Azam tv is going to be the biggest sports tv chanel in Africa.... Cover Tanzania, Rwanda, Now kenya! ...
Azam thank u for sponsoring Kenyan league
This is one step to better match highlights, azam all the way
i was there live iyo siku..congralutations igwe
Azam wapo kenya sasa raha sana
We are east Africans
Azam mko vzur
Kweli Hawa Bado sana nimewafatilia naona mhmm mpira mauzauza
Hawa mpaka wafikie simba na yanga sisi tutakuwa mbali sana kiufup hawa jamaa kutufikia sio leo
Nimeona jersey nyingi za YANGA kuliko za Afc leopard 😂😂
Kulikua na mgomo wa mashabiki wa Chui kaka kwa ajili ya maamuzi mabaya ya marefa.
Uchebe wetu
Uchebe
Kina onyango kmbe uku ndio uzao wao
Huu ndo uwanja wa taifaa mbona mbayaa
Tulia. Kenya kuna uwanja kadhaa. Uwanja mkubwa zaidi Nairobi unaitwa Kasarani. Unabeba zaidi ya watu 70,000. Huu ni uwanja wa pili unaitwa Nyayo na ni karibu 30,000
Ohooo hapooo nimeelewaa nilitakaa kushang,aa piaa Kenya iwee na uwanja mdogo hivyo
Azam fufua soka la Kenya.
Asanteni sana