Hongera sana kaka mboneke,kazi nzuri,picha kali,sound iko vizuri japo sound track za nyuma inaharibu kidogo kwani inaondoa umakini katika kuangalia waigizaji wanachokifanya,sinister sound ziko vizuri,big up
Hiii movie ilifaa kuishia hapo huyu dem alivyo geuka kutazama makaburi ...alafu tuka subir muendelezo kujua kwann atazame makaburi mjitahidi kumaliza vizuri kuwapa ham watazamaji ...jifunzeni hata kwa wenzenu .kusema kweli move ni tamu zaidi ya utamu✍
Story ni nzuri waigizaji mnafanya vizuri pia ushauri wa kwanza ni sehem ambapo episode inapo ishia jitahidi iishie sehem ambayo itampa hamu na chachu mtazamaji kutaka kuona mwendelezo wake cha pili ongeza story kidogo sio scene zote unaonekana wewe tuu weka story saidizi yani scene ya kwanza labda wewe ya pili sehemu nyingine watu wengine na story nyingine ambapo main story na story saidizi zitakuja kukutana mbele Kazi nzuri na mnajitahidi hayo ni maoni tuu bosi
Vipi umeionaje movie comments Chochote
Nafatilia sana unakuta nikiwa sina bando nakopa du😊😊
Iko na unyama mwingi
Nimepend story saf kabisa nasubiri mwendelezo tu hapa
Safi
😂😂😂 au ni samsoni na delila 😂 sema tamaa mbaya
Kazi nzuri
nakupendaga tu mnyakyusa wew move iko pw
🔥🔥🔥hii niatarii sanaa mc mboneke
Drop episode 2 umetisha kinomanoma bless sana
Kazi nzuri mc mboneke 😂😂😂
Pua yangu ni kubwa nimerithi kwa mama mkwe🤣🤣🤣... Mboneke unampamba mrembo mpaka unapitiliza🤣
😂😂😂😂😂😂 nimecheka hatari
Mc mboneke haujawahi kushindwaa ni shabiki yakoo namba Moja bonge LA tamthilia🙌🙌🙌🙌🙌👊
TOA Kaka TOA Kaka kumbe Mama AKO nimwanamke nataka mniombee 😂😂😂😂😂
Hongera sana kaka mboneke,kazi nzuri,picha kali,sound iko vizuri japo sound track za nyuma inaharibu kidogo kwani inaondoa umakini katika kuangalia waigizaji wanachokifanya,sinister sound ziko vizuri,big up
kweli tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Leo ni mara ya kwanza kusikia mwanaume anaweseka Kwa utamu
Iko pw sana but mkeo yupo 🔥🔥🔥🔥
Hiii movie ilifaa kuishia hapo huyu dem alivyo geuka kutazama makaburi ...alafu tuka subir muendelezo kujua kwann atazame makaburi mjitahidi kumaliza vizuri kuwapa ham watazamaji ...jifunzeni hata kwa wenzenu .kusema kweli move ni tamu zaidi ya utamu✍
King wa comedy mc mboneke bonge la muv👍
Kazi nzuri kaka
Wimbo unazingua kila mda saund yasauti iko poa
Brother inajitahidi sana kabisa is best movies tupe next
Nakukubali sana mwanangu mboneke
Nakulubal sana mboneke😂😂😂😂
Kak umetisha sanaaaa umu ndan
Kazi nzuri sana
Kazi iko pouwa jamn
Nakuelewa sana mboneke job nice
Vipi hii song ni kali sana. Ni nani njina ya huu muimbajji
Nafurahi t vituko vyako utembeaji,uchekaji daah atalii😂😂😂
naomba episod ya 2 kaka dajhhh 😅😅😅 nouma sana
Hiyo ni bomba sana kweli 🤔😂 I missing it sir🎤🕺🕺🙏🙏🙏🙏
Story ni nzuri waigizaji mnafanya vizuri pia ushauri wa kwanza ni sehem ambapo episode inapo ishia jitahidi iishie sehem ambayo itampa hamu na chachu mtazamaji kutaka kuona mwendelezo wake cha pili ongeza story kidogo sio scene zote unaonekana wewe tuu weka story saidizi yani scene ya kwanza labda wewe ya pili sehemu nyingine watu wengine na story nyingine ambapo main story na story saidizi zitakuja kukutana mbele
Kazi nzuri na mnajitahidi hayo ni maoni tuu bosi
Kazaa mwanangu goma kali
Unalalaje na mkeo mmevaa nguo Mzee mboneke, chezeni Kwa uhalisia
Mkeo mzuri😘😘ila ajabu huna ela arafu una mchiti ,,,,Aya kama uelew,,,mpaka usiku Tena usiku WA manane
😂😂😂😂
Pua umelidhi kwa mama mkwe😅😅😅
Nakufatilia toka ago... from Mozambique
ur so talented bro I like it hata kama sisi ni maskini huenda sis ndo daraja.....😜😜😜
Iko powa mwanangu
Iko bomba
Umetish 💯💯💯
Umetisha Mwananguh
Kali sana umtisha sana
Mboneke una undugu na mama yako mkww had urithi pua😂😂😂
Inyendelo jako nyali Ghwamyitu..........pakugojamika amalundi Mmago
Master MBONEKE, hiyo ni ya nani
Nzuri sanaa
Good bloooo
Pure talent kaka
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakutambua mboneke,na huyo mwanadada wa buibui ni mrembo ajab,unaeza mlink na Mimi?
Ebhanaa mbnekee hii kitu tupate na episode2
❤❤❤❤ mboneke
Nimeona Tulia Trust alafu Sami Tamu 😆😆😆😆
Shida ake unaigiza tu story mzuri unagiza ndan ya magizo shoot kawaida tu
Lete muendelezo kaka imetuliaa
Umetisha San sister g love u😍
Noma sanaaaaa
Unafkiria Sana kaka❤🎉🎉🎉🎉😊👌👌👌
Mboneke uditucheleweshee episode ya pili kama clam VEVO
Good work experience
Utuletee mwendelezo mapema
Movie iko powa sana kaka.Kwo tukutane wap??
Nataka mniombeeeeee😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉 the best i love you ❤️❤️🇨🇩🇨🇩
Umetiisha, homeBoy
Maua yako🎉 kaka
Camera mbovu
Achia next episode
Huna bayaa❤❤❤
Kali kinyama Yani mke wa mboneke ana mbamba
Kali sana
good try broo tuendelee kukaza
Iko vzr 😂
Yan ww mboneke day one umemuona na mda huo ulikuwa unawaz umeambiwa uje na pesa apo ww uongo kaka😂😂
Unazinguwa mboneke 😂
😂😂😂😂
I like it sir🙏🙏🙏🙏🙏
Aki nimecheka i like zat
Mboneke ka jinga 😹😹😹nakupenda ❤️
Upo vzrii
Safi sana
Mboneke❤ next
😂😂😂😂
Fanya mpango wa ep ya pili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haaaa saami taaaamu
Umeanza story vizuli ila uwigizaji wako wakujichetua kwenye sirious movie aujakaa sawa mtazame clam vevo ni bonge la muigizaji
Your so funny 🤣🤣🤣🤣
Unyama 🎉🎉🎉
Kali kaza
Samii 😂
Nice Nice broo
Kali❤❤❤❤❤😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
😂😂😂😂hatari😂
😂😂😂😂
Mbonekeeee
🔥🔥🔥🔥
Mbombo nyafuuu nkam
Mm nimeangalia mara kumikumi
Nakubali
Mh hongereni tu
❤❤❤
NZURI saaaaaaaaana
Tuntk muendlezo mbonek
🔥🔥🔥🔥🔥
Mbonekee
Please I need name of that song I like it
Sami tamu😅😅😅😅