Mabehewa yajaa, treni ya umeme ikianza safari ya kwanza Dar-Moro, yatumia dakika 114 kufika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Safari ya kwanza ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro imekuwa gumzo ikiondoka Dar es Salaam ikiwa limejaa abiria katika mabehewa yote.
    Safari hiyo imeanza leo Ijumaa Juni 14 , 2024 wakiwemo Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Ally Karavina na Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Masanja Kadogosa.
    Kama ilivyotangazwa, treni hiyo ilianza safari saa 12:01 asubuhi na inatarajiwa kutumia dakika 90 kufika Morogoro.
    Mwananchi Digital itakuletea hatua kwa hatua za safari hiyo na kitakachojiri katika safari ya kwanza ya kihistoria ya treni hiyo.

ความคิดเห็น • 138

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 3 หลายเดือนก่อน +30

    Pongezi nyingine naitoa kwa JPM🎉
    Mungu akupunguzie azabu ya kabuli RIP

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน +5

      pongeziii zotee kwa mama angeamuaa kulitekelezaa angekujaaa mama yako kuliendelezaaaa kondooo wewe😂😂😂😂

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 3 หลายเดือนก่อน

      @@hemedrashid2921mbona ilikuwa almost imeshaisha weweeee vip. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kaiacha almost Asimia Mia Moja mpka Dodoma. Na vituo vyote vikiwa tayari, na booking ya kutengenezwa Tren huko South Korea alishailipa tayari. Huku njia inajengwa huku Treni zinatengenezwa, Kudos to Muheshimiwa late Magufuri . Akili nyingi na focus nyingi, yule ni chuma cha Africa, wangepatikana watano tu bara Africa lingekuwa Anothet level. Hata European wangetueshimu

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 3 หลายเดือนก่อน +3

      @@hemedrashid2921 matusi ya nini ndugu yetu, toa point yako kwa kile unachokiamini

    • @dismasdastan5493
      @dismasdastan5493 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@hemedrashid2921uko sawa lakini hekima ni muhimu zaidi....(Umeongea vizuri ila mwisho umeharibu)🤔

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wazo la kimaendeleo ni muhimu. JPM amekufa Historia yake, haitafutika. JPM hayuko kwenye kaburi lenye nakishi ila kwenye mioyo yetu. Sababu alitumikia.

  • @djwinnertz
    @djwinnertz 3 หลายเดือนก่อน +5

    Nomaa sana🎉🎉 🇹🇿

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kazi nzuri

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 3 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA SANA MUHESHIMIWA KADOGOSA NA WEWE UMEPAMBANA SANAAAA NIMEKUFATILIA TOKA SIKU YA KWANZA MPAKA LEO HAKIKA UMEJITAHIDI SANA HONGERA

  • @FrancisMaingi-yl3oz
    @FrancisMaingi-yl3oz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo ni daladala ngapi zimepoteza kazi hebu tufikiri kabla hatujafurahi sana

    • @sebastiancmalisa4016
      @sebastiancmalisa4016 3 หลายเดือนก่อน

      Hayo ni mawazo mgando kwa kufikiri juu ya daladala badala ya maendeleo kwa ujumla wake, hatuangalii faida za daladala pekee bali maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla

    • @FrancisMaingi-yl3oz
      @FrancisMaingi-yl3oz 3 หลายเดือนก่อน

      Maendeleo au kazi

    • @JustinePatrinius
      @JustinePatrinius 3 หลายเดือนก่อน

      Ww inafaaa urudi shamba... Akili kama yako ndio sababu mpka leo tunaishi ulimwengu wa Tatu..... Ivi huko unako kaa akuna bodaboda, bajaji, na izo daladala wanafanyaje kazi? Toka mabasi ya mwendo kasi yanze uliskia daladala zimekosa kazi? Kindly go back to your school and ask for refund fee

    • @FrancisMaingi-yl3oz
      @FrancisMaingi-yl3oz 3 หลายเดือนก่อน

      Kazi ya bodaboda na pia daladala imechukuliwa na hii treni ngoja uone vile maskini wataongezeka ndio huamini

  • @2514SRK
    @2514SRK 3 หลายเดือนก่อน +5

    Safi Sana TRC

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +8

    Ticket zinapatikana kituoni ? Au Kuna app Kwa ajili ya ukataji tickets? Naomba kuelimishwa hili

    • @daniellagianna-ll3dc
      @daniellagianna-ll3dc 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna App na vituoni zipo

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 3 หลายเดือนก่อน

      @@daniellagianna-ll3dchiyo app inaitwaje mbona hatuipati kwenye google play?

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera mh. Dr. Samia mama yetu. 5 tena kwa mama

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwenda huko lijimama lenu limefanya Nini. Nyoo.

  • @Nadir_Abdullah
    @Nadir_Abdullah 3 หลายเดือนก่อน

    Hasante magufuli,hasante samia,nice start❤

  • @emmanuelchristopher7195
    @emmanuelchristopher7195 2 หลายเดือนก่อน

    Absolutely

  • @JafarWasanda
    @JafarWasanda 3 หลายเดือนก่อน +1

    JPM baba mung apumzishe sarama RIP Jesh hakika tuta kukumbuka kwameng

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 3 หลายเดือนก่อน

    God bless Tanzania

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vip dar to Moshi arusha ujenz utaanza lini?

  • @elishiliamathayo8796
    @elishiliamathayo8796 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera serikali ya jamuhuri ya Tanzania

  • @josephchimbunga4886
    @josephchimbunga4886 3 หลายเดือนก่อน

    Treni itatajwa sana kwenye kampeni

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 หลายเดือนก่อน +2

    ONGERA TIMU MAENDELEO WOTE TANZANIA , ONGERA JPM ONGERA MAMA SAMIA ONGERA MKURUGENZI KADO. MWENDO WA KULA BATA TO MORO to DOM

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 3 หลายเดือนก่อน

    Usafi uzingatiwe si kwa Abiria wala wafanyakazi wa shirika lenyewe lakin pia viongozi wasiwe chuma ulete kwenye hizi pesa za wananchi natumai mifumo mmeiweka vizuri kila senti mnaiyona yasijekuwa kama yale ya bus zenu za mwendo kasi

  • @Mariamu-r1z
    @Mariamu-r1z 3 หลายเดือนก่อน

    HAYATI JPM HONGERA

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 3 หลายเดือนก่อน

    treni nzuri sana ila watu wanajua sio wastarabu utaanza kuona vitu vinaharibika mapema

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 3 หลายเดือนก่อน

    Mwisho wa siku CAG akipata kuwakagua apo tutaambiwa shirika linajiendesha kwa hasara, ikiafikia hapo mama inabidi awacharaze viboko, kabla ya kuwaashisha, kama kule kwenye ndege inawafanyakazi wengi kuliko ndege zilizopo

  • @masweto
    @masweto 3 หลายเดือนก่อน

    bei gani kitoka dar mpaka morogoro na siku gani na siku gani usafiri upo na muda gani please naomba jibu

  • @dallerbwoyniglo8675
    @dallerbwoyniglo8675 3 หลายเดือนก่อน

    Jpm kafa au bado????

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 3 หลายเดือนก่อน

    Hayawi-hayawi,yamekuwa pongezi kwa serekali yetu na sisi...watanzania, KAZI IENDNDELEE,Aonae haambiwi TAZAMA!

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 3 หลายเดือนก่อน

    Wekeni kilo za MIZIGO kama kwenye ndege HIYO itasaidia

  • @MathayoMulumbi
    @MathayoMulumbi 3 หลายเดือนก่อน

    Tren mbona speed kali

  • @machumujuma6399
    @machumujuma6399 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe imeanza hii chuma

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 3 หลายเดือนก่อน

    Usafi ni muhimu maana sisi wa Tz😮

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 3 หลายเดือนก่อน

    Kenya 🇰🇪 mpooo hahahaa vipi ile ya diesel inaendeleaje hebu nielezeni huko Nairobi

    • @FrancisMaingi-yl3oz
      @FrancisMaingi-yl3oz 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mmeuza mbandari ndio hii mkebe ianze safari

  • @MorsadHamisi-nz4rd
    @MorsadHamisi-nz4rd 3 หลายเดือนก่อน

    Kama yana jaa nijambo zuri mana malengo yata timia

  • @JosephMwakisu-y3i
    @JosephMwakisu-y3i 3 หลายเดือนก่อน

    Magufulification in africa

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 3 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani JPM.....😂😂😂

  • @JamesMisalabaPalu
    @JamesMisalabaPalu 3 หลายเดือนก่อน

    Tujipongeze Watanzania kwa Ujasiri na maamuzi magumu ya JPM

  • @Jojojojojo-w4y
    @Jojojojojo-w4y 3 หลายเดือนก่อน

    MAGUFULI NIKUPE NINI JAMANI..UNGEKUWEPO BASI

  • @tonyaron1194
    @tonyaron1194 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mm simpongezi mtu mwingine Zaid ya Mhe Rais Samia kwa kuendeleza mradi huu maana angeuacha tusingekua hapa

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574 3 หลายเดือนก่อน

    Tmefika ila techoka

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 3 หลายเดือนก่อน

    Wanao msifia maghufuri hamna akili kabisa hili jambo ni lakiserikali kama timu marehemu magu akanzisha na mtangulizi wake mama samia ndio alielisimamia kwenda kuomba mikopo kila sehemu ili alimalize hili sasa wakusufiwa wote mpaka mjenzi wa reli

  • @AbduliHalim-o2y
    @AbduliHalim-o2y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukifa wakati kuwa ni mkiristo azabu ya kaburi utapunguziwa vipi mjomba dini ya haki ni uslam na uwislamu wenyewe uwe unaswali usiwe muislam wakina harmoniz wa kuvaa shanga cheni n. K by duli chondoma

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 หลายเดือนก่อน

      Waslam wote wameshlikiwa akili namajini ili msiujue ukweli upo wap yesu ni njia ya kwer na uzima wewe kumbatia majini yako yanao kufundisha chuki ili muingie wote motoni namajini wenu

  • @doctornature-zb3jj
    @doctornature-zb3jj 3 หลายเดือนก่อน +2

    MAMA ANAUPIGA MWINGI

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee 3 หลายเดือนก่อน +11

    JPM,SSH,Masanja Kadogosa na tim nzima hongereni sana

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu mbariki hayati JPM

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mama Samia oyeee. Vichogo chuki zimewajaa walitaka maisha yote wao tu ndio watawale znz.😂 mungu ndio mpangaji wa yote chuki hazassidii kitu.

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu yupi huyo anayebariki marehemu😢😢😢😢

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 3 หลายเดือนก่อน

      @@awadhsalim2680 WATU WABAYA NYINYI

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 หลายเดือนก่อน +8

    Hiyo reli iwe ya kibiashara pesa ijenge reli zingine

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 หลายเดือนก่อน

      Ilipe deni walilokopa na mishahara yao!

    • @STEVENKAJUMBA
      @STEVENKAJUMBA 3 หลายเดือนก่อน

      Uliskia wapi.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 3 หลายเดือนก่อน

      Na ndio ulikuwa mpango mkakati was JPM

    • @IBENGM
      @IBENGM 3 หลายเดือนก่อน

      Wakisema iwe kibiashara watanzania hawataweza kulipa nauli mzee!

  • @OctavianObadia
    @OctavianObadia 3 หลายเดือนก่อน +3

    Apongezwe dkt Magufuli ambaye ndie mwanzilishi wa miradi hii ya kimkakati

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 3 หลายเดือนก่อน +9

    Naomba mabolesho treni zote sio sgr pekeyake zote ni zakwetu

    • @karyori69
      @karyori69 3 หลายเดือนก่อน +1

      mabolesho ndo nn?

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@karyori69Haelewi swali.. na hajui kwanini umemuuliza 😂

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 3 หลายเดือนก่อน

      SemA maboresho siyo mabolesho

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 3 หลายเดือนก่อน

      Hzo zingine sio zetu tunawasaidia warundi wa mpakani😂😂😂

    • @karyori69
      @karyori69 3 หลายเดือนก่อน

      @@edsonnelson4464 huu ni ugonjwa wa Taifa aisee Prof Kabudi analalamika!

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 3 หลายเดือนก่อน +6

    Inapendeza sana ❤❤❤

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa jinsi navyowajua Watanzania,nawapa mwaka mmja tuu kuwa kama Mwendokasi.Hii.jamii yetu imejaa wahatibifu na poor management

  • @GodloveLauwo
    @GodloveLauwo 3 หลายเดือนก่อน +6

    Asante napenda kujua ratiba za train

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 3 หลายเดือนก่อน +2

    Magufuli wewe ni shujaa WA Africa mungu akulaze mahala pema peponi

  • @karafuunanazi1701
    @karafuunanazi1701 3 หลายเดือนก่อน +3

    More blessings to my motherland

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wazungu weusi mpo?😂😂

    • @officiallugano8991
      @officiallugano8991 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @realdude64
      @realdude64 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 we jamaa una utani wa ngumi. Eti "wanzungu weusi".😂😂😂😂

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 3 หลายเดือนก่อน

    Nani kasema wa Tanzania hawaendi na muda... Kila siku wanasafiri na usafiri nyingi zina muda maalumu na watanzania wanasafiri hizo safari...kwakuendana na muda

  • @sebastiancmalisa4016
    @sebastiancmalisa4016 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio Tz tunayoitaka, ila serikali iwe makini na miradi km hii huwa wanaanza vzr mwisho inakufa, kwa kwl walaaniwe wote watakaohujumu miradi hii ya manufaa kwa wananchi
    Hayati JPM huku uliko pumzika kwa amani kwa maono yako mazr kwa mustakabali wa maendeleo ya waTz

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 หลายเดือนก่อน +1

    Magufuli aliona mbari sana

  • @mustafachihepo5343
    @mustafachihepo5343 3 หลายเดือนก่อน

    Mpongeze pia alomaliza ujenzi nongwa hazifai

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 3 หลายเดือนก่อน

    Tano tena kwa mama

  • @raymondsimon483
    @raymondsimon483 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hatuoneshi miti nje inaendaje 😅😅

  • @MASSOUDHUSSEIN-jj5lg
    @MASSOUDHUSSEIN-jj5lg 3 หลายเดือนก่อน

    Good job ❤

  • @salimsalim-ut4jk
    @salimsalim-ut4jk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri lakn juweni pesa tumekopa Sasa shughuli ipo kweny uendeshaji na uboreshaji hata mwendo kasi ilikuwa hivyo hivyo Leo ipo taabani😊

  • @mwamibukulu7745
    @mwamibukulu7745 3 หลายเดือนก่อน

    Nasikia cooment nyingi sana za hii iitaharibika kama mwendo kasi kama mwendo kasi iko hivi hii treni haiharibiki wala nini!! Treni ya KIgoma ina miaka mia saivi mbona haijaharibika??
    Hii treni itatunzwa na itaendelea mbele wala hairudi nyuma kabisa!

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 3 หลายเดือนก่อน

    Duh dakika 114 kwa kilometre 196 iko slow sana

    • @RaymondNjengo-bq1zc
      @RaymondNjengo-bq1zc 3 หลายเดือนก่อน

      Basi linatumia saa 4 Dar es Salaam to Morogoro na Train ya Umeme inatumia chini saa 2 hivyo Train ina mwendo zaidi

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ina mwaga moto

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 หลายเดือนก่อน +1

    J.P.M

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahaaaa😂😂😂😂😂.
      Yake yashapita. Mama ssmia oyeeeeee wenye chuki na wivu wacha waumie tu. Hapa kazi tu.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 siongei kitu maana naona kuna watu wamelipwa waje kucomment 😂😂😂 Kuna comment ukizisoma tu hauhijati elimu ya shule unaelewa huyu kalipwa... 😂

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @josephmartin292
    @josephmartin292 3 หลายเดือนก่อน

    kadogosa vipi bhanaa,Demand kiswahili chake ni uhitaji au vipi wadau ?

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 3 หลายเดือนก่อน

    JPM ...JPM .... JPM...NAKUITA UNISIKIE NI WEWE NDIO MWENYE HILI MUNGU AKUPE PUMZIKO LA AMANI WATANZANIA TUNAKUOMBEA SANA

  • @jacksonkwayu2841
    @jacksonkwayu2841 3 หลายเดือนก่อน

    Pongezi sana kwa hatua hii. Ila muhimu kuboresha ticket zikatwe online badala ya kununua hapo kituoni. Watuwekee online na abiria aweze kuchagua seat kabisa. Pongezi

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 3 หลายเดือนก่อน

    Jamihur yamuungano wa Tanzania - Kazi itendeke Hongereni sana kwa Ujumla wetu Watanzania

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 3 หลายเดือนก่อน

    Wajiepushe tu na mizengwe yakupata tiketi isiwe Deluxe ambayo wanaleta ugumu wakupata tiketi ili wapewe rushwa

  • @kisutabora5914
    @kisutabora5914 3 หลายเดือนก่อน

    Mtandao wa online ticket haufanyi kazi. Sijui IT ya TRC imelala !!??

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂simseme tu masaa2 Dar to Moro eeeeh au mnataka kusema trafiki kasimamisha treni njiani

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa basi ni masaa mangapi

    • @kisutabora5914
      @kisutabora5914 3 หลายเดือนก่อน

      Hii sio treni express, hii inasimama kila kituo/stesheni. Express haizidi saa na nusu

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 3 หลายเดือนก่อน

    Nanapenda kueapongeza saasaaana.. Mungu wetu atuepushie wenye jicho labhusda.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 หลายเดือนก่อน

    Tujipongeze watanzania wote

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 3 หลายเดือนก่อน

    Eti Rais Samia kawalipia nauli hawa wote 600. Is it true?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 3 หลายเดือนก่อน

    Muutunze huo mradi jamani

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana! Hongera sana

  • @japhetmasatu6149
    @japhetmasatu6149 3 หลายเดือนก่อน

    JPM 👏

  • @AbduliHalim-o2y
    @AbduliHalim-o2y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Akifa kikwete mama samia mfano sefu sharifu unaweza kuwaombea duwa sababu wapo kwenye dini ya haki ila leo hii umuombee duwa mkapa kauwa wapemba sana pili ni kafiri halafu mungu ampunguzie azabu mimi nnavo juwa ukifa mbaya unazidishiwa azabu na kiukweli kama hukutubu hapa duniani kabla kufa hata ukiombew duwa na dunia mzima haisaidii kitu

    • @ZakayoReuben-ow9tz
      @ZakayoReuben-ow9tz 3 หลายเดือนก่อน +1

      MIREMBE HOSPITAL Kuna mgonjwa huku katoroka

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน

      Wakristo tu ndio watakupinga.... Waisilamu waliokuwa makini enzi za Mwalimu na Mkapa wanaelewa vizuri nini yalijili na hata Mh Mkapa aliandika kitabu chake mambo aliyoyafanya....😢😢😢😢

    • @masetomuhafiwa4546
      @masetomuhafiwa4546 3 หลายเดือนก่อน

      unawaza dini tuu kenge wwe Mungu hana dini watu wote ni wakwake.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน

      @@masetomuhafiwa4546 punguza utahila kijana. Hakuna kabila lolote duniani linaloamini uwepo wa Mungu zaidi ya DINI tu. Ukisema Mungu teyari umeingia katika maandiko ya kidini. Makabila yote duniani yanaamini ktk MIZIMU tu. Kwahiyo tuliza mihemko. Mungu wanayemuamini wakristo sio Mungu wanayemuamini Waisilamu. Wala Mungu wanayemuamini Wahindu siye Mungu wanaemuamini wengine. Hizo zote ni dini na kila dini inaimani juu ya Mungu wake kulingana na maandiko yake. Tena kumbuka ukisema UDINI nisawa unasema UTANZANIA. Mtanzania yeyote akiwa mzalendo ataitwa Mtanzania na hakuna anayeshangaa. Kwanini mtu ukishika dini ukaitwa MDINI mnajawa tahaluki!?...

  • @omaryabdul02
    @omaryabdul02 3 หลายเดือนก่อน +1

    Masaa mawili kutoka Dar to Moro... Sio hujuma hizo kweli? Tunataka tuone tofauti ya kupanda basi,sio mnafanya mambo ili tuwalinda wafanyabiashara wa mabasi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani hakika naamini hii ni hatua muhimu sana katika kuiboresha sekta ya Reli jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.

  • @kilemilyimo
    @kilemilyimo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunawapongeza.
    Tunaomba nauli ipungue kidogo.
    Dar hadi Moro kwa nauli ya 13,000/- bado ni juu.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 หลายเดือนก่อน +6

      Kapande Abood , iyo treni imetumia pesa nyingi na ujenzi wa reli na lazma pesa zirudi pili huduma na muda ni tofauti unalipia ubora na uharaka sasa kama ni bei nenda kapande kimbinyiko

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po 3 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂

    • @Gersah
      @Gersah 3 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 3 หลายเดือนก่อน +3

      Mwambie bibi yko au babu yako akuazime usafiri wake huto lipia hata sumni nyie ndio wale zikifa tulisema😒

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kapande coaster unafika hata kwa elfu tatu ila safari ya saa moja unatumia masaa sita hiki chuma ni cha kibiashara unapanda kwa uhakika safari ya masaa manne unatumia saa moja tu unafanya mabo yako na mapema na kugeuza bila kuchoka, tumia pesa ukuzoee jenga tamaduni ya kuokoa muda ili uweze kuingiza pesa zaidi.

  • @kareemupdates
    @kareemupdates 3 หลายเดือนก่อน