Wakenya na wabunge chini ya uenyekiti Wetangula watoa hisia kuhusu ukwasi kwa walioteuliwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- Huku wabunge wakiendeleza kibarua cha kuwapiga msasa mawaziri waliopendekezwa na Rais William Ruto ili kushikilia nyadhifa za uwaziri , wakenya pamoja na wabunge chini ya uenyekiti wa spika Mosses Wetangula wameonekana kutoa hisia zao mseto kuhusu ukwasi wa walioteuliwa kwa mara ya pili baada ya kukaa madarakani kwa muda usiozidi miaka miwili. wengi wameongeza mali ya zaidi ya shilingi milioni 100 licha ya uchumi kuwakandamiza wakenya wengi.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
How can a politician and public servant be also a businessman ?
Is that allowed ?
Muibe kenya iishe na mukufe muishe ....kumbaff
Total disgrace. None has brought up issue of tax returns on the table for they swim in same boat.
👏👏
System ya majambazi
Duale Ana biashara huwezi hoji
Yuko Kenya moja kweli ??
Waaah aki Hawa wameunda pesa Kisha miaka 5 ikiisha s watakua mbali sana Hawa
Theyre askin them the wrong questions ...
👏👏
Even Senators in America are not that rich and they are in the most developed and opportunity country.
Audit for their wealth through both private and public could be a more clearer and abit transparent motive in this case,,, verbal claiming is so shallow considering the level of rank they are appointed to serve 😮😮
Sasa hizi pesa zoooote ni za Nini ??? I always pray God anisaidiye Bora nilishe family yangu na nisomeshe watoto wangu ,
Crooks
Au tuwache uchaguzi waawe wanajichagua