MSUKUMA Aibua MAPYA - "WATUMISHI WANACHEZEA MAFUTA NA MAGARI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • MSUKUMA Aibua MAPYA - "WATUMISHI WANACHEZEA MAFUTA NA MAGARI"
    Mbunge wa jimbo la Geita, Joseph Kasheku (Msukuma), amesema watumishi wa halmashauri mpya ya Nzela hawataki kuhamia kwenye halmashauri hiyo, na badala yake wanatumia magari ya serikali kwenda majumbani kwao jambo ambalo linaleta usumbufu kwa wananchi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 133

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว +20

    Msukuma Safi sana, uyo ndo anaitwa, MHESHIMIWA, KING, MSUKUMA.

  • @rahemaally274
    @rahemaally274 3 ปีที่แล้ว +17

    Mashallah mbunge huyu nampenda buree🇬🇧

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +13

    Msukuma nakukubali Sana wew ni mbunge unae faa kuigwa na wabunge wengine

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 ปีที่แล้ว +24

    "Nyuki hawakwenda shule, lakini kazi yao inapendeza wengi kuliko wasomi na viongozi wasiyo na Faida" pongezi Msukuma, Salaam kwa JPM.

    • @benedicttarmo3327
      @benedicttarmo3327 3 ปีที่แล้ว

      Nimempenda sana huyo bwana anajiamini sana na ameongea points tupu! Tunapenda watu/ wabunge wa aina hiyo!

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 3 ปีที่แล้ว

    Safi safi sana jembe la geita... Piga kazi hakuna kumuogopa mtumishi wa umma hiyo kazi waliopewa ni dhamana kama hawawezi watoke hapo. Halafu mkuu wa wilaya yuko wapi kwani mpaka kazi hiyo unafanya ww msukuma???

  • @allysudihussen3664
    @allysudihussen3664 3 ปีที่แล้ว +4

    Sawa kabisa,

  • @jameslyimo662
    @jameslyimo662 3 ปีที่แล้ว +3

    The gentleman...

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 ปีที่แล้ว +7

    Waambie wanaoturudisha nyuma ambaye ataki kuamia uko aache kazi watu wapo wengi tu

  • @AzizKhan-si8cc
    @AzizKhan-si8cc 3 ปีที่แล้ว +4

    Msukuma km Msukuma

  • @loidaandrason1466
    @loidaandrason1466 3 ปีที่แล้ว +6

    Hahahahaaaaaa,Safi sana msukuma

  • @jamesriwatuvana9561
    @jamesriwatuvana9561 3 ปีที่แล้ว +4

    Diwani wa Katoro fundi eeh! Asije kufa na ngwengwe😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣

  • @babanjuru8738
    @babanjuru8738 3 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa msukuma

  • @MbashaRobert
    @MbashaRobert 3 ปีที่แล้ว

    Uongozi ni karama si Elimu, na ndiyo maana hata Marekani ilishatawaliwa na maraisi wenye elimu ya kawaida sana , Abraham Lincoln angalau alikuwa na elimu kidogo, ila Andrew Johnson yeye hakuwa hata na Elimu yoyote, bali alifundishwa tu nyumbani tena na mkewe! Hivyo ukilinganisha na hao wamarekani Msukuma ana Elimu ya Kiwango kizuri, na kwa uzoefu ambao anaendelea kuupata akiwa Bungeni si ajabu kwa Mh. Msukuma kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma hoyeeee tumbua baba

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 ปีที่แล้ว

    Kila hslmashauri iwe na msukuma walao mmoja mmoja

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 3 ปีที่แล้ว

    Hatar sana

  • @justinejulius2319
    @justinejulius2319 3 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma jembee

  • @samwelgabriel532
    @samwelgabriel532 3 ปีที่แล้ว +2

    chuma

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndio mnafiki wa Umma. Viongozi mchungeni sana vinginevyo hamtafika mbali.

    • @sharifuoman6146
      @sharifuoman6146 3 ปีที่แล้ว

      TEDDY KANONDO mnafiki wewe uchaguzi umekwisha wewe bado unamuwazia tundu lissu pole saana endelea kuumia tu hamna namna,,,

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 3 ปีที่แล้ว

      Bilashaka wwe utakua nduguyakenabwegeee! 😆😆

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 ปีที่แล้ว +2

    Hivi ndivyo mbunge anavyotakiwa kuwa Kwa sababu ndiye raisi wa jimbo husika na ndiye kachaguliwa na wananchi na nduye anapaswa kumsimamia Mkuu wa wilaya na si Mkuu wa wilaya kujivimbisha vimbisha tu.

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 3 ปีที่แล้ว +3

    🤣🤣🤣 jamaa ashakua msaliti maana hataki tena wale pamoja ...

    • @rahemaally274
      @rahemaally274 3 ปีที่แล้ว +1

      Yeye huwa anatoa mpaka chake halagi cha mtu

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 ปีที่แล้ว +1

      Mie sio ccm lakini msukuma namkubali sana tu muheshimiwa rais ampe uwaziri Huyu au naibu waziri wa serikali za mitaa asaidie jaffo anajua kusoma kila kitu kizungu sio lazima sio lugha yetu .

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 ปีที่แล้ว

      @@khadijahassan3778 ni kweli

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 3 ปีที่แล้ว

      @@khadijahassan3778 mi hua sipendi kujibizana na wanawake kwa hio bora upite pembeni maana nikianza kukujibu hapa mpaka mama yako atapandwa na nyege huko aliko...

  • @amapiaanocityintz6454
    @amapiaanocityintz6454 3 ปีที่แล้ว +2

    We ni jembe msukuma

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 3 ปีที่แล้ว

    Serikali haijafanya tathmini ya matumizi hasa ya mafuta ya magari ya serikali ikiwa ni pamoja na matengenezo ya magari ya serikali. Magari ambayo ninaona yanatufaa wakati wote yawe ya JWTZ, POLICE, MAGEREZA, ZIMA MOTO, AMBULANCE na Usalama wa TAIFA.

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 3 ปีที่แล้ว +2

    Punguza mwendo baba mbele kuna kona.

  • @kiteteprimary9764
    @kiteteprimary9764 3 ปีที่แล้ว +1

    Natamani msukuma awe ktk jimbo letu

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma hongera ila hicho kichwa chako hakipendezi kipara maana kina bonde utosini labda uache nywele ziote uwe unazichana......

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 ปีที่แล้ว

    Nani amesikia wanawake wote weupeweupe katoro....... #5:2.

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli inauma, wambie ukweli wasitumie pesa hovyo

  • @kilingahamissi6734
    @kilingahamissi6734 3 ปีที่แล้ว

    Waambie hao babaaaa wasomi fake wanaokwamisha juhudi za maendeleo

  • @narmyheart2021
    @narmyheart2021 3 ปีที่แล้ว +26

    Msukuma kama msukuma full confidence 💪🏿💪🏿

    • @mkobainnocent2368
      @mkobainnocent2368 3 ปีที่แล้ว

      Ukiwa na fedha pia confidence inaongezekaaa sanaa😃😃😃😃

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 ปีที่แล้ว +17

    Hahahaah am here watching 2021 to 2025 😁😁😁😁😁 the Future is promising we need more msukuma

  • @manumbamanumba9468
    @manumbamanumba9468 3 ปีที่แล้ว +17

    Darasa la 7 asumbua wenye taaluma zao

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 3 ปีที่แล้ว +2

      Suala sio kiwango cha elimu ,uelewa ni utendaji wa wasomi wetu upo chini

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 3 ปีที่แล้ว +14

    Msukuma wew unauchungu Sana na nchi hiii Safi San yaan wanyoshe haoooo wakujue we ni king msukuma

  • @asumanishabani7539
    @asumanishabani7539 3 ปีที่แล้ว +13

    We msukuma kwa style hiy watatumbuliw wengi

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 3 ปีที่แล้ว +2

    Kiongozi anayeripoti matukio hasi wakati ni sehemu ya uongozi ajitafakari yanatokeaje. Buni, wengine wa kufuate, wasipofuatisha nyendo zako jua wewe ni mtawala tu. Kiongozi huteka nyoyo za waongozwa si kuogofya waongozwa. Tujitafakari!!!!

  • @abbasmohamed5066
    @abbasmohamed5066 3 ปีที่แล้ว +10

    'KING'

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 ปีที่แล้ว +5

    Nakufuatilia sana mzee napenda nikiona ukiwawashia Moto mapunga wanaonunua gari la 400ml.

  • @isaacshauri4828
    @isaacshauri4828 3 ปีที่แล้ว +7

    We jamaa safi sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 3 ปีที่แล้ว +5

    Ha ha ha king msukuma hatari. Huyu jamaa yuko vizuri.

  • @adamally8791
    @adamally8791 3 ปีที่แล้ว +7

    Slogan ya bwege, tunaanza upyaaaaaaa

  • @williammagabe6884
    @williammagabe6884 3 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jamaa ni noma

  • @josephmkongwi2323
    @josephmkongwi2323 3 ปีที่แล้ว +6

    Safi

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 3 ปีที่แล้ว +3

    Hahaaaaa!!! ...wanawake weupeweupe ote katoro!!!!

  • @elishachenya5341
    @elishachenya5341 3 ปีที่แล้ว +7

    💪💪💪💪💪💪

  • @emmanuelmwanzalima4508
    @emmanuelmwanzalima4508 3 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana jamaaaa unajua elimu sio uongozi bola piga KAZI ikiwezekana 2025 tukupe KURA ZA URAISI kuongoza unaweza piga kazi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 ปีที่แล้ว +2

    Utujua Tu badae mara hiii chadema hawamo hakuna wa kumtukana

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 3 ปีที่แล้ว

    Sio jimno langu lkn kama Mtanzania huyu Mbunge yupo sahihi sana sana kikubwa azungumzie pia hayo maslahi ya walimu kuna mazingira si rafiki sana kwa kipato cha ualimu ingawa subira yavuta kheri lkn maumivu ni makali sana.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว +1

    Pambania na mishahara yao na marupu rupu yao, tatizo la ndugu zetu wasukuma Sifa saana, kama kweli ana uchungu na nchi hii, aanze kulalamika Wabunge wapunguziwe mshahara, yeye Kama mbunge analipwa zaidi ya 10 million kwa mwezi, alamike wapunguziwe maposho yao, watumishi hao wanaolipwa 600,000 kwa mwezi wanaenda masoko na maduka tofauti na wabunge? Waache ufala kama kweli sio wanafiki, nao wawasimeshe watoto wao shule zetu, Wabunge wanahimiza umuhimu wa Kiswahili, toa Jina la mbunge mmoja mtoto wake anasoma shule za kata, kama kweli wana uzalendo na nchi wapitishe sheria sharti la kuwa mbunge au Kiongozi wa umma, lazima mtoto wako awe anasoma shule za kata ila mahanisi na wagumba wasamehewe

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 3 ปีที่แล้ว

    Kwamalaya kwanza msukuma nimekuelewa sanna kamahawataki kazi fukuzeni

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 ปีที่แล้ว +6

    Inawezekana halmashauri nyingi kuna madudu mengi sana

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 ปีที่แล้ว +1

      Huku kwingine ambako awapigi kelele kunanukaa sanaaaa

    • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
      @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 ปีที่แล้ว

      @@emmanuelbonifase1114 Sanaa nimejifunza kitu kupitia hili itakua sehemu nyingi kuna Madudu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaan sana viongoz wa almashauri wengi no ovyo sana ndo maana mikoa haiendelei watu wanakula fedha tu na kufanya maigizo kwa raisi waonekane wanafanya kazi hewa.

    • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
      @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 ปีที่แล้ว

      @@onesmojustice2348 Nimeona kabisa kuna vitu vingi vinafanyika kutuludisha nyuma watu awana uchungu na shida za wananchi wanakula raha tu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +1

      @@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG kabisa

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mwamba kapata ubunge safi sana makufuli

  • @isdorynziku4852
    @isdorynziku4852 3 ปีที่แล้ว

    Kaka hata kwetu wapo ila wanajua kujificha

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 3 ปีที่แล้ว

    Ndouzuri wakula ugal wa dona unakuwa naakili ya asili.

  • @kyambarungwematv6828
    @kyambarungwematv6828 3 ปีที่แล้ว

    King msukuma nomaaaaaa

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 ปีที่แล้ว +2

    Ujumbe umefika

  • @jkOmar2024
    @jkOmar2024 3 ปีที่แล้ว +2

    safi sana

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana mzalendo Msukuma hapa Kazi tu.

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 3 ปีที่แล้ว +1

    Ee,msukuma sasa umeamua kulala nao mbele.Wacheke tu!!!!!!.

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing1823 3 ปีที่แล้ว +2

    the brave man

  • @jumamohamerd9971
    @jumamohamerd9971 3 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma nahene. Ruru

  • @nestor384
    @nestor384 3 ปีที่แล้ว +1

    The King himself 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

  • @hemedsalala7184
    @hemedsalala7184 3 ปีที่แล้ว +1

    Nataman msukuma awe rais ata kama hajasoma ili nas tufaid uku

  • @stanleyfocas8250
    @stanleyfocas8250 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeaaaaa king msukuma

  • @wilsondomisian8680
    @wilsondomisian8680 3 ปีที่แล้ว +1

    Ipo hyo

  • @stevenikwisa5238
    @stevenikwisa5238 3 ปีที่แล้ว +2

    Angekuwa na digrii moja angepata uwaziri

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 3 ปีที่แล้ว +2

      Elimu na ujuzi alionao anazidi degree hovyo hovyo walizonazo na hawafanyi kitu...atunukiwe PhD kabisa hatuangalii makaratasi na vyeti tunaangalia akili ya mtu na ubongo

    • @stevenikwisa5238
      @stevenikwisa5238 3 ปีที่แล้ว +1

      @@charlesmwambinga4355 ni kweli, pia full uzalendo

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 3 ปีที่แล้ว +1

      @@charlesmwambinga4355SAFI KABISA

    • @tedymwandara5480
      @tedymwandara5480 3 ปีที่แล้ว

      @@charlesmwambinga4355 huyu jamaa kapewa kipawa angeenda huko angepoteza muda.

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana msukuma. Hawa manyumbu suluhisho lao ni kushika mjeledi. Swaga!!! Ukitaka nyumbu afanye kazi lazima utumie fimbo.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu amjaliee ana uzalendo, wasomi wamegueka kuwa wafilisi ila ambao hajawasoma wana upeo mkubwa

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli wasomi wengi wanyama sana

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyo kasoma degree 7 wasomi wetu wengi ni vyeti kichwani kweupee

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro968 3 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma halali hakuna mtumishi bora Geita nzima aiseee waamusheeee

    • @peterpaul591
      @peterpaul591 3 ปีที่แล้ว

      Punguza sifa wew kila jambo media we ngosha vp ?

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 3 ปีที่แล้ว +1

      @@peterpaul591 hapo nani kamfuata mwenzie kati ya media na Msukuma. Pia hicho ni kikao au mkutano kama uonavyo na wanahabari wameenda ili kuriport tukio sasa kosa lake nini?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

      @@peterpaul591 sifa ipi watumishi wengi ndo wanarudisha hii nchi nyuma halafu wanyonge wanaumia kwenye nchi iliyojaa rasilimali za kila namna wakati Dubai wanapata mvua kwa mwaka Mara moja lakini maisha yao usipime.

  • @husseinkhan4889
    @husseinkhan4889 3 ปีที่แล้ว

    Huyu fitna tu hakuna anacho kifanya anatafuta kiki
    tu na ana chuki na hao viongozi wa halimashauri!.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 ปีที่แล้ว

    Iyo nimeikubari saana musukuma chapa kazi utayaonatu matunda.

  • @saimonlutengano2569
    @saimonlutengano2569 3 ปีที่แล้ว

    Aloo tungekuwa na wabunge hata kumi na tano kama huyu tz tungekuwa pazuri sana god bless u

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 3 ปีที่แล้ว

    King Msukuma for President 2025

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 ปีที่แล้ว

    Mbn unamuiga bwege ayupo tena bungeni acha kumuiga

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 3 ปีที่แล้ว +1

    Watumishi lazma wafuatwe nakupelekwa nyumbani incase mda sio rafiki,,assume unaitwa usiku kuna "emergency operation" huwezi kutembea hayo mambo yapo ndani ya uwezo wa hospital wanasiasa mtulie

    • @venancemwarabu7168
      @venancemwarabu7168 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndo hujamuelewa. Mtu anatakiwa kukaa nyumba za serikali zilizo karibu mtu anaishi mjini kisa anafanya kazi kijijini ili ambulance impeleke.

    • @Mastermind25491
      @Mastermind25491 3 ปีที่แล้ว

      @@venancemwarabu7168 Kijana mimi niko kwenye sekta ya afya,,hakuna nyumba za watumishi mbali na za wakuu wa idara,,

    • @venancemwarabu7168
      @venancemwarabu7168 3 ปีที่แล้ว

      @@Mastermind25491 Kuna maeneo na maeneo. Kuna sehemu nilifika vijijini nyumba za watumishi hazina watu asilimia kubwa wanakaa center. Na kwa sababu ya usumbufu wa wagonjwa daktari mkuu nae anataka ahame. Sasa huko tusemeje. Hata kama nyumba hazipo bora upange sehem ambayo sio mbali sn na kazini.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

      Ww ndio walewale wapigaji na wafujaji wa fedha za umma

  • @Zamb90
    @Zamb90 3 ปีที่แล้ว +1

    Swala sio wanalala wapi,swala kazi zinakwenda?????

    • @hatibhatib5760
      @hatibhatib5760 3 ปีที่แล้ว

      kazi haziendi, ukifika halmashaur unaambiwa muhusika yuko geita njoo kesho

    • @nelsonmgaya7179
      @nelsonmgaya7179 3 ปีที่แล้ว

      @@hatibhatib5760 Pia gharama za mafuta ya gari za kwenda Geita analipa nani?

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว

    Waafrika bado tuna long way to go

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 ปีที่แล้ว

    Mimi nawashangaa sana Watanzania. Akiharibu mtu mmoja mnasema wasomi hawana Faida. Kwa hiyo kazi anazofanya Jafo Waziri waTamisemi na wasomi wengine Serekalini ni za hovyo?. Huyu MSUKUMA ni mnafiki tu nani alimnyima kwenda shule akabaki kufuga nyoka. Tusingekuwa na wasomi Tanzania miradi aliyoianzisha Magufuli nani angesimamia. Kusema wenzake hadharani usifikiri atalipwa zaidi ya wengine sana sana ni kujijengea uhasama na maadui. Nashukuru bungeni wamebaki wengi ni CCM huu unafiki wake utasikia yatakayoendelea. Haiwezekani umfukuze mke wako kisa ugali haujaiva. Aliyenunua gari aina hiyo ni huyo kwani ni yeye peke yake mbona wako wengi mpaka IKULU au kwa sababu ni kabila lingine sio MSUKUMA.

    • @katyetyegosper218
      @katyetyegosper218 3 ปีที่แล้ว

      Ukiumwa ukienda hospital utasema wasomi hawana faida. Baba yako asipotimiza wajibu wake huwezi sema akina baba hatutimiz wajibu wetu at kwakua baba yako hatimiz.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 ปีที่แล้ว

    Vipi mawazo huwa hatokei

  • @eliyahrobert9340
    @eliyahrobert9340 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuu mmmhh

    • @andrewmwankenja3438
      @andrewmwankenja3438 ปีที่แล้ว

      Mbona wewe mwenyewe unachezea mafuta na kodi zetu huna makato yoyote leo una bwabwaja utumbo wako

  • @yohanavicent7570
    @yohanavicent7570 3 ปีที่แล้ว

    Unafaa kwer

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 ปีที่แล้ว

    Kuna nyumba za kuishi?

  • @softrock7155
    @softrock7155 3 ปีที่แล้ว

    Katiba irekebishwe awe naibu waziri mkuu asafishe Nchi hii. Yuko vzr, anajiamini na kusimamia achokiamini. Namkubali sana Mhe. Msukuma

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 ปีที่แล้ว

      Haihitaji kubadilisha katiba mheshimiwa rais akimteuwa tu

    • @softrock7155
      @softrock7155 3 ปีที่แล้ว

      @@jabiraxmed7898 hiyo nzr, huyu mbunge namuelewa sana kwani anajitambua na anajua mambo mengi au tuseme ana vyanzo vingi vya hbr. Mhe. Rais ampe rungu tuone matunda yake Nchi nzima.

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 ปีที่แล้ว

    Vp

  • @FadyFs
    @FadyFs 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anafuatiliaga magari tu

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 3 ปีที่แล้ว +2

    Kumamayo mnafiki mkubwa,laana Mmoja

  • @mrpeeh8739
    @mrpeeh8739 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyuu nae kashaakua kenge saiv

    • @mkemia_magege5816
      @mkemia_magege5816 3 ปีที่แล้ว +1

      Kenge wewe usiyetaka kuhamia Nzela

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

      Wewe unataka kupambiwa tu nenda zako

    • @victorkamate9396
      @victorkamate9396 3 ปีที่แล้ว

      Mh. Rais wetu pendwa anakataa hii habari ya mitandao tayari.
      Sijui wapi hatumuoni jpm wetu unamleta millad ayoo kwa sh ngapi????