Hongereni Kenya kuwakata hao mnaowaita magaidi,,,sasa waseme ninani alowatorosha?
Naipenda saana
Mungu arwe nawe Lila siku
Nampenda sauti yake umulkheir.. Sauti nzuri kabisa...short wave mlifanyia nn jamani?
Nakupenda mama yangu humillherry wa DW bon
@@mohamedpesambili9460 unaona hata wewe ulishakosea!? Kabla ya kukosoa jitathmini kwanza je, nimechapa kisanifu? Alafu ndio uje kumnyoosha mwingine...sio kama mwenzako kachapia nawe umkumbushe kwakuchapia ule msemo "Mfupa hauna ulimi"!
@@mohamedpesambili9460 duh! Sasa ukweli upi tena hapo juu uliandika comments ngapi kuthibitisha usahihi wa jn lake?
Haha,,dada Silvia,,,mazoezi yanakuhusu,maana si kwaubonge huo
Zainab Bint Aziz ❤❤
Ni dhahir kwamba mwanamke ni sehemu ya jamii yaani ana nafasi kubwa na muhim ktk maisha ya mwanadamu yyte yule,jambo linalotakiwa ni lazma mwanaume asimame nae ktk yale mambo yanayoweza kumpatia maendeleo,kwani maandiko ya dini yanathamini uwepo wake isipokua usimamizi mkuu ktk mambo yake ni lazma utoke kwa mwanaume,na ukitaka kuthibitisha hilo mtazame mwanamke anapodaiwa hela ya kikundi anavyokua kwa mwanaume
Dah umilkheir tutakumic xan iyo xauti yako hatutaixkia teeeenaaaa.daaaah
Safi! Hata nami nawapa wanawake mkono wa tahania kwamba wao ndio nguzo na msingi wa jamii.