JONATHAN ALUKWU KUTUA SIMBA/MKALI WA KUTUPIA/UBORA WAKE NA UDHAIFU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Simba Pro kama ilivo kawaida tunakuletea uchambuzi wa kina kuhusiana na Jonathan Alukwu ambae anatajwa kwa karibu kutua katika klabu ya Simba
kupitia video hii utapata kumjua kwa undani nyota huyu na Rekodi zake toka akiwa na Heartland FC hadi sasa akiwa na Sporting Lagos
NWAKA HARDWARE ni wauzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vya kisasa
wanapatikana Kariakoo mtaa wa Kipata na Sikukuu
wasiliana nao kwa namba 0655155096
Pia shukran ziwaendee wanachama wa Simba Pro kwa michango Yao iliyowezesha upatikani wa media hii
Nakukubali sana mwamba.
Waandishi acheni usenge,,ivi kwanini mnapenda sana uongo,, muwe nå hofu ya MUNGU
Jonathani Alukwu aje Simba ndo wakati ili kucheza kibingwa bingwa ndani na nje
Huyu mchezaji. Ni jipu Hana kitu achaneni naye.
Kama deal ya Mpanzu imefeli acheni wazi nafasi hiyo Hadi dirisha dogo baada ya kutathimini wachezaji wote waliosajiliwa na kubaini gap
YHafai kuja wara kuchezea Simba kiwango chake lidogo
Acheni uongo xw
hamna mchezaji hapo
Huyu mwandishi pimbi hawana jipya wanaleta swaga za uongo
Duh 😀😀😀🙏
Uwe mkweli mtangazaji
Sasa wee Mchambuzi mbona umetuorodheshea watu watano na unampendekeza huyu mwenye magoli machache kuliko wenzie wanne?
huyu Sijampendekeza bali Simba ndo wanamtaka
Kumayoo mnzinguwa😢😢😢
Tatizo unaongea sana,unatumalizia bando nitajitoa,niweke mshusika kifupi na toa maelezo mafupi
😀😀😀 Sawa kaka ntajitahid kuongea haraka haraka
@@SimbaProSupporters Ishu siyo uongee haraka Bali ongea point kifupi,tuonyeshe na vitu vya mchezaji dkk 5 nyingi sana ukijipanga zinatosha
Club ya Siasa nyingi na Propaganda kuliko uhalisia wa mpira wa miguu .MSIMU WA 3 BILA TAJI LOLOTE
Kwan yanga alikaa miaka 4 bila taji je hukulijua hilo. Ktk timu ni jambo la kawaida. Vp azam haina taji kwa muda zaidi ya 10 unataka kusema nn.
@@salukisendi9333 Kwani Yanga ni Simba?
@@beaugosseadam6831pale German team zote hazina ubingwa kwa miaka 11 je tuseme nn ni munichi tu anabeba