MAPYA YAIBULIWA "MSIGWA HAFAI CCM, SGR TUMEPIGWA BILIONI 700, TUNADANGANYANA TANZANIA SIO SALAMA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 164

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +15

    Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.

  • @gracefoya4609
    @gracefoya4609 หลายเดือนก่อน +12

    Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l หลายเดือนก่อน

      Nice comment ever seen

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sana David. What goes around comes around. Watch your back pl’se. You have entered enemy territory!

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h หลายเดือนก่อน +3

    Kiukweli anachokieleza kiongozi huyu wa chadema nakiona kuna mantiki na Mungu anajambo la muhimu na nchi hii .Mungu tunusuru na ukatili unaofanywa na watu wasio na hofu ya Mungu . Inusuru nchi hii katika wimbi la siasa ya uhasama tuwe pamoja na viongozi watende haki. Kuwe na hofu ya Mungu waache uovu

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU TU NDIYE MLIPA KISASI WA KWELI NA ANAYESIHILI. MLILIENI MUNGU NA KUMUOMBA AWALIPIYE KISASI AMINNI. KABISA MUNGU ATASHUKA NA KUWAPIGANIA ANASUBIRI MUMUOMBE TUUUKWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l หลายเดือนก่อน +3

    Raisi ndiyo anaye asisi hayo mambo huyo jamaa anaongea nini???
    Punguzeni ujinga watanzania tuchukue hatua

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 หลายเดือนก่อน +2

    Mchakato wa kuchukua form Mwaka 2020 ulikuwa wa hatari sana. Ule mshike mshike haukua wakitoto

  • @paull8659
    @paull8659 หลายเดือนก่อน +18

    Kuna haja ya kutumia nguvu kuindoa CCM milele.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 หลายเดือนก่อน

      Haya tangulia tukuone

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 วันที่ผ่านมา

      ​@@walidmgonja3644Bila shaka wewe unafurahia sana yanayofanyika

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +7

    😢😢😢HIVII HUYU ALIYEIPITISHA KATIBA HII MBOVU ALITUTAKIA NINI SISI WATANGANYIKAA😢😢

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 หลายเดือนก่อน

      Nyerere na wakina piusi msekwa na jaji warioba ingawa toka zamani sasa warioba anaipinga anaiona sio katiba ya kwendana na maisha yasasa ukizingatia tuko mfumo wa vyama vingi ila majambazi wachache wenye uroho wa madaraka ili waendelee kuneemeka na familia zao

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 หลายเดือนก่อน

      Brother tumeingizwa cha kike, halafu huyu mtanazaji ni ccm kabisa

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana David Jumbe mungu akulinde fumbua watanzania akili na mawazo.amina

  • @user-fw8bk3bc2p
    @user-fw8bk3bc2p หลายเดือนก่อน +8

    Itakuwaje Kama mahojiano haya yapewe nafasi kwa vyombo vyetu vya habari Kama TBC,ITV nk

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 29 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 haaa haaa hatari

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 29 วันที่ผ่านมา

      TBC tv ya CCMO waweke hayo madini thubutu hasirani haito wezekana b !

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d หลายเดือนก่อน +2

    Msigwa roho fisi tu yule mwendawazimu.

  • @Hemedmikole-r9e
    @Hemedmikole-r9e 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mi nashangaa sana selikali ya ccm wanaona wao wapo juu ya shelia watambue yana mwisho haya

  • @evelina9621
    @evelina9621 27 วันที่ผ่านมา +2

    Pelekrni.umoja.wa.mataifa.utekaji.watu.tanzania.ikome.hili.jambo

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 หลายเดือนก่อน +5

    Upo vizuri sana ndugu hata tukae IPO siku watanzania watakuja kujitambua

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kiongozi ana uwezo mkubwa sanasana wa kujieleza na ana uwezo wa uongozi Mungu ampe uzima,afya na waendelee kutujenga wananchi kwa imani kubwa bila kuteteteshwa na kuyumbishwa

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s หลายเดือนก่อน +4

    Kweli kaka nchi yetu imekuwa siyo seemu salama ya kuishi

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli majambazi hayo. Na ndio maana yanang'ang'ana ni ktuibia tu. Na mafisadi kweli

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru หลายเดือนก่อน +3

    Mwandishi huyu safi sana anafaa kuwa CNN BBC

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +4

    WELL SAID KIONGOZI

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +5

    Ccm mnasikia hata nyinyi mnauzwa .hasara inayo patikana wote mtalia tena sana tena watekaji ni watanzania tumejisahau mfano munyampara akiwa jera anajiona yeye siyo mfungwa.anapiga wenzake anapewa buti mkanda sare anajiita mimi munyampala. Hivohivo mnatuteka mnasahau kuwa tunapigania haki zetu sote kuna siku mtakumbuka

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o หลายเดือนก่อน +7

    Kaka kweli unaongea Kwa hisia kali.unachoongea ni ukweli kabisa watanganyika tutasafa sana.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +6

    Upo sahihi kabisa jino kwa jino

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน +2

    Wadau acheni huu msemo wa kusema Tz ina amani, hakuna mwenye amani, Tz kuna uvumilivu tu na sio amani , elewa amani inatoka moyoni, tofautisha amani na utulivu ndio mseme tz ina amani, tunahitaji katiba mpya mchana kweupe.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 หลายเดือนก่อน

      Akili huna,umeandika utumbo gani hapo!

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

      @@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

      @@walidmgonja3644 utumbo wa chawa dume

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l หลายเดือนก่อน +1

    Nyie viongozi fanyeni kazi ya kuunganisha wananchi wataingia barabarani bila kuwahitaji nyie wakipata elimu vizuri.

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 หลายเดือนก่อน

    Excellent conversation congratulations and big respect 🙏

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 27 วันที่ผ่านมา

    Waaooh
    Ahsante kwa kufikisha ujumbe.

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h หลายเดือนก่อน +1

    Duuuu viongozi wa chadema wana akili kubwa mungu wanasuru na mabaya eawafumbue wwnanchi mawazo waweze kudai haki zao jmn kuna ukweli nausikia hapa unaogopesha

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo Ndio Dawa Ya Kuiondoa Ccm Atakae Usika Kumuengewa Mgombea Yoyote Wa Chadema Asibakishwe Tumechoka Kufanywa Wajinga

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kiongozi alafu ndg mwandishi umeshindwa kweli kuweka picha yetu ya treni umeweka treni ya kenya inamana umekosa picha kweli

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +2

    Wacha ubwege ccm hawana inchi wewe bwege bandali hukumbuki masai wanapata shida wewe unaona vema. Tozo za umeme zimeongozeka ccm mnabariki

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 หลายเดือนก่อน +3

    Kwili ni usalama bandia

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wabaya wataziponza familia zao vizazi vijavyo vitapata taabu mno wafurahie tu ujinga wawazazi wao ila watalipa tu aminini ipo siku

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 หลายเดือนก่อน +1

    Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza jamhuri ya Muungano wa TANZANIA badala ya kutengeneza kitu inaitwa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 หลายเดือนก่อน +2

    Msigwa amesha toboa madudu yenu ya Chadema ni Saccos tuuu mbona Mbowe anawaibia munamuacha tuu😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 วันที่ผ่านมา +2

      Kaiba nini,unaacha kupinga ufisadi unaosababisha kukosa huduma muhimu kama maji na barabara unahangaika na visenti vya upinzani

    • @user-pp1cq9op5y
      @user-pp1cq9op5y 6 วันที่ผ่านมา

      Madudu gani msigwa anomba huruma ccm chadema haijawahi shika dora tunaishi kwa michango yetu

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 หลายเดือนก่อน +1

    Yetu macho, karibu nahamia Zanzibar jamani. Kwani Kumenoga sana, Bara mhmm!!!

    • @rayamgeni9772
      @rayamgeni9772 หลายเดือนก่อน

      Njoo tu huku ndo kumeoza

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 หลายเดือนก่อน

    MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA ....
    CCM OYEEEEEEEE

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 หลายเดือนก่อน

    Kweli uko vizuri unacho sema ni kweli😢

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 15 วันที่ผ่านมา

    Acheni kuikosowa serikari takatifu ni watu wazuri sana nyinyi mnatukana viongozi.

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 13 วันที่ผ่านมา

      Utakatifu ni ukuu wa Allah tu.

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 หลายเดือนก่อน +2

    Nimetokea kumpenda huyu mwamba anajuwa kujenga hoja ila bila kumsahau mtangazaj yuko vidhur

  • @TeamKRX
    @TeamKRX หลายเดือนก่อน

    Nina asili ya Kiarabu Ila daah hawa watu Naona samia anajiona muarabu Sijui Hawajui Nash’angaa

  • @efremmwalongo828
    @efremmwalongo828 27 วันที่ผ่านมา

    Safi sana bro

  • @hadrianmlelwa9599
    @hadrianmlelwa9599 13 วันที่ผ่านมา

    Anafaa sana.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 หลายเดือนก่อน

    Upigaji mkubwa sanaaaa yaani mnavyotuammbia sisi wananchi tunaumia Sanaa.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +3

    HATUKO SALAMA

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaa

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 21 วันที่ผ่านมา

    Wenyeviti wa mitaa ni tatizo sana

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb หลายเดือนก่อน

    Kweli mwenzako akimwaga mboga wewe mwaga ugali uko vizuri sana

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 27 วันที่ผ่านมา

    KuiondoaCCM kama mtajiwenu eti Lisu nikupigwa risasi.. hiyomtafute kazinyingine ikulu wanaingia kwamtaji wakuiteka nguvya umma mujitafakari napropoganda zakufikirika itawachukua hatakarne moja bilskuchukua dola Houston utani.

  • @user-us4tk2tk3c
    @user-us4tk2tk3c 24 วันที่ผ่านมา

    Hana jipya huyo kiongozi, ana akili ya kitoto sana. Matope mtu. Hana suluhu ya tatizo bali ni mkuzaji wa tatizo na uchochezi. Kazi kuponda wenzie tuu, Suala la utekaji ni siri kubwa na hilo halina vyama maana hata CHADEMA kunamafia watekaji rejea maelezo ya Dr. Slaa aliyekuwa Katibu mkuu CDM ya ukili kuwa kulikuwa na Utekaji ndani ya CDM.

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 หลายเดือนก่อน

    Sema Ukweli Wote.Nchi Inauzwa Tukiwa Tunaona.SGR Akili Za JPM.

  • @meyasadavid9801
    @meyasadavid9801 หลายเดือนก่อน +1

    Atugombei urais kwa hisia ndugu

  • @gracefoya4609
    @gracefoya4609 หลายเดือนก่อน

    Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.

  • @SeveriniPeterMkini
    @SeveriniPeterMkini 24 วันที่ผ่านมา

    Hesabu ya umbali kutoka DSM kwenda kokote nchini, umbali huanzia CLOCK TOWER jirani na Railways-Police-Station

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 29 วันที่ผ่านมา

    Ndugae alishasema Mama anauza Tanganyika japo hata yeye alikuwa shetani nusu malaika na sasa yanatimia Mama kizimkazi anatuza tukiwa na Mgovi yetu ya bara!

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 หลายเดือนก่อน +2

    Djumbe ni Mwamba wa CDM Singida kzkazn tunajivunia

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d หลายเดือนก่อน

    Watekaji wanafahamika ni wale waliotajwa na Mh. Benson

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m หลายเดือนก่อน

    Hii ni akili kubwa kiukweli nchi miaka 70 tunajadili ujenzi wa kiwango cha lami ambayo inaangusha magari hovyo mno... ni hatari sana

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru หลายเดือนก่อน

    Na mjibu maswali yuko vizuri mnooo

  • @PietroPescatore-b3g
    @PietroPescatore-b3g 25 วันที่ผ่านมา

    Je, wawekezaji wa kisasa wanaweza kuteua serikali waitakayo wao 2025?

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 หลายเดือนก่อน

    Bora kupigwa Kuriko visionekane kabisa

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 หลายเดือนก่อน +1

    Sio kweli nakufuatilia maongezi yako. Endelea
    Tukusie roho inauma nakutani CDM hoyeee

  • @efremmwalongo828
    @efremmwalongo828 27 วันที่ผ่านมา

    Endelea sana kutupatia elimu watanzania

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mtangazaji ni chawa

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r หลายเดือนก่อน

    Rooo yangu hinauma sana

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x หลายเดือนก่อน +1

    Maneno mengi hayasaidii kitu.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

    Watu wanatekwa, mkuu wa dola kimya, alafu uzur kashatuambia atakuwa chura, ndio maana kila janga abakaa kimya, arusha na mapikipiki yaliotokea , yeye kimya, eti mnasema tuna amani, wenye amani ni wanaokula nchi kwa kufuru ,

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 หลายเดือนก่อน

      Acha umalaya na kudanga,fanya kazi uachane na kulalamika mitandaoni

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 หลายเดือนก่อน

      @@walidmgonja3644 kakojoe ukalale

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 หลายเดือนก่อน

    Huyu bwana ana faa kuwa mwalimu wa jukwaa la siasa,,hata majibu yaake yanatunzinka akilini

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay หลายเดือนก่อน

    jino kwa jino😂😂 eti wakimuengua wa chadema nao wana muangua wa ccm😂

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b หลายเดือนก่อน

    Unamuigizia Salim kikeke , hapo ndio mnafeli

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 29 วันที่ผ่านมา

      Wewe unamuga Nani na akili yako?

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 หลายเดือนก่อน

    Kunawatetezi wawa Rabu hivi wemwislaam unaweza kupewa hata mita moja ya ardhi huko arabuni mbona mnakuwa wajinga ooh ubaguzi wa kidini Samia akawape shamba lake si ardhi yetu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 หลายเดือนก่อน

    Watekaju ni CCM. U must forme young TZ..

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 หลายเดือนก่อน +1

    Lissu ndiye kiongozi aliyetupotezea viti vya ubunge awamu yake akiwa mgombea wa Urais chadema tulianguka kwa 100% hatumtaki 2025

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Kwa wizi kura ilikuwepo? Acha mnafiki.

    • @waziradam2794
      @waziradam2794 หลายเดือนก่อน

      Nadhani weye ni fala upinde au both!

    • @floraashery224
      @floraashery224 หลายเดือนก่อน

      Wewe boya

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 หลายเดือนก่อน

      Viti vilivyopotea Ni vya mamako, ulikuwa hujui kilichotokea?

    • @simonsadala2386
      @simonsadala2386 หลายเดือนก่อน

      @@erestizacharia4758 🤣🤣🤣🤣🤣 umejaaa kwenye 18 nachokijua ni kwamba 2015 Mzee Lowassa alikisaidia Chama kupata viti vingi vya wabunge na madiwani lkn 2020 Lissu akatupotezea majimbo yoteee

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma หลายเดือนก่อน +1

    Ujinga Tu,,,mbona hamuiangushi serikari mbovu

  • @patricklameck2425
    @patricklameck2425 25 วันที่ผ่านมา

    Unaongea bila ushahidi unaropoka tu. Wewe hata baiskeli ya miti umekwisha wapa wanachi. Watu wanafurahia SGR wewe unapenda. Ufai hata ubalozi wa nyumba 10.

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 หลายเดือนก่อน

    TATIZO LENU NI KUWEKA WAZI MBINU ZENU NA MIKAKATI YENU YA SIRI . MSITANGAZE HADHARANI MIKAKATI YENU. BALI IWE SIRI YENU ILI WASIJUWE NA KUPATA MBINU YA KUWADHIBITI

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 29 วันที่ผ่านมา

    Akili kubwa

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 หลายเดือนก่อน

    Lakini hao mnao wasema polisi wako busy kukamata wadangaji.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

    huyu mtangazaji waajabu kweli..anakaa na kutoa interview lakini yuko anachat na watu. kwann lakini?

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 หลายเดือนก่อน

    Hakika Hilo nani naliunga mkono wamezidi wahuyo hão wa ccm

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d หลายเดือนก่อน +1

    Acheni uongo nyie kila siku tumeibiwa kila siku tumeibiwa elezeni bac namba tulivyoibiwa hamna maelezo

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru หลายเดือนก่อน

      @@user-vl4rz6lf6d yaani kama hujui tumeibiwa tembelea migodini nani wamiliki nenda Loliondo na kifaa utambuzi kitakuambia uko katika ardhi ya Emirates nenda bandarini utamkuta DPW misitu si yetu ni ya wageni nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya bure waliozinunua wameziuza kwa billions gas si yetu ingawa iko nchini yote aliyoacha Nyerere tumeuza au kugawa bank kubwa ya NBC iliyokuwa mpaka vitongojini tuliiza kwa billion moja upo Tanzania na huyajui haya tuko mbioni kuuza mwendokasi subiri nawe uuzwe ndiyo utavuta shuka kumbe kumekucha

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 หลายเดือนก่อน

      Wewe unajua jiinsi gani wizi unavyo fanyika halafu unataka kusema watu wakwambie!!!!!

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 13 วันที่ผ่านมา

      Ukiwa kwenye mfumo wa huo wizi na ubadhirifu wa pesa za wananchi na kuuza rasilimali za Tanganyika, huwezi jua wizi unafanyikaje! Lazima ujitoe akili tu! Ila siku za Mungu zinakuja hao mafisadi, majambazi, majangiri, majizi ya rasilimali za Tanganyika yatalia na kusaga meno! Ngoja wananchi waendelee kupata Elimu kama hii vizuri.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 หลายเดือนก่อน +2

    Hata kama mngefanya jpm alikuwa hashikiki,mtu wa haki yule mabwege nyie acheni angalieni Sasa iiiiiiiiiii nchi imeenelea ngoringoro wanyama wanastarehe,na bandari inaingiza trilioni kumi Kwa wiki ,mama anafanya kazi,samia oyeeeeee

    • @NixonJohnson-r4m
      @NixonJohnson-r4m หลายเดือนก่อน

      56:31 wewe ni kihiyo

    • @hopefully7090
      @hopefully7090 หลายเดือนก่อน

      Hizo hela zimekusaidia nini?

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 หลายเดือนก่อน +1

      Jinga

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru หลายเดือนก่อน

      ​@@davidkawesa3594kwa kweli ni jinga boya inaelekea kalamba matapishi

    • @liberatusmsasa7103
      @liberatusmsasa7103 หลายเดือนก่อน

      Mbumbumbu mkubwa wewe! Acha uchawa wa ki mavi! Msikurupuke kubwabwaja mambo msiyoyajua.

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n หลายเดือนก่อน

    NIKIFANIKIWA KUFUNGUA KITUO CHA REDIO HUYU MTANGAZAJI HATAKUA WA KWANZA KUPATA KAZI YANI JAMAA KM SIO MTANGANYIKA BONGE LA MTANGAZAJI MAOJIANO HAYA AYAWEZI KUFANYIKA TBC ITV AU KITUO CHOCHOTE TANGANYIKA MIDIA ZOTE. TANGANYIKA ZIMENUNULIWA NA CCM WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA

  • @fidelnkurunziza
    @fidelnkurunziza หลายเดือนก่อน

    du nihatari kwakwel bora mngu ajetu hikikizazi kifutwe kije kingine mana inauma mutu uriye mpa madaraka anarudi kukuuwa

  • @DamaryMkindi
    @DamaryMkindi หลายเดือนก่อน

    WAELEZENI WATANZANIA SGR TUMEPIGWA JE BILION 700

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 หลายเดือนก่อน

    Usifiche family yako ccm haina hofu kama cdm njoo tz sio kenya.

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj หลายเดือนก่อน

    Msigwa ambaye ni mchungaji falsafa yake ya kusema waamini wake wakitenda dhambi zinazotendwa na wafuasi wa shetani , atamkubali shetani na ataamua kuwa mfuasi wa shetani . Hakika limenishangaza . Sasa anasubiru apewe kazi ya kumtakasa shetani aliyempinga. Yetu macho na masikio tuuone huo utakaso wa kumtakasa shetani

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 17 วันที่ผ่านมา

    Au utekwe

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 หลายเดือนก่อน

    Acha tupigwa gawa kwa wtz miion 67 vijisent

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 หลายเดือนก่อน +2

    😮😮😮Hatari !!!
    Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini !
    wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji !
    Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini.
    wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea.
    kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia.
    Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi.
    watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 หลายเดือนก่อน

      Afadhali wao wanaitwa waarabu wazungu wanaitwa mabeberu.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน

      Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      Warabu wenyewe sikuiz huko uarabuni wanabadili dini kwa kasi wanaingia kwenye ukiristo wewe bado umebong'aa na uislam tu, kalaga bao

    • @ritchiemuta1092
      @ritchiemuta1092 หลายเดือนก่อน

      Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 หลายเดือนก่อน

    Wee mwandishi acha ujinga wako unaotaka Miami isha waTanganyika. Uchumi ukishanyang' anywa utasafiri na nini esse?

  • @evelina9621
    @evelina9621 หลายเดือนก่อน

    Tunakurisha.mm.kwetu.mi.ma.mkanana..milimami

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 หลายเดือนก่อน +1

    Endelea na uchawa wa ccm IPO siku

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 หลายเดือนก่อน

    Lisu hatafanikiwa kabisa asipoteze

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiye unatafanikiwa?

  • @eliewardeneliewarden4069
    @eliewardeneliewarden4069 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi wachaga hamtapewa nchi munamipango ya kuharibu nchi endeleeni kuwa watoa taarifa.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw หลายเดือนก่อน +1

    CHADEMA tafuteni kazi ya kufanya hii nchi hatuwezi na wala hatutakubali muiongoze tena hatutakubali.. CCM oyeee

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 หลายเดือนก่อน +1

      Chawa mkubwa hujitambui Kibaraka mkubwa. Ondokana na mambo yakukariri wewe said ally

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q หลายเดือนก่อน +1

      Wwpumbavu😊

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q หลายเดือนก่อน

      Tatizo la nchi yetu uongozi itatuchukua muda mrefu sn kujikomboa mpk tupate kiongozi mwenye hofu ya Mungu toka uhuru hatujapata hivyo bado safari ya watanzania ni ndefu sn

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Shida uchawa. Wezi wa magoti mkono. Huoni aibu?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Magoli si magoti

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน

    Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni

  • @knight6757
    @knight6757 หลายเดือนก่อน

    🤑....

  • @evelina9621
    @evelina9621 หลายเดือนก่อน

    HAfai