LISSU AKIWASHA ISSUNA SINGIDA, ATUPA JIWE GIZANI WIZI WA FEDHA ZA UMMA KUNUNULIA PIKIPIKI ZA SSH
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- #TANZANIA: Tundu Lissu akiwasha Kata ya Issuna Singida Mashariki, atupa jiwe gizani, wizi wa fedha za Umma kununulia pikipiki za kampeni za Rais Samia.
Zaidi: • LISSU AKIWASHA ISSUNA ...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Piga Spana Mheshimiwa Tundu Lissu Mungu Yuko Pamoja Na Wewe Japo Wachumia Tumbo CCM Wameziba Masikio ila Huko Mbele Tuendako Wataelewa Tu "
Makamanda peopleees ✌️✌️✌🏼✌️✌️✊✊✊✊✊✊✊
Jamani wanyaturu tufafanulieni kwenye ushauri
SPANAAA
Kamanda lisu mm nakukubali sana pia nasisi tushilikiane kwa pamoja
Ushauri huu wa Tundu Lissu si wa kupuuzia,ni kuutekeleza kwa vitendo
Mbowe is a traitor we are behind you Lisu! Serve this country
Mali. Tunayo..akili..hatuna..hivyo.basi..laana..ya..jembe..na.nyundi..itaendelea..kutuZika..nyundo..kutengeneza..jeneza..najembe..kutuchimbia..kaburi. ,😭😭😭😭😭🙏
Anaempinga lissu akapimwe akili
Yapo ma fisiemu yananuna yakisikia ukweli huu 😮😮😮
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Mh. Lissu upo vizuri sana na unatufumbua macho sisi Watanzania na Watanzania wengi hata wa vyama vingine wanakuelewa sana.
Ushauri wangu wa bure kwako ni kwamba, acha kabisa kabisa kumzungumzia JPM. Yule mtu alikuwa ni mtu wa namna yake, maana mpaka leo hii asilimia kubwa sana ya Watanzania wanamkumbuka na wanamkubali sana.
Acha ujinga wewe hata angekua kama dhahabu hakuwa na ruhusa chin ya mbingu kuondoa uhai wa wengine.wakwap watoto wa wanawake wengine kama wewe ulivo kwa mamako.wako wap kina beni saa nane wakwap kina mawazo???nyoko nini!asimseme kwa lipi?hayo majeraha na vyuma kwenye mwili wake lissu na marisasi kwenye hilo gar saa nane mchana kotaz za bunge vilitokea wapi?acha umatako mjinga wewe mi huniambii kitu kuhusu magufuli nampenda mpaka kupita maelezo kwa ka yake but akifufuka leo namuuwa mimi yan kwanza wakahamishe mlima waupandikize juu ya kabur lak asifufuke tena shetani yule ibilisi kichaa mwenda wazimu kuna maana gani kufanya yote mazuri afu ukawa unawauwa watoto wa watu.Kenge wewe et asisemwe.mavi yake yan ata mbinguni tuombe asifike aende moja kwa moja kuzimu.ushenz huu wa kufuta mawazo tofauti kuuwa upinzan kuharibu maisha ya watu kwa kuafua uchaguz akajaza mabubge yote na madiwan yote bungeni umeona kafa afu katuachia balaa huku afu unataka asifiwe kwa Mavi na uharo alouacha huku nyuma.Akafie mbali ata peponi asifike Shetan yule
Maghufuri alikuwa ni mtu mbaya sana
Mwenye sikuom na asikie mwenye kuelewa ataelewa
mikoani watu wanajitokeza sana tofauti na dar