Salute Sana mpoto!! Wengi hawawez kumuelewa..lakin Kama unajua unajua tuh. Uncle ni spiritual teacher na lazima uwe open-Minded kuweza kumsoma vizur..wengi bado mental enslaved to see the real picture..they not ready for this know-ledge.
Wengi wanasema ni utamaduni na kudumisha mila, ukweli ni kwamba ukitembea pekupeku hasa Kwa kuikanyaga ardhi moja Kwa moja unakuwa unaongeza immunity Kwa kiwango cha juu sana, Kifupi unakuwa unaunganisha uumbaji wa mwenyezi #Mungu. Kuna faida kubwa sana kiafya kuikanyaga ardhi japo Hata Kwa Kutembea pekupeku Kwa muda wa nusu saa au zaidi Kwa siku na si tiles au cement.
Yes true unastimulate nerves from kisigino. Unashauriwa angarau kwa wiki tembea peku kwa cku moja. Ndo maana wazungu hucheza mpira peku kwny fukwe za bahari. So kukanyaga mchanga is very important than cement floor
Magonywa mengi Ya milipuko Mzee mrisho Vaa vihata bwana Zaman siyo kama Sasa iv matunda yooote Yanapandiwa daw ikiwemo embe Pala chichi nanasi Na siku ukiwa unaenda sokon Matunda mengi unakuta Yame mwagika mwagika Yale yaliyo oza oza Wew unavyo enda kuchukua matunda Yakula na familia yako inakuaje aukanyagi uwozo wamatunda Ayo Muda unaenda sokon!??
He’s right ila mazingira ya zamani na leo siyo sawa👎🏿👎🏿😅 Plus unaposema mazingira ya zamani- tunasema ni ile mazingira ya countryside cyo miji wala industrial areas🤣
Huyu jamaa wa kwanza kwenye hii interview tumuelewe vizur Mazingira ya sasa sio ya zaman Kwa issue ya mazingira sio sawa Ila for culture issue yuko sawa
@@maishayetufilm sio kwl bn kipindi kinarekodiwa na kinarusha ww ulishaona wp watu wanafanya kazi wanakaa nayo ndani 😂😂😂😂hapo umetunganya unataka kuniambia na gea habibu kuna kazi ameziweka wkt hichi ndo nikamuinguzia fedha
Mrisho mpoto ameniinspire kwenye utunzi🤗🤗🤗 nmpenda sana
Salute Sana mpoto!! Wengi hawawez kumuelewa..lakin Kama unajua unajua tuh. Uncle ni spiritual teacher na lazima uwe open-Minded kuweza kumsoma vizur..wengi bado mental enslaved to see the real picture..they not ready for this know-ledge.
A prophetic thinker
Mo Unazingua sana Unapenda kutembeleea sehem zinajiludia wakat dar ni kubwa Sana achen upendele
Walosema mo kahama wa Safi tyuwazomee kina mwijaku mm binafsi na kufatilia nikiwa omani
Mrhisho mpoto nakupenda bure mungu akupe maisha marefu
Sanya unafanya kazi vizuri sana
Kama Ni mdau wa sanya like apa plz
Sanya juu tupoo
Uko juu mdau
Umekosa jibu katika dunia kila mmoja ana maisha style yake
Wengi wanasema ni utamaduni na kudumisha mila, ukweli ni kwamba ukitembea pekupeku hasa Kwa kuikanyaga ardhi moja Kwa moja unakuwa unaongeza immunity Kwa kiwango cha juu sana, Kifupi unakuwa unaunganisha uumbaji wa mwenyezi #Mungu. Kuna faida kubwa sana kiafya kuikanyaga ardhi japo Hata Kwa Kutembea pekupeku Kwa muda wa nusu saa au zaidi Kwa siku na si tiles au cement.
Yes true unastimulate nerves from kisigino. Unashauriwa angarau kwa wiki tembea peku kwa cku moja. Ndo maana wazungu hucheza mpira peku kwny fukwe za bahari. So kukanyaga mchanga is very important than cement floor
@@richardibrahim5609 ndio maana Watoto na vichaa immunity zao Ziko juu sana because Watoto muda mwingi wanakuwa peku na vichaa muda wote wako peku.
Sanya nembo ya mtaa 😁😁😁😁 ulinitisha mwanangu kutoka wcb 4life✊
Wabongo wanafiki sana
Mrisho Mpoto sio Mtu wakuchukiliya poa, mi napenda nyimbo zake sana
Mor touwn sanya siku 1 utembelee, mji mkuu wa MOZAMBIQUE, hapa Maputo, kwa garama zangu Mr sanya.
Vamos contribuir para ele yaha
@@carlitacelestinopedro7127 muito obrigado
Não foi nada irmão 👌
@@carlitacelestinopedro7127 je ne comprends rien mon frère il faut parler français
@@emmanuelshayo4703 Je ne connais pas très bien le français
Ebwana uyo muongeaji wa kwanza ana akili za kufikirika.. chap chap na anajua anacho kizungumza
Huyo Ana Maisha Mazuri, Hafanyi kazi Ngumu, Sasa mchimba mikaa na Watu wa Mbugani igeni Msikilizie😁
MoSanya Unafeli
wap Sasaivi mbona Ile Gonga Beat! Hakuna Aah Acha
Ivo Bas Gonga Beat Nisehem Yakutufanya Ku Batasam
🤣🤣🤣🙏🙏🔥🔥
Atembei peku muongo uyo...Kioo cha jamii lakn ndio mpotoshaji jamii....
Unazngua sanya ....gonga beat hueki
Magonywa mengi
Ya milipuko Mzee mrisho
Vaa vihata bwana
Zaman siyo kama
Sasa iv matunda yooote
Yanapandiwa daw ikiwemo embe
Pala chichi nanasi
Na siku ukiwa unaenda sokon
Matunda mengi unakuta
Yame mwagika mwagika
Yale yaliyo oza oza
Wew unavyo enda kuchukua matunda
Yakula na familia yako inakuaje aukanyagi uwozo wamatunda Ayo
Muda unaenda sokon!??
He’s right ila mazingira ya zamani na leo siyo sawa👎🏿👎🏿😅
Plus unaposema mazingira ya zamani- tunasema ni ile mazingira ya countryside cyo miji wala industrial areas🤣
Kwelii kabisa sasa s salama kemikal kila mahalii
Perfect..hii ndio point.
Jamaa hana msimamo na point yke.
Mrisho mpoto 💥💥💥
Hivi ni kweli Mrisho mpoto anatembea peku 😂😂
Nani kagundua sanya kasema Mpoto sogea huku wasije waka kugonga😂😂 akasema MPOTO SOGEA HUKU WASIJE WAKA akaishia hapo😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Love from WE THE LOCALS TV 🇧🇮
Mrisho Mpoto yuko sawa.....anaconnect ardhi which is true
Uy mpoto mwong cku ya mazish ya dkt John pomb magufur....camer zilimnasa akiw amevaa sendo leo yup peku mwong uyu.....
Kuna sababu ya yeye kuvaa hivyo, good
Yaaani ulijua kutupa muhaho jmni duuuh nimeturahi kukuon ten😀😀
Show yetu pendwa 👌🔥
Editing leo haipo sawa mmekatakata vipande vingi sana, watu hawamalizi kuongea, story fupi za wazeee wa mwishoni hao
Wa bongp bwaaan yaani kaamua kumchan mpoto live bila kupepesa macho
Sanya mbona gonga beat hamuiweki cku hz???
Ujue nilijua Sanya katuacha kaenda clouds kiukwel ingeniuma Sana, atutak kukupoteza mjanja
Kabsa
Akienda kule hana jipya amuulize Mtiga Abdallah anaendelea huko EFM
Kutembea peku manake "bila viatu" 😬🇰🇪
Huyu jamaa wa kwanza kwenye hii interview tumuelewe vizur
Mazingira ya sasa sio ya zaman
Kwa issue ya mazingira sio sawa
Ila for culture issue yuko sawa
Kiubinafsi namuelewa sana mrisho mpoto
Jamaa ana muhaho kweli we wataka nyimbo za matusi ndipo uelewe pumbavu kijana gani ww
Huu ni wakati wakutubu. Siyo kujitoa fahamu. Hatukutupwa ktk ardhi.
sanya nakubal
Sanya fanya mikoani bac itakua nzuri zaidi dar es salaam kala siku fanya
Kwanin msije mkoani uku kila kitu ni daa tu mnayumba
Gonga beet mbn hamn unayumba mo town sanya
Oya mchaga wapi hpo naona pisi kali za Kiswahili duh
Show ya kibabee
Tulio chelewa kuangalia kipindi kipindi Chetu tufahamiane hapa 🔥🔥🤞
u
we si. umehamia clouds
Motown sanyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa makn sana mzey nikajuwa ndo umesepaaaaah
Nice sanya
WCB for Life
🤣😂😂wabongo mwapenda ushindani wa ki funny
Mrisho yupo sahihi mbona bi kidude ilikwenda kwa malikia akuvaa viatu
Wangapi tuliohisi nembo ya mtaa kahamia Clouds?
Mwenyewe sikuamini
Uliskia wapi mtu atoke university na kurudi O level 😂😂
Yani enzi za babu zetu na leo ni tofauti leo ongezeko la watu limekuwa kubwa bna mazingira pia yanaongezeka kuwa na daka nyingi kwa nini utembee peku
Moo town Sanya fanya utuletee na tin white baba
Tayari
Tayari uyo tin white au
Sio kweli kama ukitembea peku unapata magonjwa ni uongo.. labda kujichoma na miba
Kwann mskini mnaingia bila viatu?
Hivi ni kweliiii😄😄😄 noumaaa sana wejamaa
Mimi kama Mimi nakupenda sans mrisho na mashairi yako
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nembo ya mtaa💪💪💪💪💪💪
Jamaa kichwa ,
TEAM WCB FOREVER
#WCB4life
Mrisho mpoto sasa hivi amebakiwa asilimia 50 ya sehemu ya Rasta hadi mwakani 45 hivyohivyo hadi 0%.
😘😂😂😂😂
Wazee ni hikma🤩🤩🤩🤩
Aaaaah uyu mkaka jamani😂😂😂ati ngoma zako hazinivutii n sjui mbona hahahahaha
NEMBO YA MTAA 💥🔥
Naona mwamba Bashiri
Kitaa kina elewa
Wasafi forever
Jamaa kawa mkweli ngoma zako hazinívutii
Uyo mtu kwanza kwenye gonga Beat alikuwa anaimba au🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pamoja na Alie vaa tishert ya njano Ni noma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nembo yaa mtaa ukihama wasafi umeisha Yani utoke wasafi uwende kwenye utopolo
Aulize Mtiga Abdallah
Nakukubal mo sanya una kazii mbovu
Watu wangejua umuhimu wakutembea Peku hata siku moja tu,kushinda peku basi kuna mambo mengi tungeepuke
😂😂😂😂😂 Jamaa kam ruka mbal sana hahaha
nyirenda gonga beat like nying
❤️❤️❤️
Hyo jamaa wa kwanza mnafiki knoma😆😆😅 yan kamgeuka mtangazaj apo apo
Hi. Kaka vp. Naona kweli upo kitaa..niulize kwani hapo wapi? Mtaa gång?
Huwez kuacha kuvaa viatu kwamba unadumisha utamaduni wakati unavaa suruali
Gonga beat iko wap Sasa
Bongo la kipindi yaani mpaka raha
🤣 huyo mzee amesema ipo siku atauliza mpka atafika hapo waonane
Nembo ya mtaaa 💥💥💥💥
Hawa watu wa gonga beat wakiekewa kizungu waimbe ama marafiki zao wafe si watatumaliza sote
😂😂😂😂
Yaani huyu mpoto namkubali sana
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Da hiki kipindi kikianza tu kinaanza nocoment mia sijui wanaambiwa na sanya leo tunatoa clip mkae tayari
Mpoto ile collabo na harmonize ilikuwa bie
Ukweli tuambiane nyayo za mrisho mpoto hatembei peku siku zote
Gonga beat vp sasa
Kama ndivyo kwanini unavaa nguo ?!
Sasa huo utamaduni gan. basi utumwa nao uludi
Sanya mwanangu ulinichanganya sana kukuona na maik ya kliauz
Hivyo vipindi vilirekodiwa jamaa kashahamsha
@@maishayetufilm sio kwl bn kipindi kinarekodiwa na kinarusha ww ulishaona wp watu wanafanya kazi wanakaa nayo ndani 😂😂😂😂hapo umetunganya unataka kuniambia na gea habibu kuna kazi ameziweka wkt hichi ndo nikamuinguzia fedha
Kutoka rufiji naenjoy sana pindi ili
Kwani wao wanademaje kwetu WCB hilini likipindi LA kwenda si ndio hili
Hi 👋
Mo town sanya tuletee tinwhite
Km kiyatu ni takbiri ya gari
🔥
Anazingua Sana akili Hana sim zenyewe zinaalibu brain system na sim yeye anayo alaf kakazia kwenye kiatu kkkk
Inawezeka kua ni masharti alipewa hamuezi jua