Mabehewa yajaa, treni ya umeme ikianza safari ya kwanza Dar-Moro, yatumia dakika 114 kufika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Safari ya kwanza ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro imekuwa gumzo ikiondoka Dar es Salaam ikiwa limejaa abiria katika mabehewa yote.
Safari hiyo imeanza leo Ijumaa Juni 14 , 2024 wakiwemo Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Ally Karavina na Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Masanja Kadogosa.
Kama ilivyotangazwa, treni hiyo ilianza safari saa 12:01 asubuhi na inatarajiwa kutumia dakika 90 kufika Morogoro.
Mwananchi Digital itakuletea hatua kwa hatua za safari hiyo na kitakachojiri katika safari ya kwanza ya kihistoria ya treni hiyo.
Pongezi nyingine naitoa kwa JPM🎉
Mungu akupunguzie azabu ya kabuli RIP
pongeziii zotee kwa mama angeamuaa kulitekelezaa angekujaaa mama yako kuliendelezaaaa kondooo wewe😂😂😂😂
@@hemedrashid2921mbona ilikuwa almost imeshaisha weweeee vip. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kaiacha almost Asimia Mia Moja mpka Dodoma. Na vituo vyote vikiwa tayari, na booking ya kutengenezwa Tren huko South Korea alishailipa tayari. Huku njia inajengwa huku Treni zinatengenezwa, Kudos to Muheshimiwa late Magufuri . Akili nyingi na focus nyingi, yule ni chuma cha Africa, wangepatikana watano tu bara Africa lingekuwa Anothet level. Hata European wangetueshimu
@@hemedrashid2921 matusi ya nini ndugu yetu, toa point yako kwa kile unachokiamini
@@hemedrashid2921uko sawa lakini hekima ni muhimu zaidi....(Umeongea vizuri ila mwisho umeharibu)🤔
Wazo la kimaendeleo ni muhimu. JPM amekufa Historia yake, haitafutika. JPM hayuko kwenye kaburi lenye nakishi ila kwenye mioyo yetu. Sababu alitumikia.
Nomaa sana🎉🎉 🇹🇿
Kazi nzuri
HONGERA SANA MUHESHIMIWA KADOGOSA NA WEWE UMEPAMBANA SANAAAA NIMEKUFATILIA TOKA SIKU YA KWANZA MPAKA LEO HAKIKA UMEJITAHIDI SANA HONGERA
Hizo ni daladala ngapi zimepoteza kazi hebu tufikiri kabla hatujafurahi sana
Hayo ni mawazo mgando kwa kufikiri juu ya daladala badala ya maendeleo kwa ujumla wake, hatuangalii faida za daladala pekee bali maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla
Maendeleo au kazi
Ww inafaaa urudi shamba... Akili kama yako ndio sababu mpka leo tunaishi ulimwengu wa Tatu..... Ivi huko unako kaa akuna bodaboda, bajaji, na izo daladala wanafanyaje kazi? Toka mabasi ya mwendo kasi yanze uliskia daladala zimekosa kazi? Kindly go back to your school and ask for refund fee
Kazi ya bodaboda na pia daladala imechukuliwa na hii treni ngoja uone vile maskini wataongezeka ndio huamini
Safi Sana TRC
Ticket zinapatikana kituoni ? Au Kuna app Kwa ajili ya ukataji tickets? Naomba kuelimishwa hili
Kuna App na vituoni zipo
@@daniellagianna-ll3dchiyo app inaitwaje mbona hatuipati kwenye google play?
Hongera mh. Dr. Samia mama yetu. 5 tena kwa mama
Kwenda huko lijimama lenu limefanya Nini. Nyoo.
Hasante magufuli,hasante samia,nice start❤
Absolutely
JPM baba mung apumzishe sarama RIP Jesh hakika tuta kukumbuka kwameng
God bless Tanzania
Vip dar to Moshi arusha ujenz utaanza lini?
Hongera serikali ya jamuhuri ya Tanzania
Treni itatajwa sana kwenye kampeni
ONGERA TIMU MAENDELEO WOTE TANZANIA , ONGERA JPM ONGERA MAMA SAMIA ONGERA MKURUGENZI KADO. MWENDO WA KULA BATA TO MORO to DOM
Usafi uzingatiwe si kwa Abiria wala wafanyakazi wa shirika lenyewe lakin pia viongozi wasiwe chuma ulete kwenye hizi pesa za wananchi natumai mifumo mmeiweka vizuri kila senti mnaiyona yasijekuwa kama yale ya bus zenu za mwendo kasi
HAYATI JPM HONGERA
treni nzuri sana ila watu wanajua sio wastarabu utaanza kuona vitu vinaharibika mapema
Mwisho wa siku CAG akipata kuwakagua apo tutaambiwa shirika linajiendesha kwa hasara, ikiafikia hapo mama inabidi awacharaze viboko, kabla ya kuwaashisha, kama kule kwenye ndege inawafanyakazi wengi kuliko ndege zilizopo
bei gani kitoka dar mpaka morogoro na siku gani na siku gani usafiri upo na muda gani please naomba jibu
Jpm kafa au bado????
Hayawi-hayawi,yamekuwa pongezi kwa serekali yetu na sisi...watanzania, KAZI IENDNDELEE,Aonae haambiwi TAZAMA!
Wekeni kilo za MIZIGO kama kwenye ndege HIYO itasaidia
Tren mbona speed kali
Kumbe imeanza hii chuma
Usafi ni muhimu maana sisi wa Tz😮
Kenya 🇰🇪 mpooo hahahaa vipi ile ya diesel inaendeleaje hebu nielezeni huko Nairobi
Mmeuza mbandari ndio hii mkebe ianze safari
Kama yana jaa nijambo zuri mana malengo yata timia
Magufulification in africa
Pumzika kwa amani JPM.....😂😂😂
Tujipongeze Watanzania kwa Ujasiri na maamuzi magumu ya JPM
MAGUFULI NIKUPE NINI JAMANI..UNGEKUWEPO BASI
Mm simpongezi mtu mwingine Zaid ya Mhe Rais Samia kwa kuendeleza mradi huu maana angeuacha tusingekua hapa
Tmefika ila techoka
Wanao msifia maghufuri hamna akili kabisa hili jambo ni lakiserikali kama timu marehemu magu akanzisha na mtangulizi wake mama samia ndio alielisimamia kwenda kuomba mikopo kila sehemu ili alimalize hili sasa wakusufiwa wote mpaka mjenzi wa reli
Ukifa wakati kuwa ni mkiristo azabu ya kaburi utapunguziwa vipi mjomba dini ya haki ni uslam na uwislamu wenyewe uwe unaswali usiwe muislam wakina harmoniz wa kuvaa shanga cheni n. K by duli chondoma
Waslam wote wameshlikiwa akili namajini ili msiujue ukweli upo wap yesu ni njia ya kwer na uzima wewe kumbatia majini yako yanao kufundisha chuki ili muingie wote motoni namajini wenu
MAMA ANAUPIGA MWINGI
JPM,SSH,Masanja Kadogosa na tim nzima hongereni sana
Wautunze tu huo mradi
Mungu mbariki hayati JPM
Mama Samia oyeee. Vichogo chuki zimewajaa walitaka maisha yote wao tu ndio watawale znz.😂 mungu ndio mpangaji wa yote chuki hazassidii kitu.
Mungu yupi huyo anayebariki marehemu😢😢😢😢
@@awadhsalim2680 WATU WABAYA NYINYI
Hiyo reli iwe ya kibiashara pesa ijenge reli zingine
Ilipe deni walilokopa na mishahara yao!
Uliskia wapi.
Na ndio ulikuwa mpango mkakati was JPM
Wakisema iwe kibiashara watanzania hawataweza kulipa nauli mzee!
Apongezwe dkt Magufuli ambaye ndie mwanzilishi wa miradi hii ya kimkakati
Naomba mabolesho treni zote sio sgr pekeyake zote ni zakwetu
mabolesho ndo nn?
@@karyori69Haelewi swali.. na hajui kwanini umemuuliza 😂
SemA maboresho siyo mabolesho
Hzo zingine sio zetu tunawasaidia warundi wa mpakani😂😂😂
@@edsonnelson4464 huu ni ugonjwa wa Taifa aisee Prof Kabudi analalamika!
Inapendeza sana ❤❤❤
Kwa jinsi navyowajua Watanzania,nawapa mwaka mmja tuu kuwa kama Mwendokasi.Hii.jamii yetu imejaa wahatibifu na poor management
Asante napenda kujua ratiba za train
ipo kwenye page zao TRC
Magufuli wewe ni shujaa WA Africa mungu akulaze mahala pema peponi
More blessings to my motherland
Wazungu weusi mpo?😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 we jamaa una utani wa ngumi. Eti "wanzungu weusi".😂😂😂😂
Nani kasema wa Tanzania hawaendi na muda... Kila siku wanasafiri na usafiri nyingi zina muda maalumu na watanzania wanasafiri hizo safari...kwakuendana na muda
Hii ndio Tz tunayoitaka, ila serikali iwe makini na miradi km hii huwa wanaanza vzr mwisho inakufa, kwa kwl walaaniwe wote watakaohujumu miradi hii ya manufaa kwa wananchi
Hayati JPM huku uliko pumzika kwa amani kwa maono yako mazr kwa mustakabali wa maendeleo ya waTz
Magufuli aliona mbari sana
Mpongeze pia alomaliza ujenzi nongwa hazifai
Tano tena kwa mama
Mbona hatuoneshi miti nje inaendaje 😅😅
Good job ❤
Kazi nzuri lakn juweni pesa tumekopa Sasa shughuli ipo kweny uendeshaji na uboreshaji hata mwendo kasi ilikuwa hivyo hivyo Leo ipo taabani😊
Hakika umenena
Nasikia cooment nyingi sana za hii iitaharibika kama mwendo kasi kama mwendo kasi iko hivi hii treni haiharibiki wala nini!! Treni ya KIgoma ina miaka mia saivi mbona haijaharibika??
Hii treni itatunzwa na itaendelea mbele wala hairudi nyuma kabisa!
Duh dakika 114 kwa kilometre 196 iko slow sana
Basi linatumia saa 4 Dar es Salaam to Morogoro na Train ya Umeme inatumia chini saa 2 hivyo Train ina mwendo zaidi
Ina mwaga moto
J.P.M
Hahahaaaa😂😂😂😂😂.
Yake yashapita. Mama ssmia oyeeeeee wenye chuki na wivu wacha waumie tu. Hapa kazi tu.
😂😂😂 siongei kitu maana naona kuna watu wamelipwa waje kucomment 😂😂😂 Kuna comment ukizisoma tu hauhijati elimu ya shule unaelewa huyu kalipwa... 😂
Nice
kadogosa vipi bhanaa,Demand kiswahili chake ni uhitaji au vipi wadau ?
JPM ...JPM .... JPM...NAKUITA UNISIKIE NI WEWE NDIO MWENYE HILI MUNGU AKUPE PUMZIKO LA AMANI WATANZANIA TUNAKUOMBEA SANA
Pongezi sana kwa hatua hii. Ila muhimu kuboresha ticket zikatwe online badala ya kununua hapo kituoni. Watuwekee online na abiria aweze kuchagua seat kabisa. Pongezi
Jamihur yamuungano wa Tanzania - Kazi itendeke Hongereni sana kwa Ujumla wetu Watanzania
Wajiepushe tu na mizengwe yakupata tiketi isiwe Deluxe ambayo wanaleta ugumu wakupata tiketi ili wapewe rushwa
Mtandao wa online ticket haufanyi kazi. Sijui IT ya TRC imelala !!??
😂😂simseme tu masaa2 Dar to Moro eeeeh au mnataka kusema trafiki kasimamisha treni njiani
Kwa basi ni masaa mangapi
Hii sio treni express, hii inasimama kila kituo/stesheni. Express haizidi saa na nusu
Nanapenda kueapongeza saasaaana.. Mungu wetu atuepushie wenye jicho labhusda.
Tujipongeze watanzania wote
Eti Rais Samia kawalipia nauli hawa wote 600. Is it true?
Muutunze huo mradi jamani
Safi sana! Hongera sana
JPM 👏
Akifa kikwete mama samia mfano sefu sharifu unaweza kuwaombea duwa sababu wapo kwenye dini ya haki ila leo hii umuombee duwa mkapa kauwa wapemba sana pili ni kafiri halafu mungu ampunguzie azabu mimi nnavo juwa ukifa mbaya unazidishiwa azabu na kiukweli kama hukutubu hapa duniani kabla kufa hata ukiombew duwa na dunia mzima haisaidii kitu
MIREMBE HOSPITAL Kuna mgonjwa huku katoroka
Wakristo tu ndio watakupinga.... Waisilamu waliokuwa makini enzi za Mwalimu na Mkapa wanaelewa vizuri nini yalijili na hata Mh Mkapa aliandika kitabu chake mambo aliyoyafanya....😢😢😢😢
unawaza dini tuu kenge wwe Mungu hana dini watu wote ni wakwake.
@@masetomuhafiwa4546 punguza utahila kijana. Hakuna kabila lolote duniani linaloamini uwepo wa Mungu zaidi ya DINI tu. Ukisema Mungu teyari umeingia katika maandiko ya kidini. Makabila yote duniani yanaamini ktk MIZIMU tu. Kwahiyo tuliza mihemko. Mungu wanayemuamini wakristo sio Mungu wanayemuamini Waisilamu. Wala Mungu wanayemuamini Wahindu siye Mungu wanaemuamini wengine. Hizo zote ni dini na kila dini inaimani juu ya Mungu wake kulingana na maandiko yake. Tena kumbuka ukisema UDINI nisawa unasema UTANZANIA. Mtanzania yeyote akiwa mzalendo ataitwa Mtanzania na hakuna anayeshangaa. Kwanini mtu ukishika dini ukaitwa MDINI mnajawa tahaluki!?...
Masaa mawili kutoka Dar to Moro... Sio hujuma hizo kweli? Tunataka tuone tofauti ya kupanda basi,sio mnafanya mambo ili tuwalinda wafanyabiashara wa mabasi
Hongereni sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani hakika naamini hii ni hatua muhimu sana katika kuiboresha sekta ya Reli jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.
Tunawapongeza.
Tunaomba nauli ipungue kidogo.
Dar hadi Moro kwa nauli ya 13,000/- bado ni juu.
Kapande Abood , iyo treni imetumia pesa nyingi na ujenzi wa reli na lazma pesa zirudi pili huduma na muda ni tofauti unalipia ubora na uharaka sasa kama ni bei nenda kapande kimbinyiko
😂😂😂
😂😂😂
Mwambie bibi yko au babu yako akuazime usafiri wake huto lipia hata sumni nyie ndio wale zikifa tulisema😒
Kapande coaster unafika hata kwa elfu tatu ila safari ya saa moja unatumia masaa sita hiki chuma ni cha kibiashara unapanda kwa uhakika safari ya masaa manne unatumia saa moja tu unafanya mabo yako na mapema na kugeuza bila kuchoka, tumia pesa ukuzoee jenga tamaduni ya kuokoa muda ili uweze kuingiza pesa zaidi.