Nguo ya Lulu ni nzuri sana na hayo mapambo hayaitwi plastic...😊 zinaitwa LULU hata kama siyo original...kama jina lake.... Lulu...ni very expensive hizo Lulu ikiwa ni Original...😍
Hawapendi sifa au harusi zao haziwezi fana bila mfananisho wa kikristo? Naharusi zao hufana sana wakizifanya bila kokopi siunaona harusi ya nisha ilivyo fana ilifaa iwe ya tatu naameifanya ikaonekana kabisa harusi hii ni ya kiislamu
Nguo ya Lulu ni nzuri sana na hayo mapambo hayaitwi plastic...😊 zinaitwa LULU hata kama siyo original...kama jina lake.... Lulu...ni very expensive hizo Lulu ikiwa ni Original...😍
Nandy ndo alio funga mwaka kwa ndoa yake hao walio fata nyuma wanasafisha yale mabaki ya sherehe❤❤nandy🔥🔥🔥
Thubutu Harusi ya Nandy bwana angekuwa asingesema harusi ya Nandy bwana dunia nzima waliongea
Nandy 😍😍
Nandy💝
gauni ya Nandy👌👌👌👌👌1
Alikiba kwangu ndo number 1
Jaman kwani walper hana ndoa???
Hamna kazi nyie hovyoooo
Nandy kiboko
Afrikan Prince harusi kiboko
Nandy 👌👌👌👌
Hawapendi sifa au harusi zao haziwezi fana bila mfananisho wa kikristo? Naharusi zao hufana sana wakizifanya bila kokopi siunaona harusi ya nisha ilivyo fana ilifaa iwe ya tatu naameifanya ikaonekana kabisa harusi hii ni ya kiislamu
Nandy ndoo mkali wao❤❤❤
Nyie acheni Lulu alifunika woteeeeeeeeeeeeeeee
Mama hapa umekosea ya diva ndio ya saba plz .bibi harusi alivaa viatu vya kulala
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣jamani