BABA JAY | LOVE STORY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 112

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekutafuta sana ww atimaye nimefika❤❤ nice one

  • @Remsyjay482
    @Remsyjay482 3 หลายเดือนก่อน +15

    Wanne leo wacha tuone baba jay kafanyaje asante lucas kwa kutuburudisha unatufanya maisha yetu yawe ya kufurahisha na kutuelimisha❤❤

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baba jay wewe nomaaa❤❤❤🇴🇲🇴🇲

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 3 หลายเดือนก่อน +21

    Wakwanza jamani kwa simulizi hii mpyaa naombeni likes zenu 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @FaithNdenge-k9i
    @FaithNdenge-k9i 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mishi ukosahii sana kumpenda anaempenda

  • @MariahMariahmambo
    @MariahMariahmambo 3 หลายเดือนก่อน +8

    Waaah hongera kwa mashabiki yaani mnawahi kweli sio poa 😂😂😂😂 asante sana kaka Lukas Mungu atupe maisha marefu yenye furaha na upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @FatumaRamadan.Mwalim
      @FatumaRamadan.Mwalim 3 หลายเดือนก่อน

      Amin inshallah

    • @SofiaMchange
      @SofiaMchange 3 หลายเดือนก่อน

      Haya maisha yana changa moto ukizaa utaambiwa una zaa kama kuku usipozaa ni mtihan kwenye familia ya mume😢😢😢😢

  • @FaithNdenge-k9i
    @FaithNdenge-k9i 3 หลายเดือนก่อน +12

    Asante sana Kwa simuliz Mpya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @zahrasahi9302
    @zahrasahi9302 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yan hii simuliz iko hot

  • @AminaSalum-g2j
    @AminaSalum-g2j 3 หลายเดือนก่อน +7

    Sijapenda mbn hakuna muendelezo wa chioma

  • @rosalienahimana6287
    @rosalienahimana6287 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nitaumia saana mume wake akikuta yule mtoto sio wakwake na Franco kampatia miimba. Inawezekana doctor ameficha siri ya Derike awezi kumpa mwana mke ujauzito inakua kwa wana wake wengi Derike atajuta mda simrefu. Ahsante saana Lucas ❤❤❤

  • @mwanasiti83sete63
    @mwanasiti83sete63 3 หลายเดือนก่อน +2

    asant kaka lucas ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @vailethvennance4651
    @vailethvennance4651 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nimefika jamani 🎉🎉🎉🎉

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 3 หลายเดือนก่อน +3

    Me namungaaaa mkono 💯

  • @michaelmbilinyi7442
    @michaelmbilinyi7442 3 หลายเดือนก่อน +8

    Chioma kaka lucas

  • @Holiness-to3wp
    @Holiness-to3wp 3 หลายเดือนก่อน +3

    Daaah patamu hapo basi tu huyo dada hajakosea pia yy ni binadamu ana hisia banaa

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 3 หลายเดือนก่อน +12

    ᵁᵘᵘᵘʰ ᵃᵐᵏᵉⁿⁱ 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤

  • @SizaPanupanu
    @SizaPanupanu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Matangazo mengi yanakela

  • @RebecaJoseph-t9j
    @RebecaJoseph-t9j 3 หลายเดือนก่อน +2

    Waooooo

  • @asmajuma-kp8jq
    @asmajuma-kp8jq 3 หลายเดือนก่อน +10

    🎉🎉

  • @sakinapili1569
    @sakinapili1569 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kwanza amekuwa amechelewa mimi kipigo cha kwanza ningekuwa nimeshamuacha maana akuna ndowa apo ndowa ni upendo siyo karatasi nampa 100% na apo njo ata juwa ya kwamba yeye ni mgumba ao ni mume wake

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 3 หลายเดือนก่อน

      Hakka wanaume hawajui kua nao ugumba waweza kuwanao😊

    • @sakinapili1569
      @sakinapili1569 3 หลายเดือนก่อน

      @@TeklaNdekejakabisa

  • @QueenDenise-i9u
    @QueenDenise-i9u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uamuzi amechukua mwanamke ni mzuri

  • @FatumaJumanne-p4d
    @FatumaJumanne-p4d 3 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤

  • @AminaSalum-g2j
    @AminaSalum-g2j 3 หลายเดือนก่อน +7

    Yaani mtu unasubir kuendelezo hadi unasahau za mwanza sijapenda😢

  • @Munira1044
    @Munira1044 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yupo sahihi

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 3 หลายเดือนก่อน +13

    ❤❤ohooo kaka lucas utatuwa, namautam ya baba jay so kwatabasam hloo inaonekana🔥 sana haya masikio kw lucas wetu like chukuwen ote🌹🏃

    • @ReginaJumanne
      @ReginaJumanne 3 หลายเดือนก่อน +2

      Inabidi muwe mnapewa zawadi jaman maan 😢😢😢😢

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 3 หลายเดือนก่อน +3

      @@ReginaJumanne tupeni bas🙏🧎

    • @ReginaJumanne
      @ReginaJumanne 3 หลายเดือนก่อน

      Duuuh maan so kwa kwenda na muda huk 😢😢😢​@@TeklaNdekeja

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 3 หลายเดือนก่อน +3

      Babe akee Roman upoo mamy😍😘

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@lareineminah1353 nakwambia we achat

  • @MwajumaToh
    @MwajumaToh 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka mimi ndio naaza pati 1 tuko pamoja kazi njema

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kisheria wote wa3 maamuzi waliochukua sio sahihi
    Sio Mishi,Sio Baba Jay wala Derrick
    Waachane tu kwa amani
    Kila mtu aendelee na maisha yake 😊

  • @ShadyaKipingu
    @ShadyaKipingu 3 หลายเดือนก่อน +7

  • @mumbikibathi7036
    @mumbikibathi7036 3 หลายเดือนก่อน +4

    VIP. Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes

  • @Joycetatu
    @Joycetatu 3 หลายเดือนก่อน +7

    Baba jay anani tena😂

  • @nchidabajuma9401
    @nchidabajuma9401 3 หลายเดือนก่อน +1

    akuchomae nawe mchome tu da Mishi kazi nzuri sana

  • @UmySele
    @UmySele 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nahisi yeye amevumilia sana

  • @LeeYanOm
    @LeeYanOm 3 หลายเดือนก่อน +8

    Leo tunakaribishwa na wimbo weeeee,maua yako bro.
    Ila bro Chioma umeosusa sana

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kiupande wangu kama mwanamke maamzi aliyoyachukua huyo bidada namuunga mkona asilimia 100

  • @sakinapili1569
    @sakinapili1569 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka Lucas zingine simulizi Apana maana zinatuharibiya mudi kwa kweli Tupo kwenye ndowa ila uvumilivu wa ivyo Apana uyo ujasiri sina wa uyo uvumilivu

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwanamke kinganganizi kweli,mwanaume amekufanya fuko la mazoezi ww upo upo tu,mtu hakupendi,amekusaliti,lakini huondoki kisa ndoa ya kanisani duuh 😂😂

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 3 หลายเดือนก่อน +8

    Daah wanaume wengine bwana ni moto wakuoteya mbari iweje umushutumu mke wako hazai na kipigo juu kisha hashiki mimba ,wanawake wengine uvumilivu utawauwa kisha ndoa kwanza mume ame cheat yanini kungangajia ndoa yenye iko na vituko,sasa huyo michi sijuwi nani kasha cheat na yeye hapo asubilie ujauzito, ila yote sawa kama bwayi bwayi tu wahenga wanasema ukisusa wenzio wanakula kwalaha zao😂😂😂😂😂😂

    • @FatumaRamadan.Mwalim
      @FatumaRamadan.Mwalim 3 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@FatumaRamadan.Mwalim yani hawa viumbe vinavyo itwa wanaume vikikubadirikia utajuta kuzaliwa ila wanawake nao wamezidi kuvumilia ushenzi.

    • @FatumaRamadan.Mwalim
      @FatumaRamadan.Mwalim 3 หลายเดือนก่อน

      @@Evelynmoreen3655 nifu nikiona kisa ndoa mamaangu mwenyewe aliache mm ninani nifie ndoani 😂😂

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@FatumaRamadan.Mwalim wr acha tu Mungu mwenyewe ndie anajuwa maisha ya mtu.

    • @FatumaRamadan.Mwalim
      @FatumaRamadan.Mwalim 3 หลายเดือนก่อน

      @@Evelynmoreen3655 kweli

  • @Damkubawa
    @Damkubawa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nice

  • @YasintaHongela-j4s
    @YasintaHongela-j4s 3 หลายเดือนก่อน +7

    Asante kaka Lumbas Kwa mzigo mpya

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mish kwaza alichelewa kuchepuka huyo mwanaume amemuumizaa Sana kupigwaa hivyoo mm mwenyewe nisingevumilia naninauhakika mish atapata mimba ya Frank huyoo mume nahisi hayuko kamili wacha tuone kunaendaje lkn kuna mtu kulia kauxiwaa mbuxi kwagunia ..halafu huyoo atembezee kiatuu mtu amekusaidia ukiwaa nashida sasa yy kapata shida hujamsaidia wewe unafurahia

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mawifi wengine bn mnavalia mambo yasiowahusuu unafurahia kaka yako kuoa mara yapili wakati hamjajua shidaa iko wapi ila kitambo ifike mwisho huyuu derick naona hana kizaxi kauxiwaa mbuxi kwagunia.huyoo Angelala mwezi mxima mahabusu tuuuu mana hafai..naona mish ataolewaa na baba jei tuuu

  • @SofiaKhamis-ol1bn
    @SofiaKhamis-ol1bn 3 หลายเดือนก่อน +14

    Sijachelewa sana na mm nipeni like hata 5🎉🎉🎉😂😂😂❤

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 3 หลายเดือนก่อน +6

    🙏🙏🙏❤🎉

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 3 หลายเดือนก่อน +9

    Wewe Lucas mbona umeanza kuzingua sasa chioma Iko wap mbona humalizii

    • @FalidaRahma
      @FalidaRahma 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alaf ishaisha ndugu yangu wew

    • @scollamwanisisi2739
      @scollamwanisisi2739 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@FalidaRahma sio Arafa nimechanganya majina kweli hiyo nimemaliza hata mm si pale mwsho anapata bwana mzungu

    • @scollamwanisisi2739
      @scollamwanisisi2739 3 หลายเดือนก่อน

      @@FalidaRahma chioma ndio bado

    • @jasminmohagthari3730
      @jasminmohagthari3730 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kheee arafa gan tena jaman mbona aliisha kitambo ila mashabik wa lucas tusipoona edna tunakuwa kama na kitete😂😂

    • @scollamwanisisi2739
      @scollamwanisisi2739 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@jasminmohagthari3730 ahahahahah nimechanganya kumbe ni chioma jamn

  • @candidekaneza8587
    @candidekaneza8587 3 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 3 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉🎉😂

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 3 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @michaelmbilinyi7442
    @michaelmbilinyi7442 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kaka lucas uwe unatoa na simulizi za ceo

  • @rosalienahimana6287
    @rosalienahimana6287 3 หลายเดือนก่อน +2

    Maamuzi walio chukua wako sahihi kabisa

  • @elizabethkatoko8867
    @elizabethkatoko8867 3 หลายเดือนก่อน +9

    number 20 ...give me some likes plz 🙏 guyz

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 หลายเดือนก่อน +2

    Na mimba inaingia apo apo 😊

  • @jasminmohagthari3730
    @jasminmohagthari3730 3 หลายเดือนก่อน +6

    Baba jay kafanyaje tena jaman nayeye anakojolea watu kama roma au yy mpole hana maajabu😅😅😅

  • @Eshaomar-ge2nf
    @Eshaomar-ge2nf 3 หลายเดือนก่อน +7

    Chioma vipi jamani😢 nimemmic mume wake suruali ya kitambaa na flana ya yanga😂😂😂😂

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bismillah😂😂😂 Unatulazimisha kama sehem ya 31 Ilikuwa na taarifa nyingi Hatuja kaa sawa unatuleteya Baba Jay hatukukubaliyanaga hiiiiiiiiii ratibaaa😢😢😢😢 haya bhana tunyanyaseeee

  • @OmanBahla-i5g
    @OmanBahla-i5g 3 หลายเดือนก่อน +2

    Anko mwenzie na mtoto analea Tena yeye akibanie cha nn kwanza nyumbs ni ya kwake khofu ya nn (baada ya kisa mkasa)🤙🤙🤙🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹

  • @ElizaSada
    @ElizaSada 3 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 3 หลายเดือนก่อน +2

    😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃

  • @melissaivanyi
    @melissaivanyi 3 หลายเดือนก่อน +5

    Wacha nifurahie simulizi nitatoa comment❤❤❤❤❤🎉

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mke wa Mtu my tail yaani Mtu kapiga kama gunia la maharage wanawake wengine tuliumbiwa roho za nyau😃😃 yaani mpk utolewe roho kwenda kuzimu alafu huko utakuwa Mke wa naniii!!!

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanaoa mke lakini Derick anaoa kizazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eh,mjoni kisomo🤣🤣🤣

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 3 หลายเดือนก่อน +2

    🧎🏻‍♀️😭😭

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yaan wanawake wa hivi siwapend mtu unahela zako bado unatesekea ndoa tena anakupiga kidogo huyo mumeo ujinga kabsa

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 3 หลายเดือนก่อน

      Yaniiii hapo ndo si elewagiiii😢😢😢😢

  • @dinahnamalwa
    @dinahnamalwa 2 หลายเดือนก่อน

    Mm mish ningemove on,,,frango alikua nyege ya muda lkn Derick angempata angemua unless frango awe nguvu kumshinda

  • @Damkubawa
    @Damkubawa 3 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @EstherMlai
    @EstherMlai 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ndo xx Hawa kwa list tuko pamoja bro like zenu wapenzi wangu

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo franco hsna adsby😂😂 nyumban kwa watu ila mish yuko sahih ila turn asingefanyia homes coz sio sahih angeenda tu hotel

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii simulizi inanihuzusha kwakweli, nimeisikiliza mpka mwisho nimejikuta nalia aki,,mm mwanaume akinipa hata kofi siku hiyo hiyo namkimbia😂😂😂😂

    • @KhadijaTsumo
      @KhadijaTsumo 3 หลายเดือนก่อน

      Aki Tena mi ninavyopenda mwili wangu

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 2 หลายเดือนก่อน

    Lukasi makweri unajuwa yiko sahihi samebebesha mimba ugisema canini wenzio wanasema ntagipata rini uuuuuuiiiii mupe yote😁😁😁😁😊

  • @KhadijaTsumo
    @KhadijaTsumo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamni mishi atakama Ni uko kulinda ndoa sikwakipigo icho

  • @NafuuMohammad
    @NafuuMohammad 3 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤❤❤

  • @sarakahidi6348
    @sarakahidi6348 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤🎉🎉

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤

  • @Damkubawa
    @Damkubawa 3 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 3 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 3 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤