Mheshimiwa Rais hongera kwa kazi nzuli ya kupambana na rushwa, lakini hao akina Kabwe ni "upele" tu, lakini majipu makubwa bado hujayagusa , songa mbele usiwe na woga Mwenyezi Mungu yupo anakulinda, upasue majipu makubwa .
Name and shame and jettison ...this man Mr. Kabwe has got off easy. In South Africa thieves are beaten up and before they lose consciousnesses, have car tires strung around them and then burnt to death. He is one very lucky man indeed!
"Kabwe rudi nyumbani ukitoka gerezani.. uje ujiunge nasi sote tushirikiane.. kulijenga taifa.. taifa letu changa Kabwe..!" Haya ndiyo Mwalimu alikuwa kisema.. mtoto akilila wembe UKIMPATIA.. UTAMKATA PALE PALE..! Kaka Kabwe kaipata freshiii.. Lmao..!
Mbona hujampa nafasi yakujitetea kama yule mkurugenzi wa mkoa fulani uliambiwa ni mwizi. Huo mh.sio utendaji kazi bali ni geresha zako tuu utawafumba wavivu wa kufikiri lkn kwa werevu hawatadanganyika hata siku moja
Sasa mfanyakazi wa serikali si binadamu kama wewe yale makontena siyo ya wizi ameyanunua akawa anaomba apunguziwe kodi mzee magu kamwambia hakuna cha kufanyakazi serikalini wala nini kama huna pesa yapigwe mnada na ndio kilichofanyika sasa afukuzwe kazi kwa kosa gani hapo
Rose Mbuna mbeya nna mapacha watatu ofisi ya Raisi niliambiwa ntapewa msaada mpaka leo:hakuna: tusaidieni watoto hawa nashindwa kuwamudu Mheshimiwa Magufuli:0784485142:walichukuwa picha ustawi wajamii:vyeti vya kuzaliwa wakasema subiri mpaka leoWana miaka minne na nusu
Duuuh hili lilimpa pressure willson kabwe leo hayupo duniani Daah
Baba na mwana
Tutakukumbuka sana siku ukiongoka kipind hicho hata wanafiki watakusifia
Hekima ya mungu inasema.hata akili ya mwisho yake mungu haifikiwi na akili za binadamu.
Haya maneno nimazito saana.
Mungu atujaalie hekma na maarifa.
Mheshimiwa Rais hongera kwa kazi nzuli ya kupambana na rushwa, lakini hao akina Kabwe ni "upele" tu, lakini majipu makubwa bado hujayagusa , songa mbele usiwe na woga Mwenyezi Mungu yupo anakulinda, upasue majipu makubwa .
Henry Rwamugema
tunajisikia raa urikuwap
jamani uyu rais Ata sijui nimuombee dua gani dah Alihamdulilah mungu Akupe umri mrefu
Naumia sana nchi yangu
Jamani Mimi nifanyejeeeee😀😀😀😀😀
Name and shame and jettison ...this man Mr. Kabwe has got off easy. In South Africa thieves are beaten up and before they lose consciousnesses, have car tires strung around them and then burnt to death. He is one very lucky man indeed!
mh rais ongela kwa kazi nzuli mungu akupe maisha malefu
asante mungu kutupatia kiongoz shupavu,asiyewaskliza waongoongo hao,na makonda astoke had nchdar esalaam yetu ikae sawa
Zabde-Ezra Ayienga kiswahili samahan
kazi2
Saf mzee
Napenda mtindo huu.
Leo ni 2024 July,kiko wapi?? Usiue wala kudhurumu,mshahara wa dhambi ni mauti
rushwa ina zorotesha nchi sana mwelekeo mzuri sana huo magu
usimamiz wa xheria bila kuzingatia katiba ni unyanyasaji wa haki za binadam
@@elishamachela927 ,
Maraisi wote walopita walikua soft sana.sasa wamepata kigogo
2024 God did
Mimi nahisi Raisi huyu angekua na kipindi maalum kwenye TV cha kutumbua majipu live sio hivi kwenye majukwaa kama mkutano wa kampeni.
Kishada Four hahaha
Yote tunayaacha hapahapa Duniani hakuna jipya hapo
Inaumiza sana huu ni uongo na. kuchochea wenzio
Mimi mtu wa ccm lakin makei punguza sifaaa
Kazi kwelikweli afu alivyofariki jamaa akaenda msibani duh
😂😂😂😂
Mambo yenu ya uongo
Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Ninauhakika wamungu kulengana na ujio wake jpm kwa kazi kwa hapa kazi tuu tz ingekuwa yenye mfano wakuigwa
2022
Iendap kumetokea mwenye kufanya nivigumu mno wayeye kudumu juu wengi humchimba kwa chini ndio ili wabaki wakinyonya wananch kma kupee
Mbona mnatubomolea majumba kama mnatutetea madikini
Wazee wa misifa
Kwa hali hii makonda umekuwa raia itakuwaje?
Huomsimamo uendelee mpaka usiishie njiani tumbuwa timbuwa mpaka kwa makonda iwapo kama itakuwa nikweli
tolu mnyama kweli kabisa usemayo
Nikwel kabisa rais wet wat weng huish kwakutuzurum ss tusio nakt ww timbuat na mbung atakulinda milele
Naomba urafiki na ramadhani wambangulu
daaah!?
huruma sana
Atubariki Yessaya
Apa kazit
Tumbua hadi mafisadi wote wakuelewe
Watumbue hao makonda, bado majipu mengine yapo jiji!
Je na hili jipu la makonda utalitumbua au utaliacha?
Michael Waryoba Tumbua bila ganzi mueshimiwa
Wamezoea tumbua baba
Imma Mlowe lavalava
Imma Mlowe za
uyonimwanae hawezikumfanyachochote
"Kabwe rudi nyumbani ukitoka gerezani.. uje ujiunge nasi sote tushirikiane.. kulijenga taifa.. taifa letu changa Kabwe..!"
Haya ndiyo Mwalimu alikuwa kisema.. mtoto akilila wembe UKIMPATIA.. UTAMKATA PALE PALE..! Kaka Kabwe kaipata freshiii.. Lmao..!
..
Joseph Gomalo
Makond ni hatari
Bado mankontena baba.
Mungu mnusuru makonda anajitahidi kufanya kazi
Kaka ?????
Mbona hujampa nafasi yakujitetea kama yule mkurugenzi wa mkoa fulani uliambiwa ni mwizi.
Huo mh.sio utendaji kazi bali ni geresha zako tuu utawafumba wavivu wa kufikiri lkn kwa werevu hawatadanganyika hata siku moja
Mziki
Edita Ssamwel
Edita Samwel
HUYU NAE ANAPENDA FITINA,NKT
Makonda dhambi hiyo inakufuata
Mbona makonda humsimamishi ni mwanao ila yote ni ya Mungu makonteina ndio hayo unapiga danadana tu ila wakil wa kwel ni Mungu
Sasa mfanyakazi wa serikali si binadamu kama wewe yale makontena siyo ya wizi ameyanunua akawa anaomba apunguziwe kodi mzee magu kamwambia hakuna cha kufanyakazi serikalini wala nini kama huna pesa yapigwe mnada na ndio kilichofanyika sasa afukuzwe kazi kwa kosa gani hapo
Rose Mbuna mbeya nna mapacha watatu ofisi ya Raisi niliambiwa ntapewa msaada mpaka leo:hakuna: tusaidieni watoto hawa nashindwa kuwamudu Mheshimiwa Magufuli:0784485142:walichukuwa picha ustawi wajamii:vyeti vya kuzaliwa wakasema subiri mpaka leoWana miaka minne na nusu
Rose Mbuna bando la kuingia utube unalpata wapi? Lea hao wanao
itafahamika 2
Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
nayeye ang'oke