@@sarapaulo4718 daah pw sie tupo hapa kwet dar tunapga kazi A.E.A na mtumishi Annoint karib sana nashukur nmepewa rikizo ya kwenda kusalimia home kwa mama yangu
Mtoto wa mungu yohana mbatizaji....unanibariki na wimbo zako sana...cute baby nikija kenya nitafika Tanzania kwa neema yako nabarikiwa kwa you tube mungu akubariki..............sana.................i love you so much the way God love you.....cute child of God...the blood of Jesus cover you...in Jesus name
Leteni likes hapa za Anthony yohana mtoto mdogo Sana mwenye nyimbo za injili
Wakenya pia tuko hapa kwa Ndogo Yohana na hatutabanduka,,,wapi likes za +254
nakukubali mdogo wangu antony innocent kalolo kutoka ilemba miaka 100 yohana unatuwakilisha sumbawanga umekataa utumwa
Hongera sana mungu akubariki 🎉🎉❤nakupenda sanaaaaaa🎉🎉🤭🤭🤭🤭
Kweli nyumbani ni nyumbani iwe mjini ata kijijini barikiwa sana
Umefanya poa sana ,,,,wazazi ni wakuheshimiwa,,,,na baraka utoka kwao.
Actually a young boy and very talented,Mtehelemezi amsaidie na aendelee kung'aa hata zaidi,God bless him a lot,Wapi likes zake Yohanna tafadhali
Ubarikiwe kijana wetu,Mungu aendelee kukutunza umtumikie ,
Mungu akuinue zaidi zaidi akupe kibali cha kupenya zaidi na zaidi
East, west home is the best umenena ,ubarikiwe sana yohana🇰🇪
Hats Kuwe Kunaka vipy ni nyumbani.
Hongera kijana wimbo mzuli ubalikiwe sana
Msahau mila yke ni mtumwa
Yaani mwanangu unanibariki sana
Wooow nice one be blessed... true we are at home.. East West home is best
Ubarikiwe BWANA aitunze hii sauti kwa jina la Yesu
Wow barikiwa Sana kijana may the blood of Jesus Christ cover u all through
KAZI nzuri Sana mungu awatie nguvu
Nyumbani ni nyumbani kweli ujumbe nzuri
Wow napenda Mungu abariki kibali chako nyimbo zako zanibariki sana
Ubalikiwe Sanaa mtumishi
Good sana sijawah kuchoka kukusikiliza
Yes yohana ujumbe mzuri Sana hongera 🤙🤙🙏
Umekuwa mbig sasa dea son..sauti yako powah
Abarikiwe
I love the work.
Tunakupenda sana wanasumbawanga mungu azidi kuinua kipaji chako
Ujumbe mzuri mtoto yohana,,kibali chema......unatubariki sana hongera yohana
Lots of love mtoto Yohana from +966
Wimbo mtamu wow yohana umembarikiwa
Wow may God bless you wimbo wenye baraka wacha wema na Fadhili sikufuate maishani mwako yote
Kweli moina hakika mzourissana sana
Honger San mtoto mzuli nyimbo nzuli San jamani
Mungu akuinue tunakupenda sana wanasumbawanga
Big up yohana kazi safi
Congratulations yohana ina hit sana God bless you....
Ogela San dog mungu akubalik kwa kaz yako
Hongera sana, Mungu akubariki
Hongera naona umegrow yohana
Hongera yohana
Ameen Mwanangu Mungu akubariki na azidi kukupa mafunuo
Another ones hit,,,hongera Yohana be blessed 🙏🎹🎸🎤🎧🎶🥁🎻🎺much love for Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪
Bwananawari
A nice song @Yohanna. Ubarikiwe sana
Sawa mwanitu mungu Azidi kukuinuwa
Mwane wetu uli na kipaji leza wane aku saidie mwane wetu
Kazi kubwa sana yohana 🤞
Wow dogo keep burning, God bless you forever much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Afike pia kenya
Thank u yohann god bls you
Hongera dogo Yohana kwa ujumbe mzuri kutukumbusha kuwa nyumbani kwako ni kwako tusijali mazingira yake. Mungu akubariki uwe mwimbaji wa kimataifa.
Too MUCH LOVE FROM me too young boy Yohana team Saudi Arabia i like this song
Amen barikiwa xana yohana
Mungu akubariki na kukuinua zaidi
Amen.................tunabarikiwa....sana....amen...mtoto yohana.....................🙏🙏🙏🙏
Barikiwa yohana from Kenya
Barikiwa sana mdgo wetu
Safi sanaaa mungu akubarik sana
Hongera.kazi zur
Waaoh kweli umetoka mbali Yohana,,,tena umegrow glory to the most high God!!much love from Kenya.Ameen.
Wimbo mzuri saaana🙏
Mtoto Yohana, what a nice song. Recognizing your grand people. May God bless you👍🙏🌹💐🇰🇪
Faith from Kenya nice song
Hongera sana dogo mungu akulinde❤️
Napenda huyu mtoto sana hongera sana keep up with the spirit of Jesus Christ
Home is best. Karibu nyumbani.
Amina Asante Sana Kwa Wimbo Nzuri Sana Ubarikiwe
Ujumbe mzuri mungu akubariki
Siwezi sahau nilikotoka barikiwa YOHANA🙏🙏
Ninaupenda Sana Wimbo Huu
Barikiwa sana wimbo nzuri
I'm from Haiti l love your song my son
Mungu akubariki mwanangu 🙏🙏🙏🙏
Wimbo nzuri sana Yohana barikiwa
Dogo kazi nzuri San hii
MUNGU azidi kukuinua YOHANA atukuzwe BWANA akupae kuendelea.
Barikiwa sana toto
Wow, an amazing song,,,keep it burning Yohana
Hongela Sana Yohana kazi zako zote njema
Amina barikiwa sana Kaka wimbo nzuri sana
Hongera sana dogo lake MUNGU akuabariki kwa ujumbe wako pia kukumbaka home hakika umenifanya hata mm kukumbuka nyumbani geita lazma nirudi kuwaona
Tupo weng hata mm mwaka wa pl sasa npo kenya lazm nrud 🇹🇿🇹🇿 niwaone
@@sarapaulo4718 rudi home dada mda wa kurud
@@stargod7384 nkwel ila colona inazinguwa
@@sarapaulo4718 daah pw sie tupo hapa kwet dar tunapga kazi A.E.A na mtumishi Annoint karib sana nashukur nmepewa rikizo ya kwenda kusalimia home kwa mama yangu
@@stargod7384 nenda kawaone ndg
Haleluyaaaaa 🙏🙏🙏🙏Congratulations babyboy for powerful gospel songs I really like you songs 👏👏👏👌👌👌👊👊💪💪🙏🙏🙏
Funja rekodi mtoto Yohana
Wow 👏👏👏 honger dogo
Uishi miaka mingi sana ufanye kazi yamungu young boy God bless u
Amen........small..brother mungu akuinuwe...mtoto wetu....I love your song wow......glory to God mungu akuinuwe..sana............💕💕💕💕🙊🙊🙌🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Mtoto wa mungu yohana mbatizaji....unanibariki na wimbo zako sana...cute baby nikija kenya nitafika Tanzania kwa neema yako nabarikiwa kwa you tube mungu akubariki..............sana.................i love you so much the way God love you.....cute child of God...the blood of Jesus cover you...in Jesus name
Pongezi,, may God continue to
shower u wth devine grace,, light,,,from kenya
Mungu Akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💕💕💕❤️💕💕
Safi sana ongera
Ongera yohana 🙏🇰🇪🇰🇪
Hongera!! tena, Yohana👏👏👏 Neema ya Mungu iwe nawe kwa wingi.Tembea hapo Kenya
Tumemkaribisha kabisa,,, much love from Kenya
Nice song yohana...
Mungu amekutoa mbali
Nakupenda Sana yohana mdg wangu
God bless you young man imekua blessing to me
God bless you forever yohanna muc love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow nice song be blessed
I really luv this song,,be blessed young boy,mungu azidi kukupa nguvu👏
Asante kwa ujumbe kakaaa
Mtoto umekuwa mashaallah
nyimbo nzuri be bless yohana
Nimelud niwaone
Congratulations young man,mwacha kwao mtumwa.
Woooow nice after a long time celebrating 100k subscribers ni uwezo wake Mungu baraka
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪salute Yohana...Mungu azidi kukuinua na kukutenda wema.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍👍
Congratulations young boy
Ubarikiwe yohana
Umefanya poa sana
Waooooooooh jamani nakupenda mtoto mzuri Mungu akubariki Sana uzidi kukua katika maadili hayo ya kumucha MUNGU ♥️♥️♥️
@@yohana_antony ameeeeni msalim baba na mama na nawapongeza kwa marezi bora kwa watoto wao wote ikiwemo wewe MUNGU awawekee ulinzi nyote🙏♥️
mambo❤❤
Ongera sana baby boy
Good tune, I like 🤗💫🌈🎉🎊👏🌟🌟🌟🌟🌟
Watching from Qatar