@@RubabaTv ukifanya mahojiano na wakulima wenye mafanikio na video high quality pia THUMBNAILS zikawa za kuvutia you have good content napenda niko SUA nasomea kilimo already subscribed to ur channel
@@RubabaTv usalama wa pesa ni Pin mkuu maana kichwa cha habari na maelezo yako ni Tofauti hauwezi iba pesa ya mtu pila kujua pin kuiba pesa ya mteja bila pin ni wahusika wa benk tu wanaweza kufanya huo mchezo
@@RubabaTv hapana mkuu tunaelekezana hatubishani hapo juu umesema jinsi mtu anavyoweza kuiba pesa bila card au pin ya mhusika na mimi lakini maelezo ya kwenye video yako haya majibu ya iyo heading.Kuiba pesa ya mtu bank lazima Pin yake na card vihusike
Samahan kaka,, kuna video yako ya muda kidogo nimeicheki inahusu kulipwa na youtube,, nina swali hapa naomba unieleweshe,, vp kuhusu maswala ya kodi, je malipo ya youtube hutozwa kodi kwa hapa Tz na je ww unalipa hiyo kodi?
Mm ninakdi lkn namba yangu ya sm nimepotza na sipo tanzania naniaitaji kuweka pesa lkn sintapata msg nifanyeje
Mi nilifungua account mwaka sasa niliweka elf 20 tu sasa line yangu imefungiwa na niko nje ya nchi hivyo naogopa kuweka hela wasije wakaaiba
Inamuda gan account
Kuna siku I will work with you Rubaba napenda content zako za kilimo..
Thanks alot na karibu sana
@@RubabaTv ukifanya mahojiano na wakulima wenye mafanikio na video high quality pia THUMBNAILS zikawa za kuvutia you have good content napenda niko SUA nasomea kilimo already subscribed to ur channel
Kwahyo kàka ukiwa unafanya payment yoyote wakiitaji taarifa za kadi ili kulipia ........hapo panakuwa hapana usalama eeh
Kaka kichwa cha habari na unayo uongea yote vumbi unge eleza mtu anaiba vibi pesa benk bila card wala pin ya mhusika
Itakua ujawahi kuweka hela kwenye account 🤣
@@RubabaTv usalama wa pesa ni Pin mkuu maana kichwa cha habari na maelezo yako ni Tofauti hauwezi iba pesa ya mtu pila kujua pin kuiba pesa ya mteja bila pin ni wahusika wa benk tu wanaweza kufanya huo mchezo
Kama hujui kitu kausha kaka, usipende kuminyana kitu usichojua.
Angalia comment za watu wengine utaona.
Au nipe kadi yako nikuonyeshe 🤣🤣
Inaonekana hata video ujaangalia na unatoa maoni
@@RubabaTv hapana mkuu tunaelekezana hatubishani hapo juu umesema jinsi mtu anavyoweza kuiba pesa bila card au pin ya mhusika na mimi lakini maelezo ya kwenye video yako haya majibu ya iyo heading.Kuiba pesa ya mtu bank lazima Pin yake na card vihusike
Unarudia rudia nenda straight
Samahan kaka,, kuna video yako ya muda kidogo nimeicheki inahusu kulipwa na youtube,, nina swali hapa naomba unieleweshe,, vp kuhusu maswala ya kodi, je malipo ya youtube hutozwa kodi kwa hapa Tz na je ww unalipa hiyo kodi?
Kwa sasa bado, ila tulipa kodi Marekani, ambapo youtube Ipo.
@@RubabaTv oh sawa! Hiyo kodi ya Marekani wanakuwa wanakata asilimia ngapi ya revenue yako?
Tucheck 0764 148 221
Hili swala limenikuta mm nimeopoteza hela cjui nan aliiba card yangu akachukua taarifa za kadi yangu
Pole sana, nenda kwa benk husika watakusaidia
We kaka naomba no yako kuna jambo unielekeze
0764 148 221
kaka naomb namb yako
0764 148 221