Zari The Bosslady: Nimetafuta wanaume waliopevuka, wasomi na wasiofanya usaliti lakini nimekosa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
- Zari The Bosslady anadai kuwa amesaka wanaume waliopevuka, wasomi na wasioweza kusaliti katika mapenzi lakini hajapata ndio maana bado yupo na Diamond Platnumz
Asante Kwa ushauri mzuri Kwa Mama Tee ,jitahidi kuwa na mahamuzi sahihi utapata amani
Kishampenda chibu awezi kung'oka wcb 4rever
wanaume ni sawa tu zari utawacha mond ukutane na the worst one mmh just pray for him na kuvumilia tu
Good advise. Personally I cant stay with a man who comes out in open to say he loves the X or any other. Hata hana heshima ya kunificha.
Mapenzi hayana Elimu Wala umri, Mapenzi hayashauriki n hamna mkamilifu ktk chini ya jua, Mapenzi sawa n upepo tu, ukweli wanao wenyewe Al mhm waache n maisha yao ukiwa hauna Subra daily utabadili waume Kama nguo laaaaacvyo hatutoishi Mithili ya wazee wetu mpaka kuzikana au uzeeeni pa1 ikizidi sn utaingia ubayani tu
Shaaban Musa . Huyu anampenda mond tu .mwongo kisebusebu na kiroho papo. Waache wapendane. Kusaliti kupo tu. Si kwa wanaume pia wanawake.mond na zari forever.
Hakuna ushauri hapo bali huo ni ujinga wanaume wote sisi ni wale wale sasa ataachana na wangapi!?? Kwani huyo alie mshauri yeye hana mwanaume na kama anae nauwakika gani kua kama huyo mwanaume hana mwanamke zaidi yake!???
Maingo Maulidi "umenena" wote ni vinyonga wasiochoka kubadilika badilika na kutulia na rangi moja
all man there are the same so play your game wll zari hukiruka mukojo unakanyanga mavi be with d if he wll love you
wanafiki utawajua tuuu wao kazi kuharibu mapenzi ya watu
Wise advice
Good advice, hope she will take it
the chibs wanapendana Jmn. wanafki bado roho zina wauma2
Yes💕💕💕💕💕💕💕💕
Then l think is not our bussnes. No One is perfect.no family is perfect . Remember ( you only know what they wants you ti know) usiko lala ujui litendako. Africaaaa ,amkeni. Jaribuni kuwa busy kwa maisha yenu, Sio kujaji ya wengine. Nyie Sio Mungu.
Kweli kabisa kampaa ushauri mzur (akiwa na akili ataufanyia Kaz🏃🏃🏃🏃
Zenna Kailo mhmmm Zena Zari hajakataa ushauri...!! Na Ww unafikili Zari hana akili??? Wewe ni mwanamke na kama umepata mwanamme hakuchiti say thanks God Mara elfu kumi. Cus Mapenzi hayana kupefuka wala kukurumbaa. Yaan hayana utoto wala utu uzima. Wote masikio kama antenna. Macho kama kivyonga. Kila kipitacho na king'aacho wao ni thahabu. Tena wanaume mwenye pesa ndio usiseme. Ukitaka ku enjoy Mapenzi kidogo sio sana!! Mwanamme ambae hana pesa. Nyie temeeni mate chini. Muacheni Zari wa watu wivu tu ndio umewajaa
yan kamwambia vzr sana coz uyo.dai amezidi jmn
Zari live ua life achana na ushauri wa kukupotosha mmeridhiana wenyewe na mapenzi hayachagui uwezo rangi kabila wala dini
True moja kwa elfu ndio mzr
Kupata mwanaume wa hizo qualities tatu ni bahati,siyo pesa au urembo ndo inampaga mwanamke bahati ya mume!wamwache Zari sababu pia naye anajuwa kuwa pesa zake au urembo wake haumaanishe bahati kwake kupata mume mtulivu wakumpa heshima kwa watu na kumuheshimu mwenyewe
Hakuna Mwanaume anae weza kumfuata anacho taka mwanamke ata siku moja ukiona hivyo hilo Sio mwanaume bali ni Bwabwa!!!
Maingo Maulidi Umeona Heeee!!!
Duh huyo mgombanixhi nahata wanao mxaport wagombanixh....ila akiona xahih naende tu kwan alixha kili anatafuta....
Uyo mdada aliemshauri zari ana mapenzi ya kweli kabisa
Huyu ni mwehu hapa duniani hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja sasa kama wewe una Mme mpeleleze Leo utaona.
Tabia yako usifananishe na wanaume wengine, wacha Mungu wapo na wazinzi wapo!
aaa mimi ukucheat nami nacheat twende sambamba na vile wanaume wapenda matako ya kichina😂😂😂
Nonsense, mapenzi na elimu nivitu 2 tofauti ma proffesor wangapi wako na michepuko nje? mpaka wanafikiya kuza nje!
Dah, Maumivu ya kwa Roho, Maskini......
Huwez kupata mwanaum msomi zari bcs ww mwwnyw ni mjinga ingekua unajielewa zar usingeshindana na watu......
Hana akili uyo
watu wanashindwa kuelewa kabsaaa.mapenzi mnayajuaaa au mnatoa tu ushauriii? waacheni wenyewe wafanye maamuzi.wao ndo wahusika wakuu..plz hebu waacheni wafanye yao.nasi tunayetu jamani.pengine cc tunamatatizo kuliko wao.kweli kabisa.thx.SnS
kwl kabsa
Siyo kila jambo lazima ku comment vingine ni vya kipumbavu..
Yuko sawa kwasababu diamond bado ujana unamsumbua kwaiyo angetafuta mwanaume ambaye ameshafanya yadunia yote kama yeye
Nooooooo
Lesson is all men cheat...uwez kimbia maji usipo yaoga utakunywa..
Baby one thing is fo sure LOVE takes two whatever chemistry they have Zari n Diamond it's between them Diamond might cheat n do all the bad boys stuff n similarly Zari may do the same buh it will always be about them
mtoa ushauli hajakunwa Barabaraaa
Huyo anaye mshauri yeye mwanaume aliye naye ni mtakatifu? watu bwana wanapenda kushauri wenzao yakwao yamewashinda wanajifanya wako vizuri. hakuna mwanaume aliye mkamilifu akiwa hana hili ana lile
I think this was a mature convo between two ladies,I have always said I'm out here zari, not perfect, but with the above qualities!
+Joseph Ochieng ha ha ha
SimuliziNaSauti Hey guys, thx for nod, congratulations, you're my favorite.
Tulia zari na diamond wewe ndo wakumrekebisha wanaume wote ni hao hao tena naona bora ya huyo baba tifa kwanza kiumri bado Mdogo ukiangalia wewe ni mtu mzima fikiria baba watoto wako wa kwanza mliachana sababu ya nini na Leo tena uachane na diamond Mimi kiukweli sikushauri kabsaa utazaa na wanaume wangapi na nini watoto unawafundisha baki na mond bwana wanaume wote Malaya hao wanawake wanakunvunja moyo lakini wewe komaaa sawa mamy
Tatizo ni kuwa Zari anapenda ustar , bila Diamond anaogopa kupotea. Mtafute star mwingine....
Mmmh.!!!
Ushauri WA kipumbavu mapenzi toka lini yaka pevuka au siku hizi mwanaume msomi asimamishi kwa wanawake wengine mpaka kwa mpenzi wake???? Embu muacheni zar na maisha yake amechepuka bushi ni diamond??? Labda uumbe wako
Ndio maana ukweli zari anatudhalilisha sawa au hajiamini nn
Maneno ya Malika safi sana lkn hawezi kuwapa atabaki kuwadanganya mtt vinuka mkojo wasio saizi yake
Mapenzi hayana chaguo mgande uyo uyo mpk ujue moja kufa yy au ww lkn fungeni ndoa tu msizini km wanyama.
Want ume tuko wengi ila kila mtu nawake haijalishi mnapitia mangapi!.Akiwa wako ataenda atarudi mtakomaa
Mapenz hayana ushauri ht cku moja wataelewana tu
Ni kweli but yeye kapenda mti wa Diamond kijana mdogo 28yrs
Hahahaha, Ndinda munyao, sisi wote twashangaa lakini mambo yako hapo!!! Tajiri mzima mzee na mtoto wa 28yrs??
Zari now she's 37yrs after 10yrs hatakua 47yrs,,,,, Diamond hatakaa na nyanya kweli???,,,pesa ndio zinamsumbua,,,Kaka Kula bataa
Kimenuka ,,,, Diamond na Hamisa wanakutaka bata Dubai
hahaha
😂😂😂😂zari majibu yako me hoi
Mnafiki tu uyo hapendi kumuona mondi akiwa na zari.tumuulize yy msafi,?
Aondoke tu watu wanasubir nafas asijekujutia tu na huyo mshauri anakitu anata akione na sio mwema kwanin asimpatie njia ya kumdhibit anampa ushaur wa kuachana
yeye Mme wake anazo hizo sifa!!!, na kama anazo yeye hasijisifu kwa ujinga mbele ya jamii maana mwanamke kumkontrol mwanaume sio sahihi ni ujinga mtupu
ushaur mzur kbs ila tatzo nikwamba zari akimtaka uyo mwanaum mwenye hato msaliti bas asubir jesus akirudi awe nae
ushauri wa kisenge2
Mmmh le mi read comments
Wanapenda nasana
Au unamtaka Simba???? akitoka mama Tifa
Sasa atabadili wanaume wangapi
Hakuna mkamilifu kila mwanaume ana matatizo yake huyo anayempa ushauri yeye mwanaume wake anauhakika kama hatongozi mjinga
Huyu zari embu tulia saizi tuna sikilizia ya lulu mtz mwenzetu subiri la lulu lipite basi na huyo alopevuka kote
Mh
Zari yuko kwenye usingizi
Uyu malika ayupo sawa uyo mpevu anayosema atakua na mpevu mwenzake walionza uko nyuma umri co neno ira eshima ndio chamsingi
mapnz ayana umri dda
Yes she should think twice cox it'd true zari is bleeding inside BT outside pretend s to be okey swallow yr pride then face the facts yu come out lean
Mwanaume atafutwi ila akikuona akakupenda atakuja mwenyewe sio utafute ukitafuta mume wamtu
dunia ya sasa hakuna
zari y aani ataoleka na wanaume wangapi?heri avumilie na diamond
Mapenzi ayana elimu bhana
Hakuna mwana umme asio chiti .hasa hasa hawo wanayo tumika mma ofici ndo zawo ku chiti .hakumushahuli vibaya ila wana umme wote ni ayina moja kuhonja honja inje ndo zawo
nikweli kabisa huyu mtoto atsumbua sana miaka28 atakupa ngonjwa LA moyo
Mapenzi hayanaga ushaur.
👀🙊🙉🙈
Ikiwa wewe mwenyewe haumchi Mungu utatakaje mcha Mungu! Biblia inasema chuma hunoa chuma, yaani jinsi ulivyo unapata anaekufanana hivyo hivyo. Ushindi wa dhambi upo ktk kumcha Mungu pekee.
Huyo anaye mpa huo ushauli siyo sahihi kwanza hajielewi yeye mwenyewe na vile vile anamwambia hivyo ili yeye achukue hiyo nafas ????
Uyu anae mshauri kaolewa
Hugo mdada ni mwehu sana sio mzima hata kidogo
Japo mapenzi hayaitaji hivo vitu ila ni ushauri mzuri kwa zari
wanaume waafrika
huyo kwa diamond beki hazikabi kabisaaa kama mtu anambaye amepoteza kizibo😝😝😝
amefanya poa aache kupost ujinga hana heshma karibu akua na wajukuu ushamba tu
Before you eat fish you have to take out born! Zari kagundua ni wivu tuu.Mafarakano yako na yataendelea kuwepo hakuna malaika.Yeye nae ananani mbona hajasema?!
Kweli ila zari anapenda imaharufu sasa mwana mume atakaye mukubalia kuika uchi mutupu na zile Videos za xxx pole sana.
Ninani zaidi wa mutukama mond tu.
Ndie mana ata Ivan Basso alimukimbia
hilo linamtaka mond tu halina lolot
Ywajua anachokipata kwa mondi chezea msuguo ww
mchochezi mkubwa wew ujui kupenda wewe
desperation ya fame will kill you
HOHOHO MIDOMO MIDOMO MUMEPATA FASI YA KUCHOCHOKO HI HITTERS HOW'S PERFECT IN YOUR LIFE?? EVERY BODY TALK TO KIDS YOU THINK SHE DON'T KNOW THAT SHE HAVE KIDS SO LIVE ZALI ALONE BASI GOD KNOWS HER LIFE THE BLOOD OF ZALI ITS MIX