Wakati wa kusubiri ni wakati wakukua kiroho, kuongeza fellowship na Mungu. Wakati wakusubiri ni wakati wakumtukuza Mungu, maana tunajua yakua maana ya imani ni; "Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana". (Waebrania 11:1). Wakati wa kusubiri hujenga na kukuza imani yetu juu ya Mungu wetu. "Na kazi ya saburi ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini".(Warumi 5:4)
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwabariki sana kwa huduma hii watumishi wa Mungu
Kipindi kimenibariki sana, naomba kiongozewe muda ikibidi.. barikiwa sana Baba
Mungu awabariki sana kwa comments hizi Bora saana
Tutaendelea kuwachilia kitu kingine muda si mrefu. Neema ya Bwana itufanikishe wote
Wakati wa kusubiri ni wakati wakukua kiroho, kuongeza fellowship na Mungu. Wakati wakusubiri ni wakati wakumtukuza Mungu, maana tunajua yakua maana ya imani ni; "Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana". (Waebrania 11:1). Wakati wa kusubiri hujenga na kukuza imani yetu juu ya Mungu wetu. "Na kazi ya saburi ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini".(Warumi 5:4)
Kipindi kimekuwa kizuri saana ila kimekua kifupi kuna mwendelezo?