Big up sana bro DUPA kwakweli nimeangalia mwanzo mpaka apanilifkia ila dah story hii niyakweli kabisa najamaa anaeleza vzri tena nacomfidence dah nimemkubali sana uyo kaka amepitia mengi sana namaisha kweli simchezo na apo kwenye kwenye miti, njiwa , dah nivitu vyakweli kabisa
Yetu macho
Story iko sawa sana🔥🔥🔥
Binafs ningelpenda content Isiwe ya kufundsha au Kujvunia Magic power..
Naomba mawasiliano ya huyo jamaa jamani naomba hiyo namba jaman
Kwenye mti wa mzambarawe ni kweli mtoto wa anko wangu alianguka akapasuka jicho na hakupona😥
Big up sana bro DUPA kwakweli nimeangalia mwanzo mpaka apanilifkia ila dah story hii niyakweli kabisa najamaa anaeleza vzri tena nacomfidence dah nimemkubali sana uyo kaka amepitia mengi sana namaisha kweli simchezo na apo kwenye kwenye miti, njiwa , dah nivitu vyakweli kabisa
Huyo kaka anapatikana wapi
Naomba namba
Hatareeee sana
Nilikua nimeisubiria sanaa
Nahitaji namba za huyo kaka aisee nsaidie nipate
Nisaidie namba ya hio Kevin
Namba huyu kelvin
Stor nzur san ningependa nipate number ya huu kaka plz
🔥🔥🔥🔥
Mbona kama anatangaza biashara ya uganga
media kubwa ila inashindwa kuandika part1, part2 sijui mna fail wapi?
TUNASHID JAMANI TUNAOMBA NAMBA ZA BABU JAMANI
Tumefika Kaka Dupa
Sitori iko poa sana
Namba yko ntaipataje keiv
Tunaendelea kupigwaa
🤣🤣🤣🙌
Naomba mawasiliano ya bwana Kevin
Hata mimi nayaitaji mawasiliano
Sehemu inayo endelea ya 6 lin
Tatizo hiii story unakaaa siku nyingi sana ndo unautuma sasa tutamaliza kweli? Si itakaa miaka miwili mzee
🤣🤣🤣🤣Inakuwa kama ISIDINGO.