ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Wamama mnapokua na ujauzito hakikisheni mnameza vidonge vya folic acid kipindi chote cha ujauzito..inasaidia vingi hata tatzo la mgongo wazi.
Subhanallah
Ee Mungu nakuomba umponye huyu mtoto kwa ruhuma zako. Hayo ni maji yamejaa inatakiwa yatolewe kuna mpila anawekewa, tumsaidie kwa kile tutakacho jaaliwa mtoto apate matibabu
Hio nimaji ya mwili unabaki kichwani kwahio hapo inahitajika operation ya kuweka tube kutoka kichwani kwenda tumboni
Alafu jamani dada zangu acheni mikorogo, hujui umemdhuruje mtoto wako akiwa tumboni 😢😢😢
Kwel kabisa umeongea point❤
Germany wakiona mtt mgonjwa wanakushauri mimba waitoe haraka
Kwa sbb wanasema atakuja Hana faida ila wew mzazi utahangaika kulea na matibabu .
Kwa sisi waafrika hatuwezi kufanya hivyo tunamkosea,sana mungu
Kwani alikua anakunywa huo mkorogo Waja mbona mnavisa Dunia nyepesi lkn waja wazito jaman
Hawa wanaume Sasa unamkimbia mtoto wakati mimba ulitia ww mwenyewe? Heeeee jamani wanaume mkubali kupambana na damu zenu
Satilaundi nimecheka kusikia satilaundi
Maskin pole mwanangu
Wamama mnapokua na ujauzito hakikisheni mnameza vidonge vya folic acid kipindi chote cha ujauzito..inasaidia vingi hata tatzo la mgongo wazi.
Subhanallah
Ee Mungu nakuomba umponye huyu mtoto kwa ruhuma zako. Hayo ni maji yamejaa inatakiwa yatolewe kuna mpila anawekewa, tumsaidie kwa kile tutakacho jaaliwa mtoto apate matibabu
Hio nimaji ya mwili unabaki kichwani kwahio hapo inahitajika operation ya kuweka tube kutoka kichwani kwenda tumboni
Alafu jamani dada zangu acheni mikorogo, hujui umemdhuruje mtoto wako akiwa tumboni 😢😢😢
Kwel kabisa umeongea point❤
Germany wakiona mtt mgonjwa wanakushauri mimba waitoe haraka
Kwa sbb wanasema atakuja Hana faida ila wew mzazi utahangaika kulea na matibabu .
Kwa sisi waafrika hatuwezi kufanya hivyo tunamkosea,sana mungu
Kwani alikua anakunywa huo mkorogo
Waja mbona mnavisa
Dunia nyepesi lkn waja wazito jaman
Hawa wanaume Sasa unamkimbia mtoto wakati mimba ulitia ww mwenyewe? Heeeee jamani wanaume mkubali kupambana na damu zenu
Satilaundi nimecheka kusikia satilaundi
Maskin pole mwanangu