NIMEKUWA NKIMALIZIA KUUA MAITI AMBAO HAWAJAKUFA VIZURI MORTUARY - OSUFUCHE REVEALS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Watch, like, Share. For mentions and content collaborations, text us at +254733290656
Part 2 : • TULIKUWA TUKIZIKUA MAK...
Subscribe to Osufuche channel @magwanjaosufuche
_____________________________________________________________
►Support our shows on PayPal: bit.ly/ZadkDonate
►Subscribe NOW if you are new: bit.ly/3nKxDpK
►Follow Zack on Instagram: zad_ke
Plz plz plz plz watu wa mortuary nawaomba tu Kwa Imani kuu ya Mungu mtu yeyote masikini au tajili akiletwa kwenu kama ajakufa plz mrudishe hos atipiwe apone aone njamii yake wezake wafurahie Wacha tamaa ya Dunia akuna mahali itawapeleka mtakufa tu na hiyo uaji yenu
Unapewa story unakasirika we tembea Kila mortuary Fanya education kwa hao watu
You are rude@@VeraAkinyi-l7g
kindly don't kill
My brother hakuwa amekufa na wakamumalizia his story is true .
😢hawawezi wanasemanga customer achiliangwi😢kama umekufa umekufa💔
this is a criminal activity DCI should investigate
They’re lying about views
@@Mina.15 GThey shoujld be put in they confessed
Jesus is coming soon many people are now confessing their sins
Does your statement apply with this
@@MukonyiDan17huyu wachana na yeye😂😂
Subuhanallah sijuikwa minguwatu watasema nini hizo hazabu watapata watajuta kuuwa wenzao Duniani
Hii ni story real cuzo wangu wawili huwa wanafanya job mochari but kitu huyu jamaa anasema wao pia husema na imagine mmoja yuko Busia na mmoja yuko Kisumu .
😢😢😢😢😢😢waaaaa
Mortuary job inatakiwa sasa wote wakaguliwe Vifaa wanavyoingia navyo ndani maana hii si sawa, haikubaliki.
Does this Man know that he is talking about lives of People .
People loose their loved ones not knowing that they are killed physically in the Morgue .
It's so sad .
Acha tu ,my mum alipewa Dawa imeandikwa dangerous to rats and Mause 😭😭😭 ,nilishindwa Na huyo daktari Wa Mbale hospital,my mum aliuliwa Na simu hosi,Kwa hivo ukiwa namgonjwa wako hosi chunguza Dawa anapewa,mungu atusaidie😭😭
He's not ready to change, just by listening to his story
Hey guys! Pride of Africa. Kitambo vile hatukukuwa na mortuary. Watu walikuwa hawakufi OVYO! BT mortuary vile nilifunguliwa. IKEA ni job. Sio poa lsay.# business #
Baba ya wanjiku the brand ,ndio maana alikuwa na mapesa
😅😅😅 kumbe ni pesa ya haramu
He was also very insensitive he is used to atrocities
Pls this are creative story,aache uongo.nafanya kazi kwa morgue na hakuna mtu acha fufuka akikufa.respect your work you don't deserve this work.working in morgue is a passion not finding contrnt my friend
Wee acha aseme mungu anajua
Hospitali Zina Siri kubwa jamani.
Hii story c jaba ni kweli😮😮😮🙄🙄😳😳😳😥😥na ujue damu itakuandama kwenye maisha yako ,, enda utubu dhambi wewe , ila kizazi chako kiko kwa hatari😢
True kitambo watu walikuwa wanafufuka bt now?? Weeee watubu
Help us by going to "report" and report this fake story at least ten times to have this fake channel with very lowly dangerous ⚡ misinformation shut immediately 😮😮😮
Comment yako ni ya jaba pia
@@Mina.15 Yako ni ya njugu au pk
@@Mina.15 yako ni ya njugu au pk
Mungu akusamehe kuua watu
Kwa nini asamehewe na anafanya kusudi
Wah😢 osufuche looks tough.
Even your wife can fear you if she hears how you are KAMALIZA
this man kwa Obinna Show ako sykeless
😂😂😂😂😂bibi ya huyu wanalala kwa bed moja
Could it be true. I doubt very many questions??????
True my sister I can tell you they finished my brother.
Huyu brother anaongea uwongo sana.
Kama si mlevi wa pombe ni mvutaji wa bangi ama mkuka.
Haiwesekani kuuwa mtu ambaye hajafa kwa kutumia shoka .
DCI fuateni huyu jamaa aongee vizuri, Luna uzekano alikuwa akifanya kazi ya kikosi cha wahalifu wa kuuza viungo vya binadamu.
Mortuary attendants ni professional ambao wanafanya kazi yao kwa ustadi mkubwa
Kujieni Hutu jamaa aeleze vizuri kisha ashitakiwe kwa mauwaji
Ameconfess ili awe huru. Mungu amrehemu
He is speaking the the world we live in wicked only God can save us:::this is a confession God is forgiving
Mambo na shika ata Mimi nilianza kuskiza kitambo Sana, mbona ukane?
Don’t post part one if you don’t have 2 🤷🏾♂️ U think we gonna look for part 2 a week from now 😤 ?
This true story coz my brother was not dead fully walimumalizia huko...wacha nisionge but naeza sema mtu asipelekwe mortuary haraka after kukufa they need to wait kidogo for 72 hours
It's true they are in business the mortuary itself
Meaning hata hosy hua hawaconfirm vizuri mtu kama amekufa!!!!! Waaaah
Daktari pia hupanga na watu wa mochari
Eeeh imgn Io si poa aki
Hosi wakiona mgonjwa anasumbua anapewa sumu
Aki mungu muurumie huyu jamaa hii story imenitola machozi but mungu akuurumie aki 😭😭🙏🙌🙌🙌
Wengine wao wanakuaga wamefaint
Waaah God intervine 😢😢😢muimbee si kupenda kwake
At some point inakaa jaba ju how do you reveal their secrets confidently,,what if wakutafute?
Ee hii ni story za jaba why expose the institution you worked for.or alifutwa akaamua kuexpose
Wanjiku the brand.. Tell yur father to repent😭😭
Mungu wangu kumbe watu wanafanya kazi baya hivi jameni yaani badala urudishe mtu kwa hospital ww unamalizia ngoja hukumu uliua ww
Mungu n mwingi wa rehema akitubu atasamehewa
True coz yy hakujua ni kazi ngani atubu atasamehewa
Hapo kwa shoosho kukuongelesha ati ulimuua kabla hajakufa sielewi, alikuwa spirit ama juu anakuambia ulimua kabla hajafa
You’re asking a stupid and lying person a question. Don’t believe this is NONESENCE
Pole kijana. Kazi ni ngumu iyo umefanya.
Huyu jamaa jina Tu linashinda KAZI anafanya,😂😂bt story zingine Mimi uwa Tomaso
What a testimony
Every single day. A lot happens in this world. Both extremes
This is what is called cultism 😢😢 Believe in Jesus Christ and He will set you free. Ecclesiastes 9:5
Working tools????..
Huyu mtu anogea ukweli,i went to see my mum then nikama amevura kwa shingo i think walimnyoga zaidi,,,kama nilibaki yatima kwa dunia pekee af ni hiki kilitokea nooo,72hrs for more check up in hospital
God of Heaven prevent my children from this evils
Ameen Ameen🙏
Yesoooo😭
Aki Dunia Mungu anaona maajabu mnafanya Hadi ndio maana amekasilika kurud mara ya pili njameni
Huyu Jamaa apana nafanya kazi kwa morgue na akuna stri ati mtu amefufuka before mwili iletwe Kwa MORTUARY they fully confirm that mtu amekufa ndo analetwa
This guy is only after likes and views Kwa TH-cam channel yake
NEXT PART MKUU
This is a sad story😢kumalizia watu hawajakufa
Ey kazi yako ni finishing 😂😂😂
Very sad 😢 very funny at the same time😂😂😂
This is Kinuthia Baba wanjiku who neglected the wife in the hospital and started dating Brenda who happens to be hus daughters best friend🥲
Aki ni yeye😢
Haki ni yeye nilikuwa najiuliza hii mtu nilimuona wapi
Hiyo yao ilikuwa acting..hiii story sasa ni ya jaba
😂😂😂😂😂yule jamaa amemarry friend ya daughter wake
Reason ya kuwamalizia
Mimi ziezi olewa na mtu anafanya kazi mortuary 😢😢😢😢 may God forgive you 😢😢
I support you
Kabisa yaani mtihani sana 😢😢😢😢😢
Wanjiku the brand your dad speaking
Na butcherman
Huyu ndio mungu atakupea
Story ya uongo hata haimake Sense,,, Bodies brought to mortuary when doctor's confirm they are dead how come msee anapelekwa mortuary hajakufa.
I support you, the story is non c sense, he said it is a true story- he is a big lier
Some people were brought directly from scene
Ni ukweli anaongea samani watu walikuwa wanafufuka siku hizi watu awafufukangi kwa nini
My dear s8z ni ukweli mtu ufufuka my grammar alikufa we confirmed she's no more since morning till 8pm usiku tukapeleka mochari mazishi ikapangwa tunaendea mwili let me tell maina aliamka but hakuwa in her senses huyu mtu alikuwa on duty was a nice person aliitisha nguo akapitishwq mlango ya nyuma ..ni God si wote huuwa but alikuuja akaaga 2022 I wish I had time ningekupeq stori vile alifika heaven chenye aliambiwa time yake bado kufika ni binadamu anataka kukatiza huai wake
ATI mwili aikufa vizuri wee
In Kenya , that can happen and even media will be so obsessed with him. The killer will even get likes. Police will even watch this video and clap for him.....A failed state is a failed state jamani.
Mungu akusamee
Story za jaba 🥺
Kumbe ua tunafaa kufufuka nyinyi ndiyo mnatumalizanga,bt hii story ni uongo akuna mwili upelekwa mortuary inapelekwea mwili usiku,ata hosi watu wanakufa usiku uchukuliwa asubuhi
Huyu jamaa kwani hamumujui? These guys wanatubeba ufala imagin Wana script mavitu tu watuharibie buddles,, naona nkiachana na utube soon
Hii story my dear ni real mortuary watu huwawa amini leo hashwa sana sana huwa wanatumia nyundo
So you kill people
@@tereciahm8741 mimi sikuizi ata TH-cam si rahisi unatuwestia mbs tu
@harrietajiambo229 true Kuna jirani yetu aliponea,aliwapimia alitoka mbio hadi police station uchi wa mnyama
Script..respect kazi za morgue and stop discrimination hkn mtu huenda kwa morgue kama hajakufa and anatomy law prohibits kudamage mwili
Is this Baba Breda Wanjiku of loyalty test???, ama mimi ndio naona zangu😮
Ni yeye
Oooh God
I think DCI should get this character for these atrocities.
Hizi ni jaba
Niko na my story kali
That why nowadays people don't raise from dead samani watu walikuwa wanafufuka God have mercy on us. Hii ni Morgue gani?
Wee mtoto wangu nimrefi kabisa nisaidie
Interesting espesially sufuche
Innalilah wa ina elehi rajioon 😮
KilMfanyakazi wa. Muchwali uwa anasemaga hivyo wanauwa sana watu na nyundo au sindano uakuchomwa kwa shingo
Waa Kenya Kenya
Wow 😳
Huyu yko jabaa 😂
Huyu sino baba wanjiru
This true,bt now its your time
Why do you like? Because the postmortem will State otherwise your axe blow
Woooii is this not baba wanjiku the brand???
Huyo jamaa anatembea !!!!!!!maiti inatembea!!!!!!!!😮😮😮😮
Wooh
How can you kill a dead person I don't gerrit
Wewe nimuongo kabisa nauodoke kwenye mitadao yetu kwanini Kuna mutuanaberekagwo mok akiwa hai nakama nikweri sema niwAbi,
Nikweri sio muongo kuna watu wanaberekwa mok wakiwa hai ,kuna MTU tanzania arikua anafanya kazi kama hii mok ya kumarizia ,,sasa yeye warimpa sindano zakuadunga iri wafe,dunia ina mambo😢😢
@@Imana.ninzizabut huyu ni acting mkubwa 😂😂tushamujua
Ndomna waislam hawapereki mochwari mwaelewa sas
Ana ona NI sifa but ni upuzi wako wata malizwa hivyo tu
He doesn't want to say the name ot that morgue
Kwa nini wapeleke watu bado hawajakufa??
Africa pasua kichwa
Kazi ya mortuary n laana tupu Hadi Kuna wale hulala na maiti
Exactly sister 😢
😢😢😢 tubu zambi za kuua
This is Nonsense this things Don’t happen this are paid actors kupeana story a mortician is usually trained sio kutolewa kwa streets to job
Why unatisha
Hio yoote ni ka uongo. Unaweza kaa 2 years bila kuenda country bus na watu huko wakujue???
Na after 2 yrs still no cash ya kwenda kwao home
😂😂😂😂😂😂osufuche anauza sufuria
Haha😂😂😂
Tubi dhambi zako hizo. Kwani mtu akipelekwa bahati akawa mzima si unamrudisha tu kwa ndugu zake? Jamani!
Wa Kenya wabaya kwa nini uuwe
Utamaliziaje kuua maiti? Maiti tayari amekufa! Kiswahili gani hiki?
Part2 pls
Ni mauongo yote hii I know this guy
C huyu n baba wanjiko mwenye alikuwa ameoa brendah
😂😂😂😂Aki ni yeye
huyo msee ana create story hiyo story ni uongo buda wacha chocha tafadhali .sisi si watoto buda jipe shguli hakuna kitukama hiyo ufanyika mortuary wacha uongo buda ,,,,ongeya ukweli buda . aiiiiiiih apana uongo tupu
Mmmmmmm wapi na hicho nicha kimigori halloooooooo
Baba wajiku
Huyu si yule acting baba Wanjiku the Brand? Kumbe hizi huwa tu story za Jaba? 🙄🙄🙄😂😂😂
How he even got the job position is questionable... Out here so many trained morticians are busy tarmacing kutafuta kazi... Huyu ni story za jaba ako nazo kutuharibia jiná us trained morticians...
My God what this ??
Hii ni morgue gani aki watu wanaenda mbiguni bila fare 😅😅😅
Kwanini mwaua insted of kuwasaidia
I doubt if this story is true .I suspect is a manufactured story for views .
Yes..he appears in alot of channels with different stories including loyalty tests. It's total trash 🗑️
Maiti ambao hawajakufa vizuri ? Kwani kiswahili kikojee ? Km mtu hajafa ataitwajee maiti ?
This man is criminal,
Ghai ooh my God 😢haki surely no wonder siku hizi watu wakienda hos wanakufa tu kumbe wanamaaliziwa yaani mortuary imekuwa business
Wanataka pesa mob
Ghai huyu si ni baba wanjiku?
Eeeh wanjiku the brand
Mmh n dad wake yule mwenyw alikuwa ameoa brendah
😂😂😂victor Kinuthia
@@maggieenock4762 arudishe guitar ya pastor ng'ang'a