TWENDE TUKAE NA AFANDE SELE, MUNGU HATUTEGEMEI SISI KUTOA ADHABU TUNAKOSEA KUMHUKUMU"MCH MGOGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2021
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
TH-cam : Pastor Daniel Mgogo th-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Mgogo nimeamin kweli ww nimtumishi wa Mungu🙏
Umeongea point nimekuelewa mimi ni muislamu
Maneno yako Paster ni ya maana sana .Ubarikiwe sana kwa kuwaelimisha Watanzania, yanayojiri kuyaweka rohoni.🎉
Mungu akubariki mtumishi wa mungu Daniel mgogo.
Mahubiri yako inafariji watu tena iko kwenye mstari, ubarikiwe pastor.
tuna pokea baba yani ata uki ojiwa tu sisi uku tuna barikiwa 🙏🙏🙏🙏🤲
Waambie baba sema baba
Mungu abaliki Kazi ya Mungu unayoyifanya pastor
Mtumishi wa mungu huwa nakulewa sana, ubarikiwe sana
Nakukubal Sana bishop,ww ni zaid ya bishop♥️♥️🙏🙏🙏
Umewashauri vizuri sana viongozi wa dini, nafikili wamekuelewa, huwezi kumuombea kifo mwenzako.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu ...
Ndiyo kazi ya watumishi wakweli ubarikiwe sana mtumishi mugogo
Point sana nimekuelewa mno 🙏🙏
Wengine waliwaza kimya kimya ila afande sele kawaza kwa sauti😂
huyu ndio kiongozi wa dini sasa sio mtu anahukumu mtu utafikiri yeye Hana dhambi
🙏 ubarikiwe mtumishi...
"Mwenye afya hamuhitaji daktari
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Well said Pastor. Eliminating Afande Sele doesn’t solve anything. Pray for him.