ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Hivi ndivyo Aliko Dangote alivyoupata UTAJIRI wake hadi leo kuwa Bilionea #1 Afrika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2020

ความคิดเห็น • 31

  • @abdulrahmanmkanga4952
    @abdulrahmanmkanga4952 4 ปีที่แล้ว +8

    Haya ndiyo yakujifunza cku zote,, na sio upuuz wa wengneo kwenye mitandao. Shukran.🙏

  • @erisonguonahom6984
    @erisonguonahom6984 4 ปีที่แล้ว +2

    Mzee habari nzuri we need more than this we appreciate my brother

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 ปีที่แล้ว +1

    Woow nimependa Sana umeeleza vizuri, hongera sky

  • @ashuraussein7582
    @ashuraussein7582 4 ปีที่แล้ว +2

    Masha allah mungu nijalie utajiri nisaidie mayatima wanaoteseka😢🙏

  • @goldchaz7050
    @goldchaz7050 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa mtu alipewa dollar 3000 miaka ya 1977 sawa na milion 6 na point kwa miaka hiyo inamaana sio pesa ya kitoto sasa we jidanganye uote kuja kuwa tajiri kikubwa tupambane tu na hali zetu tupate chakula maana MAJI HUFATA MKONDO

  • @sirabahendayussufu2862
    @sirabahendayussufu2862 3 ปีที่แล้ว

    Sky ww ni nomaaa sauti yako noaaaaaa sanaaa I wish I can be like u🎼🎼🎼🎼very attractive

  • @desekepi
    @desekepi 4 ปีที่แล้ว +2

    Basi kuna mtu mzima tuu tena mkubwa alinipa story tofauti na hii kuhusu dangote afu sikuwazaga kuitafuta tena nikamuamini 💯 kumbe kaniingiza chaka 😅😅😂

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 ปีที่แล้ว

    Thanks u brother sky kwa habr nzr na utangazaji wako

  • @drfrankfaustine5469
    @drfrankfaustine5469 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaka sky izo ndo story zinazoweza kuleta manufaa inchin lakin siyo umbea wa kina mwijaku kwaiyo pls story kama izi ziwe nying ili watu wajifunze kutokubweteka na kufanya biashara ndogo ndogo ili kufika mbali sana

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 ปีที่แล้ว +2

    Dangote kumbe ndio huyu shukran

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allahumma barik 🙏❤❤❤❤

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe dangote ndo huyu🤔sasa kwhyo mam dangote huyu ni mwananae🤪

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 ปีที่แล้ว +2

    Ooooh... it's OK it's ok

  • @godimahenge3345
    @godimahenge3345 ปีที่แล้ว +1

    Kuna stoli nyingine na as tuwe tuna jiongeza tusiwe na mawazo mafupi ya kukuba TU. (1) babuyake unaambiwa alikua ni Moja ya matajili Nigeria (2) chuo kikuu Cha biashala kasoma misili. alipo itimu kaludi Nigeria (3)kakopa Kwa ndugu yake USD 3500. SAWA na 6000000 kwa miaka ya saizi Kwa miaka ya Yuma ilikua ni chini yaapo iyo iyo ela kaagiza Mchele na sukali. Nchi mbili tofauti. 🤔🤔🤔. Yani iyo nisawa nakuwaangiza vijana wajiajili wakati wewe umeajiliwa. 🙏🙏

    • @Nominated207
      @Nominated207 ปีที่แล้ว

      Hakuna kisichowezekana lakini ukweli hawa watu hawawezi kusema ukweli story zao ndio kama hivo wanasema wametokea katika familia maskini kumbe sio kweli huwa wanazikuta mali kiasi wao wanaendeleza lakini bado Nampa heshima yake sababu kuviendeleza na vikakua pia kazi si ndogo

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 4 ปีที่แล้ว +1

    Walai izi story ndio nazipenda sio kila siku wasanii tu ivi vitu vinatujenga ss ambao tunapambna

  • @sadadololi4545
    @sadadololi4545 4 ปีที่แล้ว

    Asante maelezo mazuri sana 🙏

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 4 ปีที่แล้ว

    Napenda unavyo simlia 🥰

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 4 ปีที่แล้ว +1

    Woow

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 6 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba utafanyie interview na zongii mwanza

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 ปีที่แล้ว

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Sns

  • @gucijeshii1794
    @gucijeshii1794 4 ปีที่แล้ว

    Boss

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 4 ปีที่แล้ว +1

    one

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa fanyeni video why alifunga kiwanda chake cha Tz

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 4 ปีที่แล้ว

    💪💪

  • @abdullahyaasin768
    @abdullahyaasin768 4 ปีที่แล้ว

    Ahasante sana bro

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 ปีที่แล้ว

    alilelewa kama MUISLAMU ama ni mwislamuu.??..🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @snetiengineeringltd8246
    @snetiengineeringltd8246 ปีที่แล้ว

    Tuache wewe