MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA MAUTI NA KUZIMU SEHEMU YA PILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2014
- Mauti na Kuzimu sehemu ya pili
Mauti na kuzimu vina uhusiano wa karibu sana, kama ambavyo kwenye maandiko kila ilipotajwa mauti na kuzimu inatajwa, somo hili lilifundishwa na mchungaji Josephat Gwajima Ufufuo na Uzima Kawe na maelfu ya watu wakafunguliwa kutoka vifungo vya mauti walivyokuwa navyo.
Asante baba kwa mafundisho mazuri
Thanks I have found My mentor in net. From KEnya, Percy
Mungu akusaidie usichoke
Kweli kweli kweli
paster tunashukulu kwa kutufungua macho maana tupo gizani sana na mungu akuzidishie sana utukombea mchungaji Ngwajima
paster mimi ninashida sana na wewe naomba mawasiliano mimi siishi hapo dar nipo nje ya Tanzania ni Holland na shida na wewe niongee anagalu tu