Tumesijuwa Sisi ni wa congomani. Tunamupenda Martha 100 pourcent. Karibu tena dd yetu Martha kwetu Congo. Mungu azidi kukupatia ujasiri mkubwa n'a akuongezeye maisha marefu
WaTz acheni wivu. Huyu binti anaimba nyimbo kwa kumtaja Mungu, Bwana Yesu; sasa nyinyi yanawahusu nini? Kama anakosea, si anamkosea Mungu, yanawahusu nini? Kwani lazima kusikiliza tungo zake? Si upotezee tu! Mimi siku hizi baada ya vumi hizi za "wasanii" wa nyimbo za Injili, Najisikilizia Tenza za Rohoni.
People of God in Tanzania devil will not attack one with nothing. Next thing judgement ni ya mungu Roman 2:1-3. What was the story Beatrice and mama did not tell you. Why did they choose social media. The enemy plan was to destroy Martha ministry. I say it's not gonna happen her ministry touches lives and we will support her. God bless you Martha mwaipanja and may He increase and favor you. More Grace. In your tribulations you lived what you preach sijipiganianji mwenyewe and nifundishe kunyamaza. Blessing
Mimi sisemi kitu, ni rahisi kusema ya mtu mwingine lkn ndio maana Yesu alipopelekewa yule mwanamke kahaba aliwaambia ambaye hajafanya kosa awe wa kwanza kumpiga mawe,, kumbe nao walikuwa wahuni kabisa wakaondoka na dhambi zao but yule mzinzi alisamehewa palepale
Hata kina diamond zuchu rayvan pia hupokelewa na magari na maua sio ajabu Kwa upande wa pili ndio style ila haonwasaganaji wangejua mungu huwa ni mvumilivu sana sana ila siku kikombe kikijaa wote tutaona
Matha una muumiza sana mama Yako acha kiburi , huna Hata aibu unaroho ngumu sana wew ,mama ni mama Hata hatukuon na mtoto wako akili Yako imechukuliwa Joan nidio rimot yako
Kuna wapumbavu hapa,wanasema freemasno,inamaana freemasin kubwa kwenu kuliko Mungu?Yesu juuuuuu,Martha songa mbele,Mungu Ana nguvu na sio nguvu za giza,mwenzenu Hana tyme,ye anaita Yesu tu,ndio Ana nguvu,nyie iten Freemason wananguvu kuliko Mungu,kila mtu na upeo wake,
Kuna siku Mungu atawaaibisha na adhabu yao Mungu anayo, hapo wanafanya hivyo ili kuwapoteza watu waseme wao ni wa kweli, hao ni mawakala tu , hapo tu shetani mtupu
Mimi ni mkongo na ninahuzunishwa n wanainchi wanao upokeya kila uchafu ulio tupwa na wenyeji. Inchi yangu imekuwa kama jalala la kutupia kila uchafu. Hao wanawake wa Tanzania wengi wao sio watumishi wa Mungu, wanajua wanaomtumkia. Mpaka sielewi hawa wanatafuta nini Bunia. Alikuja kwanza Christina na hivi ni huyu Mwaipaja. Naililia inchi yangu ya Kongo, Mungu aturehemu.
Kwani nyinyi mulijuwa mkimkataa ndo kila mtu atamkataa? Acheni Mungu aitwe Mungu Akika Mungu ajawahi shindwa na chochote kwakweli martha anaye Mungu kba ❤❤❤❤❤
Asante Yesu? Dhidi kuonekana tamalaki kwaajili yao tunavunja nguvu za giza tunasambalatisha na kubomoa! Tunakata macho mabaya hila mbaya mukutano 😮 huu ukawe wa balaka
Wote ni vipofu tu wata dumbukia shimoni na ange muacha huyo mtoto wake join ange pokelewa hivyo kwa sababu huyo ndiye anaufunguo na ndomana join alisema Martha aki muacha yeye join ana chenye ata poteza lakini Martha ata poteza zana nahiyo ni kweli awezi muacha
Hakuna Mungu hapo. Mbona hata Stephen Kanumba alizikwa hivyo hivyo. Mimi nilihudhuria mazoshi ya Kanumba Leaders Club na nikasikia sauti ondoka hapa kwenye msiba. Nikaondika leaders. Baadaye sana nikasikia Kanumba alikuwa FreeMason. Na waliohusika kuchukua Kanumba wapi Sasa wameokoka mfano Mchungaji Amiel Katekela aliyekuwa akiiahi kuzimu. Fuatilieni shuhuda zake Promover TV
Tumesijuwa Sisi ni wa congomani. Tunamupenda Martha 100 pourcent. Karibu tena dd yetu Martha kwetu Congo. Mungu azidi kukupatia ujasiri mkubwa n'a akuongezeye maisha marefu
Martha karibu sana Kenya. We love you so much.
Martha ni mwimbaji maarufu sana napenda sana nyimbo na hekima za martha
👍👍👍
Daaa utajiri huu watembelea private jet na mama angu hapa anaokota makopo Mungu asinipee.....
Joan na Martha Wana Mungu tofauti na Mungu tunaemujua
Hiyo kweli ni atari sana Mungu wa kweli ana weza kumuruhusu mtu afanye uduma bila mtu kutengeneza na wazazi wake kweli Mungu atu sahidie sana
WaTz acheni wivu. Huyu binti anaimba nyimbo kwa kumtaja Mungu, Bwana Yesu; sasa nyinyi yanawahusu nini?
Kama anakosea, si anamkosea Mungu, yanawahusu nini?
Kwani lazima kusikiliza tungo zake? Si upotezee tu!
Mimi siku hizi baada ya vumi hizi za "wasanii" wa nyimbo za Injili, Najisikilizia Tenza za Rohoni.
Ufalme wa giza unadenda kazi sana, wanajifanya watu wa Mungu kumbe ni mawakala wa lusifa, wanaeneza kazi ya usagaji
Hiyo ni kweli
Mather Mather Mather mwaipaja God be with you love from Zambia tunakupenda sana groly to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 amen and amen
Wanadamu acheni roho mbayo n mungu ndiyo anayejuwa hiyo familia y Martha, don't judge,mungu anajuwa Martha saidi Yako.
People of God in Tanzania devil will not attack one with nothing. Next thing judgement ni ya mungu Roman 2:1-3. What was the story Beatrice and mama did not tell you. Why did they choose social media. The enemy plan was to destroy Martha ministry. I say it's not gonna happen her ministry touches lives and we will support her. God bless you Martha mwaipanja and may He increase and favor you. More Grace. In your tribulations you lived what you preach sijipiganianji mwenyewe and nifundishe kunyamaza. Blessing
Mimi sisemi kitu, ni rahisi kusema ya mtu mwingine lkn ndio maana Yesu alipopelekewa yule mwanamke kahaba aliwaambia ambaye hajafanya kosa awe wa kwanza kumpiga mawe,, kumbe nao walikuwa wahuni kabisa wakaondoka na dhambi zao but yule mzinzi alisamehewa palepale
Hio sio kitu mama mzazi ndio kila kitu kulakiwa sio kitu kuna wenye wamekuja tu kum ona ju wanashanga mwana mziki maarufu kushagana
That my siz amekutengeneza huyu baba my dear still praying on you🎉
Love you Martha 🎉
Hata kina diamond zuchu rayvan pia hupokelewa na magari na maua sio ajabu Kwa upande wa pili ndio style ila haonwasaganaji wangejua mungu huwa ni mvumilivu sana sana ila siku kikombe kikijaa wote tutaona
Jaman. Sio nguvu ya mungu fumbuen macho ya kiroho
Wote ni vipofu kwa kweli awaoni ni atari sana
Matha una muumiza sana mama Yako acha kiburi , huna Hata aibu unaroho ngumu sana wew ,mama ni mama Hata hatukuon na mtoto wako akili Yako imechukuliwa Joan nidio rimot yako
Kuna wapumbavu hapa,wanasema freemasno,inamaana freemasin kubwa kwenu kuliko Mungu?Yesu juuuuuu,Martha songa mbele,Mungu Ana nguvu na sio nguvu za giza,mwenzenu Hana tyme,ye anaita Yesu tu,ndio Ana nguvu,nyie iten Freemason wananguvu kuliko Mungu,kila mtu na upeo wake,
Kipofu awezi kuongoza kipofu mwezie wote wata dumbukia shimoni
Mungu anajibu kwa wakati wake hakika mungu amlinde matha
Kwani kuna nini fiche yenye hauwezi acha Joan ni vile bibi hawezi acha mke
Mungu..si...mwanadam..anaehukumu.asichojua
We love Martha ❤️ 😍 💖 ❣️ 💕
👍👍👍
Martha karibu Sana butembo WE Love you
Kuna siku Mungu atawaaibisha na adhabu yao Mungu anayo, hapo wanafanya hivyo ili kuwapoteza watu waseme wao ni wa kweli, hao ni mawakala tu , hapo tu shetani mtupu
Mungu wangu mama yake Mungu ampe uvumilivu👏
Msizani kuimba ni kwenda mbunguni mbinguni ni bali sana si wote wataenda binguni
Mimi ni mkongo na ninahuzunishwa n wanainchi wanao upokeya kila uchafu ulio tupwa na wenyeji. Inchi yangu imekuwa kama jalala la kutupia kila uchafu. Hao wanawake wa Tanzania wengi wao sio watumishi wa Mungu, wanajua wanaomtumkia. Mpaka sielewi hawa wanatafuta nini Bunia. Alikuja kwanza Christina na hivi ni huyu Mwaipaja. Naililia inchi yangu ya Kongo, Mungu aturehemu.
Acha upungufu wa akili na ungechaguliwa kuwa rahisi uko na elimu ya kuongoza kweli vile unaakili punguvu na chuki
Ni jibu !!!wewe Ni msafiii?!?!
Na inawezekana shusho ndie kamuunganishia hii ili kiwaonyesha watu .... Hakunaga ujanja Kwa Mungu nasikia huruma
Roho mbaya itawatesa sana@@ALVIN-vs1ec
Auna mkongo. Kongo zima iko nyuma na mbele ya Martha. Tume mupenda saaaaana. Eleza mjomba yako shetani ya kuwa Martha ana roho takatifu teleeeeeeeeee
Kwani nyinyi mulijuwa mkimkataa ndo kila mtu atamkataa? Acheni Mungu aitwe Mungu
Akika Mungu ajawahi shindwa na chochote kwakweli martha anaye Mungu kba ❤❤❤❤❤
Usimlaumu mtu kwa kitu usichokijua.
Asante Yesu? Dhidi kuonekana tamalaki kwaajili yao tunavunja nguvu za giza tunasambalatisha na kubomoa! Tunakata macho mabaya hila mbaya mukutano 😮 huu ukawe wa balaka
Huyo ndo shetani zile fujo ndo kuinuka kwake amemuwakilisha vizuri shetani naye amemtunuku
Sasa huyo solange Anavaa nini 😂😂😂
Hamna chanabii hana heshima kwao wa Congomani hawaja jua habari zake kua nimu sagaji yee na Joan Kwanini hakurudia pale alipo fumaniwa?
Wakongo mtafuteni Mungu wakweli sio Muna mpa kiburi mtu anayemkataa mama yake hapo Kongo akili zenu zipo wap?
Wote ni vipofu tu wata dumbukia shimoni na ange muacha huyo mtoto wake join ange pokelewa hivyo kwa sababu huyo ndiye anaufunguo na ndomana join alisema Martha aki muacha yeye join ana chenye ata poteza lakini Martha ata poteza zana nahiyo ni kweli awezi muacha
Shetani ameeda kumuinua congo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hawezi kumuacha Joan
Private Jet mama anaokota makopo anatembeza juice??😮😮 Sishangai maana hata sisi kwa familia tunaye wa hivyo
Umeenda na Joan ili mkapate nafasi ya kufanya yenu.Unashindwa kwenda na mumeo au mwanao wa kumzaa unaenda na Joan?
Wewe akili yako imejaa mawazo machafu tu ukimwona mtu ana huyo J unawaza chobingo tu
Kila neno utatoa hesabu utajibu vizuri uliyayasema maana ilishawakuta ktk u hafu huu
Kuongea tu hivyo inaonyesha humjui hata mungu Wala huna hofu yake,
this what los angels was doing it’s not new
🎉🎉🎉🎉
Ma shetani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mafanikio ya kishetani
Martha songa mbele achana na kelele za chura
Bongo sensibilisation ya franga🇨🇩🇨🇩🇨🇩 . Tuko nguvu ku polémique
Msagaji amekua nabii Tena
Tunaamini c ufalme wa giza akazane sana mshenzi kabisa
Suruali tena hiyo ni balaaa
Lakini vipi kuhusu hizo suruali
Kwanza Congo wanamshangaa hawana Shida nae
Hana jeuri ya private jet
Dunia upenda wakwao
Huku mamako analialia njaa kama msukule mikataba ya kuzimu freemason mapepo wachafu nyie toka kwa jina la Yesu
💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🤐🤐
Earth is hard!!
Huenda akawa free mason
SHETANI ANAMSIMAMIA.
Bado sijashawishika.Bado kiroho yupo nyuma.
Ujinga mtupu, kwa hiyo ukiwa na umati wa watu ndiiyo una Mungu?? Hivi umtelekeze Mama yako useme una Mungu??
Muda utaamua....
Hatushangai. ndiyo kawaida ya FreeMason na wafuasi wao.
Sasa amevaa nini surely
Hakuna Mungu hapo. Mbona hata Stephen Kanumba alizikwa hivyo hivyo. Mimi nilihudhuria mazoshi ya Kanumba Leaders Club na nikasikia sauti ondoka hapa kwenye msiba. Nikaondika leaders. Baadaye sana nikasikia Kanumba alikuwa FreeMason. Na waliohusika kuchukua Kanumba wapi Sasa wameokoka mfano Mchungaji Amiel Katekela aliyekuwa akiiahi kuzimu. Fuatilieni shuhuda zake Promover TV
Propaganda zipo nyingi kwenye hii dunia.
Hatujamukataa wakwetuo
Msagaji amekua nabii Tena