PROFESSOR [4]

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 556

  • @hamisisalimu3310
    @hamisisalimu3310 10 วันที่ผ่านมา +179

    Mungu awabariki wote mnafatilia movie ya ndg yetu kipara Wana man ...Na Kila anae amini mwaka huu anafanikiwa asipite bila ku like ....ila 112 😅

    • @Pasicke
      @Pasicke 10 วันที่ผ่านมา +2

      Nawey pia ubalikiw san naweny munafanyanaw kaz

    • @nyamiziramadhani4232
      @nyamiziramadhani4232 10 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂 kavurugwa😂😂😂

    • @MekiAli-ub4ld
      @MekiAli-ub4ld 10 วันที่ผ่านมา +2

      Amiin inshallah

    • @NurahMummy
      @NurahMummy 10 วันที่ผ่านมา +2

      Namba 112😂😂km Dori wa kipesile😂😂😂

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 9 วันที่ผ่านมา +1

      Nampenda uyo mkuu wa wachawi anajiamini na anajua kucheza kwenye nafasi yake na kipala chake feki😅😅😂😂

  • @Whitezinc
    @Whitezinc 7 วันที่ผ่านมา +7

    Kipara brand unschelewa sana kazi zako kutoa jitaidii unajua sana brother

  • @EsterSteven-m8m
    @EsterSteven-m8m 4 วันที่ผ่านมา +3

    Yani move nzima Kwanza napenda kuku pongeza we kipala kuto kumuoga clam ume uwa 🔥🔥🔥ume ongea kama ww mwenyew alafu kingine uyo mpare jamn 🔥🔥 🙌 ana ni fur
    Ahishaa😂😂😂😂

  • @EzekielWaiton-j9e
    @EzekielWaiton-j9e 4 วันที่ผ่านมา +4

    Mung akibariki kipara brand maana unatufunza meng kwenye hii moove yako god bless you may brother

  • @PeterNguno-w6r
    @PeterNguno-w6r 9 วันที่ผ่านมา +6

    Kipara wana man unaweza ukatusaidia huu wimbo tukaupata maaana mzuri sanà na una make attraction🎉🎉🎉🎉🎉

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 10 วันที่ผ่านมา +8

    Kipara wana man unakuja kwanguvu mpya kbs mwaka huu huwaachi salama kbs❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 9 วันที่ผ่านมา +9

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kipara one man ❤

  • @UsagePersonnel-q4p
    @UsagePersonnel-q4p 8 วันที่ผ่านมา +3

    Baba kipara mulishelewa kutuashiya movie zuri Sana

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 8 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu mzee anaweza sana ❤❤

  • @MadayaSelim
    @MadayaSelim 10 วันที่ผ่านมา +18

    kazi nzuri kutoka kwa kijana wetu kipara hakika tanzania filims tumeendelea sana tumshukuru mungu kwa hili

  • @LizieTopsha-254
    @LizieTopsha-254 10 วันที่ผ่านมา +31

    ❤❤❤❤to you Kipara na team Yako hii ni bonge la movie kweli,,,,,,nami Leo naomba like hata kumi jamani

  • @morishoissa4155
    @morishoissa4155 10 วันที่ผ่านมา +3

    Asante sana kipara kazi nzur kijana wangu mwenyezi mungu akuzidishie kipaji chako kizidi kuu ngaa 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥 💥

  • @mtalammathayo5184
    @mtalammathayo5184 9 วันที่ผ่านมา +3

    Kipara jaiva hii noma sana kk🎉🎉
    Yaani umetuliya vizuri sana❤❤

  • @josephmanga1695
    @josephmanga1695 10 วันที่ผ่านมา +13

    Kipara hii season yako Kali🔥🔥Ila mnachelewesha Sana ... big ups bro from 🇰🇪🇰🇪

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 8 วันที่ผ่านมา +5

    Professar❤❤
    Tunakukubali mno......kipara🎉🎉

  • @FauzMchopanga
    @FauzMchopanga 10 วันที่ผ่านมา +46

    Jaman nipeni like zangu nimekuwa wa kwanza leo

  • @MICHAELWILLIAM-p7h
    @MICHAELWILLIAM-p7h 9 วันที่ผ่านมา +8

    For sure kipara anatoa kazi nzuri ila hiii ni KIBOKO YAO.💪💪

  • @NCHIHURU
    @NCHIHURU 10 วันที่ผ่านมา +13

    Tulio msamee kipara bland na wafuasi wake tujuane❤❤❤

  • @rahmrashid8025
    @rahmrashid8025 10 วันที่ผ่านมา +18

    Professor Akaona utokee Darajaniii Jmn I like it

  • @ZalhaMbarka
    @ZalhaMbarka 9 วันที่ผ่านมา +15

    mwnye rangi ya mtume anataka elf 2000 kapewa 10000 kakimbia 😂😂😂❤❤tunawapenda

  • @Dieumercishabani-q9y
    @Dieumercishabani-q9y 6 วันที่ผ่านมา +2

    Kipira kweli unajuwa kwanini ss unagawiya kutosha❤❤❤❤❤ nimehikubali hiyi muvie ya kipara nikali kweli ila kuna watu sijawaona dani ya muvie.

  • @sharon_maua
    @sharon_maua 10 วันที่ผ่านมา +6

    Nmewai though nmechelewa kidogo..makopa❤ za kipara zimwagike huku

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 9 วันที่ผ่านมา +6

    Good nice one story brother professor eke eyi kipara wanamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @IrakozeHami-t9m
    @IrakozeHami-t9m 10 วันที่ผ่านมา +9

    KIPARA na SANDRA mpaka sasa washauteka moyo wangu swz ku kaa bila kuona movie zao❤❤❤🇧🇮🇧🇮

    • @JazillahAlly
      @JazillahAlly 4 วันที่ผ่านมา

      Unizidi Mimi bhana 🤪🤪

  • @RahmaSaid-d9q
    @RahmaSaid-d9q 10 วันที่ผ่านมา +10

    Nampenda huyu kipara aisee anajuwa mpaka anabowa
    Mpeni🎉🎉❤

  • @CHYULLUKENYA
    @CHYULLUKENYA 10 วันที่ผ่านมา +9

    Weueh❤❤❤❤❤❤my professor .......kiparaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HamisiMachinda
    @HamisiMachinda 9 วันที่ผ่านมา +3

    Kipala Kazi nzul sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MagrethLuambano
    @MagrethLuambano วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri kipara jah bless u and ur team😍😍😍

  • @nurucinemax
    @nurucinemax 10 วันที่ผ่านมา +9

    Fanya utukiletea mapema kipenzi ♥️❤

  • @stevepopstar
    @stevepopstar 10 วันที่ผ่านมา +12

    kipara jaivah aweeh umetisha

  • @MwanamkuuMumbe-q2y
    @MwanamkuuMumbe-q2y 8 วันที่ผ่านมา +3

    MUARABUU ASL ALYK GOD BLESS YOU 😅😅 NA HUYU MKUU SAUTI YAKE KAMA YA MZEE MAGARI 😅😅 GOOD JOB

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 10 วันที่ผ่านมา +13

    Kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii lakini ungetuongezea dakika coz umechelewaa et......

  • @SamuelMitu
    @SamuelMitu 10 วันที่ผ่านมา +17

    wow mm wa Kwanza kutoka Kenya naomba likes zenu tunaopenda professor 🎉🎉🎉

  • @Cheusi_media
    @Cheusi_media 10 วันที่ผ่านมา +24

    BIG UP KWAKO MA-BROTHER KIPARA JAIVAH 🎉🎉🎉 PROFFER ✅

  • @CedrickMutonkole
    @CedrickMutonkole วันที่ผ่านมา +1

    Kazizuri sana naipenda❤❤❤

  • @MarkOlubayo
    @MarkOlubayo 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi nźuri sana wana Sandra wote. Mkenya n̈ko nanyi pamojʻa.🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KevooMpl
    @KevooMpl 10 วันที่ผ่านมา +62

    Kama unaamin mungu ni bora kuliko hii movie like hapa❤

    • @AsifiweNatalia
      @AsifiweNatalia 8 วันที่ผ่านมา

      Unatutega au

    • @SalumKissuu-il1hv
      @SalumKissuu-il1hv 4 วันที่ผ่านมา

      Kwanz huyo mungu uliyemuandika ni mungu wako lakn ss tunamjua Mungu huyu lazim herufi ya kwanza au zote ziandikwe kwa herufi kubwa Mungu.😅😅

    • @KevooMpl
      @KevooMpl 4 วันที่ผ่านมา

      @SalumKissuu-il1hv saw pastor salum

  • @hafishsutihafish1891
    @hafishsutihafish1891 10 วันที่ผ่านมา +2

    Professor upo vizuri majani kua pesa so mchezo hongera muishi miaka mingi team nzima🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MarcelinbbmBirindwa
    @MarcelinbbmBirindwa 6 วันที่ผ่านมา +1

    Wa pili leo from DRC 🇨🇩 congo tunawa kubali sana 😊😊

  • @FistonBirare
    @FistonBirare 10 วันที่ผ่านมา +27

    Kutoka South Africa 🇿🇦 naomba like 🎉🎉❤❤

    • @GuiFyyHusina
      @GuiFyyHusina 10 วันที่ผ่านมา +1

      ❤❤❤

  • @Godwin-g6m
    @Godwin-g6m 9 วันที่ผ่านมา +3

    Upo vizuri kipara ukikaza kidogo clam VEVO utampiga chini, sema vizur sana kipara ngoto Songa ugali tule.

  • @johnchilumba100
    @johnchilumba100 9 วันที่ผ่านมา +5

    Nipo na wewe kamanda wangu💪💪💪💪💪💪

  • @elishanduwimana
    @elishanduwimana 10 วันที่ผ่านมา +8

    Kipara wee kiboko wee nice job my brother 👌👌

  • @EglyneAngadia
    @EglyneAngadia 10 วันที่ผ่านมา +11

    KAZI nzuri Sana kipara 🎉❤ila umechelewa sana

  • @Nicershadruck
    @Nicershadruck 7 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂kiparaaa nmecheka saana kka hongeraaa mungu ukujarie kwenye kazi zaki huyo rangi nyeupe umemuweza saana😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @Katuni862
    @Katuni862 10 วันที่ผ่านมา +7

    Professa halali njaa duh majani tu anageuza peaa

  • @AshaAbedi-nw9xd
    @AshaAbedi-nw9xd 10 วันที่ผ่านมา +8

    Uyu mzee wa kipare ananifuraisha sana aisee😂😂

  • @rashidbenzimba528
    @rashidbenzimba528 10 วันที่ผ่านมา +8

    Team from 254 Kipara salut

  • @alphonselwitela5797
    @alphonselwitela5797 10 วันที่ผ่านมา +2

    Professor kipara kaupiga mwingi hiyi nibonge lamovie hongera sana team kipara

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 10 วันที่ผ่านมา +23

    Hahahaha 😂😂😂😂 mwarabu una vituko

  • @franktodory
    @franktodory 10 วันที่ผ่านมา +7

    kazi nzuli sana mr kipara wana man 🎉🎉🎉

  • @RukundooMichel-t1e
    @RukundooMichel-t1e 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kipara Sandra sizo Hao nawapenda sana. Nimekaa zangu huku Burundi.

  • @SantosDunia
    @SantosDunia 10 วันที่ผ่านมา +10

    Jamani tuna waomba musiwe na kawisha filamu, ku toka. Na ishi DRCongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 na penda sana iyi filamu.

    • @sheillahLinsey
      @sheillahLinsey 8 วันที่ผ่านมา

      Dah mwenzetu una tisha balaa na kiswahili,mm pia mkongomani ila ww noma, kiswahili kibaya kama nn

  • @HassanYussuf-y5d
    @HassanYussuf-y5d 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kipara nimekunyooshea mikono we ni kiboko Allah azidi kukupa Afya njema.

  • @IllhamMakagula
    @IllhamMakagula 10 วันที่ผ่านมา +9

    Mhhh mwarabu jau kweli😂😂😂😂

  • @chuniiboy1680
    @chuniiboy1680 7 วันที่ผ่านมา +2

    I'm from Kenya kipara Wana man endelea kutupa vitu vikali kaka we support you

  • @DokaSwamwel
    @DokaSwamwel 10 วันที่ผ่านมา +4

    Big up sana kazi safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ni zuri tatizo unachelewesha sana nakwakua umechelewesha watu wengi awatakufatilia zaidi

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 10 วันที่ผ่านมา +16

    Huyo mwarabu sijui muhindi dah tatizo kamdomo ananiacha hoi😂😂😂🤭🙌

  • @jackisonikaduli
    @jackisonikaduli 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi hizi ni ngumu kikubwa tuombeane tuu🎉🎉🎉

  • @MariamJulius-v3c
    @MariamJulius-v3c 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mwarabu nishampend jmn💕💕

  • @Giftbugalama
    @Giftbugalama 10 วันที่ผ่านมา +9

    Wapenda pilau tujuane hapa 😂😅❤

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 10 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapongeza sana kwa kuifanyia kazi changamoto ya sauti maana sasa hivi imetulia na mkuu wa wachawi anaeleweka vizuri Big up kipara brand keep it up ❤❤❤

  • @NneKasoro-f8o
    @NneKasoro-f8o 10 วันที่ผ่านมา +3

    PROFESSOR Ndio Habari ya mjini🎉🎉🎉🎉

  • @CléverOkundji-m1s
    @CléverOkundji-m1s 9 วันที่ผ่านมา +1

    ILa umepita kuchelewesha kipara ebu wanze kuwahi tafadhali from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @zakariawilliam-3816
    @zakariawilliam-3816 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Sanaaaaaaaa professor Kazi nzuri Sana

  • @OstadhKidoncho-m5v
    @OstadhKidoncho-m5v 9 วันที่ผ่านมา +1

    Duh Hii Movie Mzur Respect Sana Kipara Brand

  • @KevinOnchwari
    @KevinOnchwari 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wabongo Mimi naomba mnipe Sandra tuwe mashemeji😊

  • @SantianEnock
    @SantianEnock 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana tuko pamoja na wewe, ila kama ulivosema jitahidini sana maana mnatoa utamu wa movie mkuchukua siku nyingi

  • @StephanoMangame-g2t
    @StephanoMangame-g2t 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni kazi kubwa sn ya kipara hongera sn unaonesha umekuwa mkubwa sasa. Kaza Kaka

  • @sweetbabymwangi8373
    @sweetbabymwangi8373 10 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni kwa changamoto. Tunawapenda zaidi. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jairosyaugustine1610
    @jairosyaugustine1610 4 วันที่ผ่านมา +1

    Daah sijawahi kukesha kuangalia movie ila hili goma limenifanya nikeshe🙌🙌🙌

  • @munahrahma-c3t
    @munahrahma-c3t 10 วันที่ผ่านมา +7

    Jamani siwezi kuishi bila ya mzungu mimi😂😂😂😂mwambieni sijiwezi

  • @TikaaChildd
    @TikaaChildd 5 วันที่ผ่านมา +2

    Brother kipara katika series kali uliyo towa hii ni machine nakubaliii sana mkuu umetisha ❤❤

  • @Jay_Blue-official
    @Jay_Blue-official 10 วันที่ผ่านมา +5

    Professor from Malawi wow nice one Kali sana brother Mr kipala

  • @GraceChege-gy5sk
    @GraceChege-gy5sk 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe ukiacha umbea unapendeza Ivo 😂😂😂kazi nzuri

  • @justusmuthui6577
    @justusmuthui6577 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera kipara kwa kazi nzuri

  • @BarakasensoJames
    @BarakasensoJames 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hii movie ni Kali Sana kipara jaiva tunakuomba angalau vipande viwe dakika 40 hivi utàkua umetisha

  • @BarakaStephano-u6q
    @BarakaStephano-u6q 10 วันที่ผ่านมา +1

    Tatzo unachelewesha sana kipara jeiva hebu tuwahishie vitu asee Yan Iko vizuri sana

  • @KaimuKarubandika
    @KaimuKarubandika 10 วันที่ผ่านมา +6

    Oya kidato kipala unachelewa sana kutoa mwendelezo ndugu

  • @FaustineRichard-kk5xt
    @FaustineRichard-kk5xt 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe kipara ni noma umekuwa the second artist in our country.
    Bigap sana.

  • @EricErikoo
    @EricErikoo 9 วันที่ผ่านมา +1

    Professor 😂😂😂 nakupeda bure bro from Kenya

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 10 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri ila tatizo ni kuchelewa ❤❤❤❤

  • @mustafakimwaga
    @mustafakimwaga 9 วันที่ผ่านมา +1

    Movie yangu pendwa Mungu akipenda tutakua pamoja mwanzo mwisho

  • @millicentluvai1652
    @millicentluvai1652 9 วันที่ผ่านมา +1

    aweeee nxt usikue unachelewesha saana but videos zako ziko safi sana twakupenda saana🎉🎉🎉❤

  • @HassanNajma-c5f
    @HassanNajma-c5f 10 วันที่ผ่านมา +2

    🎉❤❤❤Kazi nzuri kipara wanaman

  • @ChrisKahindi
    @ChrisKahindi 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni Kali Sana much love from Kenya

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 10 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana team kupara ila kwa huyu mpare mi nainjoy Zaid 😂😂

  • @SaraphinaFundi-rl2hx
    @SaraphinaFundi-rl2hx 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kipara, abi, sandra na suzy mnanikosha sana

  • @ChUsNy_CM
    @ChUsNy_CM 10 วันที่ผ่านมา +18

    Wakwanza kutoka Mozambique 🇲🇿 naomba like ata 10 tu 🎉

  • @GgGgg-z8x
    @GgGgg-z8x 10 วันที่ผ่านมา +2

    Haswaaa kipara mm nitakua mwenyeji wako❤

  • @NairatKiko-lp7cf
    @NairatKiko-lp7cf 9 วันที่ผ่านมา +1

    Aise kipra unatisha kazi nzuri sana❤❤

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 10 วันที่ผ่านมา +3

    This is first love from Mozambique ❤🇲🇿✊🏿

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 10 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana kakangu kipara ❤❤❤❤😂😂😂

  • @MANYANYAMbigo
    @MANYANYAMbigo 9 วันที่ผ่านมา +1

    Sandra sas s kama mmeo alikufa njoo Kwa MANYANYA MSÅLÏTĪ Kenya ule vzur👁️👁️👁️

  • @storasebastian61
    @storasebastian61 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mnachelewesha kaz mwishoe tunogewe na nyingine changamka kak kaz ni nzur

  • @OmaryAllykumba
    @OmaryAllykumba 10 วันที่ผ่านมา +4

    Umepigwa kimbola from dsm to zanzibar 😅😅😅

  • @Abudligame
    @Abudligame 10 วันที่ผ่านมา +2

    OK SAWA NIME ELEWA APO PROFESSOR

  • @VenancioRachide
    @VenancioRachide 10 วันที่ผ่านมา +1

    Weee kipala hii Atari Yani upo siriasi thanks you my friend kipara wanamani😅

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 9 วันที่ผ่านมา

    Nani kafurahi kumuona mirambo,karibu tena...alafu pastor anaishi na mchawi jaman😊,hii ndio dunia 🙌