SHEIKH HILAL KIPOZEO | Masjid Baluchi,Mombasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • 29/3/2016

ความคิดเห็น • 111

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 ปีที่แล้ว +11

    Sheikh huyu nampenda sana anatoa neno la mungu na pia ana utani sana. mtu huchoki kumsikiza.inshalla mungu ampe maisha marefu ili azidi kuelimisha watu.22.05.19.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa, yaani huchoki kumsikiliza!!

    • @patrickedson3587
      @patrickedson3587 3 ปีที่แล้ว

      Binafsi mm ni mkristo lkn hyu sheikh namuelewa xna

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 6 ปีที่แล้ว +34

    Allahu Akhbar sheik, after kucheka, Napata mafunzo mengi sana, hata mke wangu...even if ako mzungu, ameisha silimu. Laa ilaa ilaa laah

    • @jumaasafisanasalehe155
      @jumaasafisanasalehe155 5 ปีที่แล้ว

      Maashaalha shekh kipozeo mwanamke anatakiwa awe mtundu sio

    • @zeinzein7682
      @zeinzein7682 ปีที่แล้ว

      @@jumaasafisanasalehe155
      "

  • @focusmsimbe8946
    @focusmsimbe8946 5 ปีที่แล้ว +3

    Upo vizur sana kiongozi upendo ni kila kitu kumbe uislamu ni upendo sasa wapi baadhi wanaotuonyesha uislam ni dini ya kikatili kumbe mpo vizur Sana...... Mungu awape neema pia ya kumfahamu Yesu

    • @ashalaurent4722
      @ashalaurent4722 4 ปีที่แล้ว

      Waislam wanamfaham yesu sana tu kam nabii issa bin marim

  • @johnwambura2533
    @johnwambura2533 6 ปีที่แล้ว +5

    Allah awahifafhi Mashekh wetu Aamyin

  • @alishaffi7715
    @alishaffi7715 6 ปีที่แล้ว +9

    Asalam alaikum ndugu zangu ktk Imani. Wallahi muumba mbingu na ardhi awape masheikh wetu nguvu na sisi pia tuweze kuitetea dini ya haki ya uislamu.

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 ปีที่แล้ว +7

    Yarb Tuongoze katika njia ilionyooka in Sha Allah.

  • @mrimhail6416
    @mrimhail6416 6 ปีที่แล้ว +5

    MaShaaAllah TabakaAllah mawaidha mazuri sanaa ila sheikh wetu dua bado twaisubiri kwa hamu sanaa

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 ปีที่แล้ว +2

    Iwapi hiyo DUA umehaidi twasubiriya ln Sha Allah From Saudi Arabia

  • @fatmafmly
    @fatmafmly 4 ปีที่แล้ว

    Mashallah sheikh nakupenda na mawaida yako mzuri pamoja na utani allah akupe mwisho mwema

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 ปีที่แล้ว +4

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa mawaidha mazuri jazakAllah Kheri From Saudi Arabia

  • @kassimkhames6558
    @kassimkhames6558 7 ปีที่แล้ว +8

    وعليكم السلام ورحمة لله وبركاته inshallah kheri mawaidha nimazuri sanaa ajaliye iwee kwenye memaa yako naomba unitumie dua tazakallahu kheri

  • @sheikhsalimzegge3363
    @sheikhsalimzegge3363 5 ปีที่แล้ว +4

    naitwa sheikhe salimu Zegge tafadhali ingiakwe nye Chanel yangu you tube uangalie maidha yangu

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo ปีที่แล้ว

    Alhamdulillaah maashallah shekhe wetu

  • @abdillahinaaman6807
    @abdillahinaaman6807 6 ปีที่แล้ว +2

    Allahu akupe maisha marefu ya kheri ili uzidi kutupa faida...

  • @championshahidu2465
    @championshahidu2465 5 ปีที่แล้ว +6

    I love you shekh Kipozeo your very smart shekh

  • @gangstabiraza
    @gangstabiraza 7 ปีที่แล้ว +4

    Mawaidha mazuiri mashallah...Naomba hiyo dua ya Aba Mu'laq...jazakumullahu kheyran

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 7 ปีที่แล้ว +5

      Nimefanya research, hii hadeeth sio katika hadeeth sahih, lakini dua na maneno is ok. In English, “O Most Loving, O Most Loving, O Owner of the majestic Throne, O Initiator, O Returner, O You Who do whatever You will, I ask You by the Light of Your Countenance which fills the pillars of Your Throne, and I ask You by Your Power by which You control all of Your creation, and I ask You by Your mercy which encompasses all things, there is no god but You, O Helper help me” - three times.
      يا ودود يا ذا العرش المجيد يا فعال لما يريد, أسألك بعزتك التى لا ترام وملكك الذى لا يضام وبنورك الذى ملأ أركان عرشك أن تكفينى شر هذا, يا مغيث أغثنى … يامغيث أغثنى … يامغيث أغثنى,
      Yaa Waduud, Yaa dzal ‘arsyil majiid, Yaa fa’aalul lima yuriid, As-aluka bi’izzatika laa turaam, wa mulkikal ladzii laa yudlaam, wa binuurikal ladzii mala-a arkaana ‘arsyika, Antakfiyanii syarra hadza (sebutkan yang mengancam anda), Yaa mughiits aghitsnii… Yaa mughiits aghitsnii… Yaa mughiits aghitsnii

    • @kassimkibiki6907
      @kassimkibiki6907 6 ปีที่แล้ว +3

      Assalaam alaykum. Ndugu zangu waislamu tujitahidi sana kufuata mafunzo ya dini kwa kusikiliza mawaidha mbali mbali.

    • @hassankitulotvsproduct8627
      @hassankitulotvsproduct8627 5 ปีที่แล้ว

      Mashaallah shkh Allah akuongoze katika kheiri inshaallah , wallahi sijaawahi kujuta kufatiria darsa zako shkh

    • @kishubuti
      @kishubuti 4 ปีที่แล้ว

      @@eliasnavytanga shukran

  • @bashirukhalfani5436
    @bashirukhalfani5436 ปีที่แล้ว +1

    ❤Allah Akibar

  • @zainaburamadhanniceyamoto848
    @zainaburamadhanniceyamoto848 7 ปีที่แล้ว +17

    as alaam alaam alaykum iyo dua ya abamolaka tuna isubiri

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 4 ปีที่แล้ว

    mimi ni mwalimu wa dini ya kikristo lkn leo nmejifunza funzokubwa sana KUNA GAPE DOGO SANA KATI YA WAISLAMU NA WAKRISTO Allah wakibar

  • @neemamohamedmaryakamaryaka4686
    @neemamohamedmaryakamaryaka4686 6 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah shekh kwamawaidha mazuri lkn dua tutaipata wapi ilituisikie

  • @aminkushni8771
    @aminkushni8771 6 ปีที่แล้ว

    Asalamualeikum warahmatullahi wabarakatu...Tafadhali naomba namba ya sheikh hilal kipoozea...Nionge naye ma shaAllah sheikh uyu Allah ampe afya dunia na jannah amin

  • @charlottemanga
    @charlottemanga 5 ปีที่แล้ว +6

    Mimi namupenda uyu sheikh wakati mimi siyo mwesilamu

    • @yussarsaleh5760
      @yussarsaleh5760 4 ปีที่แล้ว

      Ndio wewe ndugu yetu wa damu, umepotea

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      @@yussarsaleh5760 "waiteni ktk njia ya Mungu kwa hekima na mawaidha yaliyo mazuri"- (Qur'an al Kareem)

    • @fikiriniabdallah3372
      @fikiriniabdallah3372 4 ปีที่แล้ว

      Charlotte Manga mungu akubariki nikute embox nikufunz

    • @yussarsaleh5760
      @yussarsaleh5760 4 ปีที่แล้ว

      @@fikiriniabdallah3372 naaam nifundishe kaka angu maaana hakututajia Allah atakulipa kheir

    • @fikiriniabdallah3372
      @fikiriniabdallah3372 4 ปีที่แล้ว

      Yussar Saleh uwislam ninjiya naiyo njiya tukiifata vilivyo mungu ata tupa pepu yake bali tumfunze charlote uwisilam ili awe muislam yousrah wewe hujuwi kweli ao

  • @albahryazza
    @albahryazza 6 ปีที่แล้ว +1

    Salam a w w Allah amlinde Sheikh Hilal kwa maawaitha mazuri. Lakini tunaomba itufikie iyo dua ya abamuulaq

  • @idaaman7489
    @idaaman7489 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbona dua hakuitaja

  • @MohamedHussein-nr6fs
    @MohamedHussein-nr6fs 5 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam aleykum ndugu yangu naitaji hiyo dua

  • @ahmedduale7495
    @ahmedduale7495 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah sheikh

  • @bintichee5929
    @bintichee5929 3 ปีที่แล้ว

    Tunaomba hiyo dua shegh kipozeo

  • @hamza89945
    @hamza89945 6 ปีที่แล้ว +5

    Kina dada Wa kiislsm msieke pics zenu kila mtu awaone. Mnafaa mujisitiri

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 5 ปีที่แล้ว

      It's true brother but it's difficult coz hao wakristo watajisitiri kwl

  • @husseinsharriff6041
    @husseinsharriff6041 6 ปีที่แล้ว

    Aslaam alaikum warahmatullahi wabarkatu? Naomba hiyo dua ya abamolaka inshallah

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 ปีที่แล้ว +1

    MASHA ALLAH

  • @vibestudio4707
    @vibestudio4707 5 ปีที่แล้ว

    jazakallhu shekh kioozeo

  • @khatwabmpinga8602
    @khatwabmpinga8602 4 ปีที่แล้ว

    Shekh mung akuzidishie umri mrefu

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 5 ปีที่แล้ว +3

    Allahu Akbar

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 4 ปีที่แล้ว

    Allah tusamehe mazambiyet

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allaah

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 4 ปีที่แล้ว

    Nadhani unawafurahisha wenzio tu, maana unampnga Yesu mwenyewe maana ni yeye anathibitisha kuwa yeye ni mwana wa Mungu.

    • @allykindawite1924
      @allykindawite1924 3 ปีที่แล้ว

      Wapi Yesu kasema yeye ni Mwana wa Mungu.

  • @38wahida
    @38wahida 7 ปีที่แล้ว +3

    Dua mbona hakuitaja?

  • @yussufmkoma8839
    @yussufmkoma8839 4 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @saidhaule5353
    @saidhaule5353 4 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @safiyasafiya5930
    @safiyasafiya5930 6 ปีที่แล้ว +2

    Mashallha

  • @yunusjulhum6066
    @yunusjulhum6066 6 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuijua hio duah

  • @mwanakhamishussein4655
    @mwanakhamishussein4655 7 ปีที่แล้ว +3

    mashaallah mawadha mazur

  • @khalidkota1115
    @khalidkota1115 4 ปีที่แล้ว

    Great scholar

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa, vyuo vyetu vikuu vya kiislam vingekuwa na utaratibu wa kutunukia shahada za udaktari wa heshima watu kama hawa ili wapate hadhi ya udaktari maana wanastahili kabisa!!

  • @samakimwenyekiundaniyamaji8885
    @samakimwenyekiundaniyamaji8885 7 ปีที่แล้ว +1

    Nangoja dua Sheikh

  • @alhajimswaki9408
    @alhajimswaki9408 7 ปีที่แล้ว +1

    Mawaidha mazur mashallah

  • @ruterarose6025
    @ruterarose6025 5 ปีที่แล้ว +1

    Sio wote wana subira

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 5 ปีที่แล้ว +1

    Mm naona wakristo wako sahihi.

  • @geofreymkopi4905
    @geofreymkopi4905 7 ปีที่แล้ว +4

    Nawatakia Ijumaa Kareem

  • @yunusjulhum6066
    @yunusjulhum6066 6 ปีที่แล้ว

    Dua gani hio Abu muulak

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 7 ปีที่แล้ว +1

    elias umnamaje'! kwani nawe muislam au! mbona jina tofauti na dini au vip. haya tufahamishe hiyo hadithi uliyoifsnyia uchunguzi udhaifu wake na ipo no ngapi na mpokezi wake nani?? plzz kwa hsan yako tunasubiri majibu

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo3157 5 ปีที่แล้ว +3

    ukweli ni imani siyo dini

    • @jumaakhalfan485
      @jumaakhalfan485 5 ปีที่แล้ว

      Hivi unawez kuwa na imani bila ya Dini yoyote

  • @masungajacob2628
    @masungajacob2628 5 ปีที่แล้ว

    Kipozeo achaungo
    Ukrsito na Uisilam
    Ipi ilitangulia.....

    • @abdallahmwasiho1521
      @abdallahmwasiho1521 5 ปีที่แล้ว +1

      Wa,asalamlyekum ni hv kati ya Mussa na yesu nani katangulia,jibu ni Mussa Mungu alipo muita Mussa njoo kabla haja elekea hp Mungu aka mwambia vua viatu vyako mahali hapa ni patakatifu Mussa akavua je ni kina nani wanao vua viatu wakitaka kumuomba Mungu jb ni Uislamu na yesu alivua viatu akiwa ana sali kafuata matendo ya Mussa ina maana uislamu ulikuwepo

  • @fauziakassim323
    @fauziakassim323 5 ปีที่แล้ว

    Ustadh kitambi cha uzeeni hicho kwaiyo fanya zoezi

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Wewe una lako jambo lingine!!!

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 4 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 jambo gani hilo tena

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      @@fauziakassim323 ujumbe wake ulikuwa mzuri zaidi kuliko kitambi chake!!

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 4 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 yy alisema watu wasiwe na vitambi

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +1

      @@fauziakassim323 haya umeshinda!!

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 6 ปีที่แล้ว +4

    Mwapotea kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu

    • @Elmanizzo
      @Elmanizzo 5 ปีที่แล้ว

      Njoo tukutakatishe uku, usiendelee potea

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 5 ปีที่แล้ว

      Law Marcus Mwakagenda true

    • @jidadaudi2255
      @jidadaudi2255 4 ปีที่แล้ว

      Law Marcus Mwakagenda we unahisi hatujui maandiko kwa kwa yes hajatajwa Pole sana

    • @lawmarcusmwakagenda355
      @lawmarcusmwakagenda355 4 ปีที่แล้ว

      @@jidadaudi2255 Mfahamu sana Yesu kwamba alisema nini na kwamba aliahidi nini. Maana ndiye atakayehukumu wanadamu wote af nyie hamtaki hata kusikia habari zake. Poleni sana. Mungu awape nuru ya macho yenu kuona yaliyo mapenzi ya Mungu

    • @lawmarcusmwakagenda355
      @lawmarcusmwakagenda355 4 ปีที่แล้ว

      @@jidadaudi2255 Tulipewa jina la Yesu kuwa ulinzi kwetu. Nyie mliachiwa majini yawe ulinzi kwani hamjui kuwa hayo ni mashetani? Au mnajifanya hamnazo

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo3157 5 ปีที่แล้ว

    unafurahisha sana

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 ปีที่แล้ว

    Sheik wng

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 ปีที่แล้ว +3

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema

  • @rojaboka7910
    @rojaboka7910 6 ปีที่แล้ว +3

    shukran kwa mawaidha mazuri, Allah atupe mwisho mwema