Hapo umenena kweli, wengine tulichukuwa card na kusimamia uchaguzi tukijua tutapata kazi ya kuajiriwa na serikali kwani ndiyo tu tulikuwa tumegraduate tubatafuta kazi ndo pa ikatokea uchaguzi basi tukafwatwa college kwetu kumbe hamna lolote mpaka Leo watu tunapiga teke kutafuta kazi.
@@evaemil856 Ndo ivyo awamu ya 5 ilikuwa ya hofu tupu tusidanganyane kbs unafiki hautakiwi tuwe wawazi kbs kweli miunfdo mbinu imetekelezwa lkn maisha ya watu yalikuwa ya hofu tupu usijadili kuhusu serikal utadhani mkimbizi vile
@@lusungukitago9000 Mdau mtaani kwetu waliongozana na kushauliana ili wachukue Card za CCM ili kukwepa kusumbuliwa wakijua wewe CHADEMA umeisha hata kama biashara yako ya halali umetimia kila watakutafutia visababu vya kipumbavu sana
Chadema kwa sasa hamna mpya mwenyekiti wenu kapigwa m100 na makamu wake m100 na John Heche milioni 50,wanakazi ya kumtukana Magufuli wakati wananchi wanataabika kwa hali ngumu ya maisha,Chadema hawana sera zaidi ya Magufuli, yaani utafikiri awamu ya tano p3kee ndio watu wamewekwa ndani DkT ulimboka aliteswa Absolom Kibanda na Said Kubenea ,lakini wao wako na Magufuli tu,Utadhani Mwangosi naye alikufa wakati wa Magufuli shame on them Chadema
Hongera Mungu awatangulie watetea haki
Safiiiiii chama cha wenye fikra endelevu na maono ya watanzania
Chadema chama makin one love
Kweli kbs awamu ya 5 watu walichukua kadi za CCM ili kulinda biashara zao na uhai wao yaan hofu ilitanda miyoyoni mwa wananchi wengi
Hapo umenena kweli, wengine tulichukuwa card na kusimamia uchaguzi tukijua tutapata kazi ya kuajiriwa na serikali kwani ndiyo tu tulikuwa tumegraduate tubatafuta kazi ndo pa ikatokea uchaguzi basi tukafwatwa college kwetu kumbe hamna lolote mpaka Leo watu tunapiga teke kutafuta kazi.
@@evaemil856 Ndo ivyo awamu ya 5 ilikuwa ya hofu tupu tusidanganyane kbs unafiki hautakiwi tuwe wawazi kbs kweli miunfdo mbinu imetekelezwa lkn maisha ya watu yalikuwa ya hofu tupu usijadili kuhusu serikal utadhani mkimbizi vile
Hapo umenema aiseee
@@lusungukitago9000 Mdau mtaani kwetu waliongozana na kushauliana ili wachukue Card za CCM ili kukwepa kusumbuliwa wakijua wewe CHADEMA umeisha hata kama biashara yako ya halali umetimia kila watakutafutia visababu vya kipumbavu sana
Safi sana mkuu
Pow
HUU NDIO UTANZANIA TUNAOUTAKA YAANI KATIBA MPYA NI SASA
Chadema vemaaaaa
Chadema yetu
chama cha ukombozi wa watanzania CHADEMA
Saf mwamba
✌🏿
Chadema kwa sasa hamna mpya mwenyekiti wenu kapigwa m100 na makamu wake m100 na John Heche milioni 50,wanakazi ya kumtukana Magufuli wakati wananchi wanataabika kwa hali ngumu ya maisha,Chadema hawana sera zaidi ya Magufuli, yaani utafikiri awamu ya tano p3kee ndio watu wamewekwa ndani DkT ulimboka aliteswa Absolom Kibanda na Said Kubenea ,lakini wao wako na Magufuli tu,Utadhani Mwangosi naye alikufa wakati wa Magufuli shame on them Chadema
Kwani vhadema ndi waliowaua si walilalamikia hayo wakati wote?