Nitaumia saana mume wake akikuta yule mtoto sio wakwake na Franco kampatia miimba. Inawezekana doctor ameficha siri ya Derike awezi kumpa mwana mke ujauzito inakua kwa wana wake wengi Derike atajuta mda simrefu. Ahsante saana Lucas ❤❤❤
Kwanza amekuwa amechelewa mimi kipigo cha kwanza ningekuwa nimeshamuacha maana akuna ndowa apo ndowa ni upendo siyo karatasi nampa 100% na apo njo ata juwa ya kwamba yeye ni mgumba ao ni mume wake
Huyu mwanamke kinganganizi kweli,mwanaume amekufanya fuko la mazoezi ww upo upo tu,mtu hakupendi,amekusaliti,lakini huondoki kisa ndoa ya kanisani duuh 😂😂
Daah wanaume wengine bwana ni moto wakuoteya mbari iweje umushutumu mke wako hazai na kipigo juu kisha hashiki mimba ,wanawake wengine uvumilivu utawauwa kisha ndoa kwanza mume ame cheat yanini kungangajia ndoa yenye iko na vituko,sasa huyo michi sijuwi nani kasha cheat na yeye hapo asubilie ujauzito, ila yote sawa kama bwayi bwayi tu wahenga wanasema ukisusa wenzio wanakula kwalaha zao😂😂😂😂😂😂
Mawifi wengine bn mnavalia mambo yasiowahusuu unafurahia kaka yako kuoa mara yapili wakati hamjajua shidaa iko wapi ila kitambo ifike mwisho huyuu derick naona hana kizaxi kauxiwaa mbuxi kwagunia.huyoo Angelala mwezi mxima mahabusu tuuuu mana hafai..naona mish ataolewaa na baba jei tuuu
Bismillah😂😂😂 Unatulazimisha kama sehem ya 31 Ilikuwa na taarifa nyingi Hatuja kaa sawa unatuleteya Baba Jay hatukukubaliyanaga hiiiiiiiiii ratibaaa😢😢😢😢 haya bhana tunyanyaseeee
Mke wa Mtu my tail yaani Mtu kapiga kama gunia la maharage wanawake wengine tuliumbiwa roho za nyau😃😃 yaani mpk utolewe roho kwenda kuzimu alafu huko utakuwa Mke wa naniii!!!
Nimekutafuta sana ww atimaye nimefika❤❤ nice one
Wanne leo wacha tuone baba jay kafanyaje asante lucas kwa kutuburudisha unatufanya maisha yetu yawe ya kufurahisha na kutuelimisha❤❤
Baba jay wewe nomaaa❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Wakwanza jamani kwa simulizi hii mpyaa naombeni likes zenu 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Mishi ukosahii sana kumpenda anaempenda
Waaah hongera kwa mashabiki yaani mnawahi kweli sio poa 😂😂😂😂 asante sana kaka Lukas Mungu atupe maisha marefu yenye furaha na upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amin inshallah
Haya maisha yana changa moto ukizaa utaambiwa una zaa kama kuku usipozaa ni mtihan kwenye familia ya mume😢😢😢😢
Asante sana Kwa simuliz Mpya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yan hii simuliz iko hot
Sijapenda mbn hakuna muendelezo wa chioma
Nitaumia saana mume wake akikuta yule mtoto sio wakwake na Franco kampatia miimba. Inawezekana doctor ameficha siri ya Derike awezi kumpa mwana mke ujauzito inakua kwa wana wake wengi Derike atajuta mda simrefu. Ahsante saana Lucas ❤❤❤
asant kaka lucas ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimefika jamani 🎉🎉🎉🎉
Me namungaaaa mkono 💯
Chioma kaka lucas
Daaah patamu hapo basi tu huyo dada hajakosea pia yy ni binadamu ana hisia banaa
ᵁᵘᵘᵘʰ ᵃᵐᵏᵉⁿⁱ 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
❤❤❤❤
Matangazo mengi yanakela
Waooooo
🎉🎉
Kwanza amekuwa amechelewa mimi kipigo cha kwanza ningekuwa nimeshamuacha maana akuna ndowa apo ndowa ni upendo siyo karatasi nampa 100% na apo njo ata juwa ya kwamba yeye ni mgumba ao ni mume wake
Hakka wanaume hawajui kua nao ugumba waweza kuwanao😊
@@TeklaNdekejakabisa
Uamuzi amechukua mwanamke ni mzuri
❤❤❤
Yaani mtu unasubir kuendelezo hadi unasahau za mwanza sijapenda😢
Yupo sahihi
❤❤ohooo kaka lucas utatuwa, namautam ya baba jay so kwatabasam hloo inaonekana🔥 sana haya masikio kw lucas wetu like chukuwen ote🌹🏃
Inabidi muwe mnapewa zawadi jaman maan 😢😢😢😢
@@ReginaJumanne tupeni bas🙏🧎
Duuuh maan so kwa kwenda na muda huk 😢😢😢@@TeklaNdekeja
Babe akee Roman upoo mamy😍😘
@@lareineminah1353 nakwambia we achat
Kaka mimi ndio naaza pati 1 tuko pamoja kazi njema
Kisheria wote wa3 maamuzi waliochukua sio sahihi
Sio Mishi,Sio Baba Jay wala Derrick
Waachane tu kwa amani
Kila mtu aendelee na maisha yake 😊
❤
VIP. Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
Baba jay anani tena😂
akuchomae nawe mchome tu da Mishi kazi nzuri sana
Nahisi yeye amevumilia sana
Leo tunakaribishwa na wimbo weeeee,maua yako bro.
Ila bro Chioma umeosusa sana
Kiupande wangu kama mwanamke maamzi aliyoyachukua huyo bidada namuunga mkona asilimia 100
Kaka Lucas zingine simulizi Apana maana zinatuharibiya mudi kwa kweli Tupo kwenye ndowa ila uvumilivu wa ivyo Apana uyo ujasiri sina wa uyo uvumilivu
Huyu mwanamke kinganganizi kweli,mwanaume amekufanya fuko la mazoezi ww upo upo tu,mtu hakupendi,amekusaliti,lakini huondoki kisa ndoa ya kanisani duuh 😂😂
🤣🤣🤣🤣
Daah wanaume wengine bwana ni moto wakuoteya mbari iweje umushutumu mke wako hazai na kipigo juu kisha hashiki mimba ,wanawake wengine uvumilivu utawauwa kisha ndoa kwanza mume ame cheat yanini kungangajia ndoa yenye iko na vituko,sasa huyo michi sijuwi nani kasha cheat na yeye hapo asubilie ujauzito, ila yote sawa kama bwayi bwayi tu wahenga wanasema ukisusa wenzio wanakula kwalaha zao😂😂😂😂😂😂
😊😊😊
@@FatumaRamadan.Mwalim yani hawa viumbe vinavyo itwa wanaume vikikubadirikia utajuta kuzaliwa ila wanawake nao wamezidi kuvumilia ushenzi.
@@Evelynmoreen3655 nifu nikiona kisa ndoa mamaangu mwenyewe aliache mm ninani nifie ndoani 😂😂
@@FatumaRamadan.Mwalim wr acha tu Mungu mwenyewe ndie anajuwa maisha ya mtu.
@@Evelynmoreen3655 kweli
Nice
Asante kaka Lumbas Kwa mzigo mpya
Mish kwaza alichelewa kuchepuka huyo mwanaume amemuumizaa Sana kupigwaa hivyoo mm mwenyewe nisingevumilia naninauhakika mish atapata mimba ya Frank huyoo mume nahisi hayuko kamili wacha tuone kunaendaje lkn kuna mtu kulia kauxiwaa mbuxi kwagunia ..halafu huyoo atembezee kiatuu mtu amekusaidia ukiwaa nashida sasa yy kapata shida hujamsaidia wewe unafurahia
Mawifi wengine bn mnavalia mambo yasiowahusuu unafurahia kaka yako kuoa mara yapili wakati hamjajua shidaa iko wapi ila kitambo ifike mwisho huyuu derick naona hana kizaxi kauxiwaa mbuxi kwagunia.huyoo Angelala mwezi mxima mahabusu tuuuu mana hafai..naona mish ataolewaa na baba jei tuuu
Sijachelewa sana na mm nipeni like hata 5🎉🎉🎉😂😂😂❤
🙏🙏🙏❤🎉
Wewe Lucas mbona umeanza kuzingua sasa chioma Iko wap mbona humalizii
Alaf ishaisha ndugu yangu wew
@@FalidaRahma sio Arafa nimechanganya majina kweli hiyo nimemaliza hata mm si pale mwsho anapata bwana mzungu
@@FalidaRahma chioma ndio bado
Kheee arafa gan tena jaman mbona aliisha kitambo ila mashabik wa lucas tusipoona edna tunakuwa kama na kitete😂😂
@@jasminmohagthari3730 ahahahahah nimechanganya kumbe ni chioma jamn
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Kaka lucas uwe unatoa na simulizi za ceo
Unamanisha Edna
Amna simulizi nyingine za ceo
Maamuzi walio chukua wako sahihi kabisa
number 20 ...give me some likes plz 🙏 guyz
Na mimba inaingia apo apo 😊
Baba jay kafanyaje tena jaman nayeye anakojolea watu kama roma au yy mpole hana maajabu😅😅😅
Mmmh
Hana maajabu😂😂😂😂
Chioma vipi jamani😢 nimemmic mume wake suruali ya kitambaa na flana ya yanga😂😂😂😂
🤣🤣🤣wee chizi
🤣🤣🤣
Kwanini alakini😂😂😂😂
Bismillah😂😂😂 Unatulazimisha kama sehem ya 31 Ilikuwa na taarifa nyingi Hatuja kaa sawa unatuleteya Baba Jay hatukukubaliyanaga hiiiiiiiiii ratibaaa😢😢😢😢 haya bhana tunyanyaseeee
Anko mwenzie na mtoto analea Tena yeye akibanie cha nn kwanza nyumbs ni ya kwake khofu ya nn (baada ya kisa mkasa)🤙🤙🤙🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃
Wacha nifurahie simulizi nitatoa comment❤❤❤❤❤🎉
Mke wa Mtu my tail yaani Mtu kapiga kama gunia la maharage wanawake wengine tuliumbiwa roho za nyau😃😃 yaani mpk utolewe roho kwenda kuzimu alafu huko utakuwa Mke wa naniii!!!
Watu wanaoa mke lakini Derick anaoa kizazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eh,mjoni kisomo🤣🤣🤣
🧎🏻♀️😭😭
Yaan wanawake wa hivi siwapend mtu unahela zako bado unatesekea ndoa tena anakupiga kidogo huyo mumeo ujinga kabsa
Yaniiii hapo ndo si elewagiiii😢😢😢😢
Mm mish ningemove on,,,frango alikua nyege ya muda lkn Derick angempata angemua unless frango awe nguvu kumshinda
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Ndo xx Hawa kwa list tuko pamoja bro like zenu wapenzi wangu
Thank
Huyo franco hsna adsby😂😂 nyumban kwa watu ila mish yuko sahih ila turn asingefanyia homes coz sio sahih angeenda tu hotel
Hii simulizi inanihuzusha kwakweli, nimeisikiliza mpka mwisho nimejikuta nalia aki,,mm mwanaume akinipa hata kofi siku hiyo hiyo namkimbia😂😂😂😂
Aki Tena mi ninavyopenda mwili wangu
Lukasi makweri unajuwa yiko sahihi samebebesha mimba ugisema canini wenzio wanasema ntagipata rini uuuuuuiiiii mupe yote😁😁😁😁😊
Jamni mishi atakama Ni uko kulinda ndoa sikwakipigo icho
❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤