MashaaAllah Allah ibarik.Alhamdulillah Kweli Mama ni fakhari kubwa sana Allah awahifadhi na atuongoze sote aameen. Sheikh Walid endelea kama ulivyo sisi tumekukubali kwa Elmu tabia na Akhlaq yako.Tunaomba Allah akuhifadi wala hichi cheo kisikubadilishe baki kama sahivi ulivyo ...
Masha Allah.. Mahojiano ya bimkubwa wetu yamekatizwa katizwa sana... Bimkubwa apatiww nafasi ingine kwa utulivu wengine wafuate nyayo..Allah awalipe nyote kwa kazi nzuri ya kutoa elimu ya dini. Nawapenda sana kwa ajili ya Allah...
Masha Allah kheir Allah Awafanyie katika dunia na akhera. Sheikh wangu Walid nitakuja kumsalimia bimkubwa nikijaaliwa kuja dar es salaam. Muangalie sana tena sana ni mama mwenye nuru ya dini
Maashallah, JazaakaLlah khairah Sheikh Walid, nakupenda sana kutoka moyoni kwa ajili ya ALLAH tangu nikufahamu, nimezidi kukupenda baada ya kutawadhwa kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam kwa uteuzi wa Mh.Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania na BARAZA LA ULAMAA Taifa.
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh wangu jambo lakwanza ambalo nimelikubali yakwamba wewe unasifa yakua sheikh wamkoa kwanza nimtu mwenye hikma sana Allah akuzidishie msimamo huo inshaallah pia usisahau kuwaombea dua masheikh wenzako ulosoma nao wakina sheikh said mwinyi marehem hapa south africa inshaallah Allah akujaalie afya njema wewe pamoja naviongozi wote hapo Tanzanian ispokua nasaha zangu kwenu viongozi wote ningewaomba mfanye kazi kwauwadirifu kwasababu hiyo ndio mwanzo pia wakutengeneza akhera zenu
Alwahhh akupe subr juu ya nafasi hiyo lakin umestahili na unastahiki kua hapo na zaid ya hpo Una haki yakua hapo shekh WALIDI bin Al had Omar ibn kawambwa tumeridhika
Mashalah barks allhal mama huyo akiwaustadhi wako utasoma Kama mkali lakini anaakili Sanaa ..Walid huyoo ndio ustadha wako wengine Ni mashekh wako ..chukulia alivyokua anaumri wa miaka 30 alafu ndio ustadh
Samahani mzee nkusa umefanya vizuri kutuletea kipindi lakini tafadhali usije ukatuletea fitna kwa namna yeyote kwa sheikh letu sheikh Walid,maama hatujasahau ulivomshambulia sheikh letu Mziwanda.
Bi mwalimu masha Alllah, kanipokea mchanga hapo hapo ukumbini alhamdulillah. Mwenyezi ampe umri mrefu wenye manufaa na barka tele.
Amin rabby allahmin yaaaaarab
Mashaallah... Mama anaheri nyingi Allah amjaalie mwisho mwema inshaallah
Allahumma Amiin
Amina yarab
Maashallah tabaarakallah...Mama angu kipenzi Allah akuhifadhi.Msasani tumefaidika na Baba etu Ust Alhad Allah ampe Jannat Firdaus.Aamin
Mashaallah mashaallah Allah atuafikishe na sìsi
Mashaa Allah bi huyu kwakutoa Elim kwakijana wake namie nimepata Elim kupitia shehe walidi alhamdulilah sahii intranet nifaida kwawenye kujua.
Maashaallah maashaallah maashaallah barakallah fiikiy mamayetu inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲☝️
Wallahi sheikh walid ww Una cfa njema na tabia njema ni mpole na ni mnyenyekevu watu km ww ni wachache sn ktk Zama hz
MashaaAllah Allah ibarik.Alhamdulillah Kweli Mama ni fakhari kubwa sana Allah awahifadhi na atuongoze sote aameen.
Sheikh Walid endelea kama ulivyo sisi tumekukubali kwa Elmu tabia na Akhlaq yako.Tunaomba Allah akuhifadi wala hichi cheo kisikubadilishe baki kama sahivi ulivyo ...
Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
Masha Allah.. Mahojiano ya bimkubwa wetu yamekatizwa katizwa sana... Bimkubwa apatiww nafasi ingine kwa utulivu wengine wafuate nyayo..Allah awalipe nyote kwa kazi nzuri ya kutoa elimu ya dini. Nawapenda sana kwa ajili ya Allah...
Wallah,,,irudiwe tu,,kuna mengi ya kujifunza toka kwa bi mkubwa
Masha Allah kheir Allah Awafanyie katika dunia na akhera. Sheikh wangu Walid nitakuja kumsalimia bimkubwa nikijaaliwa kuja dar es salaam. Muangalie sana tena sana ni mama mwenye nuru ya dini
Maashallah, JazaakaLlah khairah Sheikh Walid, nakupenda sana kutoka moyoni kwa ajili ya ALLAH tangu nikufahamu, nimezidi kukupenda baada ya kutawadhwa kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam kwa uteuzi wa Mh.Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania na BARAZA LA ULAMAA Taifa.
MASHAALLAH BI MWALIMU
ALLAH AKUPE UMRI WENYE AFYA DAIMAN INSHAALLAH
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Baaraka Allahu Fiikum
Maanshalaah Bi mkubwa nimempenda ila ...kwann humpi nafasi aongee amalize ndio umuulize maswali,, pia swali moja usilirudie ×3
Maash Allah mmebarikiwa Allah awajaze kheir nyingi
Sheikh unaingia mzuri na Allah akujaalie utoke hali ya kua mzuri hivo hivo cheo kisije kukuharibu, amiin.
Amiin Ya Rabb
Mashaalah allah atuongoze sote
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh wangu jambo lakwanza ambalo nimelikubali yakwamba wewe unasifa yakua sheikh wamkoa kwanza nimtu mwenye hikma sana Allah akuzidishie msimamo huo inshaallah pia usisahau kuwaombea dua masheikh wenzako ulosoma nao wakina sheikh said mwinyi marehem hapa south africa inshaallah Allah akujaalie afya njema wewe pamoja naviongozi wote hapo Tanzanian ispokua nasaha zangu kwenu viongozi wote ningewaomba mfanye kazi kwauwadirifu kwasababu hiyo ndio mwanzo pia wakutengeneza akhera zenu
Alwahhh akupe subr juu ya nafasi hiyo lakin umestahili na unastahiki kua hapo na zaid ya hpo Una haki yakua hapo shekh WALIDI bin Al had Omar ibn kawambwa tumeridhika
Mashallha alhamdulillah
Mashaallah 🌹🌹
Allah akuhifadhi
Ma Shaa Allah
Ma shaa allah
Mashallah!
Mashaa Allah, tabarakallah
NDG MTANGAZAJI SIO PROFESSIONAL KTK UTANGAZAJI KWA KWEL
mashallah mashalla
Mashallah Mashallah
Mufti toa na hili linamslah yake kutwa liko kanisani atakuja ktuharibia walid wetu
Mufti fumua na huyu mrangi wa kwetu.tupiria mbali
🤣🤣🤣🤣🤣 yaan du?
Sh Waleed acha kumdhalilisha bi mkubwa hili jamaa halina maadili
Baaraka llahu fik
Hujui kuhoji mwandishi unapapara humpi nafasi
Kabisaaa
Mashalah barks allhal mama huyo akiwaustadhi wako utasoma Kama mkali lakini anaakili Sanaa ..Walid huyoo ndio ustadha wako wengine Ni mashekh wako ..chukulia alivyokua anaumri wa miaka 30 alafu ndio ustadh
Sema Sheikh Walid sio walid
Mashaalah
Manshallah
Mama yupo mwanafunzi wako uku ugaibuni
Tumbo toka. MASHIA ni MAKAFIRI
MaashaAllah
Sasa sheikh Waleed nimegundua udongo wako imeupata kutoka kwa mamako,,, udongo imara,, umri mkubwa ila muonekano wa kijana,, naona hata kwa mamayo
ALHAMDULILLAH!
MashaALLAH
MASHA ALLAH. ALLAHUbariq.
Hamna kitu huyu sio kila mwenye kamera anastahili kuwa mwanahabari, huyu kadandia fani
Nikweli kavamia.maana....
Binafsi naona yupo vzr
@@allyzakuwany8959 basi hauijui fani hii
Mashallah mama
Mashaallah Bibi yetu lkn Mwalimu wetu pia tulisoma Kwake Qur an Tabarrukan Mashaallah
masha Allah
MaashaAllah
Samahani mzee nkusa umefanya vizuri kutuletea kipindi lakini tafadhali usije ukatuletea fitna kwa namna yeyote kwa sheikh letu sheikh Walid,maama hatujasahau ulivomshambulia sheikh letu Mziwanda.
Kavamia kazi za watu huyu mrangi maana hata mahojiano yake hamuachi mtu akajieleza mara nyingi ni kumkatisha tisha tu
mama yetu wangemfunika mikono ikabakia viganja tu ingekuwa aulaa zaid, videos huwa na athari ya mbali...
Shekh muache mtu aongee nd n ww uingizie maneno yko unaharibu interview
Yuko hivi huyu jamaa mara nyingi interview zake ni kukatisha katisha tu
@@abuuayoubayoub9260 nd mwandishi wa mufti au hajasomea uandishi nn
😂😂
Masha Allah