KIGOGO AFICHUA SIRI NZITO KUJIUZULU KWA PHILIP MPANGO AFICHUA SIRI NZITO BALAA UTASHANGAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 103

  • @FrolianMwingira
    @FrolianMwingira 12 วันที่ผ่านมา +21

    Mpango mungu akubariki umefanya kazi kwa hofu ya mungu na kwa uaminifu mkubwa sana huna deni kwa watanzania mungu atakulipia mema amen

  • @MakaliusStephano
    @MakaliusStephano 12 วันที่ผ่านมา +7

    Dokta mpango Mungu azid kukusimamia. Nibora kula mtama, ukabarikiwa. Kuliko kula chakula Cha mfalme, ukalaaniwa.

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 12 วันที่ผ่านมา +11

    Ongera mzee wetu Doctor Mpango kwa kweli una OFU YA MUNGU na akupe maishe marefu safi sana kwa kujali maisha baada ya hapa Duniani kuna mengine kwani hakuna mali nyingi na dhuruma mtu atarithi ufalme wa Mbingu.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 วันที่ผ่านมา

      Ofu ya mungu mungu gn rekebisha andika hofu

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 2 วันที่ผ่านมา

      Ndio ana hofu ya Mungu,na ndo maana kakataa kuwa KIN,GANG,A!

  • @JosephLucas-e9b
    @JosephLucas-e9b 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu awe nawe mupenda amani namwenye haki

  • @AnnoyedBonsaiTree-cl5sv
    @AnnoyedBonsaiTree-cl5sv 5 วันที่ผ่านมา +1

    baba mpango kuna maisha baada ya hapo mungu akusimamie achana.na hayo maizi yanafikir yataishi mrere

  • @AmynerChumChum-fc4mt
    @AmynerChumChum-fc4mt 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hongerasana. Mzeewetu. Waache wanaojifanya. Kamawataishimirere. Kwenyehiidunia

  • @Veronica-z6b4t
    @Veronica-z6b4t 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Pumzika baba natuombee sana inchi yetu unamambo mengi sana.pumzikaka

  • @neemamwaiteleke5575
    @neemamwaiteleke5575 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu Atukuzwe kwa ajili yako baba. Tunakushukuru mno kwa hekima hii.

  • @Landisy
    @Landisy 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Sana mzee , mcha mungu Kuna maisha baada ya hapo

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 5 วันที่ผ่านมา

      Mcha mungu gna au mcha yesu😅😅😅

  • @VeloMahenge
    @VeloMahenge 9 วันที่ผ่านมา +1

    Nimekuelewa mzee Mpango unaogopa nchi hii kupigwa mnada mbele yako bora uondoke madarakani nchi inazidi kutekwa na majizi serikari inanyamaza mpo vizuri na ndugai ❤

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 12 วันที่ผ่านมา +13

    Mpango ana hofu ya mungu? Na atabaki kuwa na heshima yake"" mungu akulinde mpango

  • @mankamanka7415
    @mankamanka7415 12 วันที่ผ่านมา +15

    Mzee mpango huna deni na watanzania

  • @AllyNgogomi
    @AllyNgogomi 9 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Dr Mpango anaakili sana tena sana alifaa kua kiongozi wa Dini kabisa huyo nimiongoni mwa viongozi wakuigwa Hongera Hongera sana mzee baba

  • @FloraMwanja
    @FloraMwanja 11 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo mzee mcha mungu ,serikali ya hyu mama imejaa machafuko ya kuuza Mali za watanzania ,mama hufai kuwa kiongoz umeuza nchi vipande vpande

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 วันที่ผ่านมา

      Weee unafaa kuwa kiongozi unajua uongozi ni kupora mali za waislamu kama alivyofanya bwana yule laa hasha wakala uongozi ni kusimamia uadilifu na kulinda katiba asidhulumiwe mtu mali yake kwavile ni muislamu huu si uadilifu. Acha niendelee kusoma kitabu cha Eric Kabendera naona Ban Saanane alivyochukuliwa hatimaye kuuwawa kikatili...!

  • @RaphaelNjongo
    @RaphaelNjongo 12 วันที่ผ่านมา +8

    🎉Mh. Mpango ndiye anaejua sababu za kupumzika, Kama anaona hivyo, ni vizuri apumzike

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 12 วันที่ผ่านมา +3

      Msoga anatuvurugia nchi anadhani nchi ni mali yake

  • @BernardMwaitalako
    @BernardMwaitalako 12 วันที่ผ่านมา +6

    Mzee ameshindwa kuvumia ukiukwaji wa haki za watz ulivyoshamili , amaona ni heri nikose fahar za dunia lkn nikae mbali na uovu unaoendelea hapa nchini ili akaurithi uzima wa milele

  • @AminaJofrey-u8m
    @AminaJofrey-u8m 9 วันที่ผ่านมา +2

    Anaepuka maovu ya uchaguzi mkuu Ili asiwe mshiriki kwa hofu ya Mungu aliyonayo.

  • @MursalJuma
    @MursalJuma 11 วันที่ผ่านมา +3

    mungu amjalie amejua hakuna haki inatendeka

  • @yusufuchagulani9678
    @yusufuchagulani9678 7 วันที่ผ่านมา

    Bora Sana mungu akusimamie Mr mpango,nchi inathamini wapiga Debe, machawa wasanii,wakati inamgandamiza Dreva Kila Kona, akasomee udreva awe na Cheti wakati ana leseni,asibebe mkaa wakati anarudi nyumbani, serikali inambana asilipwe vizuri na mwajiri wake, ukiangalia Dreva ni mpiga kura mzuri .

  • @RenaldaBoniface
    @RenaldaBoniface 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubari baba

  • @baluhiphilipbudika7612
    @baluhiphilipbudika7612 12 วันที่ผ่านมา +5

    Tujipe muda, kwani muda ndilo jibu sahihi, ngoja tunywe mtori Nyama tutazikuta chini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 วันที่ผ่านมา +6

    Alitaka kujiudhuru mapema sanaaaa kuna siri nyuma ya pazia

  • @AsiaAroun
    @AsiaAroun วันที่ผ่านมา

    Yaani dokta mpango wewe ni mfano wa kuigwa kwanza hutaki dhuruma kuna viongozi walisha maliza muda wao ila bado wanaihujumu nchi

  • @LaisMasai-ft4ql
    @LaisMasai-ft4ql 5 วันที่ผ่านมา

    Duh! what's rong

  • @Grace-v4g2n
    @Grace-v4g2n 11 วันที่ผ่านมา +3

    Alifata mkumbo yeye ni mteule wa mungu, Ali ingia kwa bahati mbaya

  • @JohnSulle-r4q
    @JohnSulle-r4q 4 วันที่ผ่านมา

    Tunakushukuru baba Kwa uamuzi wako

  • @japhetnyese2285
    @japhetnyese2285 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mtu anapojiuzuru ameona hukumu mbele isio na sababu , anajua vzr ,hongera mpango Mungu akutangulie

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 10 วันที่ผ่านมา +1

    Lisu.na.mpango.watu.wa.mfano.wengine.wajifunze.kwao.maana.mungu.hachezewi

  • @lazaromaige2396
    @lazaromaige2396 12 วันที่ผ่านมา +5

    Yanayo endeleea kwenye hii Nchi ukiwa mpenda usawa na haki utaogopa kubwa miongoni mwa watawala utaficha wapi uso wako siku ya kiama Hongera Mpango Kwa uamuzi wako Mungu Akubariki

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wote mnaosema ana hofu ya MUNGU hamjui chochote.Angekuwa na hofu ya Mungu angekataa Mwanzoni alipoteuliwa.Huyo yapo yaliyojificha chini ya carpet

  • @BakariKulwa-f6u
    @BakariKulwa-f6u 4 วันที่ผ่านมา

    Sawa mwamba tuko pamoja

  • @GodfreyChitanda-u2p
    @GodfreyChitanda-u2p 4 วันที่ผ่านมา

    Mbona unaeleza story tu

  • @petromakange2668
    @petromakange2668 11 วันที่ผ่านมา +3

    Itajulikana tu,Wala sio umri.

  • @Anna-im5jr
    @Anna-im5jr 5 วันที่ผ่านมา

    Kuna siri chini ya Carpet.Nani huwa anakataa kulamba Asali milele.Hakuna anayetaka Shida.UMRI SIO SABABU NZITO.

  • @AngelKayagiro
    @AngelKayagiro 2 วันที่ผ่านมา

    Mwenye kusikia na asikikie na mwenye kuelewa na aerewe Nini mipango anamaanisha

  • @MkuuMosses
    @MkuuMosses 11 วันที่ผ่านมา +1

    Yupo sawa kwa kuwa huyu ni msomi ameona apumzike ili atoe nafasi kwa wengine.

  • @WILSONSENI
    @WILSONSENI 3 วันที่ผ่านมา

    Apumuzike ccm changuen mweye akili siyomandio kilajambo

  • @FarajiHaruna
    @FarajiHaruna 10 วันที่ผ่านมา +1

    Nyoooo

  • @michaelashery3444
    @michaelashery3444 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna Siri kubwa ktk hili.makamubwa raisi ni nafasi kubwa sana.awezi kuiacha eti kisa anataka apumzike Ili Aishi miaka mingi.mungu pekee ndiye apangaye mtu Aishi miaka mingapi.uwezi kujiongezea umri Kwa kula sana au kulala sana.hapo Kuna namna kinana alijiuzuru. Spika ndugai naye alijiuzuru.kuna madudu katikati ya haya.kama sikosei sakata la ndugai lilianzia aliposema nchi imeuzwa inaonekana ukisema ukweli unawakwaza wapenda madaraka.juzi kwenye mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi Kuna mjumbe kijana sijui anaitwa kwasi alitoa hoja za msingi sana kuhusu uteuzi wa raisi wapigiwe kura wagombea japo watu pamoja na mazuri yote uliyoyafanya kuwe na kupambana na wagombea wengine Ili mazuri uliyoyafanya yakupitishe.ila alipotoa hoja Ile mapokeo ikawa tofauti akaonekana kama amekosea.na wajumbe wengi baada ya kuunga hoja ya msingi wanaunga mkono hoja za wakubwa.inaoneka pale wamefuata ugali TU.na huyu mstaafu kikwete alishapumzika Sasa mbona kama yupoyupo kwenye hotuba yake inaonyesha yupo kumpigia debe mama.nchi yetu marndeo hayasongi Kwa sababu wabunge na viongozi wetu wapo Kwa masirahi yao.tunaona bungeni wanapitisha mambo hata yasiyo na masirahi Kwa taifa maadamu wamepewa maelekezo Toka juu.hawasikilizi hata wananchi waliowachagua navyojua Mimi bandari ndilo lango la uchumi mnakubaliana kukodisha.huku wananchi wengi walikuwa hawajakubaliana na mpango huo.sasa hapo demokrasia Iko wapi? Siyo kuwa kwenye vikao vya maamuzi siyo mtapitisha hata kama wananchi hawajakubaliana.kumbukeni mpo hapo tuliwapeleka kutuwakilisha sisi tuliowachagua.

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 5 วันที่ผ่านมา

    NAZANI WEWE UNATAKIWA UWENDE IKULU UKAULIZE KWA NINI KAJIUZULU DR MPANGO UTAPATA JAWABU SA HIHI KATIKA WALE WATU WA MEDIA WANAFIKI WAKUBWA WEWE WA BONGO NEWS AU UMETUMWA NA CHADEMA WATUKA YIYI SEREKALI INABIDI IWACHUGUZE

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 5 วันที่ผ่านมา

    Amekosea sana bora angenipa mimi

  • @DaudaBilikesi
    @DaudaBilikesi 6 วันที่ผ่านมา

    Tunapanua wigo wa watumia kodi zetu tu ! Hilo ndo ninaliona kwenye sakata hilo.

  • @leonardlameck7486
    @leonardlameck7486 5 วันที่ผ่านมา

    Ukiwa mwenye hofu ya Mungu na mpenda haki,siku zote nafsi itakuwa inakusuta kufanya kazi na wasiopenda haki ni lazima tu utachomoka kama tairi ya gari

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu nchimbi anafit sababu ccm haitaki mtu mpole inataka mtu mkorofi kama nchimbi

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini cover story yenu na ndani yake Ni vitu viwili tofauti? Mlichoandika nje Ni tofauti na ndani. Acheni ubabaushaji

  • @RastaMany-p8x
    @RastaMany-p8x 12 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee mpango quber iyo ongera ngoja tuone safu ya mwaka huu

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 12 วันที่ผ่านมา +2

    Ukiwa mtu wa mungu na mpenda haki ccm di mahali pako

  • @AliJussa
    @AliJussa 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona live tuliona ,, Kigogo alikuwa wapi

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 12 วันที่ผ่านมา

      Kigogo ndo kashika nchi sasa hivi ayajisemeaje?

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 6 วันที่ผ่านมา

    Dr mpango ni mtu hataki kuongoza serikari yenye mashaka. Huyu kiongozi mtakatifu kama wangepatikana watano tuu kwenye uongzi uliyopo hakuna haja ya kuwa upinzani. Huyu.ni mseminari anafunga. Hana tamaa ya madaraka. Mali. Sifa mimi namkubari subiri siku itafika kwa nini hataki madaraka wakati wengine wanalala kwa waganga wa kinyeji.

  • @neemajoseph7119
    @neemajoseph7119 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera mpango kwa maamzi hayo

  • @juliusshirima1151
    @juliusshirima1151 6 วันที่ผ่านมา

    Hao wasiopenda uchaguzi ujue Kuna siku watauana wenyewe kwa wenyewe

  • @DavidShukuru-v8f
    @DavidShukuru-v8f 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bana chezeya katibu mukuu asitoke mu CCM

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 12 วันที่ผ่านมา +1

    At least amegunduwa vijana na sura mpya zinahitajika .. God bless you for wisdom

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 12 วันที่ผ่านมา

      Wasira ni kijana?

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 12 วันที่ผ่านมา

      @florencemeza6540 kwani headline inamzungumzia nani?

    • @TyaleMkoma
      @TyaleMkoma 11 วันที่ผ่านมา

      Kagundua Vijana kibao ni ma Chawa sio kama enzi zake.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 6 วันที่ผ่านมา

      @@florencemeza6540 kwa kweli

  • @ReonaldBakekela
    @ReonaldBakekela 2 วันที่ผ่านมา

    Makonda

  • @WilliamZengo-l4o
    @WilliamZengo-l4o 4 วันที่ผ่านมา

    Yawezekana kua ni uamuzi wa busara!

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 9 วันที่ผ่านมา

    Hata Mchimbi hatadumu katika nafasi hii kama maovu yanayotamalaki nchini hayatakomeshwa. Ni watu wachache sana wenye hofu ya Mungu wanaweza kuona uovu ukitendeka na kuuvumilia

  • @OmarHassan-w7u
    @OmarHassan-w7u 7 วันที่ผ่านมา

    Akiondoka mpango wekeni mipango au sio

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kichwa cha habari si Sawa na yaliyomo. Kwa waandishi wa namna hii wanaupeo wa kusaidia jamii yetu, kama kichwa cha habari na dondoo ni tofauti. Au uko chekechea unajifunza uandishi Wa habari?

  • @JoleneMwaisemba
    @JoleneMwaisemba 11 วันที่ผ่านมา

    Mbona simuoni kigogo hapo,...viTV njaa hivi.,...AyoTV ataendelea kuwabuluza tu

  • @JosephPhiliposemzei
    @JosephPhiliposemzei 12 วันที่ผ่านมา +3

    Tuko pamoja tunaendelea kufatilia siasa za Tanzania kwapande zote.

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 11 วันที่ผ่านมา

    Shida magumu hayavumiliki,ukweli peupe uongo peupe

  • @HappinessMwenda-k7r
    @HappinessMwenda-k7r 11 วันที่ผ่านมา

    AJENGEWE SANAMU YAKE HEWANI....YAANI MWAFRIKA KUKATAA MADARAKA MAKUBWA KAMA HAYO..ISIJE IKAWA HUYU BABA NI MJUMBE KUTOKA MBINGUNI.MAAJABU YA DUNIA....

  • @shamschilambo8454
    @shamschilambo8454 12 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie watu mnakera sana kichwa cha habar kina utofaut mkubwa na kilichomo ndani ,, kama hamujui mnacho kiongea na kuandika kaeni pemben

    • @hashimhashim1756
      @hashimhashim1756 12 วันที่ผ่านมา

      Hawa jamaaa ni washamba Sana hawajui Nini wanafanya. Porojo tu habari zenyewe kutafuta. Hawajui. Basi wapo wapo tu wapumbavu Sana. Headline. Na porojo. Anayoongea. Havilingani. Ni kuwapotezea watu Muda WAON tu washenzi hawa.

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 10 วันที่ผ่านมา

    Hapa duniani wakati mwili ukichoka pumzika

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna kitu hapo kwa mpango ndio maana kaamua aache tu

  • @AnthonyKamonga
    @AnthonyKamonga 8 วันที่ผ่านมา

    Unaongea kingine na kichwa Cha habari kingine.ludi Tena chuo ukaongeze taaluma yako

  • @AndersonMwamengo
    @AndersonMwamengo 12 วันที่ผ่านมา

    mfumo wa habari kwa sasa ni ovuo na holela sana siri ipi kigogo kafichua! kwa vichwa vya habari hivi mrudi darasani

  • @RoseKimishabhalemi
    @RoseKimishabhalemi 10 วันที่ผ่านมา

    Meacheni watamuua

  • @SharifuWaziri-e7f
    @SharifuWaziri-e7f 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hapo Kuna jambo

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 12 วันที่ผ่านมา

      Jambo unalo wewe!
      Baba kaomba kupumzika kwa heshima period!!

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha 12 วันที่ผ่านมา

      Kwahy aliyekataliapo hana heshma?

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 12 วันที่ผ่านมา

      @selemaniigosha Uliza serikali yako ya kichwani kwako....

  • @kiluiWanguvu
    @kiluiWanguvu 12 วันที่ผ่านมา +1

    hizi chanel uchwala mkutano mkuu umeeleza kila kitu muandishi uchwala unaleta mbambamba

    • @WiliamAyubu
      @WiliamAyubu 12 วันที่ผ่านมา

      Hawa wafungiwe wanasema tofauti kile kilichoelezwa ktk mkutano maalum wa ccm,,

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala 12 วันที่ผ่านมา

    Huyo kigogo muongo Tena mnafiki kwa nini hakusema before tumechoka.

    • @StevenTambi
      @StevenTambi 12 วันที่ผ่านมา

      Tupe ww taarifa za kweli .

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 12 วันที่ผ่านมา +3

    Mnajaribu kutengeneza tatizo!
    Hata aibu hakuna!
    Jana tumeelezwa kila kitu!
    Kwani kupumzika kazi kwa heshima ni dhambi??

  • @danny66677
    @danny66677 9 วันที่ผ่านมา

    Tapeli wa habari, unatapeli wafuatiliaji wa habari zako. Unaweka kichwa cha habari kizito afu unakuja kubwabwaja na habari ya historia ambayo tunaijua. Shame on you!

  • @lonjinoedward3539
    @lonjinoedward3539 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mnamaliza bundle za watu tu

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 12 วันที่ผ่านมา

      Punguza kiherere hujatumwa kufungua

  • @EvanceDamdam
    @EvanceDamdam 5 วันที่ผ่านมา

    Chanzo n bandar

  • @lonjinoedward3539
    @lonjinoedward3539 12 วันที่ผ่านมา

    Ovyo

  • @ElibarikiMollel-t5k
    @ElibarikiMollel-t5k 12 วันที่ผ่านมา

    Ni uzushi mpango hawezi kujiuzuli

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 10 วันที่ผ่านมา

    Yaweza kuwa kweli au....ni figisu za kisiasa!
    Kuna mtu muhimu hapa tZ aliwahi kuugua,ikawa siri;kusema tu kwamba anaumwa ikawa kosa la jinsi!
    Kw io sirikalini lugha ni ya kuunga tu!