Bendi ya Ghaithan Musical Party yatunza utamaduni wa Kiarabu Mombasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Utamaduni ni kioo cha maisha ya mtu, na akiupoteza amepotea. Kuhifadhi utamaduni wa jamii ya Hadhrami, ambayo asili yake ni Yemen, ndilo lengo kuu ya bandi ya muziki ya Ghaithan Musical Party ya mjini Mombasa, Kenya. Lengo jingine ni kuburudisha watu. Pata zaidi katika vidio hii ya #Kurunzi.
Nzuri Sana
Nilitamani kusikia nyimbo zao au nyimbo za kikundi Chao.
Samahani mtangazi hukuweka contact zao ili tuwasaidie ndugu zetu