Nape u got to do what you do...u r gud on it....kumekuwa na mitazamo tofauti lakini kila muelewa anaelewa kazi yako ni nzuri sana......we support u 100%
-Ningesimamishwa na Mnyika 2010 ningemshinda - Arusha tukifanya uchaguzi sasa hivi CCM inashinda mchana kweupe. My Take: *sababu zile zile zilizofanya mgombea wa CCM ashindwe ndizo zingekufanya ushindwe. *Vurugu za Arusha zinasababishwa na CCM ili ionekane kuwa Lema ni mtu wa Vurugu.
Kampuni binafsi yenye uhuru kamili wa kunyang'anya wateja Tanesco ndio jibu la umeme TZ. lakini Tanesco isipewe kwa kampuni binafsi kwani ugonjwa utahamia huko pia. Ukweli ni kwamba wanunuzi wa makampuni ya TZ hawaleti jipya in terms of infrastructural improvement. Kuwe na alternative company "full kit" to make Tanesco die a natural death while lazying around or have a chance to learn from an alternative power supply company should they choose to wake up and do so..
hivi kweli unadhani ungesimamishwa na Mnyika ungeshinda?? Mhh broo tuache bana,, ss co wa kubebwa kwa uongo namna hyo,, na Arusha Lema alishinda 2005 na akawauzia kura unabisha??
BIG UP Nape. Mahojiano mazuri sana. Hongera Salama kwa kipindi hiki cha Mkasi. Huu ni ubunifu wa hali ya juu. Keep it up!
Nape u got to do what you do...u r gud on it....kumekuwa na mitazamo tofauti lakini kila muelewa anaelewa kazi yako ni nzuri sana......we support u 100%
WaTanzania wapenda WaTanzania wanataka nchi wamechoshwa na utumwaaaaaa.
Muba si angepumzika kwanza, mbona karukia mahojiano! ama kweli John na Muba wanahitaji training!!!!!!!!!!!
Human beings are wonderful, no matter how good things are, but we are good in complains, lets be innovative and struggle for our own potential issues.
Nampenda sana *Nape*
Huyo Nape pumba full sijasikia pointi yeyote hapo.
acha majungu wewe, bs we nenda kawafanyishe trainining maana unajua sana.
-Ningesimamishwa na Mnyika 2010 ningemshinda
- Arusha tukifanya uchaguzi sasa hivi CCM inashinda mchana kweupe.
My Take:
*sababu zile zile zilizofanya mgombea wa CCM ashindwe ndizo zingekufanya ushindwe.
*Vurugu za Arusha zinasababishwa na CCM ili ionekane kuwa Lema ni mtu wa Vurugu.
wakwanza
Kampuni binafsi yenye uhuru kamili wa kunyang'anya wateja Tanesco ndio jibu la umeme TZ. lakini Tanesco isipewe kwa kampuni binafsi kwani ugonjwa utahamia huko pia. Ukweli ni kwamba wanunuzi wa makampuni ya TZ hawaleti jipya in terms of infrastructural improvement. Kuwe na alternative company "full kit" to make Tanesco die a natural death while lazying around or have a chance to learn from an alternative power supply company should they choose to wake up and do so..
nimevutiwa na shoo zote ila hii ya huyu nape nauye sijavutiwa nayo
Nape anaongea ukweli.Wanaodhani hapendwi wapo Dunia ya..
Hujapata watu wa kukubana kwenye hiyo interview..... CCM is on a slow death
I-Glass HAPANA
sasa hii ya wiki ijayo nayo muweke usiku kama hii ya nape,hivi unajua kazi yako au unabeep?sasawe endelea kubeep sisi tutakuvutia waya
hivi kweli unadhani ungesimamishwa na Mnyika ungeshinda?? Mhh broo tuache bana,, ss co wa kubebwa kwa uongo namna hyo,,
na Arusha Lema alishinda 2005 na akawauzia kura unabisha??
"Inakuwa by the way sana" The fuck is that suppose to mean? Mazuzu wengine bwana!