindwa hata kuweka mpira wavuni na refa akalikataa 🤣😂 YANGA wameweka bao mbili saaaaafiii na refa kazichinja 🙄 Leo mlikuwa mnoshwa nne kavu., Mpeni zawadi refaaaa
Hakika tumefarijika sana na kiwango cha wachezaji sana hapo tuendelee na preseason yetu HONGERA KWA WACHEZAJI NA BENCHI LA UFUNDI MPO VIZURIIIII
Wanasmba tusikate tamaa mda bado tuwape mda wachezaji wetu simba nguvu Moja ❤️❤️❤️❤️
Dah nakuonea huruma mno kila wakati unapokutana na wenyewe nchi yao uchoki kuwaomba mashabiki wa simba msamaha vile vile kundelea kuwapa moyo bro wewe ni shujaaa kinoma tena jasiri kweli kweli
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa kweli pole kwake
Kweli msemaji. Muda Bado hupo sana ❤❤❤❤🎉🎉
Good 👍kamanda thanks for that 👍🙏
Unajitahidi Sana kuwafariji watu wako na utawafariji sanaaaa hongera kwa kipaji hicho
Hilo jamaagan linatoa ulimi Kama mbwa hapo nyuma semaji
Shida kwa huyu Jamàa (Ahamed Ally) zimeanza tena Upyaaaaa!!!!
Simba mmekuwa bora kwa kulinganisha kiwango chenu kibovu ila usilinganishe na Yanga.
Mnawapigia makofi marefa wamewasevu.
Endelea kuwazuga hao mabwege wasiojitambua.
Akili zako aziko sawa kila mtu kaona mpira kwa macho yake ubora wa simba umeonekana kiwanjani
Umezungumuza vizuri sana msemaji kongole kwako semaji la caf
Dube amekaa hapo pembeni anasikiliza😂😂😂
Nimechekaaa sanaaaaaaaaaaaaaaaaa nkajikuta nakutana na chata ya dube
Pole sana Ahamed Ally
Yaaani inaumaaaaaaaa
Hao mashabiki wa yanga hapo wamemzukuuka semaji inamaanisha ni washabiki zake wote. Semaji ni super star ktk haya mambo.
Alhamed Ally
Muongo 😂😂 mr comedian unawadanganya
Usemajo kazi😢😢
Mmeshinda Leo
Anapendeza kwenda kufanyia kazi kitui cha ushauri na Saa😂😂😂
Hahaaaahaaa umeanza kutufaliji tena😂
Deborah ndio man of the match
Respect Semaji 🫡
Sisi kama simba tunaamini wachezaji tunao wazuri nawaamini tena natamani mechi zianze kwa fraha niliyonayo ya kikosi kipya tena kizr
Sikumbuki lini ameshinda dhidi ya yanga tangu amekuwa msemaji wa kolo.
Ahaaa kumbe ni faraja imeisha iyo
Semaji letu wamejitahidi sana tumpe maua yake.ila nauliza wapi Awesu?
Team yako ya zamani ni yanga bado unanafasi ludi ahmedy ali aucho ludi kwako simba itakukondesha moyo😅😅😂😂😂
Hivi hao watu wanaopenda kujazana uko nyuma huwa wanafanya nn na awahojiwi waoo😂😂km sio waizi
Tulikua tunampigia makofi refa .sio wachezaji mm simba ila refa tumshukuru pia wachezajiwetu walikata moto dkk ya 30 tu nilihisi sisi ndio wazee aaahh inaniuma sana debora alichoka hakabi haendi aaadaaa
Hv unajielewa wew au w n yang
Uzoefu na Umri sema 😂😂😂 umbwa weeee
Unajisikia fahari kufungwa mara 3 2024😀 we mwehu kweli hata hao walioachwa ni bora kuliko hawa mpaka kumuombea radhi hajji manara
Timu ipooo
Tunashukuru safari bado sana ndefu kila la kheri simba
Ahmed Ally anakarama ya kufariji na Mimi kwa vile navomfuatilia kuanzia Leo naomba nimwite FARAJA Ally🎉
FARAJA ALLY watakuwa wawili maana yule anaemtomba mama yako mzazi anaitwa FARAJA ALLY
@@laninjeje8290we mpumbavu matusi yanakuongezea nini huo ni mpira jinga wewe hujui maana ya matani
Tulikubaliana tuna timu ya vijana, kapombe akawa wa kazi gani tena, mnatuchosha
🤣🤣🤣
Hilo topolo LA yanga linalojilamba lips kama jimama linataka kuonekana kwenye clip AU limbukeni
😂ila mmejitahid kutoka 5 adi 1ila mshukuruni refa mana 4 xilikua kambani
Kwa sasa SIMBA sio tena mtani wa yanga. Kwangu mimi SIMBA ni club ya kawaida sana kama club zingine.
Naitwa Kévin Ndume nipo lubumbashi RDC
Akili zaako zaa ovyo...wkaakti yanga anakosa ubingwaa 4× uliwah sema yanga ni timu ya kawaaida...akili kisoda..
Sikushangai kwasababu mpira umeanza kuufatilia juzi
Maelezo mengiiii😢😢😂
Ubaya ubwege na si ubwela tena dadeki😂
Lazima uwatie moyo mashabiki wako maana na hapo tulikuhurumia
Mtaendelea kufarijiana mpaka lini jamani, mlicheza na timu mnayoijua huku wao pasipokuwajua sasa wamewajua kazi mnayo
Mdomo koma kabla hamjacheza ulikuw a unaongeaaaa ooo wamesajili wazee m ambo mengiiiii timu nzuri mbona haijafu nga hovyoooooo
Hii ndio timu tuliyokuwa tunataka ngoja ligi ianze
Hebu kwanza ncheke 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umekutana na kocha naye walewale😅
Tuiache Simba etu ikae pamoja mdawa wahata mwez mmoja tutafrai naamini Simba nguvu moja
Hiyo ni mechi ya simba na yanga kuna ahadi zaidi ya pesa subiria ligi ianze mtatwambia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi Tanzania ni chuo Cha kufundisha wageni,kwanini tusijisifie vijana wetu hapo na kumbuka mziki wa mchakamchako majishi ya kukodiwa na makaburu
B
Kwn Misri mlienda kufanya nn? wiki 3 mpaka Leo wachezaji hawajaelewana?
Mmekutana na pira chokonoa
Namba tff mech yetu iwe ya kwanza tucheze na madunduka tuwapge tena mana hawaamini kama team young ilikua iko vizur na team ya yanga ndio kipimo sahihi cha preseason sio mnacheza na timu ubweche afu mujifanye mna timu
Toka Simba Wewe Ndio Nukhsi Kwa Simba..
Furaha Yakusaidiwa Na Refa Mgoli Matatu Kayapunguza...
Mchekeshajii mjingax2 huyoo falaa
Tatizo ulivaa kimasai wakati ww huna dam ya kimasai kingine. Mm shawahi kuona masai ana ingia uwanjani. Ndo maan walikua wanalka kimasai tu
Wachezaji wa simba wengi ni level ya chini, level za akina balua niza mitulinga tu, tumia wachezaji wenye akiri ya mpira, otherwise itatu cost
Huna akili wew unavohic wew uliv n baluwa yupo hvhv hv ujauon mpila wew
@@Monica-i5x acha matusi leta hoja, wewe unajihisi kuwa na akiri sio!
Hahahahahaha umekuwa mradi tena mara hiiiii
🤣🤣🤣
Ubaya ubwege
Simba hata akifungwa 10 kwa 0 na yanga, bado huyo yanga ana kazi Kumuondoa simba nafasi ya sita kwa ubora africa
dube yuko nyuma yako anasikiriza akapereke umbea🤣🤣🤣
Hao Jamaa wamevalishwa jezi 😅😅
kira siku utakuwa wa huzuni mpaka mkiri maan gem ra jana mrikamia sikuwa tim yenu ni nzuri ubovu uko pare pare
😂😂😂😂😂😂ubaya ubwelaaaaaaaa
Oh mtakuja kulia na kulalamika😏
Hacha uongo furaha hamna kabisa
Huyu ndo alisema ubaya ubwela kumbe ubaya ubwege
Nyie ni wateja wetu tuuuu mpka msemee
Huyu JAMAA nuru ya uso wake inapotea kwann asiludi kwenye team yake halisi kuliko kuwa huko na kutumia nguvu nyingi hadi 😅😅😅
Hujasema bado
Bado haujasema
Nyinyi simba mbovu hamuwaji la kusema mumekuwa kama vichaa
Mpizani wako namba moja niazam, sema mpinzani wako tu, mshushe azam ndio useme mpinzani wako yanga.
Uoni aibu ww Toka umeanza kuisemea Simba hakuna inachokifanya iachie Simba ww
Simba saizi yake ni Coastal Union sio Yanga Wala Azam
KWA USAJIRI UPI, KIUKWELI KAPOMBE, MZAMIRU NA NGOMA HAMTOBOI , KAPOMBE, MZAMIRU NA NGOMA UWEZO WAO NI MDOGO ,
Mbn semaje uvaangi jezi ww ni mukosi TU ufai kuwag semaje
Mtaishia kujipa moyo nabfagaja,tunataka mshinde wapya waweke dukani badi fyuuuuu haaah mbanapua huyooooo
HICHO UNACHOFANYA NI KUJIFARIJI TUU.....MWISHO WA UBAYA NI AIBU
Wape maneno matam tusha yazoea ayo unataka waungane kwan wao mpira hawaujui tangia waje
Semaji atukupata W aje tutakuwa na furaha
Simba hii ndo mbovu kuliko ya mwakajana yakina saido ,chama na kanute hata goli la offside hawana uwezo wa kufunga hawa
Jitathimini bro
Sasa nyie mlitegemea kushinda kweli kwa timu yenu mbovu zaidi mnachotakiwa kushukuru tu cz hazikuwa nyingi
Unapiga kelele tuuuuu mbele za watu
Ubwela upo wapi? 😂😂😂
Nyie ngogwe supu fc chongeni tu hamjielewi ila kwa simba mpya hii mtajua hamjui
Lini sasa tutajua hatujui??
Ahmed Alyy Wape habari hii (1) Manila hatumtaki tena Ombi wachezaji Wawe makini hasa ktk ukabaji wasiwe wanajiachia Timu iko vizuri Simba kwa sasa ni timu yenye heshima timu ni ya kujivunia
Mouth never play football tatizo ngebe
Jiuzulu wewe tafuta shamba Jaime hixonguvujjnazopeteza na muda watotowako watakuja kukutoa kucha bila ganzi😂😂😂
pumbavu huiwez
Kocha mnae ila msije kumfukuza tuu
Hata shule huwa hazifungwi kila siku
Nendeni nyie mebebwa na refaa kwa nn asitoe penalty washenzi tuu yanga na uyu bugatti lenu Ahmed ally anajielewa ww
Kabra ujaongea jitafakari,goli ngapi za yamga zilikataliwa?
UKWELI HAUPINGIKI WEWE SIO MSEMAJI BALI NI MCHEKESHAJI TU.
Ahmed waambie ukweli mashabiki wako...
Mwaka jana unasema mlikuwa na timu "mbovu" na mkachukua ngao 🙄🙄
Mwaka huu unasema una timu nzuri saaaana, Sasa hiyo timu nzuri inakuwaje inakosa ngao, au hata naibu bingwa wa ngao, mnaangukia Mwakatatu kama mlivyo maliza kwenye ligi 😭😭
Simba mmeshindwa hata kuweka mpira wavuni na refa akalikataa 🤣😂
YANGA wameweka bao mbili saaaaafiii na refa kazichinja 🙄
Leo mlikuwa mnoshwa nne kavu.,
Mpeni zawadi refaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂